< Psalmi 5 >

1 Zborovođi. Uz frule. Psalam. Davidov. Čuj, o Jahve, riječi moje, jecaje moje razaberi!
Sikiliza nikuitapo, Yahweh; tazama kuugua kwangu.
2 Osvrni se na glas mog prizivanja, o Kralju moj i Bože moj, jer tebe vruće zazivam!
Sikiliza sauti yangu nikuitapo, Ee Mfalme wangu na Mungu wangu, kwa kuwa ni kwako Bwana naomba.
3 Jahve, zorom glas mi već čuješ, zorom ti već lijem molitve u nadi čekajuć'.
Yahweh; sikia kilio changu asubuhi; na asubuhi nitaleta dua yangu kwako na kungoja kwa matarajio.
4 Jer ti nisi Bog kom je nepravda mila: zlobniku nema boravka s tobom,
Hakika wewe ni Mungu usiye kubaliana na uovu; watu waovu hawawezi kuwa wageni wako.
5 opaki ne mogu opstati pred tvojim pogledom. Mrziš sve što čine bezakonje
Wenye kiburi hawata simama katika uwepo wako; wewe unawachukia wote wanaofanya maovu.
6 i uništavaš lažljivce. Varalica i krvopija Jahvi se gadi.
Nawe utawaharibu waongo; Yahweh huwadharau vurugu na watu wadanganyifu.
7 Po velikoj dobroti tvojoj unići ću u Dom tvoj; past ću ničice pred svetim Domom tvojim, Jahve, prepun poštovanja.
Lakini kwangu mimi, kwa sababu ya ukuu na uaminifu wa agano lako, nitakuja nyumbani mwako; na kwa heshima nitakuinamia mbele ya hekalu lako takatifu.
8 U svojoj me pravdi vodi poradi mojih dušmana, svoj put mi poravnaj pred očima.
Oh Bwana, uniongoze katika haki yako kwa sababu ya adui zangu; usawazishe njia yako mbele yangu.
9 U njihovim ustima iskrenosti nema, srce im je puno zloće; grlo im je grob otvoren, a jezikom laskaju.
Kwa kuwa midomoni mwao hamna ukweli; utu wao wa ndani ni mwovu; makoo yao ni kaburi lililo wazi; husifu kinafiki kwa ulimi wao.
10 Kazni ih, o Bože! Nek' propadnu oni i osnove njine, otjeraj ih zbog mnogih nedjela njihovih; tÓa oni se digoše na tebe.
Mungu, wafanye kuwa na hatia; mipango yao iwe kuanguka kwao! Kwa ajili ya makosa yao mengi uwatoe nje, kwa kuwa wamekuasi wewe.
11 Nek' se raduju svi što se utječu tebi, neka kliču sve dovijeka! Štiti ih i nek se vesele u tebi koji ljube ime tvoje,
Bali wale wanao kukimbilia wafurahi; uwafanye wapige kelele kwa shangwe siku zote kwa sababu unawapigania; uwafanye wenye furaha ndani yako, wale walipendao jina lako.
12 jer pravednika, Jahve, ti blagoslivljaš, dobrotom ga svojom k'o štitom zaklanjaš.
Kwa maana utawabariki wenye haki, Yahweh; utawazunguka kwa neema kama ngao.

< Psalmi 5 >