< 1 Ljetopisa 17 >

1 Kad se David nastanio u dvoru, rekao je proroku Natanu: “Pogledaj! Ja, evo, stojim u dvoru od cedrovine, a Kovčeg saveza Jahvina pod zavjesama!”
Ikawa baada ya mfalme kuwa katika nyumba yake, akasema kwa Nathani yule nabii, “Angalia, nina ishi katika nyumba iliyo jengwa na mierezi, lakini sanduku la agano la Yahweh lipo kwenye chini ya hema.”
2 Natan odgovori Davidu: “Što ti je god na srcu, čini, jer je Bog s tobom.”
Kisha Nathani akasema kwa Daudi, Nenda, fanya yalio moyoni mwako, kwa kuwa Mungu yupo nawe.”
3 Ali još iste noći dođe Natanu ova Božja riječ:
Lakini usiku huo neno la Mungu lilimjia Nathani, nakusema,
4 “Idi i reci mome sluzi Davidu: 'Ovako govori Jahve: Ti mi nećeš sagraditi kuće da prebivam u njoj.
“Nenda umwambie Daudi mtumishi wangu, 'Hivi ndivyo Yahweh asemavyo: Hautanijengea nyumba ya kuishi.
5 Nisam nikad prebivao u kući otkako sam izveo Izraela iz Egipta pa do današnjega dana, nego sam išao od šatora do šatora i od prebivališta do prebivališta.
Kwa kuwa sijaishi katika nyumba toka ile siku niliyo ileta Israeli hadi leo. Badala yake, nimeishi ndani ya hema, hema la kukusanyikia, sehemu mbali mbali.
6 Dok sam hodio sa svim Izraelom, jesam li ijednu riječ rekao nekom od Izraelovih sudaca, kojima sam zapovjedio da budu pastiri mojem narodu, i kazao: Zašto mi ne sagradite kuću od cedrovine?'
Katika sehemu zote nilizo enda na Israeli, niliwai kusema lolote kwa viongozi wa Israeli niliyo wachagua kuwa chunga watu wangu, kwa kusema, “Kwa nini haujanijengea mimi nyumba ya mierezi?””
7 Zato sad ovo reci mome sluzi Davidu: 'Ovako govori Jahve nad vojskama: Ja sam te doveo s pašnjaka, od ovaca i koza, da budeš knez nad mojim izraelskim narodom.
“Kisha sasa, mwambie mtumishi wangu Daudi, 'Hili ndilo Yahweh wa majeshi anasema: Nilikuchugua kutoka malishoni, kufuata kondoo, ilikwamba uwe mtawala wa watu wangu Waisraeli.
8 Bio sam s tobom kuda si god išao, iskorijenio sam sve tvoje neprijatelje pred tobom. Ja ću ti pribaviti veliko ime, kao što je velikaško ime na zemlji.
Nimekuwa nawe pote ulipo enda na nimewakata maadui zako wote, na na nitakufanyia jina, kama jina la wakuu wa dunia.
9 Odredit ću prebivalište svome izraelskom narodu i posadit ću ga da živi na svojem mjestu i da ne luta više naokolo niti da ga zlikovci muče kao prije,
Nitachagua sehemu ya watu wangu Israeli na nitawapanda hapo, iliwaishi sehemu yao na wasisumbuke tena. Watu wa ovu hawata watesa tena, kama walivyo fanya mwanzo,
10 onda kad sam odredio suce nad svojim izraelskim narodom. Pokorit ću sve tvoje neprijatelje i učinit ću te velikim. Jahve će ti podići dom.
kama walivyo kuwa wakifanya toka siku zile nilipo waamuru waamuzi kuwa juu ya watu wangu Waisraeli. Kisha nitawatiisha maadui zako wote. Zaidi sana nina kwambia kwamba mimi, Yahweh, nitakujengea nyumba.
11 Jer kad se ispune tvoji životni dani i dođe vrijeme da počineš kod otaca, podići ću tvoga potomka nakon tebe, koji će biti između tvojih sinova, i utvrdit ću njegovo kraljevstvo.
Itakuja kuwa hapo siku zako zitapo timia za wewe kwenda kwa baba zako, nitainua uzao wako baada yako, na mmoja wa uzao wako nitaimarisha ufalme wake.
12 On će mi sagraditi dom, a ja ću utvrditi njegovo prijestolje zauvijek.
Yeye atanijengea nyumba, na nitaimarisha kiti chake cha enzi milele.
13 Ja ću njemu biti otac, a on će meni biti sin: svoje naklonosti neću odvratiti od njega, kao što sam je odvratio od tvoga prethodnika.
Nitakuwa baba kwake, naye atakuwa mwana wangu. Sitaondoa uwaminifu wa Agano langu kwake, kama nilivyo ondoa kwa Sauli, aliye tawala kabla yako.
