< Levitski zakonik 23 >

1 Jahve reče Mojsiju:
Yahweh akamwambia Musa:
2 “Kaži Izraelcima i reci im: Blagdani Jahvini koje imate sazivati jesu sveti zborovi. Ovo su moji blagdani:
“Zungumza na watu wa Israeli, na uwaambie, 'Hizi ndizo sikukuu zilizoamriwa kwa ajili ya Yahweh, ambazo ni lazima mzitangaze kuwa makusanyiko matakatifu, ni sikukuu zangu za mara kwa mara.
3 Šest dana neka se posao obavlja, a sedmi je dan subota - dan potpunog odmora, dan svetoga zbora, kad ne smijete raditi nikakva posla. Gdje god boravili, subota je Jahvina.”
Mnaweza kufanya kazi kwa siku sita, lakini siku ya saba ni Sabato ya kupumzika kabisa. Usifanye kazi kwa sababu ni Sabato kwa ajili ya Yahweh mahali pote mnaposhi.
4 “A ovo su blagdani Jahvini - sveti zborovi - koje imate proglasiti u njihovo određeno vrijeme:
Hizi ndizo sikukuu za Yahweh zilizoamriwa, Makusanyiko matakatifu mtakayoyatangaza kwa nyakati zilioamriwa:
5 U prvom mjesecu četrnaestoga dana u suton jest Pasha u čast Jahvi;
Katika mwenzi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi kwenye mwanga hafifu wa machweo ya jua, ni Pasaka ya Yahweh.
6 petnaestoga dana toga mjeseca jest Blagdan beskvasnih kruhova u čast Jahvi - sedam dana jedite beskvasan kruh.
Siku ya kumi na tano ya mwezi ule ule ni sikukuu ya mikate isiotiwa hamira kwa ajili ya Yahweh. Kwa muda wa siku saba mtakula mikate isiotiwa hamira.
7 Prvoga dana neka vam bude sveti zbor; nikakva težačkog posla nemojte raditi.
Siku ya kwanza ni lazima mjitenge kwa pamoja, hamtafanya kazi ya kawaida.
8 Sedam dana prinosite paljenu žrtvu u čast Jahvi, a sedmoga dana neka opet bude sveti zbor; nikakva težačkog posla ne radite.”
Kwa siku saba mtamletea Yahweh matoleo ya chakula. Siku ya saba ni ya kusanyiko takatifu lililotengwa kwa ajili ya Yahweh, nanyi katika siku hiyo hamtafanya kazi yoyote ya kawaida.”
9 Jahve reče Mojsiju:
Yahweh akamwambia Musa, akisema,
10 “Kaži Izraelcima i reci im: 'Kad uđete u zemlju koju vam dajem i u njoj žetvu požanjete, prvi snop svoje žetve donesite svećeniku.
“Sema na watu wa Israeli uwaambie, 'mtakapika kwenye nchi nitakayowapa nyinyi, na mtakapovuna mazao yake, nanyi yawapasa kumletea kuhani fungu la masuke ya nafaka ya matunda yake ya kwanza.
11 Neka ga on prinese kao žrtvu prikaznicu pred Jahvom da budete primljeni. Sutradan po suboti neka ga svećenik prinese kao žrtvu prikaznicu.
Naye ataliinua hilo fungu la masuke ya nafaka mbele za Yahweh na kulileta kwake, kwa kuwa litakubalika kwa niaba yenu. Nalo litaletwa siku baada ya Sabato ili kwamba kuhani ataliinua na kulileta kwangu.
12 A u dan kad budete prinosili snop kao žrtvu prikaznicu, prinesite Jahvi jednogodišnjeg janjca bez mane kao žrtvu paljenicu.
Siku ile mtakapoliinua lile fungu la masuke ya nafaka na kulileta kwangu, itawabidi kutoa mwana—kondoo dume wa mwaka mmoja na asiye na dosari awe sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh.
