< Suci 7 >

1 Urani Jerubaal, to jest Gideon, i sav narod bijaše s njim i utabori se kod En-Haroda; a tabor Midjanaca nalazio se na sjeveru od njegova, podno brijega More, u dolini.
Ndipo Yerubaali (yaani Gideoni) akainuka mapema, na watu wote waliokuwa pamoja naye, wakaweka kambi kando ya chemchemi ya Harodi. Kambi ya Midiani ilikuwa kaskazini mwao katika bonde karibu na kilima cha More.
2 Tada Jahve reče Gideonu: “Previše je naroda s tobom a da bih predao Midjance u njegove ruke. Izrael bi se mogao pohvaliti i reći: 'Vlastita me ruka izbavila.'
Bwana akamwambia Gideoni, Kuna askari wengi sana kwa mimi kukupa ushindi juu ya Wamidiani, ili Waisraeli wasijisifu juu yangu, wakisema, 'Nguvu zetu zimetuokoa'.
3 Zato oglasi da narod čuje: 'Tko se boji i strahuje, neka se vrati.'” Gideon ih iskuša. Dvadeset i dvije tisuće ljudi iz naroda vrati se, a ostade ih deset tisuća.
Basi, tangaza masikioni mwa watu, ukisema, Yeyote anayeogopa, anayetetemeka, arudi na atoke katika mlima Gileadi. 'Basi, watu elfu ishirini na mbili wakaondoka, na elfu kumi wakabaki.
4 Jahve reče Gideonu: “Još je previše naroda. Povedi ih na vodu i ondje ću ih iskušati. Za koga ti kažem: 'Neka ide s tobom', taj će s tobom ići. A za koga ti kažem: 'Neka ne ide s tobom', taj neće ići.”
Bwana akamwambia Gideoni, 'Watu bado ni wengi sana. Wapeleke chini kwenye maji, na nitafanya idadi yao iwe ndogo kwa ajili yako. Kama nikisema, 'Huyu atakwenda pamoja nawe,' atakwenda pamoja nawe; lakini kama nikisema, 'Huyu hawezi kwenda pamoja nawe,' hatakwenda. '
5 Gideon povede narod na vodu i Jahve mu reče: “Koji bude laptao vodu jezikom kao što lapće pas, stavi ga na stranu. Koji klekne da pije, odvoji ga na drugu stranu.”
Gideoni akawapeleka watu kwenye maji; Bwana akamwambia, “Ondoa kila mtu atakayelamba maji, kama mbwa alambavyo, kutoka kwa wale wanaopiga magoti na kunywa.”
6 Onih koji su laptali vodu jezikom - prinoseći vodu rukom k ustima - bijaše tri stotine, a sav je ostali narod kleknuo da pije.
Wanaume mia tatu walilamba. Wengine wote walipiga magoti kunywa maji.
7 Tad Jahve reče Gideonu: “Sa one tri stotine ljudi koji su laptali vodu ja ću vas izbaviti i predat ću Midjance u vaše ruke. Svi drugi neka se vrate svaki svojoj kući.”
Bwana akamwambia Gideoni, “Kwa watu hawa mia tatu waliokwisha kulamba maji, nitakuokoa na kukupa ushindi juu ya Wamidiani. Acha kila mtu arudi mahali pake.”
8 Gideon tad naloži narodu da mu preda opskrbu i rogove, a onda otpusti Izraelce da ide svaki svome šatoru; zadrža samo one tri stotine. A midjanski se tabor prostirao niže njega u dolini.
Kwa hiyo wale waliochaguliwa walichukua vifaa vyao na tarumbeta zao. Gideoni akawarudisha watu wote wa Israeli, kila mtu kwenda kwenye hema yake, lakini akawaweka watu mia tatu. Basi kambi ya Midiani ilikuwa chini yake katika bonde.
9 One noći reče mu Jahve: “Ustani, navali na tabor, jer ti ga predajem u ruke.
Usiku huo huo Bwana akamwambia, “Simama! Kavamie kambi, kwa maana nitakupa ushindi juu yake.
10 Ako se bojiš napasti, siđi najprije u tabor s Purom, momkom svojim;
Lakini ikiwa unaogopa kushuka, shka kwenye kambi pamoja na Purh mtumishi wako,
11 slušaj što govore; ohrabrit ćeš se i napast ćeš na tabor.” On siđe sa svojim momkom Purom do prvih taborskih straža.
na usikilize kile wanachosema, na ujasiri wako utaimarishwa kushambulia kambi.” Basi Gidioni akaenda pamoja na Pura mtumishi wake, mpaka chini kwa walinzi wa kambi.
12 Midjanci, Amalečani i svi sinovi Istoka pali po dolini, brojni kao skakavci; njihovim devama ne bijaše broja, kao pijesku na obali mora.
Wamidiani, Waamaleki, na watu wote wa mashariki walikaa karibu na bonde, wengi kama wingu la nzige. Ngamia zao walikuwa zaidi ya mawingu; walikuwa zaidi kuliko idadi ya mchanga katika bahari.
13 Kad je Gideon došao, a to jedan baš pripovijedaše svome drugu što je sanjao: “Usnuo sam kako se pogača ječmenog kruha kotrlja u midjanski tabor: dokotrlja se do jednog šatora i pogodi, a šator pade, prevrnu se.”
