< 历代志上 8 >
Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
Gera, Shefufani na Huramu.
Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
7 以忽的儿子乃幔、亚希亚、基拉也被掳去。基拉生乌撒、亚希忽。
Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
8 沙哈连休他二妻户伸和巴拉之后,在摩押地生了儿子。
Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
9 他与妻贺得同房,生了约巴、洗比雅、米沙、玛拉干、
Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
12 以利巴力的儿子是希伯、米珊、沙麦。沙麦建立阿挪和罗德二城与其村庄。
Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
13 又有比利亚和示玛是亚雅 居民的族长,是驱逐迦特人的。
na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
18 伊施米莱、伊斯利亚、约巴都是以利巴力的儿子。
Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
Elienai, Silethai, Elieli,
Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
Hanania, Elamu, Anthothiya,
Shamsherai, Sheharia, Athalia,
Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
29 在基遍住的有基遍的父亲耶利。他的妻名叫玛迦;
Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
30 他长子是亚伯顿。他又生苏珥、基士、巴力、拿答、
Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
32 米基罗生示米暗。这些人和他们的弟兄在耶路撒冷对面居住。
na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
33 尼珥生基士;基士生扫罗;扫罗生约拿单、麦基舒亚、亚比拿达、伊施·巴力。
Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
34 约拿单的儿子是米力·巴力;米力·巴力生米迦。
Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
36 亚哈斯生耶何阿达;耶何阿达生亚拉篾、亚斯玛威、心利;心利生摩撒;
Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
37 摩撒生比尼亚;比尼亚的儿子是拉法;拉法的儿子是以利亚萨;以利亚萨的儿子是亚悉。
Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
38 亚悉有六个儿子,他们的名字是亚斯利干、波基路、以实玛利、示亚利雅、俄巴底雅、哈难。这都是亚悉的儿子。
Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
39 亚悉兄弟以设的长子是乌兰,次子耶乌施,三子是以利法列。
Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
40 乌兰的儿子都是大能的勇士,是弓箭手,他们有许多的子孙,共一百五十名,都是便雅悯人。
Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.