< Levitski zakonik 12 >

1 Jahve reče Mojsiju:
Yahweh akamwambia Musa,
2 “Kaži Izraelcima: 'Kad koja žena zatrudni i rodi muško čedo, neka je nečista sedam dana, kako je nečista u vrijeme svoga mjesečnog pranja.
“zungumza na watu wa Israeli, uwaambie, 'endapo mwanamke anakuwa mjamzito na kujifungua mtoto wa kiume, naye atakuwa najisi kwa muda wasiku saba, ni kama tu vile anavyokuwa najisi katika siku za kipindi chake kwa mwezi.
3 Osmoga dana neka se dijete obreže.
Katika siku ya nane nyama ya govi la mtoto mvulana itatahiriwa.
4 A ona neka ostane još trideset i tri dana da se očisti od svoje krvi; ne smije dirati ništa posvećeno niti dolaziti u Svetište dok se ne navrši vrijeme njezina čišćenja.
Kisha utakaso wa mama wa kutokwa damu yake utaendelea kwa muda wa siku tatu. Haimpasi kugusa kitu chochote kilicho kitakatifu au kukaribia eneo la hema mpaka zitakapomalizika siku za kutakaswa kwake.
5 Ako rodi žensko čedo, neka je nečista dva tjedna, kao za svoga mjesečnog pranja, i neka ostane još šezdeset i šest dana da se očisti od svoje krvi.
Lakini kama atajifungua mtoto wa kike, naye atakuwa najisi kwa mud wa majuma mawili, kama alivyo wakati wa kipindi chake. Kisha utakaso wa mama utaendelea kwa siku sitini sita.
6 A kad se navrši vrijeme njezina čišćenja - bilo za sinčića, bilo za kćerkicu - neka donese svećeniku na ulaz u Šator sastanka jednogodišnje janje za žrtvu paljenicu i jednoga golubića ili grlicu za žrtvu okajnicu.
Siku za kutakaswa kwake zitakapoisha, kwa ajili ya mwana au binti, atalazimika kuleta kwa kuhani mwana-kondoo wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya kuteketezwa, na kinda la njiwa au huwa kuwa sadaka ya dhambi, mbele ya ingilio la hema la kukutania,
7 Neka on to prinese pred Jahvom i nad njom izvrši obred pomirenja. Tako će ona biti očišćena od svoga krvarenja. To je odredba koja se odnosi na ženu kad rodi bilo muško bilo žensko čedo.
Kisha atawatoa mbele za Yahweh na kufanya sadaka ya upatanisho kwa ajili yake, naye atatakaswa kutokana kutiririka kwa damu yake. Hii ndiyo sheria kuhusu mwanamke aifunguaye ama mtoto wa kiume au wa kike.
8 Ali ako ne može da nađe dovoljno sredstava za grlo od sitnoga stada, neka onda uzme dvije grlice ili dva golubića - jedno za žrtvu paljenicu, a drugo za žrtvu okajnicu. Neka svećenik izvrši nad njom obred pomirenja, i ona će biti očišćena'.”
Na kama hana uwezo wa kutoa mwana-kondoo, naye ataleta makinda mawili ya njiwa ua hua, mmoja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na mwingine kuwa sadaka ya dhambi, naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake; naye atakuwa safi.”

< Levitski zakonik 12 >