< Første Krønikebog 8 >

1 Benjamin avlede Bela, den førstfødte, Asjbel den anden, Ahiram den tredje,
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 Noha den fjerde og Rafa den femte.
Noha, na Rafa.
3 Bela havde Sønner: Ard, Gera, Ehuds Fader,
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 Abisjua, Na'aman, Ahoa,
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 Gera, Sjefufan og Hufam.
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 Ehuds Sønner var følgende de var Overhoveder for Fædrenehusene blandt Gebas Indbyggere, men førtes bort til Manahat,
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 da Na'aman, Ahija og Gerå førte dem bort -: Han avlede Uzza og Ahihud.
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 Sjaharajim avlede på Moabs Slette - efter at han havde sendt sine Hustruer Husjim og Ba'ara bort
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 han avlede med sin Hustru Hodesj: Jobab, Zibja, Mesja, Malkam,
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 Je'uz, Sakeja og Mirma; det var hans Sønner, Overhoveder for Fædrenehuse;
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 og med Husjim avlede han Abitub og Elpa'al.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 Elpa'als Sønner: Eber, Misj'am og Sjemer, som byggede Ono og Lod med Småbyer.
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 Beri'a og Sjema var Overhoveder for Fædrenehusene blandt Indbyggerne i Ajjalon; det var dem, der slog Indbyggerne i Gat på Flugt.
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 Deres Brødre var Elpa'al Sjasjak og Jeremot.
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 Og Zebadja, Arad, Eder,
Zebadia, Aradi, Eda,
16 Mikael, Jisjpa og Joha var Beri'as Sønner.
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 Zebadja, Mesjullam' Hizki, Heber,
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 Jisjmeraj, Jizli'a og Jobab var Elpa'als Sønner.
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 Jakim, Zikri, Zabdi,
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 Eljoenaj, Zilletaj, Eliel,
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 Adaja, Beraja og Sjimrat var Sjim'is Sønner.
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 Jisjpan, Eber, Eliel,
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23 Abdon, Zikri, Hanan,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 Hananja, Elam, Antotija,
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 Jifdeja og Penuel var Sjasjaks Sønner.
Ifdeia, na Penueli.
26 Sjamsjeraj, Sjeharja, Atalja,
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 Ja'aresjja, Elija og Zikri var Jerohatns Sønner.
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 Disse var Overhoveder for Fædrenehuse, Overhoveder efter deres Slægter; de boede i Jerusalem.
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 I Gibeon boede Je'uel, Gibeons Fader, hvis Hustru hed Ma'aka;
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 hans førstefødte Søn var Abdon, dernæst Zur, Kisj, Ba'al, Ner, Nadab,
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 Gedor, Ajo, Zeker og Miklot.
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 Miklot avlede Sjim'a. Også disse boede over for deres Brødre sammen med deres Brødre i Jerusalem.
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 Ner avlede Kisj. Kisj avlede Saul. Saul avlede Jonatan, Malkisjua, Abinadab og Esjba'al.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 Jonatans Søn var Meribba'al. Meribba'al avlede Mika.
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 Mikas Sønner: Piton, Melek, Ta'rea og Ahaz.
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 Ahaz avlede Jehoadda. Jehoadda avlede Alemet, Azmavet og Zimri. Zimri avlede Moza.
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 Moza avlede Bin'a, hans Søn var Rafa hans Søn El'asa, hans Søn Azel.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 Azel havde seks Sønner, hvis Navne var Azrikam, Bokeru, Jisjmael, Sjearja, Obadja og Hanan; alle disse var Azels Sønner.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 Hans Broder Esjeks Sønner: Ulam, den førstefødte, Je'usj den anden og Elifelet den tredje.
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 Ulams Sønner var dygtige Krigere, der spændte Bue og havde mange Sønner og Sønnesønner. Alle disse var Benjamins Sønner.
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< Første Krønikebog 8 >