< Minbu 28 >

1 Pakaiyin Mose henga thu aseipeh tan ahi.
Bwana akamwambia Mose,
2 Israel mite henga hiti hin seijin, keima dinga govam thilto keima neh ding, hochu kipel lou hela aphat cha ka henga na hin lhut jing diu ahi.
“Wape Waisraeli agizo hili na uwaambie: ‘Hakikisheni kwamba mnaniletea mimi kwa wakati uliowekwa chakula kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kwa moto, kama harufu nzuri ya kupendeza.’
3 Chule amaho henga hitia hi naseipeh ding, nanghon Pakai dinga govam thilto nabol diu chu hiche hi ahi. Nisih le abei theilou ding thiltoa pang ding, kumkhat lhingsa, kelngoichal nolna bei natodoh jing diu ahi.
Waambie: ‘Hii ni sadaka ya kuteketezwa kwa moto mnayomtolea Bwana: wana-kondoo wawili wa mwaka mmoja wasio na dosari, kama sadaka ya kawaida ya kuteketezwa kila siku.
4 Hitia chu kelngoi khatpen chu jingkah lama nato doh diu, khatma chu nilhah lama na todoh diu ahi.
Andaa mwana-kondoo mmoja asubuhi na mwingine jioni,
5 Chule lhosohga thilto a pangdia chang bong neldisel ephah dim khat hopsomma hopkhat le thaotui kiheh lhasa Hin dim khat, hopsomma hopsom a hopli toh kihelsa jaona natodoh ding ahi.
kila mmoja atolewe pamoja na sadaka ya nafaka sehemu ya kumi ya efa ya unga laini uliochanganywa pamoja na robo ya hini ya mafuta ya zeituni.
6 Hiche thilto hi beitih neilou pumgo thiltoa pang jing dinga Sinai molchunga thupeh anahitai.
Hii ni sadaka ya kawaida ya kuteketezwa iliyoanzishwa katika Mlima Sinai kama harufu nzuri ya kupendeza, sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto.
7 Lengpitwi jaona to ding chu kengoi khat cheh jaona to ding ahi jeh chun Hin dimkhat hoplia hopkhat jaona hi ding ahi. Muntheng laiya hiche lengpitwi thengsel hi Pakai dinga nasun lhah ding ahi.
Sadaka ya kinywaji itakayotolewa pamoja na kila mwana-kondoo ni robo ya hini ya kinywaji kilichochachuka. Mimina sadaka ya kinywaji kwa Bwana mahali patakatifu.
8 Chule kelngoi khatpen jong chu nilhah lam teng natodoh ding, jingkah lama na thilto banga lhosoh leh lengpi twi ki bolna banga, meiya govam thiltoa nabol ding Pakai dinga gim namtui tah naso ding ahi.
Andaa yule mwana-kondoo wa pili jioni, pamoja na sadaka ya nafaka na sadaka ya kinywaji kama ulivyofanya kwa ile sadaka nyingine ya asubuhi. Hii ni sadaka iliyotolewa kwa kuteketezwa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
9 Cholngah nikho seh le kelngoi achal ni kumkhat lhingsa nolna bei na todoh diu, lhosohga thilto dinga jong changbong neldisel Ephah dim khat hopsom ma hopkhat thaotui toh helsa hi ding, lengpitwi jaona hi ding ahi.
“‘Siku ya Sabato, utatoa sadaka ya wana-kondoo wawili wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari pamoja na sadaka yake ya kinywaji na sadaka ya nafaka yenye uzito wa sehemu mbili za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta.
10 Hichu bei tih nei louva pumgo thilto kitoh le lengpitwi sim louva jong, hichu cholngah nikho seh a thilto ding chengse ahi.
Hii ni sadaka ya kuteketezwa itakayotolewa kwa ajili ya kila Sabato, pamoja na sadaka ya kawaida ya kuteketezwa na sadaka yake ya kinywaji.
