< Luk 19 >

1 Jisuh ni Jeriko kho dawk a kâen teh khothung vah a kâhlai.
Yesu aliingia mjini Yeriko, akawa anapita katika njia za mji huo.
2 Hatnavah tamuk ka cawng e kacuepoung e tami buet touh a min Zakkheas tie teh ao. Ahni teh ka bawi poung e tami lah ao.
Kulikuwa na mtu mmoja mjini, jina lake Zakayo ambaye alikuwa mkuu wa watoza ushuru tena mtu tajiri.
3 Jisuh teh bangpatet e tami maw tie panue han a ngai dawkvah hmu hane a panki. Hatei ahni teh a rahnoum, taminaw ni a ngue dawkvah hmawt thai awh hoeh.
Alitaka kuona Yesu alikuwa nani, lakini kwa sababu ya umati wa watu, na kwa vile alikuwa mfupi, hakufaulu.
4 Hatdawkvah Bawipa a hmu thai nahanelah hmalah sut a yawng teh thailahei kung buet touh dawkvah a luen. Bangkongtetpawiteh Bawipa teh haw lahoi a tho hanela ao.
Hivyo, alitangulia mbio, akapanda juu ya mkuyu ili aweze kumwona Yesu, kwa maana alikuwa apitie hapo.
5 Hote hmuen koe a pha navah Jisuh ni moung laihoi a khet teh Zakkheas hanelah, karang kum leih, nang im vah ka luen han, telah atipouh.
Basi, Yesu alipofika mahali pale, aliangalia juu akamwambia, “Zakayo, shuka upesi, maana leo ni lazima nishinde nyumbani mwako.”
6 Zakkheas ni karang poung lah a kum teh lunghawicalah hoi a im vah a luen sak.
Zakayo akashuka haraka, akamkaribisha kwa furaha.
7 Ka hmawt e pueng ni a pathoe awh teh, hete tami ni tamikayon im luen hanelah a cei, telah yon a pen awh.
Watu wote walipoona hayo, wakaanza kunung'unika wakisema, “Amekwenda kukaa kwa mtu mwenye dhambi.”
8 Zakkheas ni a kangdue teh Bawipa hanelah, Bawipa, thai haw, tami ka roedeng hanelah ka tawn e hno tangawn ka poe han, hahoi kai ni ka dum e awm pawiteh let pali touh hoi ka patho han, telah atipouh.
Lakini Zakayo akasimama akamwambia Yesu, “Sikiliza Bwana! Mimi nitawapa maskini nusu ya mali yangu, na kama nimenyang'anya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne.”
9 Jisuh ni a thaw teh, sahnin vah hete im dawk rungngangnae a pha toe, hete tami hai Abraham ca sak lah ao.
Yesu akamwambia, “Leo wokovu umefika katika nyumba hii, kwa vile huyu pia ni wa ukoo wa Abrahamu.
10 Bangkongtetpawiteh, tami Capa teh kahmat e tami tawng hane hoi rungngang hanelah doeh a tho telah atipouh.
Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.”
11 Hete lawk ka thai e taminaw koevah hete bangnuenae lawk a dei. Jerusalem kho vah a pha tawmlei toung dawkvah Cathut uknaeram teh tang a kamnue han telah a pouk awh.
Wakati watu walipokuwa bado wanasikiliza hayo, Yesu akawaambia mfano. (Hapo alikuwa anakaribia Yerusalemu, na watu wale walidhani kwamba muda si muda, Ufalme wa Mungu ungefika.)
12 Hatdawkvah, bawi buet touh teh ram uknae kâ a tawn hnukkhu bout tho hanelah kahlatpoung e kho dawk a cei.
Hivyo akawaambia, “Kulikuwa na mtu mmoja wa ukoo wa kifalme aliyefanya safari kwenda nchi ya mbali ili apokee madaraka ya ufalme, halafu arudi.
13 A cei hoehnahlan vah a san hra touh a kaw teh tangka mina buet touh rip a poe. Hahoi teh, ka yinhnuk na thung vah hno yoran awh, telah atipouh.
Basi, kabla ya kuondoka aliwaita watumishi wake kumi, akawapa kiasi cha fedha kila mmoja na kumwambia: Fanyeni nazo biashara mpaka nitakaporudi.
14 Khoram thung e taminaw ni ahni teh a hmuhma awh dawkvah, hete tami heh Siangpahrang lah ao hane ka ngai awh hoeh telah a hnuk lahoi laicei a patoun awh.
Lakini wananchi wenzake walimchukia na hivyo wakatuma wajumbe waende wakaseme: Hatumtaki huyu atutawale.
15 Hote Bawi teh ukkung lah ao hnukkhu hoi bout a ban torei teh, mina a poe e sannaw hah tang a kaw teh nâ yit touh maw na hmu awh telah kâ a poe.
“Huyo mtu mashuhuri alirudi nyumbani baada ya kufanywa mfalme, na mara akaamuru wale watumishi aliowapa zile fedha waitwe ili aweze kujua kila mmoja amepata faida gani.
