< Koloským 2 >

1 Chciť zajisté, abyste věděli, jakou nesnáz mám o vás, a o ty, kteříž jsou v Laodicii, a kteřížkoli neviděli tváři mé podlé těla,
Napenda mjue jinsi ninavyofanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu, kwa ajili ya watu wa Laodikea na kwa ajili ya wote ambao hawajapata kuniona kwa macho.
2 Aby potěšena byla srdce jejich, spojená v lásce, a to ke všemu bohatství přejistého smyslu, ku poznání tajemství Boha i Otce i Krista,
Nafanya hivi kusudi mioyo yao ifarijiwe na kuvutwa pamoja katika upendo, ili wajazwe uthabiti mwingi uletwao na elimu ya kweli. Hapo wataijua siri ya Mungu ambayo ni Kristo mwenyewe.
3 V němž jsou skryti všickni pokladové moudrosti a známosti.
Ndani yake zimefichika hazina zote za hekima na elimu.
4 A totoť pravím, aby vás žádný, falešně dovodě, neoklamal podobnou k pravdě řečí.
Basi, nawaambieni, msikubali kudanganywa na mtu yeyote kwa maneno ya uongo hata kama ni ya kuvutia sana.
5 Nebo ačkoli vzdálen jsem tělem, však duchem s vámi jsem, raduje se, a vida řád váš, a utvrzení té víry vaší v Krista.
Maana, ingawa mimi niko mbali nanyi kwa mwili, lakini niko pamoja nanyi kwa roho, na ninafurahi kuona uthabiti kamili mnaosimama nao pamoja katika imani yenu kwa Kristo.
6 Protož jakž jste přijali Krista Ježíše Pána, tak v něm choďte,
Maadamu ninyi mmemkubali Kristo Yesu kuwa Bwana, basi, ishini katika muungano naye.
7 Vkořenění a vzdělaní na něm, a utvrzení u víře, jakž jste naučeni, rozhojňujíce se v ní s díků činěním.
Mnapaswa kuwa na mizizi ndani yake, kujijenga juu yake na kuwa imara katika imani yenu kama mlivyofundishwa. Muwe na shukrani tele.
8 Hleďtež, aťby vás někdo neobloupil moudrostí světa, a marným zklamáním, uče podlé ustanovení lidských, podlé živlů světa, a ne podlé Krista.
Angalieni basi, mtu asiwapotoshe kwa udanganyifu mtupu wa hekima ya kibinadamu, ambayo chanzo chake ni mafundisho ya mapokeo ya watu na ya pepo watawala, na wala si Kristo mwenyewe!
9 Nebo v něm přebývá všecka plnost Božství tělesně.
Maana, ndani yake Kristo katika ubinadamu wake, umo ukamilifu wote wa Mungu,
10 A v něm jste doplněni, kterýž jest hlava všeho knížatstva i mocnosti,
nanyi mmepewa uzima kamili katika kuungana naye. Yeye yuko juu ya pepo watawala wote na wakuu wote.
11 V němž i obřezáni jste obřezáním ne rukou učiněným, svlékše tělo hříchů skrze obřezání Kristovo,
Katika kuungana na Kristo ninyi mlitahiriwa, lakini si kwa tohara ifanywayo na watu, bali inayofanywa na Kristo mwenyewe, na ambayo inahusikana na kukombolewa kutoka katika utu wa dhambi.
12 Pohřbeni jsouce s ním skrze křest, skrze nějž i spolu s ním z mrtvých vstali jste skrze víru, kteráž jest mocné dílo Boží, kterýž vzkřísil jej z mrtvých.
Maana, mlipobatizwa mlizikwa pamoja na Kristo, na katika ubatizo, mlifufuliwa pia pamoja naye kwa imani yenu katika nguvu ya Mungu ambaye alimfufua Kristo kutoka wafu.
13 Ano i vás, mrtvé v hříších a v neobřízce těla vašeho, spolu s ním obživil, odpustiv vám všecky hříchy,
Wakati mmoja nanyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kwa sababu ninyi mlikuwa watu wa mataifa mengine. Lakini Mungu amewapa ninyi uzima pamoja na Kristo. Mungu ametusamehe dhambi zetu zote;
14 A smazav proti nám ten zápis záležející v ustanoveních, kterýž byl odporný nám. I vyzdvihl jej z prostředku, přibiv jej k kříži;
alifutilia mbali ile hati ya deni iliyokuwa inatukabili na masharti yake, na kuifuta kabisa kwa kuipigilia msalabani.
15 A obloupiv knížatstva i moci, vedl je na odivu zjevně, triumf slaviv nad nimi skrze něj.
Juu ya msalaba Kristo aliwapokonya nguvu zao hao pepo watawala na wakuu; aliwafanya kuwa kitu cha fedheha hadharani kwa kuwaburuta kama mateka katika msafara wa ushindi wake.
16 Protož žádný vás nesuď pro pokrm, aneb pro nápoj, aneb z strany svátku, neb novuměsíce, aneb sobot.
Kwa hiyo, basi, msikubali kupewa masharti na mtu yeyote kuhusu vyakula au vinywaji, siku za sherehe, sikukuu ya Mwezi mpya au Sabato.
17 Kteréžto jsou stín věcí budoucích, ale pravda tělo jest Kristovo.
Mambo ya aina hiyo ni kivuli tu cha yale yatakayokuja; ukweli wenyewe ndiye Kristo.
18 Nižádný vás nepředchvacuj svémyslně pokorou a náboženstvím andělským, v to, čehož neviděl, se vydávaje, a marně se nadýmaje smyslem těla svého,
Msikubali kuhukumiwa na mtu yeyote anayejitakia kuwa wa maana kwa sababu ya maono ya pekee na ambaye anasisitiza juu ya unyenyekevu wa uongo na ibada kwa malaika. Mtu wa namna hiyo amepumbazika kwa fikira danganifu za kidunia
19 A nedrže se hlavy, od níž všecko tělo po kloubích a svazích vzdělané a spojené roste Božím zrůstem.
na amejitenga na Kristo aliye kichwa cha huo mwili. Chini ya uongozi wa Kristo, mwili wote unalishwa na kuunganishwa pamoja kwa viungo na mishipa yake, nao hukua kama atakavyo Mungu.
20 Jestliže tedy zemřeli jste s Kristem živlům světa, proč, jako byste živi byli světu, těmi ceremoniemi dáte se obtěžovati,
Ninyi mmekufa pamoja na Kristo na kukombolewa kutoka nguvu za pepo watawala wa ulimwengu. Kwa nini, basi, kuishi tena kama vile mngekuwa wa ulimwengu huu? Ya nini kuwekewa masharti:
21 ( Když se říká: Nedotýkej se, ani okoušej, aniž se s tím obírej?
“Msishike hiki,” “Msionje kile,” “Msiguse kile!”
22 Kteréžto všecky věci samým užíváním jich kazí se, ) podlé přikázaní a učení lidských.
Mambo hayo yote yanahusika na vitu vyenye kuharibika mara tu vinapotumiwa; hayo ni maagizo na mafundisho ya kibinadamu tu.
23 Kteréžto věci mají sic tvárnost moudrosti, v způsobu té nábožnosti, a v pokoře pošmourné, i v neodpuštění tělu, a však nejsou v žádné platnosti, toliko k nasycení těla.
Kweli, masharti hayo yaonekana kuwa ya hekima katika namna ya ibada ya kujitakia wenyewe, unyenyekevu wa uongo na kuutendea mwili kwa ukali; lakini kwa kweli, haifai chochote kuzuia tamaa za mwili.

< Koloským 2 >