< Luk 13 >

1 Hatnavah, tami tangawn a tho teh Pailat bawi ni Galilee tami tangawn e a thi teh amamouh hoi amamae thuengnae hoi kâkalawt toe ti teh a dei pouh awh.
Kwa wakataihuo huo, kulikuwa na baadhi watu waliomtaarifu juu ya Wagalilaya ambao Pilato aliwaua na kuchanganya damu yao na sadaka zao.
2 Jisuh ni hote Galilee taminaw teh hottelah a khang awh dawkvah alouke Galilee taminaw pueng hlak hoe a yon awh, telah na pouk a maw.
Yesu akajibu na kuwaambia, “Je mwadhani kuwa Wagalilaya hao walikuwa na dhambi kuliko Wagalilaya wengine wote ndiyo maana wamepatwa na mabaya hayo?
3 Hoe yon awh hoeh, nangmouh hai pan na kângai awh hoehpawiteh rawknae dawk na pha awh han telah a dei pouh.
Hapana, nawaambia, lakini msipotubu, nanyi mtaangamia vivyo hivyo.
4 Hothloilah, Siloam imrasang ni a rawp sin nah kadout e tami hlaitaroe touh teh Jerusalem kho thung e naw pueng hlak hoe a yonnae ao telah na pouk awh maw.
Au wale watu kumi na nane katika Siloamu ambao mnara ulianguka na kuwaua, mnafikiri wao walikuwa wenye dhambi zaidi kuliko watu wengine katika Yerusalemu?
5 Hoe yon awh hoeh, nangmouh hai yon pan na kângai awh hoehpawiteh rawknae dawk na pha awh han telah bout a dei pouh.
Hapana, mimi nasema, lakini kama msipotubu, ninyi nyote pia mtaangamia.
6 Bangnuenae bout a dei e teh tami buet touh ni takha dawkvah a ung e thaibunglung buet touh ao. Hote a kung koe a tho teh a paw a tawng ei hmawt hoeh.
Yesu aliwaambia mfano huu, “Mtu mmoja alikuwa na mtini umepandwa katika shamba lake na alikwenda kutafuta matunda juu yake lakini hakupata.
7 Hatnavah takha ka ring e koe kum thum touh thung hete thaibunglung koe ka tho teh a paw ka tawng ei kahmawt bawi hoeh. Lawt tâ tueng leih, bangkongmaw talai runae na poe telah kâ a poe teh takhakaringkung ni Bawipa takum teh awm ei naseh atipouh.
Akamwambia mtunza bustani, 'Tazama, kwa miaka mitatu nimekuja na kujaribu kutafuta matunda kwenye mtini huu lakini sikupata. Uukate. Kwani ulete uharibifu wa ardhi?
8 Kai ni a kung tengpam ka tai vaiteh talai kahawi ka poe han rah,
Mtunza bustani akajibu na kusema, 'uache mwaka huu ili niupalilie na kuweka mbolea juu yake.
9 Palawng vah a paw bout paw hoehpawiteh tâtueng yawkaw lawih atipouh.
Kama ukizaa matunda mwaka ujao, ni vema; lakini kama hautazaa, uukate!”'
10 Jisuh ni sabbath hnin vah sinakok dawk cangkhainae a sak navah,
Sasa Yesu alikuwa akifundisha katika mojawapo ya Masinagogi wakati wa Sabato.
11 a kum hlaitaroe touh thung kahrai ni a man teh patawnae ka tawn e napui buet touh ao. Hote napui teh a hnamthun teh kangdout thai hoeh.
Tazama, alikuwepo mama mmoja ambaye kwa miaka kumi na minane alikuwa na rohomchafu wa udhaifu, na yeye alikuwa amepinda na hana uwezo kabisa wa kusimama.
12 Jisuh ni hote napui a hmu navah ama koe a kaw teh nange napui, nang teh na patawnae dawk hoi na hlout toe telah kâ a poe navah,
Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, “Mama, umewekwa huru kutoka kwenye udhaifu wako.”
13 ahni dawkvah a kut a toung teh ahni teh tang a kangdue thai teh Cathut a pholen.
Akaweka mikono yake juu yake, na mara mwili wake akajinyoosha na akamtukuza Mungu.