13 Uz to žrtva prinosnica neka bude: dvije desetine efe najboljeg brašna zamiješena u ulju, kao paljena žrtva Jahvi na ugodan miris; a s njom ljevanica od vina neka bude četvrt hina.
Matoleo ya nafaka yatakuwa sehemu za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta, uwe matoleo yaliyofanywa kwa moto kwa Yahweh, ili kutoa harufu nzuri ya kupendeza, pamoja na hiyo kutakuwa na matoleo ya kinywaji ya divai, moja ya nne ya hini.
14 Prije toga dana - dok ne donesete prinose svoga Boga - ne smijete jesti ni kruha, ni pržena zrnja, ni svježa klasja. To je trajan zakon za vaše naraštaje gdje god vi boravili.'”
Hamtakula mkate, wala nafaka iliyokaangwa au nafaka mpya hata siku ile mliyoleta matoleo haya kwa Mungu wenu. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu, popote pale mnapoishi.
15 “A počevši od sutrašnjega dana po suboti - dana u koji donesete snop za žrtvu prikaznicu - nabrojte punih sedam tjedana.
Tangu siku iliyofuata baada ya Sabato—hiyo ilikuwa siku mlipolileta lie fungu la nafaka la matoleo ya kutikiswa—hesabuni majuma saba kamili.
16 Onda na dan po sedmoj suboti, na Pedesetnicu, prinesite Jahvi novu žrtvu.
Mtahesabu siku hamsini, ambazo zingekuwa siku baada ya Sabato ya saba. Kisha mtaleta matoleo ya nafaka mpya kwa Yahweh.
17 Donesite iz svojih stanova po dva kruha za žrtvu prikaznicu. Neka svaki bude od dvije desetine efe najboljeg brašna; neka budu ispečeni ukvas, kao prvine Jahvi.
Mtaleta kutoka nyumbani mwenu mikate miwili iliyotengenezwa kutokana na mbili za kumi za efa. Ni lazima ifanywe kwa unga laini na uliochanganywa na hamira; zitakuwa matoleo ya kutikiswa ya malimbuko ya kwanza kwa Yahweh.
18 S kruhom prinesite sedam jednogodišnjih janjaca bez mane, jednoga junca i dva ovna kao žrtvu paljenicu Jahvi zajedno sa žrtvom prinosnicom i ljevanicom, žrtvom paljenom na ugodan miris Jahvi.
Mtaileta hiyo mikate pamoja na wana—kondoo saba wa mwaka mmoja na wasiokuwa na dosari, fahali mmoja mchanga na dume wa kondoo wawili. Watakuwa matoleo ya kuteketezwa kwa moto kwa Yahweh, pamoja na matoleo yao ya nafaka na matoleo ya kinywaji, matoleo yaliyofanywa kwa moto na kutoa harufu nzuri ya kupendeza kwa Yahweh.
19 Prinesite i jednoga jarca kao žrtvu okajnicu, a dva janjca od godine dana za žrtvu pričesnicu.
Ni lazima mtowe mbuzi dume mmoja kwa ajili ya matoleo ya dhambi, na wana—kondoo dume wawili wa mwaka mmoja kwa ajili ya dhabihu, wawe matoleo ya ushirika.
20 Neka ih svećenik prinese pred Jahvom kao žrtvu prikaznicu povrh kruha od prvina. Uz oba janjca, i ovo je Jahvi sveto i neka pripadne svećeniku.
Ni lazima kuhani azitikise pamoja na mkate wa malimbuko ya kwanza mbele za Yahweh na kuzileta kwake kuwa matoleo pamoja na kondoo dume wawili. Watakuwa sadaka takatifu kwa Yahweh kwa ajili ya kuhani.
21 Toga istog dana sazovite zbor. Neka vam to bude posvećen zbor - nikakva težačkog posla ne radite. To je trajan zakon za vaše naraštaje gdje god vi boravili.
