< La Bu 18 >

1 Keiman nangma kangailui Pakai; Nangma hi kathahatna nahi.
Nakupenda, Yahwe, nguvu yangu.
2 Pakai hi kasongpi, kakulpi, chuleh eihuhhingpu ahin, ka Pathen hi kasongpi ahin eiveng tup jing ahi. Amahi kalumdal, eihuhhinga thahat chu ahin, chuleh kahoidohna munpi chu ahi.
Yahwe ni mwamba wangu, ngome yangu, yeye ambaye aniwekae kweye usalama; yeye ni Mungu wangu, mwamba wangu; ninapata kimbilio kwake. Yeye ni ngao yangu, pembe ya wokovu wangu, na ngome yangu.
3 Keiman thangvah dinga lomtah Pakai chu kakouvin, aman kamelmatea kon in eihuhdoh’in ahi.
Nitamuita Yahwe kwa sababu anastahili kusifiwa, na nitaokolewa kutoka kwa adui zangu.
4 Thina khoisatna chun eiumkimvel tan, manthahna twipi chun eichup tan ahi.
Kamba za mauti zilinizunguka, na mafuriko yakimbiayo yalinielemea.
5 Damun lungkhamna chun eiumkimvelin, kalampi a thinan thang akam e. (Sheol h7585)
Kamba za kuzimu zilinizunguka; mitego ya mauti ilininasa. (Sheol h7585)
6 Kalungkhamval phatnin Pakai chu kakouvin, ka Pathen komma chun panpi ngaichan kataovin Aman ahouin thenga kon in kataona asangin ahi.
dhiki yangu nilimuita Yahwe; Niliita msaada kwa Mungu. Naye alisikia sauti yangu kutoka hekaluni mwake; kuita kwangu msaada kulienda mpaka uweponi mwake; na kuingia masikioni pake.
7 Hijouchun leisetakilingin akihot e. Molbul ho jeng jong kihot e ajeh chu Pathen lunghang a ahi.
Kisha nchi ikatikisika na kutetemeka; misingi ya milima pia ilitetemeka na kutikiswa kwa sababu Mungu alikuwa amekasirika.
8 Pakai nahhom a meikhu ahung potdoh'in, meikou gimneitah akam a kon in ahungkou doh’in chuleh Mei-am al lenglung Ama-a kon in ahung koudoh’in ahi.
Moshi ulifuka kutoka kwenye pua zake, na moto mkali ulitokea mdomoni mwake. Makaa yaliwashwa kwa moto huo.
9 Aman vanho chu ahongdoh’in meilom thimletlut chu ahin chotphan ahung kumsuh in,
Yeye alizifunua mbingu na alishuka chini, na giza nene lilikuwa chini ya miguu yake.
10 Pakai chu vantil pipui khat chunga atouvin, huipi chu alhavingin amangin alengin ahi.
Alipanda kwenye kerubi na akaruka; alinyiririka kwenye mabawa ya upepo.
11 Pakai chu muthim in ahung kitom in, meilom twi jingletlut pumin ahung lhungin ahi.
Yahwe alilifanya giza kuwa hema likimzunguka yeye, wingu la mvua zito katika mbingu.
12 Pakai vah’in ahintom chu meilom satah’in ahinkhu khum in gelchang le mei-am chu gojuh’in ahung julhan ahi.
Mawe ya barafu na makaa ya moto yalianguka kutoka katika mwangaza kabla yake.
13 Pakai chu vanna kon in ahung kisen in hatchungnung ogin chu gelchang leh mei-am koulah achun akithongin ahi.
Yahwe aliongea katika mbingu! Sauti ya aliye juu ilisikika.
14 Aman athalpi ahin kapmin agalmiho chu athecheh’in, avah em lahlah chun amaho chu asuboi gamtan ahi.
Yeye aliifyatua mishale yake na kuwatawanya adui zake; na radi nyingi zenye mwanga alizitawanya katika maeneo tofauti tofauti.
15 O Pakai nangin nagalmi ho naphoa lunghangtah a nakisen chun twikhanglen ato geijin akikangin, leiset bulpi jouse jong akeuvin aumjie.
Ndipo mifereji ya maji ilitokea; misingi ya dunia ikadhihirishwa kwa mlio wa pigo lako, Yahwe kwa sauti ya pumzi ya pua zako.
16 Aman vanna kon in akhut ahin lhangin eihin kaidoh’in, twipi thuh lah’a kon in jong eikaidoh’in ahi.
Yeye alishuka chini kutokea juu; akanishikilia mimi! Akanivuta nje ya maji yafurikayo.
