< 箴言 27 >
1 不要为明日自夸, 因为一日要生何事,你尚且不能知道。
Usijisifu kwa ajili ya kesho, maana hujui siku italeta nini.
2 要别人夸奖你,不可用口自夸; 等外人称赞你,不可用嘴自称。
Mtu mwingine akusifu na wala si kinywa chako mwenyewe, mgeni na wala si midomo yako mwenyewe.
Fikiria uzito wa jiwe na uzito wa mchanga- uchokozi wa mpumbavu ni mzito zaidi kuliko hivyo vyote.
4 忿怒为残忍,怒气为狂澜, 惟有嫉妒,谁能敌得住呢?
Kuna ukatili wenye ghadhabu kali na mafuriko ya hasira, lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?
Ni bora karipio la wazi kuliko upendo uliofichwa.
6 朋友加的伤痕出于忠诚; 仇敌连连亲嘴却是多余。
Mwaminifu ni jeraha zilizosababishwa na rafiki, lakini adui anaweza kukubusu kwa kuomba radhi mno.
7 人吃饱了,厌恶蜂房的蜜; 人饥饿了,一切苦物都觉甘甜。
Mtu aliyekula na kushiba hulikataa hata sega la asali, bali kwa mtu mwenye njaa, kila kitu kichungu ni kitamu.
Ndege anayezurura kutoka kwenye kiota chake ni kama mtu anayepotea sehemu ambayo anaishi.
9 膏油与香料使人心喜悦; 朋友诚实的劝教也是如此甘美。
Pafumu na manukato huufanya moyo ufurahi, lakini utamu wa rafiki ni bora kuliko ushauri wake.
10 你的朋友和父亲的朋友, 你都不可离弃。 你遭难的日子,不要上弟兄的家去; 相近的邻舍强如远方的弟兄。
Usimwache rafiki yako na rafiki wa baba yako, na usiende kwenye nyumba ya ndugu yako katika siku ya msiba wako. Ni bora rafiki ambaye yupo karibu kuliko ndugu ambaye yupo mbali.
11 我儿,你要作智慧人,好叫我的心欢喜, 使我可以回答那讥诮我的人。
Mwanangu, uwe na busara, moyo wangu ufurahi; kisha nitamjibu yule anayenidhihaki.
Mtu mwenye busara huiona taabu na kujificha mwenyewe, lakini mjinga huendelea mbele na kuteseka kwa ajili ya taabu.
13 谁为生人作保,就拿谁的衣服; 谁为外女作保,谁就承当。
vazi kama mwenyewe anaweka pesa kama dhamana kwa deni la mgeni; lichukue kama anaweka dhamana kwa malaya.
14 清晨起来,大声给朋友祝福的, 就算是咒诅他。
Anayempa jirani yake baraka kwa sauti ya juu mapema asubuhi, baraka hiyo itafikiriwa kuwa laana!
Mke mgomvi ni kama siku ya manyunyu ya mvua ya daima;
kumzuia ni kama kuuzuia upepo, au kujaribu kushika mafuta kwa mkono wako wa kulia.
Chuma hunoa chuma; kwa njia ile ile; mtu humnoa rafiki yake.
18 看守无花果树的,必吃树上的果子; 敬奉主人的,必得尊荣。
Yule anayeutunza mtini atakula matunda yake, na yule mwenye kumlinda bwana wake ataheshimiwa.
Kama maji yanavyoakisi taswira ya sura ya mtu, ndivyo hivyo moyo wa mtu humwaksi mtu.
20 阴间和灭亡永不满足; 人的眼目也是如此。 (Sheol )
Kama kuzimu na Uharibifu havitosheki, ndivyo yalivyo macho ya mtu hayawezi kutosheka. (Sheol )
Kalibu ni kwa fedha na tanuru ni kwa dhahabu; na mtu hujaribiwa anaposifiwa.
22 你虽用杵将愚妄人与打碎的麦子一同捣在臼中, 他的愚妄还是离不了他。
Hata kama utamponda mpumbavu kwa mchI- pamoja na nafaka- bado upumbavu wake hautatoka.
23 你要详细知道你羊群的景况, 留心料理你的牛群;
Hakikisha unajua hali ya makundi yako na ujishughulishe juu ya makundi yako,
maana utajiri haudumu daima. Je taji hudumu kwa vizazi vyote?
Majani huondoka na ukuaji mpya huonekana na milima ya chakula cha mifugo hukusanywa ndani.
26 羊羔之毛是为你作衣服; 山羊是为作田地的价值,
Wanakondoo watakupatia mavazi yako na mbuzi watakupatia gharama ya shamba.
27 并有母山羊奶够你吃, 也够你的家眷吃, 且够养你的婢女。
Kutakuwa na maziwa ya mbuzi kwa chakula chako- chakula kwa kaya yako- na chakula kwa watumishi wako wasichana.