< 2 Samuel 21 >

1 Under Davids Regering blev der Hungersnød tre År i Træk. Da søgte David HERRENs Åsyn; og HERREN sagde: "Der hviler Blodskyld på Saul og hans Hus, fordi han dræbte Gibeoniterne!"
Kulikuwa na njaa kwa miaka mitatu katika siku za utawala wa Daudi, na Daudi akautafuta uso wa Yahwe. “Hivyo Yahwe akasema, “njaa hii ni kwa sababu ya mauaji ya Sauli na familia yake, kwa kuwa aliwauwa Wagibeoni.”
2 Kongen lod derfor Gibeoniterne kalde og sagde til dem - Gibeoniterne hørte ikke til Israeliterne, men til Levningerne af Amoriterne; og skønt Israeliterne havde givet dem endeligt Tilsagn, havde Saul i sin Iver for Israeliterne og Juda søgt at udrydde dem -
Basi Wagibeoni hawakuwa uzao wa Israeli; walikuwa ni masalia ya Waamori. Watu wa Israeli walikuwa wameapa kutowauwa, lakini Sauli alitaka kuwaangamiza wote kwa husuda kwa ajili ya watu wa Israeli na Yuda.
3 David sagde til Gibeoniterne: "Hvad kan jeg gøre for eder, og hvorledes skal jeg skaffe Soning, så at I kan velsigne HERRENs Arvelod?"
Ndipo Daudi alipowaita pamoja Wagibeoni na kuwaambia, “Niwafanyie nini kwa ajili ya upatanisho? Ili kwamba mweze kuwabariki watu wa Yahwe wanaorithi wema na ahadi zake?”
4 Gibeoniterne svarede: "Det er ikke Sølv eller Guld, der er os og Saul og hans Hus imellem, og vi har ikke Lov at dræbe nogen Mand i Israel!" Han sagde da: "Hvad I forlanger, vil jeg gøre for eder!"
Wagibeoni wakamjibu, “Hili siyo jambo la fedha wala dhahabu kati yatu na Sauli au familia yake. Na siyo hitaji letu kumwua mtu yeyote katika Israeli.” Daudi akasema, “Chochote mtakacho omba nitawafanyia.”
5 Så sagde de til Kongen: "Den Mand, som bragte Ødelæggelse over os og tænkte på at udrydde os, så vi ikke skulde kunne være nogetsteds inden for Israels Landemærke.
Wakamjibu mfalme, “Mtu aliyetaka kutuuwa aliyepanga kunyume chetu, ili kutuangamiza na kukosa eneo katika mipaka ya Israeli -
6 lad syv Mænd af hans Efterkommere blive udleveret os, for at vi kan hænge dem op for HERREN i Gibeon på HERRENs Bjerg!" Kongen sagde: "Jeg vil udlevere dem!"
haya na tupewe watu saba kutoka katika uzao wake, nasi tutawatundika mbele ya Yahwe katika Gibea ya Sauli, palipochaguliwa na Yahwe.” Mfalme akasema, “Nitawapeni”
7 Men Kongen skånede Mefibosjet, en Søn af Sauls Søn Jonatan, af Hensyn til den Ed ved HERREN, som var imellem David og Sauls Søn Jonatan.
Lakini mfalme akamwifadhi Mefiboshethi mwana wa Yonathani mwana wa Sauli, kwa ajili ya kiapo cha Yahwe kati ya Daudi na Yonathani mwana wa Sauli.
8 Derimod tog Kongen de to Sønnner, som Rizpa, Ajjas Datter, havde født Saul, Armoni og Mefibosjet, og de fem Sønner, som Merab, Sauls Datter, havde født Adriel, en Søn af Barzillaj fra Mehola,
Mfalme akawachukua wana wawili wa Rispa binti Ayia aliomzalia Sauli, hawa wana wawili waliitwa Armoni na Mefiboshethi; na pia Daudi akawachukua wana watano wa Mikali binti Sauli, aliomzalia Adrieli mwana wa Berzilai Mmeholathi.
9 og udleverede dem til Gibeoniterne, som hængte dem op på Bjerget for HERRENs Åsyn. Således omkom alle syv på een Gang, og de blev dræbt først på Høsten, i Byghøstens Begyndelse.
Akawaweka katika mikono ya Wagibeoni. Nao wakawatundika juu ya mlima mbele za Bwana, na wote saba wakafa pamoja. Waliuawa katika kipindi cha mavuno, katika siku ya kwanza mwanzoni mwa mavuno ya shayiri.
10 Men Rizpa, Ajjas Datter, tog sit Sørgeklæde, bredte det ud på Klippen og sad der fra Høstens Begyndelse, indtil der atter strømmede Vand fra Himmelen ned over dem; og hun tillod ikke Himmelens Fugle at kaste sig over dem om Da- gen eller Markens Dyr om Natten.
