< Ezekiel 35 >

1 HERRENs Ord kom til mig således:
Neno la Bwana likanijia kusema:
2 Menneskesøn, vend dit Ansigt mod Seirs Bjergland og profeter imod det
“Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya mlima Seiri, utabiri dhidi yake
3 og sig til det: Så siger den Herre HERREN: Se, jeg kommer over dig, Seirs Bjergland, og løfter min Hånd imod dig; jeg gør dig til Ørk og Ødemark,
na useme: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mimi ni kinyume nawe, ee mlima Seiri, nami nitanyoosha mkono wangu dhidi yako na kukufanya ukiwa na usiyekaliwa na watu wala kulimika.
4 dine Byer lægger jeg i Grus. Du selv skal blive til Ørk og kende, at jeg er HERREN.
Nitaifanya miji yako kuwa magofu nawe utakuwa ukiwa. Ndipo utakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.
5 Fordi du nærede evigt Had og i Nødens Stund overgav Israeliterne til Sværdet, da deres Misgerning var fuldmoden,
“‘Kwa sababu ulificha moyoni uadui wa siku nyingi nawe ukawatoa Waisraeli wauawe kwa upanga wakati wa maafa yao, wakati adhabu yake ilipofikia kilele chake,
6 derfor, så sandt jeg lever, lyder det fra den Herre HERREN: Jeg gør dig til Blod, og Blod skal forfølge dig; sandelig, du forbrød dig ved Blod, og Blod skal forfølge dig.
kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, nitakutia katika umwagaji damu nao utakufuatia. Kwa kuwa hakuchukia kumwaga damu, kumwaga damu kutakufuatia.
7 Jeg gør Seirs Bjergland til Ørk og Ødemark og udrydder deraf enhver, som kommer og går;
Nitaufanya Mlima Seiri ukiwa na usiokaliwa na watu wala kulimika na kuukatilia mbali na wote wanaokuja na wanaokwenda.
8 jeg fylder dets Bjerge med dræbte; på dine Høje og i dine Dale og Kløfter skal de sværdslagne falde.
Nitaijaza milima yenu kwa watu wake waliouawa, wale waliouawa kwa upanga wataanguka juu ya vilima vyako na katika mabonde yako na katika makorongo yako yote.
9 Jeg gør dig til Ørk for evigt, dine Byer skal ikke bebos; og du skal kende, at jeg er HERREN.
Nitakufanya ukiwa milele, watu hawataishi katika miji yako. Ndipo utakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.
10 Fordi du sagde: "De tvende Folk og de tvende Lande skal tilhøre mig, jeg vil tage dem i Eje!" skønt HERREN var der,
“‘Kwa sababu umesema, “Mataifa haya mawili na nchi hizi zitakuwa zetu nasi tutazimiliki,” ingawa hata mimi Bwana nilikuwa huko,
11 derfor, så sandt jeg lever, lyder det fra den Herre HERREN: Jeg vil gøre med dig efter den Vrede og det Nid, du hadefuldt udviste imod dem, og jeg vil give mig til Hende for dig, når jeg dømmer dig;
kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, nitakutenda kwa kadiri ya hasira na wivu uliouonyesha katika chuki yako juu yao nami nitafanya nijulikane miongoni mwao wakati nitakapokuhukumu.
12 og du skal kende, at jeg er HERREN. Jeg har hørt al den Spot, du udslyngede mod Israels Bjerge: "De er ødelagt, os er de givet til Føde!"
Ndipo utakapojua kuwa Mimi Bwana nimesikia mambo yote ya dharau uliyosema dhidi ya milima ya Israeli. Ulisema, “Wamefanyika ukiwa na kutiwa mikononi mwetu tuwararue.”
13 Du gjorde dig stor imod mig med din Mund og overfusede mig med Ord; jeg hørte det.
Ulijigamba dhidi yangu na kusema maneno dhidi yangu bila kujizuia, nami nikayasikia.
14 Så siger den Herre HERREN: Som det var din Glæde, at mit Land blev Ørk, således vil jeg gøre med dig;
Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Wakati dunia yote inashangilia nitakufanya ukiwa.
15 som det var din Glæde, at Israels Huss Arvelod blev Ørk, således vil jeg gøre med dig. Ørk skal du blive, Seirs Bjergland og hele Edom med; og de skal kende, at jeg er HERREN.
Kwa sababu ulishangilia wakati urithi wa nyumba ya Israeli ulipofanyika ukiwa, hivyo ndivyo nitakavyokutendea. Utakuwa ukiwa, ee mlima Seiri, wewe na Edomu yote. Kisha ndipo watajua kuwa Mimi ndimi Bwana.’”

< Ezekiel 35 >