Mtatoa tangazo siku iyo hiyo. Kutakuwa na kusanyiko takatifu, na hamtafanya kazi za kawaida. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vya watu wenu mahali pote mnapoishi.
22 Kad budete želi žetvu sa svoje zemlje, nemoj žeti dokraja svoje njive niti pabirčiti poslije svoje žetve. Ostavi to sirotinji i strancu. Ja sam Jahve, Bog vaš.”
Mtakapovuna mazao ya nchi yenu, Msivune kabisa kabisa pembeni mwa mashamba yenu, wala msivune mazazo ya mavuno yenu. Inawapasa kuyaacha kwa ajili ya masikini na mgeni. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.”
23 Jahve reče Mojsiju:
Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
24 “Govori Izraelcima i reci: 'Sedmoga mjeseca, prvoga dana u mjesecu, neka vam je potpun odmor, proglašen glasom trube, sveti zbor.
“Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, “Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza itakuwa siku ya pumzika makini kwa ajili yenu, kumbukumbu pamoja na kupigwa kwa tarumbeta na kusanyiko takatifu,
25 Nikakva teškog posla ne radite; u čast Jahvi paljenu žrtvu prinesite.'”
Hamtafanya kazi ya kawaida, na ni lazima mtoe dhabihu inayofanywa kwa moto kwa Yahweh.”
26 Reče Jahve Mojsiju:
Kisha Yahweh akamwambia Musa, akisema,
27 “Povrh toga, u deseti dan toga sedmog mjeseca pada Dan pomirenja. Neka vam to bude prigoda za sveti zbor; postite i prinesite u čast Jahvi paljenu žrtvu.
“Sasa, siku ya kumi ya mwezi huu wa saba, ni Siku ya Upatanisho. Kutakuwa na kusanyiko takatifu, na ni lazima mjinyenyekeze na kuleta kwa Yahweh matoleo kwa moto.
28 Toga dana nemojte raditi nikakva posla. To je, naime, Dan pomirenja, kada će se za vas obaviti obred pomirenja pred Jahvom, Bogom vašim.
Hamtafanya kazi katika siku hiyo kwa sababu ni Siku ya Upatanisho, ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu mbele za Yahweh Mungu wenu.
29 Jest, tko god ne bude postio toga dana, neka se odstrani iz svoga naroda.
Yeyote asiyejinyenyekeza siku hiyo lazima akatiliwe mbali na watu wake.
30 A tko bi god radio kakav posao na taj dan, toga ću ja istrijebiti iz njegova naroda.
Yeye afanyaye kazi yoyote katika siku hiyo, Mimi, Yahweh, nitamwangamiza atoke miongoni mwa watu wake.
31 Nikakva posla nemojte raditi. To je trajan zakon za vaše naraštaje gdje god vi boravili.
Msifanye kazi ya aina yoyote katika siku hiyo. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu mahali pote mnapoishi.
32 Neka vam je to subotnji počinak. Postite! Navečer devetoga dana u mjesecu - od večeri do večeri - prestanite raditi.”
Siku hii itakuwa Sabato ya pumziko lenye utlivu, na ni lzima siku ya tisa ya mwezi mjinyenyekeze katika majira ya jioni. Tangu jioni hata jioni mtaishika Sabato yenu.”
33 Jahve reče Mojsiju:
Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
34 “Reci Izraelcima: 'Od petnaestoga dana toga sedmog mjeseca neka se sedam dana drži Blagdan sjenica u čast Jahvi.
“Zungumza na watu ISraeli, uwaambie 'Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba kutakuwa na Sikukuu ya vibanda kwa Yahweh. nayo itadumu siku saba.
35 Prvoga dana, u dan svetoga zbora, nikakva težačkog posla nemojte raditi.
Siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko takatifu. Hamtafanya kazi ya kawaida.
36 Sedam dana prinosite paljenu žrtvu u čast Jahvi. Osmi dan neka vam bude sveti zbor, kada ćete u čast Jahvi prinijeti paljenu žrtvu. To je svečani zbor; nikakva težačkog posla nemojte obavljati.'”