Kisha Rispa, binti Aiya, akachukua nguo ya gunia na akajitanda mwenyewe juu ya mlima kando ya miili ya waliokufa tangu mwanzo wa mavuno mpaka wakati mvua ilipoanza kunyesha. Hakuruhusu ndege wa angani kutua juu ya miili mchana wala ayawani wa mwituni wakati wa usiku.
11 Da David fik at vide, hvad Rizpa, Ajjas Datter, Sauls Medhustru, havde gjort,
Daudi akaambia alichokifanya Rispa, binti Aiya, suria wa Sauli.
12 drog han hen og hentede Sauls og hans Søn Jonatans Ben hos Borgerne i Jabesj i Gilead, som havde stjålet dem på Torvet i Bet-Sjan, hvor Filisterne havde hængt dem op, dengang de slog Saul på Gilboa.
Hivyo Daudi akaenda na kuchukua mifupa ya Sauli na mifupa ya Yonathani mwanawe kutoka kwa watu wa Yabeshi Gileadi, waliokuwa wameiiba kutoka katika eneo la jumuiya la Beth Shani, Wafilisti walipokuwa wamewatundika baada ya Wafilisti kumwua Sauli katika Gilboa.
13 Og da han havde hentet Sauls og hans Søn Jonatans Ben der, samlede man Benene af de hængte
Daudi akaiondoa pale mifupa ya Sauli na mifupa ya Yonathani mwanawe, na wakakusanya pia mifupa ya wale watu saba waliotundikwa.
14 og jordede dem sammen med Sauls og hans Søn Jonatans Ben i Zela i Benjamins Land i hans Fader Kisj's Grav. Alt, hvad Kongen havde påbudt, blev gjort; derefter forbarmede Gud sig over Landet.
Wakaizika mifupa ya Sauli na Yonathani mwanawe huko Zela katika nchi ya Benjamini, katika kaburi la Kishi babaye. Wakafanya kila alichoagiza mfalme. Ndipo Mungu akajibu maombi yao kwa ajili ya nchi.
15 Da det atter kom til Kamp mellem Filisterne og Israel, drog David med sine Folk ned og kastede sig ind i Gob og kæmpede med Filisterne.
Kisha Wafilisti wakaenda tena katika vita na Israeli. Hivyo Daudi na jeshi lake wakashuka na kupigana na Wafilisti. Akiwa vitani Daudi akachoshwa na vita.
16 Da fremstod Dod, som var af Rafaslægten, og hvis Spyd vejede 300 Sekel Kobber; han var iført en ny Rustning, og han havde i Sinde at slå David ihjel.
Ishbibenobu, wa uzao wa majitu, ambaye mkuki wake wa shaba ulikuwa na uzito wa shekeli mia tatu na alikuwa na upanga mpya, alitaka kumwua Daudi.
17 Men Abisjaj, Zerujas Søn, kom ham til Hjælp og huggede Filisteren ned. Da besvor Davids Mænd ham og sagde: "Du må ikke mere drage i Kamp med os, for at du ikke skal slukke Israels Lampe!"
Lakini Abishai mwana wa Seruya akamwokoa Daudi, akampiga Mfilisti na kumwua. Ndipo watu wa Daudi wakamwapia, kusema, “Hautakwenda vitani pamoja nasi tena usije ukaizima taa ya Israeli.”
18 Siden hen kom det atter til Kamp med Filisterne i Gob. Husjatiten Sibbekaj nedhuggede da Saf, som var af Rafaslægten.
Ikawa baadaye kuwa na vita tena kati ya Wafilisti huko Gobu, wakati Sibekai Mhushathi alipomwua Safu, aliyekuwa miongoni mwa uzao wa Warefai.
19 Atter kom det til Kamp med Filisterne i Gob, Beflehemiten Elhanan, Ja'irs Søn, nedhuggede da Gatiten Goliat, hvis Spydstage var som en Væverbom.
Ikawa tena katika vita na Wafilisti huko Gobu, huyo Elhanani mwana wa Jari Mbethlehemu akamwua Goliathi Mgiti, ambaye fumo la mkuki wake lilikuwa kama mti wa mfumaji.
20 Atter kom det til Kamp i Gat. Da var der en kæmpestor Mand med seks Fingre på hver Hånd og seks Tæer på hver Fod, i alt fire og tyve; han var også af Rafaslægten.
Ikawa katika vita nyingine huko Gathi kulikuwa na mtu mrefu sana mwenye vidole sita katika kila mkono na vidole sita katika kila mguu, jumla yake ishirini na vinne. Yeye naye alikuwa wa uzao wa Warefai.
21 Han hånede Israel, og derfor huggede Jonatan, en Søn af Davids Broder Sjim'a, ham ned.
Alipowatukana Israeli, Yonathani mwana mwana wa Shama, nduguye Daudi, akamwua.
22 Disse fire var af Rafaslægten i Gat; de faldt for Davids og hans Mænds Hånd.
Hawa walikuwa wa uzao wa Warefai wa Gathi, waliuawa kwa mkono wa Daudi na kwa mkono wa askari wake

< 2 Samuel 21 >