16 Ahmaloe e tami a tho teh, Bawipa nang ni na poe e tangka mina buet touh hoi alouke hra touh ka hmu, atipouh.
Mtumishi wa kwanza akatokea, akasema: Mheshimiwa, faida iliyopatikana ni mara kumi ya zile fedha ulizonipa.
17 Bawipa ni, ahawi, nang teh san kahawi doeh. Titca e thaw dawk yuem na kamcu dawkvah kho hra touh uk lawih atipouh.
Naye akamwambia: Vema; wewe ni mtumishi mwema. Kwa kuwa umekuwa mwaminifu katika jambo dogo, utakuwa na madaraka juu ya miji kumi!
18 Apâhni e san a tho teh, Bawipa, nang ni na poe e tangka mina buet touh hoi alouke panga touh ka hmu, atipouh.
Mtumishi wa pili akaja, akasema: Mheshimiwa, faida iliyopatikana ni mara tano ya zile fedha ulizonipa.
19 Bawipa ni, kho panga touh uk lawih atipouh.
Naye akamwambia pia: Nawe utakuwa na madaraka juu ya miji mitano.
20 Hatnavah alouke san buet touh a tho teh, Bawipa, nang ni na poe e tangka mina buet touh paroup ao, hnica hoi ka tangoung teh ka kuem.
“Mtumishi mwingine akaja, akasema: Chukua fedha yako; niliificha salama katika kitambaa,
21 Nang teh tami pacipali lah na o dawkvah na taki, na hmoukhoehnae koehoi na la teh, na patûe hoeh e hmuen koe na ka a e lah na o, atipouh.
kwa maana niliogopa kwa sababu wewe ni mtu mkali. Wewe ni mtu ambaye huchukua yasiyo yako, na huchuma ambacho hukupanda.
22 Bawipa ni, san kathout nama e lawk patetlah lawk na ceng han. Kai teh ka hmoukhoehnae hmuen koehoi ka la teh, ka patuehoehnae hmuen koe ka a e, pacipali lah ka o e hah na panuek katang pawiteh,
Naye akamwambia: Nakuhukumu kutokana na msemo wako, ewe mtumishi mbaya! Ulijua kwamba mimi ni mtu mkali, ambaye huchukua yasiyo yangu na kuchuma nisichopanda.
23 bangkongmaw kaie tangka mina hah tangka ka pung sak thai koe na hruek hoeh vaw. Hottelah na hrueng pawiteh kai ka tho toteh a pung khuehoi ka dâw hane hah vaw atipouh.
Kwa nini basi, hukuiweka fedha yangu benki, nami ningeichukua pamoja na faida baada ya kurudi kwangu?
24 Ateng ka kangdout e taminaw koevah, ahni koe e tangka lawm awh, hra touh ka tawn e tami poe awh, telah atipouh.
Hapo akawaambia wale waliokuwa pale: Mnyang'anyeni hizo fedha, mkampe yule aliyepata faida mara kumi.
25 Ahnimouh ni, Bawipa, ahni teh hra touh a tawn toe, telah ati awh.
Nao wakamwambia: Lakini Mheshimiwa, huyo ana faida ya kiasi hicho mara kumi!
26 Ahnimouh koe a dei pouh e teh, ka tawn e tami teh bout poe sin han rah. Ka tawn hoeh tami teh a tawn e patenghai la pouh lah ao han.
Naye akawajibu: Kila aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
27 Hothloilah, kaie uknae ka ngai hoeh e ka tarannaw hah ka hmalah thet awh, telah atipouh, telah ati.
Na sasa, kuhusu hao maadui wangu ambao hawapendi niwe mfalme wao, waleteni hapa, mkawaue papa hapa mbele yangu.”
28 Jisuh ni hete lawk a dei hnukkhu hmalah Jerusalem kho patuen a cei.
Yesu alisema hayo, kisha akatangulia mbele yao kuelekea Yerusalemu.
29 Olive mon dawk kaawm e Bethphage kho hoi Bethani kho a pha tawmlei nah a hnukkâbang kahni touh a patoun teh,
Alipokaribia kufika Bethfage na Bethania, karibu na mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,
30 hmalae kho dawk cet roi nateh na kâen tahma vah kâcui boihoeh rae laca pâkhi lah ao e hah na hmu roi han. Hote hah a rui rasu roi nateh hivah thokhai roi haw.
akawaambia: “Nendeni katika kijiji kilicho mbele yenu. Mtakapokuwa mnaingia kijijini, mtamkuta mwana punda amefungwa ambaye hajatumiwa na mtu. Mfungeni, mkamlete hapa.
31 Tami buetbuet touh ni, bangdawkmaw a rui na rasu tet pawiteh, Bawipa ni a panki tet pouh roi, telah atipouh.
Kama mtu akiwauliza, kwa nini mnamfungua, mwambieni, Bwana ana haja naye.”