14 Hottelah sabbath hnin Jisuh ni patawnae a dam sak dawkvah sinakok kaukkung a lungkhuek teh thaw tawknae hnin hnin taruk touh ao, hote hnin dawkvah patawnae dam hanelah tho awh. Sabbath hnin tho a hanh telah tamihu koe a dei pouh.
Lakini mkuu wa sinagogi alikasirika kwa sababu Yesu alikuwa amemponya siku ya Sabato. Hivyo mtawala akajibu akawambia makutano, “Kuna siku sita ambazo ni lazima kufanya kazi. Njoni kuponywa basi, si katika siku ya Sabato. '
15 Jisuh ni tami kadumyennaw nangmanaw ni sabbath hnin vah marang, maitonaw hah a im dawk na ta awh teh tui nei hanelah ouk na hrawi awh nahoehmaw.
Bwana akamjibu na akasema, “wanafiki! Hakuna kila mmoja wenu kufungua punda wako au ng'ombe kutoka zizini na kuwaongoza kumpeleka kunywa siku ya Sabato?
16 Abraham e canu kum hlaitaroe touh thung Setan ni a katek e napui heh sabbath hnin vah hlout sak thai mahoeh maw telah atipouh.
Hivyo pia binti wa Abrahamu, ambaye Shetani amemfunga kwa miaka kumi na minane, je haikumpasa kifungo chake kisifunguliwe siku ya sabato?”
17 Hottelah a dei hnukkhu Bawipa ka taran e naw pueng teh yeirai a po awh. Bawipa ni kângairu hnonaw a sak e hah taminaw pueng ni a konawm awh.
Alipokuwa akisema maneno hayo, wale wote waliompinga waliona aibu, bali makutano wote wa wengine walishangilia kwa ajili ya mambo ya ajabu aliyotenda.
18 Cathut uknaeram teh bang hoi maw a kâvan, bang hoi maw bout ka bangnue han telah atipouh.
Yesu akasema, “Ufalme wa Mungu unafanana na nini, na naweza kuulinganisha na nini?
19 Tami buet touh ni hote antam mu hah a la teh, a takha dawk a patue navah, a roung, a kung a len teh kahlun e tavanaw ni a kang dawk a kâhat telah a dei pouh.
Ni kama mbegu ya haradari aliyoitwaa mtu mmoja na kuipanda shambani mwake, na ikamea ikawa mti mkubwa, na ndege wa mbinguni wakajenga viota vyao katika matawi yake.
20 Cathut uknaeram teh bang hoi maw bangnue han telah bout atipouh.
Tena akasema, “Niufananishe na nini ufalme wa Mungu?
21 Napui ni ton a la teh tahawnbu tangthung kathum touh dawk a phuen teh, hote tahawnbu ka po sak e ton hoi a kâvan telah a ti.
Ni kama chachu ambayo mwanamke aliichukua na kuchanganyakwenye vipimo vitatu vya unga hata ukaumuka.”
22 Hatnavah Jisuh teh kho tangkuem a cei teh cangkhainae a sak teh Jerusalem kho lah a cei.
Yesu alitembelea kila mji na kijiji njiani akielekea Yerusalemu na kuwafundisha.
23 Tami buet touh niyah Bawipa rungngang lah kaawm e tami a younca maw kaawm telah a pacei.
Mtu mmoja akauliza, “Bwana, ni watu wachache tu watakaookolewa?” Hivyo akawaambia,
24 Hatnavah kabueng e takhang dawk kâen hanelah panki awh. Bangkongtetpawiteh tami kapap ni kâen han a ngai ei teh kâen thai hoeh telah kai ni ka dei.
“Jitahidi kuingia kwa kupitia mlango mwembamba, kwa sababu wengi watajaribu na hawataweza kuingia.
25 Imkung ni takhang a khan hnukkhu teh nangmouh ni alawilah kangdue laihoi, tho na takhawng awh teh Bawipa, Bawipa kaimouh hane tho paawng ei na ka tet awh nakunghai Bawipa ni nangmanaw nâ hoi ka tho e maw, kai ni na panuek awh hoeh telah bout ati pouh awh han.