Kwa muda wa siku saba mtatoa dhabihu iliyofanywa kwa moto kwa Yahweh. Siku ya nane kutakuwa na kusanyiko takatifu, nanyi mtato dhabihu iliyofanywa kwa moto kwa Yahweh. Hili ni kusanyiko lenye utulivu, nanyi msifanye kazi yoyote ya kawaida.
37 “To su blagdani Jahvini koje imate sazvati - sveti zborovi određeni za prinošenje žrtava u čast Jahvi; žrtava paljenica, prinosnica, žrtava klanica i ljevanica; svaku na njezin pravi dan,
Hizi ndizo sikukuu zilizoamriwa kwa ajili ya Yahweh, ambazo mnapaswa kuzitangaza kuwa ni makusanyiko matakatifu ya kutoa dhabihu kwa moto kwa Yahweh, matoleo ya kuteketezwa na matoleo ya nafaka, dhabihu na matoleo ya vinywaji, kila moja kwa siku yake.
38 povrh Jahvinih subota, povrh vlastitih prinosa, povrh svojih zavjetnih i dragovoljnih darova koje inače prinosite Jahvi.”
Sikukuu hizi zitakuwa nyongeza kwa Sabato za Yahweh na zawadi zenu, viapo vyenu vyote, na sadaka zenu zote za hiari mzitoazo kwa Yahweh.
39 “Osim toga, petnaestoga dana mjeseca sedmoga, pošto pokupite sa zemlje plodove, svetkujte Jahvin blagdan sedam dana. Na prvi dan i na osmi dan neka je potpun počinak.
Kuhusu Sikukuu ya vibanda, siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakapokuwa mmeyakusanya ndani matunda ya nchi, ni lazima muitunze sikukuu hii ya Yehweh kwa muda wa siku saba. Siku ya kwanza itakuwa ya pumziko lenye utulivu, na siku ya nane pia itakuwa ya pumziko lenye utulivu.
40 Uzmite već prvoga dana lijepih plodova, palmovih grana, grančica s lisnatih drveta i potočne vrbovine pa se veselite u nazočnosti Jahve, Boga svoga, sedam dana.
Siku ya kwanza mtachuma tunda lililobora kutoka kwenye miti, mtakata makuti ya mtende, na matawi ya miti minene yenye majani mengi, na majani ya mierebi kutoka chemchemi za maji, nanyi mtashangilia mbele za Yahweh Mungu wenu kwa siku saba.
41 Svetkujte tako blagdan u čast Jahvi sedam dana svake godine. Neka je to trajan zakon za vaše naraštaje. Svetkujte taj blagdan sedmoga mjeseca.
Kwa muda wa siku saba kila mwaka, mtaisherehekea sikukuu hii kwa Yahweh. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu mahali potepote mtakapoishi. Mtaisherehekea sikukuu hii katika mwezi wa saba.
42 Sedam dana stanujte u sjenicama. Svi Izraelovi domoroci neka proborave u sjenicama,
Mtaishi kwenye vibanda vidogovidogo kwa siku saba. Waisraeli wenyeji wa kuzaliwa wote itawapasa kuishi katika vibanda vidogovidogo kwa siku saba,
43 da vaši potomci znaju kako sam ja učinio da Izraelci žive u sjenicama kad sam ih izbavio iz zemlje egipatske. Ja sam Jahve, Bog vaš.”
ili kwamba wazao wenu, kizazi baada ya kizazi, waweze kujifunza nilivyowafanya wana wa Israeli kuishi kwenye vibanda kama hivi nilipowaongoza kutoka katika nchi ya Misri. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.'”
44 I tako Mojsije objavi Izraelcima Jahvine blagdane.
Katika njia hii Musa akazitangaza kwa watu wa ISraeli sikukuu zilizoamria kwa ajili ya Yahweh.

< Levitski zakonik 23 >