< 詩篇 73 >

1 亞薩的詩。 上帝實在恩待以色列那些清心的人!
Hakika Mungu ni mwema kwa Israeli, kwa wale walio na moyo safi.
2 至於我,我的腳幾乎失閃; 我的腳險些滑跌。
Lakini kwangu mimi, kidogo tu miguu yangu iteleze; miguu yangu karibu iteleze kutoka kwangu
3 我見惡人和狂傲人享平安就心懷不平。
kwa sababu niliwaonea wivu wenye kiburi nilipoona mafanikio ya waovu.
4 他們死的時候沒有疼痛; 他們的力氣卻也壯實。
Kwa maana hawana maumivu hadi kufa kwao, lakini wana nguvu na wameshiba.
5 他們不像別人受苦, 也不像別人遭災。
Wako huru dhidi ya mizigo ya watu wengine; nao hawateswi kama watu wengine.
6 所以,驕傲如鏈子戴在他們的項上; 強暴像衣裳遮住他們的身體。
Kiburi kinawapamba kama mkufu kwenye shingo zao; jeuri huwavika kama vazi.
7 他們的眼睛因體胖而凸出; 他們所得的,過於心裏所想的。
Katika upofu wa jinsi hii dhambi huja; mawazo maovu hupita mioyoni mwao.
8 他們譏笑人,憑惡意說欺壓人的話; 他們說話自高。
Wao hudhihaki na kuongea kwa namna ya uovu; kwa kiburi chao hutishia mateso.
9 他們的口褻瀆上天; 他們的舌毀謗全地。
Wameweka vinywa vyao dhidi ya mbingu, na ndimi zao hutanga tanga duniani.
10 所以上帝的民歸到這裏, 喝盡了滿杯的苦水。
Kwa hiyo watu wake huwageukia na maji yaliyojaa hukaushwa.
11 他們說:上帝怎能曉得? 至高者豈有知識呢?
Nao husema, “Mungu anajuaje? Yako maarifa kwake yeye aliye juu?”
12 看哪,這就是惡人; 他們既是常享安逸,財寶便加增。
Fahamu: watu hawa ni waovu; mara zote hawajali, wakifanyika matajiri na matajiri.
13 我實在徒然潔淨了我的心, 徒然洗手表明無辜。
Hakika nimeutunza moyo wangu bure na nimenawa mikono yangu pasipo kukosa.
14 因為,我終日遭災難; 每早晨受懲治。
Maana mchana kutwa nimeteswa na kuadhibiwa kila asubuhi.
15 我若說,我要這樣講, 這就是以奸詐待你的眾子。
Kama ningesema, “Ningesema mambo haya,” kumbe nigewasaliti kizazi hiki cha watoto wenu.
16 我思索怎能明白這事, 眼看實係為難,
Ingawa nilijaribu kuyaelewa mambo haya, yalikuwa ni magumu sana kwangu.
17 等我進了上帝的聖所, 思想他們的結局。
Ndipo nilipoingia patakatifu pa Mungu na kuelewa hatma yao.
18 你實在把他們安在滑地, 使他們掉在沉淪之中。
Hakika wewe huwaweka penye utelezi; huwaangusha mpaka palipoharibika.
19 他們轉眼之間成了何等的荒涼! 他們被驚恐滅盡了。
Jinsi gani wamekuwa ukiwa kwa muda mfupi! Wamefika mwisho nao wamemaliza kwa utisho.
20 人睡醒了,怎樣看夢; 主啊,你醒了也必照樣輕看他們的影像。
Wao ni kama ndoto wakati wa mtu kuamka; Bwana, utakapo inuka, utazidharau ndoto zao.
21 因而,我心裏發酸, 肺腑被刺。
Maana moyo wangu ulipata uchungu, nami nilijeruhiwa sana.
22 我這樣愚昧無知, 在你面前如畜類一般。
Nilikuwa mjinga na sijui neno; nilikuwa kama mnyama tu mbele yako.
23 然而,我常與你同在; 你攙着我的右手。
Lakini mimi nipo pamoja nawe daima; umenishika mkono wa kuume.
24 你要以你的訓言引導我, 以後必接我到榮耀裏。
Utaniongoza kwa shauri lako na baadaye utanipokea katika utukufu.
25 除你以外,在天上我有誰呢? 除你以外,在地上我也沒有所愛慕的。
Ni nani niliye naye mbinguni isipokuwa wewe? Hakuna nimtamaniye duniani isipokuwa wewe.
26 我的肉體和我的心腸衰殘; 但上帝是我心裏的力量, 又是我的福分,直到永遠。
Mwili wangu na moyo wangu huwa dhaifu, bali Mungu ndiye nguvu ya moyo wangu daima.
27 遠離你的,必要死亡; 凡離棄你行邪淫的,你都滅絕了。
Wale walio mbali nawe wataangamia; utawaangamiza wote wasio waaminifu kwako.
28 但我親近上帝是與我有益; 我以主耶和華為我的避難所, 好叫我述說你一切的作為。
Lakini mimi, linipasalo kufanya ni kumkaribia Mungu. Nimemfanya Bwana Yahwe kimbilio langu. Nami nitayatangaza matendo yako yote.

< 詩篇 73 >