32 A cei roi teh Jisuh ni a dei e patetlah bangpuengpa a hmu roi.
Basi, wakaenda, wakakuta sawa kama alivyowaambia.
33 Laca teh a rasu roi lahun navah katawnkung ni, bangkongmaw na rasu, telah atipouh.
Walipokuwa wanamfungua yule mwana punda, wenyewe wakawauliza, “Kwa nini mnamfungua mwana punda huyu?”
34 Ahnimouh roi ni, Bawipa ni a panki, telah a dei pouh.
Nao wakawajibu, “Bwana anamhitaji.”
35 Laca teh Jisuh koe a thokhai roi. Hote la dawkvah hni a padoun awh teh Jisuh a kâcui sak awh.
Basi, wakampelekea Yesu yule mwana punda. Kisha wakatandika mavazi yao juu yake wakampandisha Yesu.
36 A ceinae koe lam dawk hni a phai pouh awh.
Yesu akaendelea na safari, na watu wakatandaza mavazi yao barabarani.
37 Olive mon koe hoi bungling lah kumnae koe a pha toteh, a hnukkâbang tamimaya ni a hmu awh e thao hnosaknae kecu dawkvah, a konawm khai awh teh a lawk kacaipoung lahoi Cathut a pholen awh.
Alipofika karibu na Yerusalemu, katika mteremko wa mlima wa Mizeituni, umati wote na wanafunzi wake, wakaanza kushangilia na kumtukuza Mungu kwa sauti kubwa, kwa sababu ya mambo makuu waliyoyaona;
38 Bawipa min lahoi ka tho e Siangpahrang teh Cathut ni yawhawinae poe lawiseh. Kalvan vah roumnae awmseh. Kalvan a rasang poungnae koe bawilennae awmseh, telah a hram awh.
wakawa wanasema: “Abarikiwe Mfalme ajaye kwa jina la Bwana. Amani mbinguni, na utukufu juu mbinguni!”
39 Hahoi vah taminaw pueng thung dawk hoi Farasi tangawn ni Jisuh teh, saya na hnukkâbangnaw yue haw, atipouh.
Hapo baadhi ya Mafarisayo waliokuwako katika lile kundi la watu, wakamwambia Yesu, “Mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako!”
40 Jisuh ni a dei e teh, hetnaw heh lawkkamuem awm pawiteh talungnaw ni tang a hram awh han, telah atipouh.
Yesu akawajibu, “Nawaambieni, kama hawa wakinyamaza, hakika hayo mawe yatapaza sauti.”
41 Jerusalem kho hoehoe a hnai teh a hmu navah, a ka khai.
Alipokaribia zaidi na kuuona ule mji, Yesu aliulilia
42 Sahnin vah roum nahanelah bangmaw a panki tie na panuek haw boipawiteh, hatei hothateh na hmawt ka lawn awh hoeh.
akisema: “Laiti ungelijua leo hii yale yaletayo amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako.
43 Bangkongtetpawiteh na tarannaw ni tarantuknae puengcang hoi na kalup awh teh avoivang lahoi na kâen sin nahane tueng ka phat han.
Maana siku zaja ambapo adui zako watakuzungushia maboma, watakuzingira na kukusonga pande zote.
44 Hottelah nama hoi na canaw hah talai hoi sue touh lah a palat awh vaiteh, nang thungvah talung buet touh boehai alouke talung van a ohoehnae tueng ka phat han. Bangkongtetpawiteh nang koe khetyawt hanelah tho nahane tueng teh nang ni na panue hoeh dawkvah telah atipouh.
Watakupondaponda wewe pamoja na watoto wako ndani ya kuta zako; hawatakuachia hata jiwe moja juu jingine, kwa sababu hukuutambua wakati Mungu alipokujia kukuokoa.”
45 Jisuh ni bawkim thung a kâen teh hnopai kayawtnaw pueng a pâlei.
Kisha, Yesu aliingia Hekaluni, akaanza kuwafukuzia nje wafanyabiashara
46 Cakathoung dawkvah, Cathut ni ka im teh ratoumnae im lah ao han, telah a thut. Hatei nangmouh ni teh tamrunaw kâhronae im lah na sak awh, atipouh.
akisema, “Imeandikwa: Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala; lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi.”
47 Jisuh ni bawkim vah hnintangkuem a cangkhai. Vaihma bawinaw, cakathutkungnaw hoi tamimaya kahrawikungnaw ni thei han a ngai awh.
Yesu akawa anafundisha kila siku Hekaluni. Makuhani wakuu, walimu wa Sheria na viongozi wa watu walitaka kumwangamiza,
48 Hatei, taminaw pueng ni a lawk atang awh teh buet touh hai pahlout hane a ngai awh hoeh dawkvah ahnimouh ni thei nahane lamthung hmawt thai awh hoeh.
lakini hawakuwa na la kufanya, maana watu wote walikuwa wakimsikiliza kwa makini kabisa.

< Luk 19 >