< 約伯記 7 >

1 人生在世,豈不像服兵役﹖人的歲月,豈不像傭工的時日﹖
Je mtu hana kazi ngumu juu ya nchi? Je siku zake si kama siku za mwajiriwa?
2 有如奴工切望陰涼,傭工期待工資:
Kama mtumwa atamaniye sana kivuli cha jioni, kama mwajiriwa atafutaye ujira wake -
3 這樣,我也只有承受失意的歲月,為我注定的苦痛長夜。
hivyo nami nimeumbwa kuvumilia miezi ya taabu; Nami nimepewa taabu - zimeujaza usiku.
4 我臥下時說:「幾時天亮﹖」我起來時又說:「黑夜何時到﹖」我整夜輾轉反側,直到天亮。
Hapo nilalapo chini, najiuliza mwenyewe, 'Lini nitatoka kitandani na lini usiku utatoweka?' Nimejawa na kujitupa huku na huko hadi mwanzo wa siku.
5 我的肉身以蛆蟲與泥皮為衣,我的皮膚破裂流膿。
Mwili wangu umevikwa minyoo na madonda yenye vumbi; maumivu katika ngozi yangu yamekuwa magumu na kisha hutoweka na huendelea tena.
6 我的日月速於織梭,也因無希望而中斷。
Siku zangu zinakimbia kuliko chombo cha kufumia; zinapita bila tumaini.
7 請你記住:我的生命無非像一口氣,我的眼再也見不到幸福。
Mungu, anakumbuka kwamba maisha yangu ni pumzi tu; jicho langu halitaona mema tena.
8 注目於我的,再也見不到我;你的眼看我時、我已不在了。
Jicho lake Mungu, huyo anionaye mimi, halitaniangalia tena; Macho ya Mungu yatanitazama, lakini sitakuwako.
9 他去了,好像雲消霧散;下到陰府的,再也不得上來, (Sheol h7585)
kama vile wingu liishavyo na kutoweka, hivyo wale waendao sheoli hawatarudi tena kabisa. (Sheol h7585)
10 不再回家,本鄉也不認識他。
Yeye hatarudi tena nyumbani kwake, wala mahali pake hapatamtambua tena.
11 為此,我不能再閉口不言,我要吐露我心靈的憂愁,陳述我靈魂的苦楚。
Kwa sababu hiyo sitakizuia kinywa changu; Nitasema juu ya maumivu makubwa ya roho yangu; Nitanung'unika juu ya uchungu wa nafsi yangu.
12 我豈是海洋或海怪﹖你竟派遣警衛把守我。
Je mimi ni bahari au kiumbe cha kutisha baharini hata ukaweka mlinzi juu yangu?
13 我若想:「我的床榻會寬慰我,我的臥舖會減輕我的痛苦。」
Hapo nisemapo, 'kitanda changu kitanifariji, na malazi yangu yatatuliza manung'uniko yangu,'
14 你就以噩夢擾亂我,以異像驚嚇我。
halafu unitishapo kwa ndoto na kunitisha kwa maono,
15 我的心靈寧願窒息,寧死不願受此苦痛。
ili nichague kunyongwa na kufa kuliko kulinda mifupa yangu hii.
16 我已筋疲力盡,活不下去。任憑我去罷! 因為我的日月僅是一口氣。
Ninayachukia kabisa maisha yangu; sitamani siku zote kuwa hai; usinisumbue maana siku zangu hazifai.
17 人算什麼,你竟如此顯揚他,將他置諸心頭,
Je mtu ni nini hata ukatia bidii kwake, na ukaweka akili yako kwake,
18 天天早晨看護他,時刻不斷考察他﹖
na kumwangalia kila asubuhi, na kumjaribu kila mara?
19 你到何時纔不注視我,而讓我輕鬆咽一下唾沫﹖
Je itachukuwa muda gani kabla hujaacha kuniangalia, wala kunisumbua muda wa kutosha kwaajili ya kumeza mate yangu?
20 監察人者啊! 我犯罪與你何干﹖為何叫我當你的箭靶,使我成為你的重擔﹖
Hata kama nimefanya dhambi, itakusaidia nini, wewe ulindaye wanadamu? Kwa nini umenifanya shabaha yako, kiasi kwamba nimekuwa mzigo kwako?
21 為何你不肯容忍我的過錯,寬赦我的罪惡﹖不久我將臥在塵土中,任你尋找我,我已不在了。
Kwa nini hunisamehi makosa yangu na kuniondolea uovu wangu? kwa kuwa sasa nitalala mavumbini; na wewe utanitafuta kwa bidii, lakini sitakuwako.”

< 約伯記 7 >