< 诗篇 120 >

1 上行(或作登阶,下同)之诗。 我在急难中求告耶和华, 他就应允我。
Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
2 耶和华啊,求你救我脱离说谎的嘴唇和诡诈的舌头!
Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
3 诡诈的舌头啊,要给你什么呢? 要拿什么加给你呢?
Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
4 就是勇士的利箭和罗腾木 的炭火。
Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
5 我寄居在米设, 住在基达帐棚之中,有祸了!
Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
6 我与那恨恶和睦的人许久同住。
Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
7 我愿和睦, 但我发言,他们就要争战。
Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.

< 诗篇 120 >