< Ezekiel 14 >

1 Nogle af Israels ældste kom til mig og satte sig lige over for mig.
Baadhi ya viongozi wa Israeli wakaja kwangu na kuketi mbele yangu.
2 Så kom HERRENs Ord til mig således;
Ndipo neno la Yahwe likanijia, likisema,
3 Menneskesøn! Disse Mænd har lukket deres Afgudsbilleder ind i deres Hjerte og stillet det, der blev dem Årsag til Skyld, for deres Ansigt - skulde jeg lade mig rådspørge af dem?
“Mwanadamu, hawa watu wamchukua sanamu zao kwenye mioyo yao na kuweka pingamizi la uovu wao mbele ya nyuso zao wenyewe. Je naweza kuulizwa yote na wao?
4 Tal derfor med dem og sig: Så siger den Herre HERREN: Hver den af Israels Hus, som lukker sine Afgudsbilleder ind i sit Hjerte og sættet det, der blev dem Årsag til Skyld, for sit Ansigt og så kommer til Profeten, ham vil jeg, HERREN, selv svare trods hans mange Afgudsbilleder
Kwa hiyo watangazie hivi na waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Kila mtu wa nyumba ya Israeli achukuaye sanamu moyoni mwake, au awekeye pingamizi la uovu mbele ya uso wake, na kisha yule ajaye kwa nabii-Mimi, Yahwe, nitamjibu kulingana na sanamu zake.
5 for at gribe Israels Hus i Hjertet, fordi de faldt fra mig med alle deres Afgudsbilleder.
Nitafanya hivi ili kwamba niweze kuirudisha nyumba ya Israeli katika mioyo yao ambayo ilikuwa mbali nami kwa ajili ya sanamu zao.'
6 Sig derfor til Israels Hus: Så siger den Herre HERREN: Vend om, vend eder bort fra eders Afgudsbilleder og vend eders Ansigt bort fra alle eders Vederstyggeligheder!
Kwa hiyo sema kwa nyumba ya Israeli, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tubuni na rudini kutoka kwenye sanamu zenu! Rudisheni nyuma nyuso zenu kutoka kwenye kachukizo yenu yote.
7 Thi hver den af Israels Hus og af de fremmede, der bor i Israel, som skiller sig fra mig og lukker sine Afgudsbilleder ind i sit Hjerte og sætter det, der blev ham Årsag til Skyld, for sit Ansigt og så kommer til Profeten, for at denne skal rådspørge mig for ham, ham vil jeg, HERREN, selv svare;
Kwa kuwa kila mmoja kutoka kwenye nyumba ya Israeli na kila mmoja wa wageni wanaoishi katika Israeli ajitengaye nami, achukuaye sanamu zake kwenye moyo wake na kuweka kwazo la uovu wake mbele ya uso wake mwenyewe, na kisha yule ajaye kwa nabii kunitafuta-mimi, Yahwe, nitamjibu mimi mwenyewe.
8 jeg retter mit Åsyn mod den mand og gør ham til Tegn og Mundheld og udrydder ham af mit Folk; og I skal kende, at jeg er HERREN.
Hivyo nitauweka uso wangu juu ya huyo mtu na kumfanya ishara na mithali, kwa kuwa nitamkata kutoka kati ya watu wangu, na mtajua kuwa mimi ni Yahwe.
9 Men lader Profeten sig lokke til at sige et Ord, så er det mig, HERREN, der har lokket ham, og jeg udrækker min Hånd imodham og udrydder ham af mit Folk Israel.
Kama nabii atadanganywa na kuongea ujumbe, kisha Mimi Yahwe, nitamdanganya huyo nabii; Nitanyoosha mkono wangu na kumwangamizaku toka kati watu wangu Israeli.
10 De skal begge bære deres Skyld, Spørgeren og Profeten skal være lige skyldige,
Watabeba uovu wao wenyewe; uwovu wa nabii utakua uleule kama uovu wa yule aulizaye kutoka kwake.
11 for at Israels Hus ikke mere skal fare vild fra mig og blive urent ved alle sine Overtrædelser; da skal de være mit Folk, og jeg vil være deres Gud, lyder det fra den Herre HERREN.
Kwa sababu hiyo basi, nyumba ya Israeli haitaenda mbali kutoka kunifuata mimi wala kujinajisi wenyewe kupitia dhambi zao zote. Watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao-hivi ndivyo Yahwe asemavyo.”'
