< Mihej 1 >

1 Riječ Jahvina, upućena Miheju Morešećaninu u vrijeme Jotama, Ahaza i Ezekije, kraljeva judejskih. Njegova viđenja o Samariji i o Jeruzalemu.
Hili ni neno la Yahwe ambalo lilikuja kwa Mika Mmorashti katika siku za Yotahamu, Ahazi, na Hezekeia, mfalme wa Yuda, lile neno aliloliona kuhusiana na Samaria na Yerusalemu.
2 Čujte, narodi, vi svi! Slušaj, zemljo, i sve što te ispunja! Gospod Jahve protiv vas će svjedočiti - Gospod iz svetoga Hrama svojega!
Sikilizeni, ninyi watu wote. Sikilizeni, dunia, na vyote vilivyomo kwenye dunia. Acheni Yahwe ashuhudiwe dhidi yenu, Bwana kutoka kwenye hekalu lake takatifu.
3 Jer evo: Jahve izlazi iz svetoga mjesta svojega, silazi i hodi po visovima zemaljskim.
Tazama, Yahwe anakuja kutoka mahali pake; atashuka chini na kupakanyaga mahali pa juu katika dunia.
4 Gore se rastapaju pod njegovim koracima i doline rasijedaju kao vosak pred ognjem, kao voda što se razlijeva niz obronak.
Milima itayeyuka chini yake; mabonde yatapasuka vipande vipande kama mshumaa mbele ya moto, kama maji ambayo yamemwagika chini ya mteremko mkali.
5 Sve je to za zločinstvo Jakovljevo i za grijehe doma Izraelova. Koje je zločinstvo Jakovljevo? Nije li Samarija? Što su uzvišice Judine? Nije li Jeruzalem?
Haya yote ni kwasababu ya uasi wa Yakobo, na kwasababu ya dhambi za nyumba ya Israeli. Je sababu ilikuwa nini kwa uasi wa Yakobo? Je ilikuwa Samaria? Je sababu ilikuwa nini kwa mahali pa juu pa Yuda? Je haiukuwa Yerusalemu?
6 “Učinit ću od Samarije kamenu gomilu u polju, ledinu za vinograd. Zavaljat ću kamenje njezino u dolinu, otkrit ću joj temelje.
“Nitaifanya Samaria rundo la uharibifu katika shamba, kama eneo la kupandia mizabibu. Nitayavuta mawe ya jengo lake kwenda kwenye bonde; Nitaifunua misingi yake.
7 Razbit će se svi njeni kipovi, sva će joj se plaća bludnička ognjem spaliti, raskomadat ću sve njene idole, jer su od bludničke plaće nakupljeni, i opet će postati plaćom bludničkom.”
Sanamu zake zote za kuchonga zitapondwa vipande vipande; na zawadi zake zote zitachomwa moto. Kwa kuwa zawadi zake za ukahaba amezikusanya, na kama malipo ya ukahaba yatarudi.”
8 “Zato ću zakukati i zaridati, ići ću gol i bos, zavijat ću kao šakali, urlikat ću kao nojevi.
Kwa sababu hii nitalia na kuomboleza; nitaenda peku peku na uchi; Nitaomboleza kama mbeha na kuomboleza kama bundi.
9 Jer njenoj rani nema lijeka, sve do Jude dopire, dotiče Vrata moga naroda, sve do Jeruzalema!
Kwa kuwa jeraha lake haliponi, kwa kuwa imefika kwa Yuda. Imefikia lango la watu wangu, hadi Yerusalemu.
10 Ne objavljujte toga u Gatu, u Akonu nemojte plakati! U Bet Leafri valjajte se u prašini!
Msiache kuwambia kuhusu katika Gathi; msilie tena. Katika Bethi Leafra nabiringisha mwenyewe kwenye mavumbi.
11 Odlazi sramotno, stanovnice šafirska! Iz svoga grada nije izašla stanovnica saananska! Bet Haesel iščupan je iz temelja, iz svojih čvrstih osnova.
Piteni karibu na, makao ya Shafiri, katika uchi na aibu. Makazi ya Zaanani hayatatoka nje. Maombolezo ya Beth Ezeli, kwa ajili ya ulinzi yamechukuliwa.
12 Kako se može nadati sreći stanovnica marotska? Jer nesreća silazi od Jahve sve do vrata jeruzalemskih.
Kwa kuwa wakaaji wa Marothi hungoja habari njema, kwa sababu hofu, kwa sababu msiba umetoka kwa Yahwe hadi kwenye malango ya Yerusalemu.
13 Upregni brze konje u bojna kola, stanovnice lakiška! To je bio početak grijeha Kćeri sionske, jer su se u tebi našla zločinstva Izraelova.
Wfuungeni lijamu farasi wakokote gari la farasi, makazi ya Lakishi. Wewe Lakishi, ulikuwa mwanzo wa dhambi kwa binti Sayuni, kwa kuwa makosa ya Israeli yalionekana kwako.
14 Zato ćeš dati otpusnicu Morešet Gatu, domovi će akzipski razočarati kraljeve izraelske.
Hivyo utaipa zawadi ya kuagia Moreshethi Gathi; mji wa Akzibu utawavunja moyo wafalme wa Israeli.
15 Još ću ti dovesti osvajača, stanovnice mareška, stići će do Adulama slava Izraelova.
Tena nitaleta ushindi kwako, makazi ya Maresha; uzuri wa Israeli utakuja Adulamu.
16 Čupaj kosu i ostriži se za milom djecom svojom! Postani ćelava kao orao lešinar, jer su izgnana daleko od tebe.”
Kata kipara chako na kata nywele zako kwa ajili ya watoto ambao unaowafurahisha. Fanya kipara chako mwenyewe kama tai, kwa ajili ya watoto wako watakao kwenda utumwani kutoka kwako

< Mihej 1 >