17 Aman kagalmi hattah tah ho a konin eihuh doh in, kasang a hatjo valeidougal hoa kon in eihuhdoh’in ahi.
Aliniokoa kutoka kwa maadui zangu wenye nguvu, kutoka kwa wale ambao walinichukia mimi, kwa kuwa walikuwa na nguvu sana kuliko mimi.
18 Hahsatna kato pettah’in amahon eihin delkhum un ahinlah Pakaiyin eipanpin ahi.
Wao walikuja kinyume na mimi katika siku ile ya dhiki yangu lakini Mungu alikuwa msaada wangu!
19 Aman kahoidohna munnah eipuilut in eihuhdoh tai ajeh chu ama kipana kahi.
Yeye aliniweka huru katika eneo pana la wazi; yeye aliniokoa kwa sababu alipenezwa nami.
20 Pakaiyin thildih kaboljeh in kipaman eipen mona kaneilou jeh’in eikiledohsah tai.
Yahwe amenitunuku mimi kwa sababu ya haki yangu; yeye amenirejesha mimi kwa sababu mikono yangu ilikuwa misafi.
21 Keiman Pakai lampi kajui in, thilse lam jon’in Pathen’a kon’in kakiheimang poi.
Kwa kuwa nimezitunza njia za Yahwe na sijafanya uovu wa kumgeuka Mungu wangu.
22 Keiman Pakai chonphatna lampi kajui jingin, adaan thupeh ho kapaidoh khapoi.
Kwa kuwa amri zake zote za haki zimekuwa mbele yangu; kama asemavyo, sijaenda kinyume nazo.
23 Pathen masangah nolnabei kahin, chonsetna kon’in kaki kangse jing e.
Pia nimekuwa sina hatia mbele zake, na nimejiweka mwenyewe mbali na dhambi.
24 Pakaiyin thildih kaboljeh in Aman kipaman eipejin ahi. Aman themmonabei kahi amui.
Hivyo Yahwe amenirejesha kwa sababu ya haki yangu, na kwa sababu mikono yangu ilikuwa safi mbele ya macho yake.
25 Mikitah kom’ah nangmatah jong nakitah’in, monabei ho kom’ah monabei nahi.
Kwa yeyote aliye mwaminifu, jionyeshe wenyewe kuwa mwaminifu; kwa mtu asiye na lawama, jionyeshe mwenyewe kuwa usiye na lawama.
26 Milungtheng ho kom’ah nalungtheng in ahinlah miphalouho kom’ah nakhohjin ahi.
Kwa yeyote aliye msafi, jionyeshe mwenyewe safi; bali ni mjanja kwa yeyote aliye geuzwa.
27 Nangin mikineosah ho nahuhdohjin ahinla mikiletsah ho nasujumjin ahi.
Kwa kuwa wewe huwaokoa watu walio taabishwa, lakini wewe huwashusha chini wale wenye majivuno, yaani macho yaliyo jinua!
28 Nangin thaomei neidetpeh’in, Pakai ka Pathen’in kamuthim jong neisalvah peh e.
Kwa kuwa wewe huipa mwanga taa yangu; Yahwe Mungu wangu hutia mwanga giza langu.
29 Nangma hatna chun kagalmi hi neisuhchip peh’in ka Pathen toh kapankhom poupouleh itobang bang sang hijongleh kakal ngapchan ahi.
Kwa kuwa kwa kupitia wewe ninaweza kuruka juu ya kiwazo kilichowekwa; kupitia Mungu ninaweza kuruka juu ya ukuta.
30 Pathen lampi chu nolnabei ahi! Pakai kitepna jouse alolhing jinge. Amahi ahuhdoh ding ngaicha jouse dinga lum le pho ahi.
Kama kwa Mungu: njia yake ni kamilifu. Neno la Yahwe ni safi! Yeye ni ngao kwa yeyote anaye kimbilia katika yeye.
31 Pakai tailou Pathen dang um’am? Pathen tailou songpi detdang um’am?
Kwa kuwa nani ni Mungu ispokuwa Yahwe? Nani ndiye mwamba ispokuwa Mungu wetu?
32 Hiche Pathen hin eihatdoh sah’in kalampi jong hoibitnapen ahisah ahi.
Ni Mungu anitiaye nguvu ndani yangu kama vile mkanda, ambaye humweka mtu mwenye lawama katika njia yake.
33 Aman molsang hahsa chung dunga kadindet theina din kakeng jong sakhi keng bang’in atah sah e.
Yeye hunifanya miguu yangu kuwa myepesi kama mbawala na kuniweka mahali pa juu!
