< Levitski zakonik 18 >

1 Jahve reče Mojsiju:
Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
2 “Govori Izraelcima i reci im: 'Ja sam Jahve, Bog vaš.
“Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, “Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
3 Nemojte raditi kako se radi u zemlji egipatskoj, gdje ste boravili; niti radite kako se radi u zemlji kanaanskoj, kamo vas vodim; ne povodite se za njihovim običajima!
Msitende mambo ambayo watu wa Misri huyatenda, mahali mlikokuwa mkiishi awali. Na ni lazima msitende mambo yale wanayoyatenda watu wa Kanaani, nchi ambayo ninawapeleka nyinyi. Msifuate desturi zao.
4 Vršite moje naredbe; vršite moje zapovijedi; prema njima hodite. Ja sam Jahve, Bog vaš.
Sheria zangu ndizo mtakazozitenda, na amri zangu ndizo mtakazozishika, kwa sababu Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
5 Zato držite moje zakone i moje naredbe; tko ih vrši - u njima će naći život. Ja sam Jahve!
Kwa hiyo ni lazima mzitunze hukumu zangu na sheria zangu. Ikiwa mtu amezitii, ataishi kwa sababu ya hizo. Mimi Ndimi Yahweh.
6 Neka se nitko od vas ne približuje svojoj krvnoj rodbini da otkriva njezinu golotinju. Ja sam Jahve!
Pasiwepo kwenu atakayelala na yeyote aliye na uhusiano wa karibu naye. Mimi ndimi Yahweh.
7 Ne otkrivaj golotinje svoga oca ni golotinje svoje majke. Majka ti je, ne otkrivaj njezine golotinje!
Usimfedheheshe baba yako kwa kulala na mama yako. Yeye ni mama yako! Haikupasi kumfedhehesha yeye.
8 Ne otkrivaj golotinje žene svoga oca! I to je golotinja tvoga oca!
Usilale na yeyote wa wake za baba yako; Usimfedheheshe namna hiyo baba yako.
9 Ne otkrivaj golotinje svoje sestre - kćeri svoga oca ili kćeri svoje majke - bila rođena u kući ili izvan nje!
Usilale na yeyote aliye mmoja miongoni mwa dada zako, ama ni binti ya baba yako au ni binti ya mama yako, ama aliyelelewa nyumbani mwenu au mbali nawe. Usilale na dada zako.
10 Ne otkrivaj golotinje kćeri svoga sina niti golotinje kćeri svoje kćeri! TÓa njihova je golotinja tvoja vlastita golotinja.
Usilale na binti ya mwanao, au binti ya binti yako. Hiyo ingekuwa aibu yako mwenyewe.
11 Ne otkrivaj golotinje kćeri žene svoga oca! Jer, rođena od tvog oca, ona ti je sestra.
Usilale na binti ya mke wa baba yako, aliyezaliwa kwa baba yako, yeye ni dada yako, na usilale naye.
12 Ne otkrivaj golotinje sestre svoga oca! Ona je krv tvoga oca.
Usilale na dada ya baba yako. Yeye ni ndugu wa karibu kwa baba yako.
13 Ne otkrivaj ni golotinje sestre svoje majke! Ta i ona je krv tvoje majke!
Usilale na dada ya mama yako. Yeye ni ndugu wa mama yako.
14 Ne otkrivaj golotinje svoga strica! To jest, nemoj se približavati njegovoj ženi. Ta ona je tvoja strina.
Usimfedheheshe ndug wa baba yako kwa kulala na mke wake. Usimkaribie kwa kusudi hilo; yeye ni shangazi yako.
15 Ne otkrivaj golotinje svoje snahe! Ona je žena tvoga sina. Ne otkrivaj golotinje njezine.
Usilale na binti- mkwe wako, Yeye ni mke wa mwanao; usilale naye.
16 Ne otkrivaj golotinje žene svoga brata! Ta to je golotinja tvoga brata.
Usilale na mke wa kaka yako; usije ukamfedhesha yeye katika njia hii.
17 Ne otkrivaj golotinje koje žene i njezine kćeri! Nemoj se ženiti kćerju njezina sina niti kćerju njezine kćeri te im golotinju otkrivati. Oni su krvna rodbina. To bi bila pokvarenost.
