< Potdohbu 27 >

1 Chule maicham ding'a thinggi thing naman chah ding, maicham chu bempel'a kisem hi ding, hichu tong nga'a sao hiding, maicham chu abem pilla kisem hiding, asan lam vang chu tong thumma kisem ding ahi.”
Nawe fanya madhabahu ya mti wa mshita, urefu wake utakuwa ni dhiraa tano na upana wake dhiraa tano. Hiyo madhabahu itakuwa mraba na kwenda juu kwake kutakuwa dhiraa tatu.
2 Maicham gol'a pang ding'a aki li na sem ding, aki sese chu maicham toh kigom khom cheh ding, hiche aki chengse chu sana'a natom jolsel ding ahi.
Nawe fanya pembe nne kama mfano wa pembe za ng'ombe. Hizo pembe zitakuwa za kitu kimoja na madhabahu, nawe utayafunika kwa shaba.
3 Vutvam ho lo doh nading'a bel phabep khat na sem ding, khe keh jong phabep khat nasui ding, twibel jong chule sumkhe jong nasem ding khangbel phabep khat jong nasem ding, manchah thilkeu jouse chu aboncha sum eng jeng a kisem hicheh cheh ding ahi.
Lazima vyombo vyake vya kuyaondoa majivu yake utavifanya, na majembe yake, na mabakuli yake, na uma zake, na meko yake. Vyombo vyake vyote utavifanya vya shaba.
4 Maicham'a pansa ding chu kipheh chah kheh khat nasem ding, hichu len pheh'a kipheh chah kheh bang a na sem ma achunga chu sum eng koli jen na koi ding ahiye.
Nawe uifanyie hiyo madhabahu wavu wa shaba. Kisha utie pete nne za shaba katika hizo pembe nne za ule wavu.
5 Hichu maicham thinggi jol noija chu na koi ding, hitia chu lenpheh'a kipeh chah kheh chu akimlai tah'a hung kijung lhah ding ahiye.
Nawe lazima uweke huo wavu chini ya kizingo kiizungukacho madhabahu upande wa chini.
6 Maicham putna ding'a moljol ni nasem ding hichu thinggi jeng na sem ding aboncha sana'a na tom jolsel ding ahi.
Nawe fanya miti kwa ajili ya madhabahu, miti ya mshita, na kuifunika shaba.
7
Na hiyo miti itatiwa katika viduara, na ile miti itakuwa katika pande mbili za madhabahu, wakati wa kuichukua.
8 Hichu thingpel tabang'a nasem ding, alai nahom sah ding, molsang lama na kimusah bang a aboncha na bol sohkei ding ahi.
Uifanye ya mbao, yenye mvungu ndani yake kama ulivyooneshwa mlimani.
9 Houbuh munlaise chu pal naget khum cheh cheh ding, lhang lama pang ding pondal kikhai lha chengse chu tupat pon nemma kikhong hiding hichu pondal tong jakhat a sao naman chah ding ahi.
Nawe ufanye ua wa maskani. Upande wa kusini wa kuelekea kusini kutakuwa na chandarua ya nguo ya kitani nzuri yenye kusokotwa, kwa huo ua, urefu wake upande mmoja utakuwa ni dhiraa mia moja.
10 Akikhai lhah na ding khom jong agomma somni hiding, aboncha keija sum eng jeng'a kisem hiding ahiye. Akhompi'a pang ding le aning lah'a chengse vang chu aboncha dangka a kisem cheh cheh hi ding ahi.
Na nguzo zake zitakuwa nguzo ishirini, na vitako vyake ishirini, vitako vyake vitakuwa vya shaba kulabu za zile nguzo na vitanzi vyake vitakuwa vya fedha.
11 Pal kigen sah lamse'a chu pondal na khai lhung kei ding, aboncha sum eng jeng jakhat'a kikhai lha'a nasem ding, akhom ning dung'a pang thih koi chengse le alutom ho jouse aboncha dangka'a na sem peh ding ahi.
Ni vivyo hivyo upande wa kaskazini, urefu wake hiyo chandarua utakuwa ni dhiraa mia moja, na nguzo zake ishirini, na vitako vyake ishirini vitakuwa vya shaba, kulabu za zile nguzo na vitanzi vyake vitakuwa vya fedha.