14 Utvrdit ću ga u svojem domu i u svom kraljevstvu zauvijek, i prijestolje će mu čvrsto stajati zasvagda.'”
Nitamweka juu ya nyumba yangu na katika ufalme wangu milele, na kiti chake cha enzi kitaimarishwa milele.”
15 Natan prenese Davidu sve te riječi i cijelo viđenje.
Nathani akanena haya kwa Daudi na kumtaarifu, na akamwambia kuhusu maono yote.
16 Tada kralj David dođe i stade pred Jahvu i reče: “Tko sam ja, o Bože Jahve, i što je moj dom te si me doveo dovde?
Kisha Daudi mfalme akaenda ndani na kuketi mbele za Yahweh; akasema, “Mimi ni nani, Yahweh Mungu, na familia yangu ni nini, hadi unilete umbali huu?
17 Pa i to je bilo premalo u tvojim očima, o Bože, nego si dao obećanja domu svoga sluge i za daleku budućnost i pogledao si na me kako se gleda na ugledna čovjeka, o Bože Jahve!
Hili lilikuwa jambo dogo machoni pako, Mungu. Umezungumzia familia ya mtumishi wako kwa muda mrefu ujao, na umenionyesha vizazi vijavyo, Yahweh Mungu.
18 Pa što da ti još David govori o slavi tvoga sluge; tÓa ti poznaješ svoga slugu!
Nini zaidi mimi, Daudi, niseme? Umemheshimu mtumishi wako. Umemtambua kwa kipekee mtumishi wako.
19 Jahve, radi svoga sluge i po svome srcu učinio si sve ovo veliko djelo, obznanivši ove veličajnosti.
Yahweh, kwa ajili ya mtumishi wako, na kutimiza kusudi lako, umefanya hili ilikudhihirisha matendo yako makuu.
20 Jahve, nema takvoga kakav si ti, niti ima Boga osim tebe, po svemu što smo ušima svojim čuli.
Yahweh, hakuna aliye kama wewe, na hakuna Mungu zaidi yako, kama tulivyo sikia mara zote.
21 Postoji li ijedan narod na zemlji kao tvoj izraelski narod, radi kojega je Bog išao da ga izbavi sebi za narod, da tako stečeš sebi ime velikim i strašnim čudesima, izgoneći krivobožačka plemena pred svojim narodom koji si otkupio iz Egipta?
Ni taifa gani duniani kama watu wako Israeli, ambaye wewe, Mungu, uliwaokoa kutoka Misri iliwawe watu wako, kujifanyia jina lako kwa matendo makuu na yahajabu? Uliondoa mataifa mbele za watu wako, uliye waokoa kutoka Misri.
22 Tako si učinio svoj izraelski narod svojim narodom zauvijek, a ti si mu, Jahve, postao Bogom.
Ulifanya Israeli watu wako milele, na wewe, Yahweh, ukawa Mungu wao.
23 Zato sada, Jahve, neka bude čvrsta dovijeka riječ koju si dao svome sluzi i njegovu domu i učini kako si obrekao.
Hivyo sasa, Yahweh, ile ahadi uliyo iweka kuhusu mtumishi wako na nyumba yake itimizwe milele. Fanya kama ulivyo nena.
24 Neka bude čvrsta, da se veliča tvoje ime zauvijek i da se govori: Jahve nad vojskama, Izraelov Bog, jest Bog nad Izraelom, a dom tvoga sluge Davida neka stoji čvrsto pred tobom.
Jina lako na litukuzwe milele na kuwa kuu, ili watu waseme, 'Yahweh wa majeshi ni Mungu wa Israeli,' na nyumba yangu, mimi Daudi, mtumishi wako ikiwa imeimarishwa mbele zako.
25 Jer si ti, moj Bože, javio uhu svoga sluge da ćeš mu podići dom, zato je tvoj sluga smogao hrabrosti da se pomoli pred tobom.
Kwa kuwa wewe, Mungu wangu, umedhihirisha kwa mtumishi wako utamjengea nyumba. Hiyo ndio sababu, mimi mtumishi wako, nimepata ujasiri wa kuomba kwako.
26 Uistinu, Jahve, ti si Bog i ti si ovo lijepo obećanje dao svome sluzi.
Sasa, Yahweh, wewe ni Mungu, na umefanya hii ahadi nzuri kwa mtumishi wako:
27 Zato se sada udostoj blagosloviti dom svoga sluge da ostane dovijeka pred tobom, jer kad ti, Jahve, blagosloviš, bit će blagoslovljen zasvagda.”
Sasa imekupendeza kubariki nyumba ya mtumishi wako, iliiendelee milele mbele zako. Wewe, Yahweh, umeibariki, na itabarikiwa milele.”

< 1 Ljetopisa 17 >