< 2 Lengte 24 >

1 Jehoiakim vaihom laijin Babylon lengpa Nebuchadnezzer in Judah gam’ah gal ahin sattan ahileh, Jehoiakim in kisatpi louvin amale agamsung jouse chu Nebuchadnezzer khut’ah ana kipelut tan ahi. Aman kum thum sungin kai anapen, chuche jouvin akiphintan ahi.
Katika siku za Yehoyakimu, Nebukadreza mfalme wa Babeli akaiteka Yuda; Yehoyakimu akawa mtumishi kwa muda wa miaka mitatu. Kisha Yehoyakimu akarudi na kuasi dhidi ya Nebukadreza.
2 Hichun Pakaiyin Babylon mite, Syria mite, Moab mite, Ammon mite ahin tildoh in Pakaiyin themgao ho kam’a ana phondoh sahbang bangin aguilhung tan ahi.
Yahwe akatuma vikosi vya Wakaldayo dhidi ya Yehoyakimu, Washami, Wamoabu, na Waamoni; akawatuma dhidi ya Yuda kuiharibu. Hii ilikuwa ni kuthibitisha pamoja na neno la Yahwe ambalo aliloliongea kupitia watumishi wake manabii.
3 Hitobang hamsetna Judah gam’ah ahunglhun hi Pakai thupeh akon ahi. Aman amitmu’a kona Judahte atolmang kigutna ajeh hi Manasseh in thilse tamtah ana boldoh jeh ahi.
Ilikuwa baada ya mda mfupi kwenye kinywa cha Yahwe kwamba hili likaja juu ya Yuda, kuwaondoa usoni mwa uso wake, kwa sabau ya dhambi za Manase, yote aliyoyafanya,
4 Chule Jerusalem a themmona neilou thisan anaso’a ana hesosah jeh ahi, Pakaiyin hichu a ngaidam lou ahi.
na pia kwa sababu ya damu isiyokuwa na hatia aliyoimwaga, kwa kuijaza Yerusalemu kwa damu isiyokuwa na hatia. Yahwe hakuwa tayari kusamehe hilo.
5 Jehoiakim vaihom sunga thilsoh dangho jouse jong Judahte lengho thusim kijihna lekhabua aumin ahi.
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Yehoyakimu, na yote aliyoyafanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
6 Jehoiakim chu athi phat’in, achapa Jehoiachin lengin ahung pangtan ahi.
Yehoyakimu akalala pamoja na wazee wake, na Yekonia mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
7 Egypt lengpan hichejou apat hin ahung galkondoh jou tapon ahi, ajeh chu Babylon lengpan Egypt in kagam ahi tia ahopsah chengse chu Babylon lengpan abonna alahpeh soh ahitai. Aman ana kilah lut gam hochu Egypt vadunga apat Euphrates vadung chan-gei ahi.
Mfalme wa Misri hakushambulia tena nje ya nchi yake, kwa sababu mfalme wa Babeli alakuwa amezishinda nchi zote ambazo zilikuwa zikitawaliwa na mfalme wa Misri, kutoka kwenye kitabu cha Misri mpaka Mto wa Frati.
8 Jehoiachin chu alengchan kum chun ama kum somle kum get alhingtan ahi, chuleh aman Jerusalem chu lha thum bou lengvai anapon ahi. Anu chu Jerusalem makon Elnathan chanu Nehushta ahi.
Yekonia alikuwa na umri wa miaka kumi na nane alipoanza kutawala; alitawala Yerusalemu miezi mitatu. Mama yake alikuwa anaitwa Nehushta; alikuwa binti wa Elnathani wa Yerusalemu.
9 Jehoiachin in apa bang bangin Pakai mitmu’n thilse jeng anabol in ahi.
Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe; alifanya yale yote ambayo baba yake aliyafanya.
10 Jehoiachin vaihom sungin, Nebuchadnezzer in Babylon akonin anoija sepai pipui ho ahinsollin Jerusalem ahung umkhum tauvin ahi.
Katika kipindi hicho jeshi la Nebukadreza mfalme wa Babeli liliishambulia Yerusalemu na kuuzunguka mji.
