< 1 Samuel 2 >

1 Da bad Hanna og sagde: Mit Hjerte har frydet sig i Herren, mit Horn er ophøjet i Herren; min Mund er vidt opladt over mine Fjender, thi jeg har glædet mig i din Frelse.
Hana aliomba akasema, “moyo wangu wamtukuza BWANA. Pembe yangu imejulikana katika BWANA. Kinywa changu kinatamba dhidi ya maadui zangu, kwa kuwa naufurahia wokovu wako.
2 Der er ingen hellig som Herren; thi der er ingen foruden dig og ingen Klippe som vor Gud.
Hakuna aliye mtakatifu kama BWANA, kwa kuwa hakuna mwingine zaidi yako; hakuna mwamba kama Mungu wetu.
3 Taler ikke saa mange Ord, saa saare høje Ting, lader ikke noget frækt udgaa af eders Mund; thi Herren er Vidskabs Gud, skulde hans Gerninger ikke være rette?
Msijivune sana hivyo kwa kiburi; vinywa vyenu visitoke majivuno. Kwa kuwa BWANA ni Mungu wa maarifa; yeye huyapima matendo kwa mizani.
4 De stærkes Bue er brudt, og de skrøbelige ere omgjordede med Styrke.
Pinde za mashujaa zimevunjika, bali wale wanaojikwaa hujivika nguvu kama mshipi.
5 De mætte lade sig leje for Brød, de hungrige hungre ej mere; ja, den ufrugtbare føder syv, men hun med de mange Sønner visner hen.
Wale walio na shibe ya kutosha wamejikodisha ili wapate chakula; wale waliokuwa na njaa hawana njaa tena. Hata yule aliye kuwa tasa amezaa watoto saba, bali mwanamke mwenye watoto wengi amenyong'onyea.
6 Herren er den, som døder og gør levende, som nedfører til Dødsriget og fører op igen. (Sheol h7585)
BWANA huua na huuisha. Hushusha kuzimu na huleta tena juu. (Sheol h7585)
7 Herren er den, som gør fattig og gør rig, han er den, som nedtrykker, og den, som ophøjer;
BWANA humfanya maskini, na yeye ndiye humtajirisha mtu. Yeye hudhili, lakini pia hukweza
8 han oprejser den ringe af Støvet, han ophøjer den fattige af Skarnet, for at sætte dem hos Fyrsterne og lade dem arve Ærens Trone; thi Jordens Grundvold hører Herren til, og han har sat Jorderige derpaa.
Yeye humwinua juu maskini toka mavumbini: Huwainua wahitaji toka jalalani na kuwaketisha pamoja na wakuu na kuwarithisha kiti cha enzi cha utukufu. Kwa kuwa nguzo za dunia ni za BWANA na ameukalisha ulimwengu juu yake.
9 Han skal bevare sine frommes Fødder, men ugudelige skulle vorde stumme i Mørket; thi en Mand bliver ikke vældig ved sin Kraft.
Yeye atazilinda nyayo za watu wake waaminifu, bali waovu watanyamazishwa gizani, kwa maana hakuna atayeshinda kwa nguvu zake.
10 De, som trætte med Herren, skulle forskrækkes, han skal lade tordne i Himmelen over dem; Herren skal dømme Jorderiges Ender, og han skal give sin Konge Styrke og ophøje sin salvedes Horn.
Wale wampingao BWANA watavunjwa vipande vipande; atawapiga radi kutokea mbinguni. BWANA atahukumu miisho ya dunia; atampa nguvu mfalme wake na kuinua pembe ya mtiwa mafuta wake.”
11 Derefter gik Elkana til Rama, til sit Hus; men Drengen tjente Herren for Præsten Elis Ansigt.
Nndipo Elikana akenda Rama, nyumbani kwake. Na yule mtoto akamtumikia BWANA machoni pa Eli, kuhani.
12 Og Elis Sønner vare Belials Sønner; de kendte ikke Herren.
Basi, watoto wa Eli walikuwa wakorofi. Wao hawakumheshimu BWANA.
13 Thi det var Præsternes Vis med Folket: Naar nogen Mand ofrede et Offer, da kom Præstens Dreng, naar Kødet kogte, og havde en Madkrog med tre Grene i sin Haand.
Desturi ya makuhani na watu ilikuwa kwamba endapo mtu yeyote ametoa dhabihu, mtumishi wa kuhani angekuja akiwa na uma wa meno matatu mkononi mwake, nyama ilipokuwa inatokoswa.
14 Og han stak i Kedlen eller i Gryden eller i Panden eller i Potten; alt hvad Madkrogen drog op, det tog Præsten dermed; saaledes gjorde de mod al Israel, som kom derhen til Silo.