11 Kum sunga lha na sim nau lha kipat na jong chu Pakai dinga thilto na bol diu ahi. Kumkhat lhingsa bongchal ni nolna bei hel leh kengoi chal khat toh kelngoi achal sagi jaona hi ding ahi.
“‘Siku ya kwanza ya kila mwezi, mtamletea Bwana sadaka ya kuteketezwa ya fahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasiokuwa na dosari.
12 Chule bongchal khat cheh toh to tha dinga lhosohga thilto ding changbong neldisel Ephah dim khat hopsom ma hop thum thaotui jaona hi ding ahi. Kelngoi chal khat toh totha ding changbong neldisel ephah dim khat hopsomma hopni thaotui toh helsa hi ding ahi.
Pamoja na kila fahali, kutakuwa na sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa, uliochanganywa na mafuta, pamoja na kondoo dume mmoja, sadaka ya nafaka ya unga laini uliochanganywa na mafuta;
13 Kelngoi chal khat cheh toh totha dinga lhosohga thilto jaona ephah hopsomma hop khat thaotui jaona hiding, hichengse chu gimnam tuitah pumgo thiltoa pang ding, Pakai dinga meiya govam thilto ding ahi.
pamoja na kila mwana-kondoo, sadaka ya nafaka yenye uzito wa sehemu ya kumi ya efa ya unga laini uliochanganywa na mafuta. Hii ni kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, harufu nzuri, sadaka ya kuteketezwa iliyotolewa kwa moto kwa Bwana.
14 Lengpitwi thilto ding chu bongchal khat dinga lengpitwi Hin khat hopthumma hopkhat dim hiding, chule kengoi khat jaona toding chu Hin dimkhat hoplia hop khat hiding, hichengse hi kumkhat sunga lhaseh le pumgo thiltoa pang ding ahi.
Pamoja na kila fahali kutakuwa na sadaka ya kinywaji nusu ya hini ya divai; pamoja na kila kondoo dume, theluthi moja ya hini, na pamoja na kila mwana-kondoo robo hini. Hii ni sadaka ya kuteketezwa ya kila mwezi itakayotolewa kila mwandamo wa mwezi kwa mwaka.
15 Chule Pakaija chonset thilto dinga manchah ding chu kelngoichal khat hiding, hichu tantih nei louva to jing ding pumgo thilto lengpitwi komma chu todoh ding ahiye.
Zaidi ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa pamoja na sadaka yake ya kinywaji, mbuzi mmoja dume atatolewa kwa Bwana kama sadaka ya dhambi.
16 Chule lhamasa pen nisom leh nili lhin nikho hi Pakai dinga kalchuh kut ahi.
“‘Katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza, itafanyika Pasaka ya Bwana.
17 Hiche lha nisom le ninga lhinni hi kut nikho ding ahin, nisagi sunga cholsolou changlhah jeng naneh diu ahi.
Katika siku ya kumi na tano ya mwezi huo itakuwa sikukuu; kwa siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu.
18 Kut nikho masapen nile khoppi theng kibol ding, hiche nikho teng natoh nabol lou hel diu ahi.
Katika siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu, msifanye kazi za kawaida.
19 Meiya govam thilto hichu Pakaija dinga natoh doh nikhou hiding ahi. Hiche dinga chu bongchal ni leh kelngoi chal khat jaona chule kumkhat lhingsa cheh kengoichal sagi jaona hiding ahi. Hichengse chu nolna bei jing hidiu ahi.
Leteni mbele za Bwana sadaka ya kuteketezwa, sadaka ya kuteketezwa ya mafahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja na wana-kondoo dume saba wenye umri wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
20 Hichengse toh totha ding chu lhosohga thilto changbong nel disel thaotui toh Ephah dim khat hopsom ma hopthum chu bongchal khat toh nato tha diu, kelngoi chal khat dinga Ephah dim khat hopsom ma hopni jaona na to ding ahi.