12 Nilhum lama pang pal kigen avaiya um chengse chu somnga jeng na khailhah ding, khompi som khat se chu atunlut nadinga somkhat cheh kisem ding ahi.
Na upande wa magharibi, upana wa ua kutakuwa na chandarua ya dhiraa hamsini; nguzo zake kumi, na vitako vyake kumi.
13 Nisom lama pal kigen maiya chu avai lang pang tong somnga nasem ding ahi.
Na upana wa ule ua upande wa mashariki kuelekea mashariki utakuwa ni dhiraa hamsini.
14 Kelkot'a pat alang khat sese a pondal vangchu tong som le tong nga'a sao ding, atun nading khom phung thum toh khomko thum hitha teitei ding ahi.
Chandarua upande mmoja wa lango itakuwa dhiraa kumi na tano upana wake. Lazima nguzo zake zitakuwa tatu na vitako vyake vitatu.
15 Alang khat'a pang ding pondal jonchu tong som le tong nga hiding, akhom pi phung thum jaona atunna ding thum toh hitha ding ahi.
Upande wa pili ni vivyo hivyo chandarua ya dhiraa kumi na tano; nguzo zake tatu, na vitako vyake vitatu.
16 Kelkot'a pang ding pondal chu tong somni jen hiding, pon sen-ao thim leh pondup chule ponsandup thim hichu tupet pon nemma ki khong hi ding, hichu phatah'a na jep pol cheh cheh diu ahiye.
Na kwa lile lango la ua patakuwa na kisitiri cha dhiraa ishirini, kitakuwa cha nguo ya rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na kitani nzuri yenye kusokotwa, kazi ya mshonaji taraza; nguzo zake zitakuwa nne, na vitako vyake vinne.
17 Pal kiget'na a pang khom jouse chu aboncha dangka jeng'a na jep ding, khom phung chengse vang chu sum eng'a kijem hiding ahi.
Nguzo zote za ule ua ziuzungukao pande zote zitakuwa na vitanzi vya fedha; kulabu zake za fedha, na vitako vyake vya shaba.
18 Pal kigen chu tong jakhat lhing ding, a vailam chu tong somnga jen hi ding, asan lam vang chu tong nga hi ding ahiye; hichengse chu aboncha tupat pon nemma ki khong jeng kikhai lha ding ahi.
Urefu wa huo ua utakuwa dhiraa mia moja, na upana wake utakuwa dhiraa hamsini kotekote, na kwenda juu kwake dhiraa tano; yawe ya nguo ya kitani nzuri, na vitako vyake vitakuwa vya shaba.
19 Hiche thil manchah jouse chu aboncha keiya, thil khaina jouse hihen lang, pal geiya ki khailha ding jouse hi jong le abon chakeija sum-eng jeng'a kisem naman chah diu ahiye.
Vyombo vyote vya maskani vitumiwavyo katika utumishi wake wote, na vigingi vyake vyote, na vigingi vyote vya ule ua, vitakuwa vya shaba.
20 Nangman Israel chate ho thu na peh ding, amahon Olive'a ki ladoh thaomei thengsel chu ahin choi uva; a Ima tih channa kivah vah jeng ding a thaomei chu ahin tundoh diuva ahi.
awe waamuru wana wa Israeli wakuletee mafuta ya zeituni safi ya kupondwa kwa ajili ya nuru, ili kufanya ile taa kuwaka daima.
21 Kikhopna ponbuh sung ahin, chule het-tohsahna ponbuh mailam ma Aaron le achapaten hiche thaomei chu nilhah lama pat jingkah khovah chan geiya, Pakai angsung a akisah lal peh diu ahi.” Hichengse hi aboncha Israel chate ding a akhang akhang lhung keiyuva anit jing diu le chonna dan a aneijing diu ahiye.
Ndani ya ile hema ya kukutania, nje ya hilo pazia, lililo mbele ya huo ushuhuda, Haruni na wanawe wataitengeza tangu jioni hadi asubuhi mbele ya BWANA; itakuwa ni amri ya milele katika vizazi vyao vyote kwa ajili ya wana wa Israeli.

< Potdohbu 27 >