34 Aman kakhut teni jong galsatna a manthei dingin agongin, kabanjang jong sum-eng thalpi loithei dingin ahatsah’in ahi.
Yeye hufunza viganja vyangu kwa ajili ya vita na mikono yangu kupiga upinde wa shaba.
35 Nangman nagaljona lum chu neipetan nabanjetnin neipanhun ahi. Neikithopina hin eithupi sah’in ahi.
Wewe umenipa mimi ngao ya wokovu. Mkono wako wa kuume umenisaidia, na neema yako imenifanya kuwa mkubwa.
36 Nang man kakeng phang tenin alhonal louna dingin kalampi neikehlet peh’in ahi.
Wewe umetengeneza nafasi pana kwa ajili ya miguu yangu ili miguu yangu isiteleze.
37 Keiman kagalmite kadel’in kaman’in ahi; amahohi kajo kahsen katangpon ahi.
Ninawashawishi adui zangu na kuwakamata; nami sikurudi nyuma mpaka walipo haribiwa.
38 Amahohi ahung kithodohjou louna diuvin kasat lhun kakeng noijah akijammun ahi.
Niliwashambulia hata hawakuweza kuamka; nao wameangukia chini ya miguu yangu.
39 Nangin kagalsatna dingin thahatnan neivon in; Nangman kagalmite chu kakengphang noi a neikoipeh e.
Kwa kuwa unanitia nguvu kama mshipi kwa ajili ya vita; wewe unawaweka chini yangu wale ambao wanainuka kinyume na mimi.
40 Nangin angongchang’u neichotpha sah’in eivetda ho jouse chu kasumang sohtan ahi.
Wewe ulinipa visogo vya maadui zangu; niliwaagamiza wale walio nichukia.
41 Amahon panpi athummun koiman ahung huhdoh pouve. Amahon Pakai akouvun ahinla Aman adonbut pon ahi.
Wao waliita msaada lakini hakuna aliye wasaidia; walimuita Yahwe, lakini hakuwaitikia.
42 Keiman amaho chu huilah a vutvai kithethang bangin tol ah kagoibong sel’in, bonlhoh lah’a kasunat gamatai.
Niliwapiga wao katika vipande vidogo vidogo kama vile vumbi mbele ya upepo; niliwatupa nje kama udongo mtaani.
43 Nangin eihouse jing ho chungah galjona neipetan ahi. Nangin namtin vaipi chungah vaihom’in neipansah tan ahi. Kanahet phahlou miho jeng jong kalhachan ahungpang tauvin ahi.
Wewe uliniokoa mimi kutoka katika migogoro ya watu. wewe umenifanya kichwa juu ya mataifa. Watu ambao sikuwahi kuwafahamu huntumikia.
44 Kamin ajah jah’un kanoijah alutnun gamchommi hojeng jong ka-anga akisunem gamtauvin ahi.
Pindi tu waliposikia kuhusu mimi, wao walinitii; wageni walilazimishwa kunisujudu.
45 Hansanna aneijou tapouvin kithing pumpum’in ka-ang ahinbel tauvin ahi.
Wageni walitoka kwenye ngome yao wakitetemeka.
46 Pakai ahing jinge, kasongpia apanjeh’in kathangvah e! Kasochatna ka Pathen chu loupi jing tahen!
Yahwe anaishi; mwamba wangu usifiwe. Ainuliwe Mungu wa wokovu wangu.
47 Amahi eibolse ho lethuh jinga ka Pathen chu ahin, aman namtin vaipi hi eisuhnem peh’in kanoijah eikoipeh tai.
Yeye ni Mungu ambaye hutelekeza visasi kwa ajili yangu, ambaye huwatiisha mataifa chini yangu.
48 Chuleh kagalmitea kon in eihuhdoh’in nangman kagalmiten aphah joulouna munnah neikoijin, eidouva mi-engse hoa kon in neihoidohsah tan ahi.
Nimewekwa huru kutoka kwa adui zangu! wewe uliniinua juu ya wale walioinuka kunyume na mimi! Wewe uliniokoa kutoka kwa watu wenye vurugu.
49 Hichejeh hin O Pakai namtin vaipi lah’a nathangvah ingkate, namin vahchoinan la sangnge.
Kwa hiyo nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya mataifa; Nitaliimbia sifa jina lako!
50 Nangin leng a natun pa din goljona loupitah chu napetai; Chuleh nathaonupa David leh achilhahte chung nalungset longlou namusah e.
Mungu hutoa ushindi mkuu kwa mfalme wake, na yeye huonyesha uaminifu wa agano lake kwa mpakwa mafuta wake, kwa Daudi na ukoo wake milele.

< La Bu 18 >