Gideoni alipofika huko, mtu alikuwa akimwambia mwenzake ndoto. Mtu huyo akasema, “Angalia! Niliota ndoto, na nikaona mkate wa shayiri umeanguka ndani ya kambi ya Midiani. Ukaja hemani, na kuipiga kwa nguvu sana hata ikaanguka chini ikapinduka na kulala chini. '
14 A drug mu odgovori: “Nije to drugo nego mač Gideona, Joaševa sina, Izraelca. Bog mu je predao u ruke Midjance i sav tabor.”
Mtu mwingine akasema, 'Hii si kitu kingine isipokuwa upanga wa Gideoni (mwana wa Yoashi), Mwisraeli. Mungu amempa ushindi juu ya Midiani na jeshi lake lote. '
15 Kada je Gideon čuo kako je onaj pripovjedio san i kako ga je drugi protumačio, baci se ničice, vrati se onda u tabor Izraelov i povika: “Ustajte, jer vam je Jahve predao u ruke tabor midjanski!”
Gideoni aliposikia habari ya ile ndoto na tafsiri yake, akainama chini na kuabudu. Alirudi kwenye kambi ya Israeli na kusema, “Simameni! Bwana ametupa ushindi juu ya jeshi la Midiani.”
16 Gideon tad podijeli svoje tri stotine ljudi u tri čete. Svakome čovjeku dade u ruke rog, prazan vrč i luč u vrču:
Akawagawa watu mia tatu katika makundi matatu, na akawapa tarumbeta zote na mitungi tupu, na taa ndani ya kila mtungi.
17 “Gledajte mene”, reče im, “i činite što i ja! Kada dođem na rub tabora, činite što budem i ja činio!
Akawaambia, 'Niangalieni mimi na kufanya yale ninayoyafanya. Tazama! Ninapofika kwenye mwisho wa kambi, ni lazima mfanye kile ninachofanya.
18 Kad zatrubim u rog ja i svi koji su sa mnom, tada i vi zasvirajte u rog oko sveg tabora i vičite: 'Za Jahvu i Gideona!'”
Nitakapopiga tarumbeta, mimi na wote Mlio pamoja nami, basi mtapiga tarumbeta zenu katika kila upande wa kambi nzima na kupiga kelele, “Kwa Bwana na Gideoni!”
19 Gideon i stotina ljudi što ga je pratila dođoše na rub tabora pri početku ponoćne straže; tek što su postavili straže, oni zatrubiše u rogove i razbiše vrčeve koje su imali u ruci.
Basi Gideoni na watu mia moja waliokuwa pamoja naye walifika mwisho wa kambi, hapo mwanzoni mwa saa ya kati. Wakati Wamidiani walikuwa wakibadilisha walinzi, walipiga tarumbeta na kuvunja mitungi iliyokuwa mikononi mwao.
20 Tako tri čete zasviraše u rogove i razbiše vrčeve; lijevom rukom držahu luči, a desnom rogove da trube i udariše vikati: “Za Jahvu i Gideona!”
Vikosi vitatu vilipiga tarumbeta na kuvunja mitungi. Walikuwa na taa katika mikono yao ya kushoto na tarumbeta katika mikono yao ya kulia ili kuwapiga. Walipiga kelele, “Upanga wa Bwana na wa Gideoni.”
21 I svaki stajaše nepomično na svome mjestu uokrug tabora. Tada se probudi sav tabor i Midjanci vičući nagoše u bijeg.
Kila mtu alisimama mahali pake kando ya kambi na jeshi la Midiani likakimbia. Walipiga kelele na kukimbia
22 Dok su one tri stotine trubile u rogove, učini Jahve te oni u taboru okrenuše mač jedan na drugoga. I sva se vojska razbježa do Bet-Hašita, prema Sartanu, do Abel-Meholske obale kod Tabata.
Walipopiga tarumbeta mia tatu, Bwana akaweka upanga wa kila mtu wa Midiani dhidi ya wenzake na dhidi ya jeshi lake lote. Jeshi likimbia mpaka Bethshita kuelekea Serera, mpaka mpaka wa Abel Mehola, karibu na Tabathi.
23 A Izraelci iz plemena Naftalijeva, Ašerova i iz svega plemena Manašeova sabraše se i pognaše Midjance.
Watu wa Israeli kutoka Naftali, Asheri, na Manase wote waliitwa nje, nao wakawafuata Midiani.
24 Gideon posla glasnike po svoj Efrajimovoj gori da govore: “Siđite pred Midjance i zauzmite prije njih sve gazove do Bet-Bara i Jordana.” Svi se ljudi od plemena Efrajimova odazvaše i zauzeše gazove voda do Bet-Bara i Jordana.
Gideoni akatuma wajumbe katika nchi zote za mlima wa Efraimu, akisema, “Nenda chini dhidi ya Midiani na umiliki Mto Yordani mpaka Bethbara, ukawazuie.” Basi wanaume wote wa Efraimu walikusanyika pamoja na kuimiliki maji, mpaka Bethbara na Mto Yordani.
25 I uhvatiše dva midjanska kneza, Oreba i Zeeba; Oreba ubiše na Orebovoj stijeni, a Zeeba kod Zeebova tijeska. Progonili su Midjance i donijeli Gideonu preko Jordana glavu Orebovu i Zeebovu.
Wakawatwaa wakuu wawili wa Midiani, Orebu na Zeebu. Wakamwua Orebu kwenye mwamba wa Orebu, nao wakamwua Zeebu katika shinikizo la divai la Zeebu. Wakawafuata Wamidiani, wakamletea Gideoni vichwa vya Orebu na Zeebu, ng'ambo ya pili ya Yordani.

< Suci 7 >