Naye angeutia uma huo sufuriani, au birikani au chomboni au chunguni; nyama yote ambayo ingeinuliwa na uma huo ingetwaliwa na kuhani mwenyewe. Ndivyo walivyofanya huko Shilo kwa Waisraeli wote waliokwenda huko.
15 Ogsaa førend de gjorde Røgoffer af Fedtet, da kom Præstens Dreng og sagde til den Mand, som ofrede: Giv mig Kød til at stege til Præsten; thi han vil ikke tage kogt Kød af dig, men raat.
Tena, kabla ya kuteketeza mafuta, mtumishi wa kuhani alikuja, na kumwambia aliyekuwa akitoa dhabihu, “Tenga nyama ya kuchoma kwa ajili ya kuhani; kwa sababu hataikubali ile ya kutokosa kutoka kwako, bali tu ile mbichi.”
16 Naar Manden sagde til ham: Man skal gøre Røgoffer af Fedtet i Dag; tag dig siden, saaledes som dit Hjerte begærer; da sagde han til ham: Nu skal du dog give det, og hvis ikke, vil jeg tage det med Magt.
Ikiwa mtu atamwambia, “Wachome mafuta kwanza, na kisha uchukue kiasi utakacho.” Ndipo angesema, “Hapana, utanipatia sasa hivi; la sivyo; Nitaichukua kwa lazima.”
17 Og de unge Mænds Synd var saare stor for Herrens Ansigt; thi Mændene foragtede Herrens Madoffer.
Dhambi ya vijana hawa ilikuwa mbaya sana mbele za BWANA, kwa sababu waliidharau dhabihu ya BWANA.
18 Og Samuel tjente for Herrens Ansigt og var en Dreng, iført en linnet Livkjortel.
Lakini Samweli alimtumikia BWANA akiwa mdogo akivaa nguo ya naivera ya kitani.
19 Og hans Moder gjorde ham en liden Overkjortel og bragte ham den op fra Aar til Aar, naar hun gik op med sin Mand til at ofre det aarlige Offer.
Kila mwaka mama yake alimtengenezea kanzu dogo na kumletea, wakati wakija na mmewe kutoa dhabihu ya kila mwaka.
20 Og Eli velsignede Elkana og hans Hustru og sagde: Herren give dig Sæd af denne Kvinde, i Stedet for ham, som begæredes for Herren, og de gik til deres Sted.
Eli aliwabariki Elikana na mke wake na kusema, “BWANA akupatie watoto zaidi kwa mwanamke huyu kwa sababu ya ahadi yake aliyoitoa kwa BWANA.” Baadaye walirudi nyumbani kwao.
21 Men Herren besøgte Hanna, at hun undfangede og fødte tre Sønner og to Døtre; og Drengen Samuel blev stor hos Herren.
BWANA alimsaidia tena Hana, akawa amebeba mimba nyingine. Akazaa watoto watatu wa kiume na wa kike wawili. Wakati huo huo mtoto Samweli akakua akiwa mbele za BWANA.
22 Og Eli var saare gammel, og han hørte alt det, hans Sønner gjorde mod al Israel, og at de laa hos de Kvinder, som kom i Hobetal for Forsamlingens Pauluns Dør.
Basi Eli alikuwa mzee sana, akayasikia yote ambayo watoto wake walikuwa wakiwafanyia Waisraeli wote, na jinsi walivyotembea na mwanamke aliyekuwa akitumika katika lango la hema ya kukutania.
23 Og han sagde til dem: Hvorfor gøre I disse Ting? thi jeg hører disse eders onde Handeler af alt dette Folk.
Akawaambia, “Kwa nini mnafanya mambo hayo? Kwa maana nasikia matendo yenu maovu kutoka kwa watu hawa wote.”
24 Ikke saa, mine Sønner; thi det er ikke et godt Rygte, som jeg hører; I komme Herrens Folk til at begaa Overtrædelse.
Sivyo hivyo, watoto wangu, maana hii ninayoisikia siyo taarifa njema. Mnawakosesha watu wa BWANA.
25 Dersom en Mand synder mod en Mand, da skal Gud dømme ham; men dersom nogen synder mod Herren, hvo skal da bede for ham? Men de hørte ikke deres Faders Røst; thi Herren havde Villie til at slaa dem ihjel.
“Kama mtu mmoja akimkosea mwenzake, Mungu atamhukumu; Lakini mtu akimkosea BWANA, ni nani atakayemtetea mtu huyo?” Lakini hawakuitii sauti ya baba yao, sababu BWANA alinuia kuwaua.
26 Men Drengen Samuel tiltog i Alder og i Velbehagelighed, baade for Herren saa og for Menneskene.
Yule mtoto Samweli aliongezeka umri, na kupata kibali kwa BWANA na kwa watu pia.