Mara baada ya mmiliki wa nyumba kusimama na kufunga mlango, basi mtasimama nje na kupiga hodi mlangoni na kusema, Bwana, Bwana, tufungulie yeye atajibu na kuwaambia, siwajui ninyi wala mtokako.'
26 Hatnavah nangmouh ni kaimanaw teh nama hoi cungtalah ka canei awh toe. Kaimouh kho vah nama ni cangkhainae na sak toe telah na dei ei nakunghai,
Ndipo mtasema, Tulikula na kunywa mbele yako na wewe ulifundisha katika mitaa yetu.”
27 Bawipa ni nangmanaw teh nâ hoi ka tho e maw kai ni na panuek awh hoeh. Hawihoehnae hno na ka sak e taminaw kai koehoi tâcawt awh telah nangmouh koe ati han.
Lakini yeye atawajibu, `nawaambia, siwajui mtokako, ondokeni kwangu, ninyi watenda maovu!'
28 Hatnavah Abraham, Isak, Jakop hoi kamtawng vaiteh profetnaw pueng ni Cathut uknaeram dawk a kâen han, nangmanaw teh alawilah pâlei lah na o awh vaiteh khuikanae, hâ katanae hmuen koe na o han.
Kutakuwa na kilio na kusaga meno wakati mtakapowaona Abrahamu, Isaka, Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, lakini ninyi wenyewe mumetupwa nje.
29 Hatnavah kanîtho, kanîloum, atung, aka lahoi tho awh vaiteh Cathut uknaeram thung a tahung awh han.
Watafika kutoka Mashariki, Magharibi, Kaskazini na Kusini, na kupumzika katika meza ya chakula cha jioni katika ufalme wa Mungu.
30 Hnuk ka teng e tami hma a hman han. Hma ka hman e tami hnuk a teng han, telah atipouh.
Na tambua hili, wa mwisho ni wa kwanza na wa kwanza atakuwa wa mwisho.”
31 Hatnavah Farasi tami tangawn Bawipa koe a tho teh, Herod bawi ni Bawipa nang thei hanlah a ngai dawkvah hie hmuen koehoi tâcawt leih atipouh.
Muda mfupi baadaye, baadhi ya Mafarisayo walikuja na kumwambia, “Nenda na ondoka hapa kwa sababu Herode anataka kukuua.”
32 Bawipa ni cet awh nateh hote asui koe dei pouh awh. Kai teh sahnin tangtho kahraituilinaw ka pâlei vaiteh, patawnae karoumsak han, apâthum hnin thaw ka cum han.
Yesu akasema, “Nendeni mkamwambie yule mbweha, `Tazama, ninawafukuza pepo na kufanya uponyaji leo na kesho, na siku ya tatu nitatimiza lengo langu.
33 Hateiteh, sahnin, tangtho, tawkkahnin e a hninnaw dawkvah kahlawng ka cei han rah. Bangkongtetpawiteh, Jerusalem lawi lah alouke hmuen koe bangpatet e profet nakunghai a due tie awm thai hoeh.
Katika hali yoyote, ni muhimu kwa ajili yangu kuendelea leo, kesho, na siku iliyofuata, kwa vile haikubaliki kumuua nabii mbali na Yerusalemu.
34 Oe, Jerusalem, Jerusalem, nang teh profetnaw pou na thei. Nang na onae koe patoun e taminaw hai talung hoi pou na dêi. Âpui ni a canaw a rathei rahim vah, koung a ramuk e patetlah nange na canaw pâkhueng hanelah avai moikapap lah na ngaikhai ei, nang ni na ngai hoeh.
Yerusalemu, Yerusalemu, nani anawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwenu. Mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wenu kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mbawa zake, lakini humkulitaka hili.
35 Nangmouh na onae im teh tami kingkadi lah ao han. Kai ni ka dei e teh Cathut e ngainae lahoi ka tho e tami teh yawhawinae awm lawiseh telah nangmouh ni na dei hoeh roukrak atu hoi teh nangmouh ni kaie minhmai na hmawt mahoeh telah atipouh.
Tazama, nyumba yako imetelekezwa. Nami nawaambia, hamuwezi kuniona hata mtakaposema 'Amebarikiwa huyo ajaye kwa jina la Bwana.'”

< Luk 13 >