Usilale na mwanamke kisha na binti yake, au binti wa mwanawe au binti wa binti yake. Hao ni ndugu zake wa karibu, na kulala nao lingekuwa ni uovu.
18 Ne uzimaj sebi koju ženu u isto vrijeme kad i njezinu sestru da je ljubomorom žalostiš otkrivajući golotinju ovoj preko nje za njezina života!
Usimwoe dada ya mke wako kuwa mke wako wa pili na kulala naye wakati bado mke wako wa kwanza angali hai.
19 Ne približuj se ni jednoj ženi kad je u nečistoći svoga mjesečnog pranja da joj otkrivaš golotinju!
Usilale na mwanamke wakati wake wa hedhi.
20 Ne lijegaj sa ženom bližnjega svoga; od nje bi postao nečist.
Yeye ni najisi kwa wakati huo. Usilale na mke wa jilani yako na kujichafua mwenyewe kwake katika njia hii.
21 Ne smiješ dopuštati da koje tvoje dijete bude žrtvovano Moleku; ne smiješ tako obeščašćivati ime Boga svoga. Ja sam Jahve!
Msiwatoe watoto wenu ili kuwapitisha kwenye moto, ili kwamba muwatoe sadaka kwa Moleki, kwa sababu msije mkalinajisi jina la Mungu wenu. Mimi ndimi Yahweh.
22 Ne lijegaj s muškarcem kako se liježe sa ženom! To bi bila grozota.
Usilale na mwanaume mwingine kama ulalavyo na mwanamke. Jambo hili lingekuwa uovu.
23 Da nisi legao ni s jednom životinjom - od nje bi postao nečist. Žena ne smije stati pred životinju da se s njom pari. To bi bila krajnja opačina.
Usilale na myama yeyote na kujitia unajisi kwake. Haimpasi mwanamke kufikiria kulala na mnyama ye yote. Huo ungekuwa upotovu.
24 Ničim se od toga nemojte onečišćavati! Ta svim su se tim onečišćavali narodi koje ja ispred vas tjeram.
Msijichafue wenyewe katika njia hizi, kwa kuwa katika njia hizi mataifa yamechafuliwa, mataifa ambayo Nitayafukuza yatoke kwa ajili yenu.
25 I zemlja je postala nečista. Zato ću kazniti njezinu opačinu, i zemlja će ispljuvati svoje stanovnike.
Ni kwa sababu nchi imenajisiwa, hivyo niliiadhibu dhambi yao, nayo nchi ikawatapika wakazi wake
26 Vi pak držite moje zakone i moje naredbe: ni jedne od tih opačina nemojte počinjati - ni vi ni stranac koji među vama boravi.
Kwa hiyo, yawapasa kuzishika amri zangu na maagiza yangu, na msifanye aina yoyote ya mambo haya ya machukizo, wala Mwisraeli mzaliwa au Mgeni aishie miongoni mwenu.
27 Sve je te zloće počinjao svijet koji je bio u toj zemlji prije vas te je zemlja postala nečista.
Kwa kuwa ni uovu huu ambao watu wametenda, wale ambao waliishi hapa kabla yenu, na sasa nchi imenajisiwa.
28 Neće li, ako je učinite nečistom, zemlja ispljuvati i vas kako je ispljuvala narod koji je bio prije vas?
Kwa hiyo, muwe waangalifu ili kwamba nchi isiwatapike nyinyi baada ya kuwa mmeinajisi, kama ilivyowatapika wale watu waliokuwako kabla yenu.
29 Jest, svi koji bi počinili bilo koju od tih zloća bit će odstranjeni iz svoga naroda.
Yeyote anayefanya mambo haya ya kuchukiza, watu wafanyao mambo hayo ya kuchukiza lazima watakatiliwa mbali kutoka miongoni mwa watu wao.
30 Zato držite moje zapovijedi; nemojte se podavati ni jednome od onih odvratnih običaja što su se održavali prije vas; tako se njima nećete onečistiti. Ja sam Jahve, Bog vaš!'”
Kw a hiyo inawapasa kuzishika amri zangu na sitende mojawapo ya desturi hizi zenyekuchukiza ambazo zilitendwa hapo kabla yenu, ili msijinajisi wenyewe kwa hizo. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.

< Levitski zakonik 18 >