27 Og en Guds Mand kom til Eli, og han sagde til ham: Saaledes siger Herren: Har jeg ikke aabenbaret mig for din Faders Hus, der de vare i Ægypten i Faraos Hus?
Kisha mtu wa Mungu akamwendea Eli na kumwambia, “BWANA asema, 'Je, sikujifunua mwenyewe kwa nyumba ya baba zako, walipokuwa Misri utumwani nyumbani mwa Farao?
28 Og jeg har udvalgt ham af alle Israels Stammer mig til en Præst, til at ofre paa mit Alter, til at røge med Røgelse, til at bære Livkjortlen for mit Ansigt, og jeg har givet din Faders Hus alle Israels Børns Ildofre.
Mimi nilimchagua yeye kutoka makabila yote ya Israeli awe kuhani wangu, apande madhabahuni kwangu, na kufukiza uvumba, na kuvaa kanzu ya naivera mbele yangu. Niliwapa nyumba ya baba zako dhabihu zote za wana wa Israeli zilizotolewa kwa moto.
29 Hvorfor vanære I mit Slagtoffer og mit Madoner, som jeg bød at ofre i Boligen? og du ærer dine Sønner mere end mig, idet I fede eder med det bedste af alt mit Folks Israels Madofre!
Kwanini basi, unaidharau dhabihu yangu na sadaka ambazo ninazitaka mahali ninapoishi? Kwanini unawaheshimu watoto wako kuliko mimi, kwa kujinenepesha ninyi wenyewe kwa uzuri wa kila sadaka ya watu wangu Israeli?'
30 Derfor siger Herren, Israels Gud: Vistnok har jeg sagt: Dit Hus og din Faders Hus skulle vandre for mit Ansigt til evig Tid; men nu siger Herren: Det være langt fra mig; thi dem, som ære mig, vil jeg ære, og de, som foragte mig, skulle ringeagtes.
Maana, BWANA, Mungu wa Isareli, asema, niliahidi kwamba nyumba yako, na nyumba ya baba yako, yawapasa kwenda mbele zangu milele,' Lakini sasa BWANA asema. 'Mambo haya yapishe mbali. nami nisifanye hivi, maana nitawaheshimu wanaoniheshimu, bali wanaonidharau mimi hawatakuwa na thamani.
31 Se, de Dage komme, at jeg vil afhugge din Arm og din Faders Huses Arm, at der ikke skal være en gammel i dit Hus.
Tazama, siku zinakuja nitakapoondoa nguvu zako na nguvu za nyumba za baba yako, ili kwamba pasije kuwepo mtu mzee katika nyumba yako.
32 Og du skal se Trængsel for Boligen i alt, hvori det skulde gaaet Israel vel; og der skal ingen gammel være i dit Hus nogen Sinde.
Nawe utalitazama hangaiko katika makao yangu. Ingawa Israeli watapewa jambo jema, hapatakuwapo tena mtu yeyote mzee katika nyumba yako.
33 Og jeg vil ikke udrydde hver Mand af dig fra mit Alter til at fortære dine Øjne og at bedrøve din Sjæl; dog skal hele dit Huses Mangfoldighed dø som Mænd.
Yeyote miongoni mwenu nisiye mwondoa kutoka madhabahuni pangu, Nitasababisha macho yenu yaanguke, na ita nitasababisha huzuni maishani mwenu. Wanaume wote waliozaliwa katika familia yako watakufa.
34 Og dette skal være dig et Tegn, som skal komme over dine to Sønner, over Hofni og Pinehas: Paa een Dag skulle de begge dø.
Hii ndiyo itakuwa ishara kwako ambayo itawaijia watoto wako wakiume wawili, juu ya Hofni na Finehasi: Wote wawili watakufa siku moja.
35 Og jeg vil oprejse mig en trofast Præst, han skal gøre, ligesom det er i mit Hjerte og i min Sjæl; og jeg vil bygge ham et bestandigt Hus, og han skal vandre for min salvedes Ansigt alle Dage.
Nami nitamwinua juu kuhani wangu mwaminifu atakaye fanya kile kilichomo moyoni mwangu na nafisini mwangu. Nami nitamjengea nyumba madhubuti; naye atakwenda mbele ya mfalme wangu mbarikiwa milele.
36 Og det skal ske, hver den, som bliver tilovers i dit Hus, skal komme at nedbøje sig for ham for en Sølvpenning og for et Stykke Brød; og han skal sige: Kære, lad mig komme til een af Præstetjenesterne at æde en Mundfuld Brød.
Kila mmoja aliyebakia nyumbani mwako atakuja na kusujudu mbele ya mtu huyo, akiomba kipande cha fedha na mkate mmoja, naye atasema, “Tafadhali uniajiri katika moja ya nafasi za kuhani ili niweze kula kipande cha mkate'”'

< 1 Samuel 2 >