< Ponovljeni zakon 5 >

1 Mojsije sazva sav Izrael te im reče: “Čuj, Izraele, naredbe i zapovijedi što ih danas izričem u tvoje uši! Naučite ih, držite i vršite.
Musa aliwaita Israeli yote na akasema nao, “Sikiliza, Israeli, kwa amri na sheria ambazo nitasema katika masikio yenu leo, muweze kujifunza na kuzishika.
2 Jahve, Bog naš, sklopio je s nama Savez na Horebu.
Yahwe Mungu wetu alifanya agano nasi huko Horeb.
3 Nije Jahve sklopio taj Savez s našim očevima, nego baš s nama svima koji smo danas ovdje živi.
Yahwe hakufanya agano hili pamoja na mababu zetu, lakini na sisi, sisi wote tu hai hapa leo.
4 Licem je u lice Jahve govorio s vama na brdu isred ognja.
Yahwe alizungumza nawe uso kwa uso kwenye mlima toka katikati mwa moto
5 Ja sam u ono vrijeme stajao između Jahve i vas da vam objavim Jahvine riječi, jer se vi, u strahu od ognja, niste htjeli peti na brdo. Rekao je:
(Nilisimama kati ya Yahwe na wewe kwa wakati huo, kukufunulia wewe neno lake, kwa kuwa ulikuwa umeogopa kwa sababu ya moto, na haukwenda juu ya mlima), Yahwe alisema,
6 'Ja sam Jahve, Bog tvoj, koji sam te izveo iz zemlje egipatske, iz kuće ropstva.
'Mimi ni Yahweh Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, kutoka nyumba ya utumwa.
7 Nemoj imati drugih bogova uz mene!
Hautakuwa na miungu mingine mbele yangu.
8 Ne pravi sebi lika ni obličja bilo čega što je gore na nebu, ili dolje na zemlji, ili u vodama pod zemljom.
Hautajifanyia mwenyewe sanamu ya kuchonga wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, au kilicho chini ya dunia, au kilicho chini ya maji.
9 Ne klanjaj im se niti im služi. Jer ja, Jahve, Bog tvoj, Bog sam ljubomoran. Kažnjavam grijeh otaca - onih koji me mrze - na djeci do trećeg i četvrtog koljena,
Hautavisujudia au kuvitumikia, kwa kuwa Mimi, Yahwe Mungu wako, ni Mungu wa wivu, Nawaadhibu uovu wa mababu kwa kuleta adhabu juu ya watoto, kwa kizazi cha tatu na cha nne cha wale wanichukiao,
10 a iskazujem milosrđe tisućama koji me ljube i vrše moje zapovijedi.
na kuonesha agano la uaminifu kwa maelfu, kwa wale wanaonipenda na kushika amri zangu.
11 Ne uzimaj uzalud imena Jahve, Boga svoga, jer Jahve ne oprašta onome koji uzalud izgovara ime njegovo.
Hautalichukua jina la Yahwe Mungu wako bure, kwa kuwa Yahwe hatamshikilia kuwa ana hatia yeye alichukuae jina bure.
12 Dan subotnji obdržavaj i svetkuj, kako ti je naredio Jahve, Bog tvoj.
Zingantia siku ya Sabato kwa kuiweka takatifu, kama Yahwe Mungu wako alivyokuamuru.
13 Šest dana radi i obavljaj sav svoj posao.
Kwa siku sita utafanya kazi na fanya kazi zako zote,
14 A sedmoga je dana subota, počinak posvećen Jahvi, Bogu tvome. Tada nikakva posla nemoj raditi: ni ti, ni sin tvoj, ni kći tvoja, ni sluga tvoj, ni sluškinja tvoja, ni vol tvoj, ni magarac tvoj, niti ikakvo živinče tvoje, niti došljak koji je unutar tvojih vrata; tako da mogne otpočinuti i sluga tvoj, i sluškinja tvoja kao i ti.
lakini siku ya saba ni Sabato kwa Yahwe Mungu wako. Kwa siku hiyo hautafanya kazi yoyote- si wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mjakazi wako wa kiume, wala maksai wako, wala punda wako, wala mifugo wako, wala mgeni yeyote aliye katika malango yako. Hii ni kwamba mjakazi wako wa kiume na mjakazi wako wa kike wapate kumpuzika pamoja na wewe.
15 Sjeti se da si i ti bio rob u zemlji egipatskoj i da te odande izbavio Jahve, Bog tvoj, rukom jakom i ispruženom mišicom. Zato ti je zapovjedio Jahve, Bog tvoj, da držiš dan subotnji.
Utakumbuka katika akili yako kwamba ulikuo mtumwa katika nchi ya Misri, na Yahwe Mungu wako alikutoa kutoka huko kwa mkono wa uweza na mkono ulionyoshwa. Kwa hiyo Yahwe Mungu wako amekuamuru kuitunza siku ya Sabato.
16 Poštuj oca svoga i majku svoju, kako ti je Jahve, Bog tvoj, zapovjedio, da dugo živiš i dobro ti bude na zemlji koju ti Jahve, Bog tvoj, daje.
Mheshimu baba yako na mama yako, kama Yahwe Mungu wako alivyokuamuru kufanya, ili kwamba uweze kuishi muda mrefu katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako akupa, ili kwamba iende kwa uzuri kwako.