12 HERRENs Ord kom til mig således:
Kisha neno la Yahwe likanijia, likisema,
13 Menneskesøn! Når et Land troløst synder imod mig, og jeg udrækker min Hånd imod det og bryder Brødets Støttestav for det og sender Hungersnød over det og udrydder Folk og Fæ,
“Mwanadamu, wakati nchi itakapo asi dhidi yangu kwa kufanya dhambi ili kwamba ninyooshe mkono wangu dhidi yake na kuvunja tegemea la mkate wake, na kuleta njaa juu yake na kukata mnyama kutoka kwenye nchi;
14 og disse tre Mænd var i dets Mtidte: Noa, Daniel og Job, så skulde kun de tre redde deres Liv ved deres Retfærdighed, lyder det fra den Herre HERREN.
kisha hata kama hawa watu watatu-Nuhu, Danieli, na Ayubu-walikuwa katikati ya nchi, wangeweza kuokoa maisha yao wenyewe kwa haki-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
15 Eller lader jeg Rovdyr fare igennem Landet og gøre det folketomt, så det bliver øde og ingen tør gå derigennem for de vilde Dyr,
Kama nikileta wanyama waovu kwenye nchi na kuwafanya wasizae hivyo basi itakuwa hakuna mtu asiweze kupita kwa sababu ya hao wanyama,
16 og disse tre Mænd var i dets Midte - så sandt jeg lever, lyder det fra den Herre HERREN: De skulde ikke redde deres Sønner eller Døtre; de selv alene skulde reddes, men Landet måtte blive øde.
kisha hata kama watu hawa hawa watatu ndani yake-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuwaokoa hata watoto wao wala binti; isipokuwa maisha yao yataokoka, lakini nchi itakuwa ukiwa.
17 Eller lader jeg Sværdet komme over dette Land og siger: "Sværdet skal fare igennem Landet!" og udrydder Folk og Fæ deraf,
Au nikileta upanga juu ya hiyo nchi na kusema, 'Upanga, nenda kwenye nchi na wakate wote mtu na mnyama kutoka huo',
18 og disse tre Mænd var i dets Midte - så sandt jeg lever, lyder det fra den Herre HERREN: De skulde ikke redde deres Sønner eller Døtre; de selv alene skulde reddes.
kisha hata kama hawa watu watatu watakuwa katikatai ya nchi-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuwaokoa japo watoto wao wala binti; ila tu maisha yao wenyewe yangeokolewa.
19 Eller sender jeg Pest over dette Land og udgyder min Harme over det med Blod og udrydder Folk og Fæ deraf,
Au kama nikipeleka tauni juu ya nchi na kumwaga dhahabu yangu juu yake kwa damu, ili kuwakata mtu na mnyama,
20 og Noa, Daniel og Job var i dets Midte - så sandt jeg lever, lyder det fra den Herre HERREN: De skulde ikke redde Søn eller Datter; de selv alene skulde redde deres Liv ved deres Retfærdighed.
kisha hata kama Nuhu, Danieli, na Ayubu wangekuwa kwenye hiyo nchi-kama niishivyo, asema Bwana Yahwe-wasingeweza kuokoa hata watoto wao au binti; maisha yao pekee yangeokoka kwa haki.
21 Men så siger den Herre HERREN: Og dog, når jeg sender mine fire grumme Straffedomme, Sværd, Hunger, Rovdyr og Pest, over Jerusalem for at udrydde Folk og Fæ deraf,
Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: hakika nitafanya mambo makali sana kwa kuleta adhabu zangu nne-njaa, upanga, wanyama wa porini, na tauni-juu ya Yerusalemu kuwakata wote mtu na mnyama kutoka kwake.
22 se, da skal der levnes en Flok undslupne, som fører Sønner og Døtre ud derfra; se, de skal drage hid til eder, og I skal se deres Færd og Gerninger; da skal I trøste eder over den Ulykke, jeg har bragt over Jerusalem, alt det, jeg har bragt over det.
Kisha, tazama! mabaki yatasalia kwake, watakaokoka wataenda pamoja na wana na binti. Tazama! Watawatokea, na mtaona njia zao na matendo yao yakiwafariji kuhusu adhabu niliyoipeleka Yerusalemu, na kuhusu kila kitu kingine ambacho nilichopeleka juu ya nchi.
23 De skal være eder en Trøst, når I ser deres Færd og Gerninger, og I skal skønne, at jeg ikke uden Grund gjorde alt, hvad jeg lod det times, lyder det fra den Herre HERREN.
Waliokoka watawafariji ninyi mtakapoona njia zao na matendo yao, hivyo mtayajua haya mambo niliyoyafanya juu yake, kwamba sijayafanya bure! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”

< Ezekiel 14 >