11 Hichun Nebuchadnezzer amatah jong hiche khopi aum sungu hin ahung lhungtan ahi.
Nebukadreza mfalme wa Babeli akaja kwenye mji wakati maaskari wake walipokuwa wameuzunguka,
12 Hichun Jehoiachin lengpan lengnu toh ama thumop hotoh, asepai lamkaiho le pipuho Babylonte khut’ah akipelut tauvin ahi. Nebuchadnezzer lengvai ahom kum som le kum get alhin in, Jehoiachin chu aman’in soh chang dingin ana kai tauvin ahi.
na Yekonia mfalme wa Yuda akatoka nje kwenda kwa mfalme wa Babeli, yeye, mama yake, watumishi wake, watoto wake, na maafisa wake. Mfalme wa Babeli akamteka katika mwaka wa nane wa utawala wake.
13 Pakaiyin ana phondohsa bangin Nebuchadnezzer in Pakai houin akonin chuleh leng inpia konin sumle pai, sana dangka, neile gou ho jouse le, sana akisem thil-ho jouse, Solomon’in houin a ana koiho abonchan achom theng hel tan ahi.
Nebukadreza akachukua kutoka pale vitu vyote vya thamani katika nyumba ya Yahwe, na walio katika nyumba ya kifalme. Akavikata vipande vipande vitu vyote vya dhahabu ambavyo Suleimani mfalme wa Israeli alivitengeneza katika hekalu la Yahwe, kama alivyokuwa amesema ingetokea.
14 Hiti chun Nebuchadnezzer in Jerusalem khopi sung’a cheng jouse, asepai lamkai ho jouse le sepai galsat themho jouse, khut thepna neiho le thilsem themho abonchan mihem sangsom tobang Babylon gamlang’a akaijin ahi.
Akawachukua wote utumwani Yerusalemu, viongozi wote, na wapiganaji wote, mateka elfu kumi, na mafundi wote, na wafua vyuma. hakuna aliyekuwa amesalia isipokuwa watu maskini katika nchi.
15 Nebuchadnezzer in Jehoiachin lengpa, lengnu anu, ajite ho chule apipui ho jaonan Babylon gam'a akaimang tan ahi
Nebukadreza akamchukua Yekonia utumwani Babeli, pia na mama yake na mfalme, wake, maafisa, na wakuu wa nchi. Akawachukua kwenda utumwani kutoka Yerusalemu mpaka Babeli.
16 Chuleh aman sepai ahangsan cheh sang sagi leh khut thepna neiho abon’un mihat galsat thei cheh sangkhat ho chu gam chom’ah asoldoh tan ahi.
Wapiganaji wote, elfu saba kwa hesabu, na mafundi elfu moja na wafua vyuma, wote wanaostahili kumpiga- mfalme wa Babeli aliwaleta hawa watu kwenye utumwa Babeli.
17 Hichun Babylon lengpan Jehoiachin pa’ngah pa Mattaniah chu leng in atung in, chule amin jong akhellin, Zedakiah asahtai.
Mfalme wa Babeli akamfanya Matania, kaka yake na baba yake na Yehokimu, mfalme katika sehemu yake, na kubadilisha jina lake kuwa Sedekia.
18 Zedekiah leng ahung chan kum chun ama kum somni le khat ana lhingtan ahi. Aman Jerusalem’ah kum somle khat sungin lengvai ana pon ahi. Anu chu Libnah akon Jeremiah chanu Hamutal ahi.
Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na moja wakati alipoanza kutawala; alitawala miaka kumi na moja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Hamutali; alikuwa binti wa Yeremia kutoka Libna.
19 Ahinlah Zedekiah in Jehoiakim bol bang bangin Pakai mitmu’n thilse jeng anabol’in ahi.
Alifanya yaliyo maovu machoni mwa Yahwe; aliyafanya yale yote ambayo Yehokimu aliyoyafanya.
20 Jerusalem leh Judah chung’ah thilsoh ho achuhna jeh hi, Pakai lunghan jeh ahi. Hijeh chun Pakaiyin, ama angsunga kona apaidoh a, hitia hi gamchom’a sohchang gam’ah ahi tauve. Zedekiah hin Babylon lengpa a konin kiphinna anei tan ahi.
Kupitia hasira ya Yahwe, haya matukio yote yalitokea Yerusalemu na Yuda, hadi alipowaondoa kwenye uso wake. Kisha Sedekia akaasi dhidi ya mfalme wa Babeli.

< 2 Lengte 24 >