17 Ne ubij!
Hautaua,
18 Ne učini preljuba!
hautazini,
19 Ne ukradi!
hautaiba,
20 Ne svjedoči lažno na bližnjega svoga!
hautashuhudia uongo dhidi ya ndugu yako.
21 Ne poželi žene bližnjega svoga! Ne poželi kuće bližnjega svoga, ni njive njegove, ni sluge njegova, ni sluškinje njegove, ni vola njegova, ni magarca njegova, niti išta što je bližnjega tvoga.'
Hautamtamani mke wa jirani yako, hautatamani nyumba ya jirani yako, shamba lake, au mjakazi wake wa kiume, au mjakazi wake wa kike, maksai au punda wako, au chochote ambacho ni mali ya jirani yako.
22 Te je riječi na brdu, isred ognja, oblaka i guste tmine, jakim glasom upravio Jahve svemu vašem zboru. Ništa nije dodavao nego ih je ispisao na dvije kamene ploče te ih predao meni.
Haya maneno Yahwe alisema kwa sauti kubwa kwa kusanyiko lako lote kwenye mlima toka katikati mwa moto, mawingu, giza zito, hakuongeza maneno yoyote zaidi. Na aliandika chini kwenye mbao mbili za mawe na akanipa mimi.
23 A onda, kad čuste glas iz tmine, dok je brdo plamtjelo u ognju, k meni pristupiše svi vaši plemenski glavari i vaše starješine
Ilipokaribia, pindi uliposikia sauti toka katikati mwa giza, wakati mlima unawaka moto, kuwa mlikuja karibu nami, wazee wako wote, na wakuu wa makibila yako.
24 pa rekoše: 'Jahve, Bog naš, očitovao nam je, eto, svoju slavu i svoju veličajnost; čuli smo njegov glas isred ognja; danas smo vidjeli da čovjek može ostati na životu iako mu Bog govori.
Ulisema, Tazama, Yahwe Mungu wetu ametuonesha utukufu wake na ukuu wake, na tumeisikia sauti yake toka katikati mwa moto, tumeona leo kwamba wakati Mungu azungumza na watu, wanaweza kuishi.
25 A sad, zašto da umremo? Ovaj bi nas veliki oganj mogao proždrijeti; budemo li dalje slušali glas Jahve, Boga svoga, mogli bismo umrijeti.
Lakini kwanini tufe? Kwa kuwa mto huu mkuu utatutoshereza sisi; kama tutasikia sauti ya Yahwe Mungu wetu tena, tutakufa.
26 Jer, koji je smrtnik ikad slušao glas Boga živoga kako govori isred ognja - kao mi - i ostao na životu?
Kwa kuwa badala yetu kuna miongoni mwetu wa mwili ambao wamesikia sauti ya Mungu aliye hai akizungumza toka katikati mwa moto na kuishi, kama tulivyofanya?
27 Ti se primakni i slušaj sve što će ti reći Jahve, Bog naš. A onda ti nama kaži sve što tebi Jahve, Bog naš, rekne, i mi ćemo to poslušati i izvršiti.'
Kwenu ninyi, mnapaswa kwenda na kusikiliza kila kitu ambacho Yahwe Mungu wetu asema; rudia kwetu kila kitu ambacho Yahwe Mungu wetu asema kwenu; tutamsikiliza na kumtii.'
28 Jahve je čuo vaše riječi kad ste mi govorili pa mi reče: 'Čuo sam riječi što ih je taj narod tebi upravio. Sve što su rekli dobro je.
Yahweh alisikia maneno yenu pindi mlipozungumza nami. Alisema na mimi, “Nimekwisha sikia maneno ya watu hawa, kile wanasema kwako. Kile walichosema kilikuwa kizuri.
29 Kad bi samo njihova srca bila takva da me se uvijek boje i drže sve moje zapovijedi, da tako vazda budu sretni, oni i njihovo potomstvo!
Oh, kulikuwa na moyo wa namba hiyo ndani yao, kwamba wataniheshimu na daima kushika amri zangu zote, ili iweze kuwa vizuri kwao na pamoja na watoto wao milele!
30 Hajde, reci im: Vratite se u svoje šatore!
Nenda useme nao, “Rudini kwenye mahema.”
31 A ti ostani ovdje kod mene; kazat ću ti sve zapovijedi, zakone i uredbe kojima ćeš ih poučiti i koje će oni vršiti u zemlji što im je dajem u posjed.'
Lakini kwenu, simama karibu nami, na nitakuambia amri zote, sheria, na maagizo ambayo mtawafundisha, ili kwamba waweze kuyashika katika nchi ambayo nitawapa kumiliki.'
32 Pazite, dakle, da radite kako vam je Jahve, Bog vaš, naložio! Ne skrećite ni desno ni lijevo.
Utashika, kwa hiyo, kile Yahwe Mungu wenu amewaamuru; hamtageukia mkono wa kulia au kushoto.
33 Slijedite potpuno put koji vam je Jahve, Bog vaš, označio, da tako uzmognete živjeti, imati sreću i dug život u zemlji koju ćete zaposjesti.
Mtatembea katika njia zote ambazo Yahwe Mungu wenu, amewaamuru ili kusudi muweze kuishi, na ili kwamba iweze kwenda vizuri kwenu, na kwamba muweze kuongeza siku zenu katika nchi ambayo mtaimiliki.

< Ponovljeni zakon 5 >