Pamoja na kila fahali, andaa sadaka ya nafaka sehemu tatu za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, andaa sehemu mbili za kumi za efa;
21 Kelngoi chal khat toh totha dinga ephah dim khat hopsomma hop khat jaona kelngoichal sagi ding ahi.
pia pamoja na kila mmoja wa wale wana-kondoo saba, andaa sehemu ya kumi ya efa.
22 Na boncha diuva chonset ki thoidam na thilto a pang dinga kelchal khat jong hi ding ahi.
Pia mtoe beberu mmoja kama sadaka ya dhambi ambaye atafanya upatanisho kwa ajili yenu.
23 Jingkah seh le tantih neilouva kitoh doh thilto pumgo thilto sim louva hichengse jong hi todoh ding ahi.
Andaa hizi licha ya zile sadaka za kawaida za kuteketezwa za kila asubuhi.
24 Ni sagi sunga hitia chu nabol jing diu, nisih leh meiya govam ding, Pakai anneh ding hichu gimnam tuitah dinga natodiu, hiche jong hi tantih neilou kitoh pumgo thilto leh lengpitwi ki todoh na muna chu na todoh diu ahi.
Kwa njia hii andaa chakula cha sadaka ya kuteketezwa kila siku, kwa siku saba kama harufu nzuri impendezayo Bwana. Hii itaandaliwa licha ya ile sadaka ya kawaida ya kuteketezwa ya kila siku pamoja na sadaka yake ya kinywaji.
25 Ni sagi lhinni leh khoppi khat na bol diu, hiche nikho a chu na toh hahsa na bol lou hel diu ahi.
Siku ya saba mwe na kusanyiko takatifu na msifanye kazi zenu za kawaida.
26 Hapta seh le kut na bol jing diu, Pakai dinga lhosoh thilto changthah na hin todiu, lhoh sohga masa na hin to nikhou jong leh khoppi theng na nei diu, hiche nikho sih le chun natoh hahsa na bol thei lou diu ahi.
“‘Siku ya malimbuko, mnapomletea Bwana sadaka ya nafaka mpya wakati wa Sikukuu ya Majuma, mwe na kusanyiko takatifu na msifanye kazi zenu za kawaida.
27 Hiche ho jouse sanga chu Pakai dinga gim namtui pumgo thilto na todoh joh diu ahi. Hichu bongchal golni kelngoi chal khattoh achal cheh sagi jaona hi ding, kelngoi hose chu aboncha kum khat lhingsa cheh hi ding ahi.
Mlete sadaka ya kuteketezwa ya mafahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na pia wana-kondoo saba wenye umri wa mwaka mmoja, kama harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
28 Lhosohga thilto toh tho ding chu bongchal khat jaona changbong neldisel thaotui toh halsa Ephah dim khat hopsom ma hop thum hi ding, kelngoi chal khat dinga hopsom ma hopni bou hi ding ahi.
Pamoja na kila fahali itatolewa sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, andaa sehemu mbili za kumi za efa za unga laini;
29 Kelngoi chal sagi hi ding chu khat cheh dinga hopsom ma hop khat hi ding ahi.
na sehemu ya kumi ya efa ya unga laini kwa kila mmoja wa wana-kondoo saba.
30 Na kithoi dam na diuva kelchal jong hi ding ahi.
Ongeza beberu mmoja kwa kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
31 Tantih nei louva ki bol leh lhosohga thilto kibol tai louva jong nanghon hichengse chu na todoh diu, lengpitwi thilto jaona natotha diu, thilto jouse chu nolna bei hel hi ding ahi.
Andaa hizi sadaka pamoja na sadaka zake za vinywaji, kuwa nyongeza ya sadaka za kawaida za kuteketezwa, pamoja na sadaka yake ya nafaka. Hakikisha kuwa wanyama hao hawana dosari.

< Minbu 28 >