< 1 Ljetopisa 1 >

1 Adam, Šet, Enoš,
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Kenan, Mahalalel, Jared,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Henok, Metušalah, Lamek,
Henoko, Methusela, Lameki.
4 Noa, Šem, Ham i Jafet.
Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
5 Sinovi Jafetovi: Gomer, Magog, Madaj, Javan, Tubal, Mešek i Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
6 Gomerovi sinovi: Aškenaz, Rifat i Togarma.
Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
7 Javanovi sinovi: Eliša, Taršiš, Kitijci i Dodanci.
Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
8 Hamovi sinovi: Kuš, Misrajim, Put i Kanaan.
Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
9 Kuševi sinovi: Seba, Havila, Sabta, Rama i Sabteka; Ramini sinovi: Šeba i Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
10 Kušu se rodi Nimrod, koji bijaše prvi vlastodržac na zemlji.
Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
11 Od Misrajima potekli su Ludijci, Anamijci, Lehabijci, Neftuhijci,
Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 Patrušani i Kasluhijci, od kojih su potekli Filistejci i Kaftorci.
Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
13 Kanaan rodi Sidona, svog prvenca, i Heta,
Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
14 i Jebusejce, Amorejce, Girgašane,
Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
15 Hivijce, Arkijce, Sinijce,
Mhivi, Mwarki, Msini,
16 Arvadijce, Semarijce i Hamatijce.
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
17 Šemovi sinovi: Elam, Ašur, Arpakšad, Lud i Aram. Aramovi sinovi: Us, Hul, Geter i Mešek.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
18 Arpakšadu se rodi Šelah, Šelahu se rodi Eber.
Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
19 Eberu se rodiše dva sina: jednom bješe ime Peleg, jer se za njegova doba razdijelila zemlja. Njegovu je bratu bilo ime Joktan.
Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
20 Od Joktana se rodiše Almodad, Šelef, Hasarmavet, Jerah,
Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Hadoram, Uzal, Dikla,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Obal, Abimael, Šeba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ofir, Havila i Jobab. Svi su to sinovi Joktanovi.
Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
24 Šem, Arpakšad, Šalah,
Shemu, Arfaksadi, Sala,
25 Eber, Peleg, Rau,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serug, Nahor, Tarah,
Serugi, Nahori, Tera,
27 Abram, to jest Abraham.
Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
28 Abrahamovi sinovi: Izak i Jišmael.
Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
29 Ovo je njihovo rodoslovlje: Jišmaelov prvenac Nebajot, zatim Kedar, Adbeel, Mibsam,
Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
30 Mišma, Duma, Masa, Hadad, Tema,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jetur, Nafiš i Kedma. To su Jišmaelovi sinovi.
Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
32 Sinovi Keture, Abrahamove inoče: ona rodi Zimrana, Jokšana, Medana, Midjana, Jišbaka i Šuaha. Sinovi Jokšanovi jesu: Šeba i Dedan.
Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
33 Midjanovi su sinovi bili: Efa, Efer, Henok, Abida i Eldaa. Svi su oni bili Keturini sinovi.
Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
34 Abrahamu se rodi Izak; Izakovi su sinovi bili: Ezav i Izrael.
Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
35 Ezavovi su sinovi bili: Elifaz, Reuel, Jeuš, Jalam i Korah.
Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
36 Elifazovi su sinovi bili: Teman, Omar, Sefi, Gatan, Kenaz, Timna i Amalek.
Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
37 Reuelovi su sinovi bili: Nahat, Zerah, Šama i Miza.
Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
38 Seirovi su sinovi bili: Lotan, Šobal, Sibeon, Ana, Dišon, Eser i Dišan.
Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
39 Lotanovi su sinovi bili: Hori i Homam; Lotanova je sestra bila Timna.
Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
40 Šobalovi su sinovi bili: Alvan, Manahat, Ebal, Šefi i Onam. Sibeonovi su sinovi bili: Aja i Ana.
Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
41 Anin je sin bio Dišon, a Dišonovi su sinovi bili: Hamram, Ešban, Jitran i Keran.
Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
42 Eserovi su sinovi bili: Bilhan, Zaavan i Jaakan. Dišonovi su sinovi bili Us i Aran.
Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
43 Evo kraljeva koji su kraljevali u zemlji edomskoj prije nego je zavladao kralj sinova Izraelovih: Bela, sin Beorov; gradu mu je bilo ime Dinhaba.
Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
44 Kad je umro Bela, na njegovo se mjesto zakraljio Jobab, sin Zareha iz Bosre.
Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
45 Kad je umro Jobab, zakraljio se na njegovo mjesto Hušam iz temanske zemlje.
Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
46 Kad je umro Hušam, zakraljio se na njegovo mjesto Bedadov sin Hadad, koji je potukao Midjance na Moapskom polju; gradu mu je bilo ime Avit.
Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
47 Kad je umro Hadad, zakraljio se na njegovo mjesto Samla iz Masreke.
Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
48 Kad je umro Samla, zakraljio se na njegovo mjesto Šaul iz Rehobota na Rijeci.
Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
49 Kad umrije Šaul, zavlada Baal Hanan, Akborov sin.
Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
50 Kad je umro Baal Hanan, zavladao je Hadad; gradu mu je bilo ime Pai. Žena mu se zvala Mehetabela. Bila je kći Matredova iz Me Zahaba.
Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
51 Kad je umro Hadad, nastali su knezovi u Edomu: knez Timna, knez Alva, knez Jetet,
Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
52 knez Oholibama, knez Ela, knez Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 knez Kenaz, knez Teman, knez Mibsar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 knez Magdiel i knez Iram. To su bili knezovi edomski.
Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.

< 1 Ljetopisa 1 >