< Luke 3 >

1 Tiberius Kaisar a boeinaak kum hlainga a law awh (Pontius Pilat taw Judah qam ukkung boei na awm hy, a na Philip ce Iturea ingkaw Tracinitis qam ukkung na awm nawh, Lysinias taw Abilene qam ukkung na awm hy.
Katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberio, Pontio Pilato akiwa mtawala wa Uyahudi, Herode akiwa mfalme wa Galilaya, Filipo ndugu yake akiwa mfalme wa Iturea na nchi ya Trakoniti, na Lisania akiwa mfalme wa Abilene,
2 Anna ingkaw Kaiapha khawsoeih boei khyt na a ni awm awh, ) kqawng na ak awm Zekariah capa Johan a venawh Khawsak awi ce law hy.
nao Anasi na Kayafa wakiwa makuhani wakuu, neno la Mungu likamjia Yohana, mwana wa Zekaria huko jangwani.
3 Anih ing ce Jordan long keng qam boeih awh cet nawh thawlh qeennaak ham zutnaak baptisma awi ce kqawn hy.
Akaenda katika nchi yote kandokando ya Mto Yordani, akihubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi.
4 Tawngha Isaiah ak awi cabu awh a na qee hyt myihna: “Ramkoh awhkaw ak khy awi ing, 'Bawipa a lam ce qoek a bah unawh, a lamkhqi ce qui sak lah uh,
Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: “Sauti ya mtu aliaye nyikani, ‘Itengenezeni njia ya Bwana, yanyoosheni mapito yake.
5 Lawk-kqawngkhqi ce be kawm usaw, tlangkhqi ce neem sak kawm uh; Lam ak kawikhqi ce dyng kawm usaw, lam ak kawkkhqi ce qui sakna awm kaw.
Kila bonde litajazwa, kila mlima na kilima vitashushwa. Njia zilizopinda zitanyooshwa, na zilizoparuza zitasawazishwa.
6 Cawhtaw thlang boeih ing Khawsa a hulnaak ce hu kawm uh' tinawh,” kqawn hy.
Nao watu wote watauona wokovu wa Mungu.’”
7 A venawh baptisma huh aham ak law thlang kqeng a venawh, “Nangmih khqui a cadilkhqi! Ak law hly kawi kawsonaak ce cehtaak aham u ing a nik kqawn peek khqi?
Yohana akauambia ule umati wa watu uliokuwa unakuja ili kubatizwa naye, “Ninyi watoto wa nyoka! Ni nani aliyewaonya kuikimbia ghadhabu inayokuja?
8 Zutnaak ing ak tingna thaih qah lah uh. Na mimah ingkaw na mimah, “Abraham cahlah ni,” koeh ti uh. Ka nik kqawn peek khqi, vawhkaw lungkhqi za Khawsa ing Abraham a cakhqi na dyih sak thai hy.
Basi zaeni matunda yastahiliyo toba. Wala msianze kusema mioyoni mwenu kuwa, ‘Sisi tunaye Abrahamu, baba yetu.’ Kwa maana nawaambia kuwa Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu watoto kutoka mawe haya.
9 Tuhkawng taw thing kung boeih awh hqaica toen na awm hawh hy, thing ikawmih awm ak thaih leek amak qah taw hlu unawh mai awh phum khawi uhy,” tinak khqi hy.
Hata sasa shoka limeshawekwa tayari kwenye shina la kila mti. Basi kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa motoni.”
10 Cawh thlang kqeng ing, “Cawhtaw ikaw ka mi sai kaw?” tinawh doet uhy.
Ule umati wa watu ukamuuliza, “Inatupasa tufanyeje basi?”
11 Johan ing, “Angki zunghih ak ta ing amak ta ce pe seitaw, awk-ai ak ta ing amak ta a venawh cemyihna sai lawt seh,” tinak khqi hy.
Yohana akawaambia, “Aliye na kanzu mbili amgawie asiye nayo, naye aliye na chakula na afanye vivyo hivyo.”
12 Mangmu ak cawikungkhqi awm baptisma huh aham law lawt unawh a venawh, “Cawngpyikung ikaw ka mi sai kaw?” tinawh doet uhy.
Watoza ushuru nao wakaja ili wabatizwe, wakamuuliza, “Bwana na sisi inatupasa tufanyeje?”
13 Cek khqi venawh, “A ngoe anglakawh ak doem na koeh cawi law uh,” tinak khqi hy.
Akawaambia, “Msichukue zaidi ya kiwango mlichopangiwa.”
14 Qalkap a vangkhqi ce law unawh a venawh, “Kaimih taw ikaw ka mi sai kaw?” tina uhy. A mingmih a venawh, “Amak thym na tangka koeh lo unawh, amak thym na thlang thawlh koeh puk uh; nami huh namik thaphu ing naming ngaih qep sak uh,” tinak khqi hy.
Askari nao wakamuuliza, “Je, nasi inatupasa tufanye nini?” Akawaambia, “Msimdhulumu mtu wala msimshtaki mtu kwa uongo, bali mridhike na mishahara yenu.”
15 Thlangkhqi ing amik kawlung na Johan ve Khrih hawh mai hy voei aw? tinawh poek uhy.
Watu walikuwa na matazamio makubwa. Wakawa wanajiuliza mioyoni mwao iwapo Yohana angeweza kuwa ndiye Kristo.
16 Cehlai Johan ing cekkhqi boeih a venawh, “Kai ingtaw tui ing baptisma ni pek khqi nyng. Cehlai kai anglakawh ak bau khqoet thlang law hyn kaw, kai taw anih a khawmyk qui ak suh peek aham naza am kawih nyng.
Yohana akawajibu akawaambia, “Mimi nawabatiza kwa maji. Lakini atakuja aliye na nguvu kuniliko mimi, ambaye sistahili hata kufungua kamba za viatu vyake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
17 Cang zahnaak ce a kut awh pawm nawh cangtakkhqi ce tep ak khuina thlak aham zaap kaw, cehlai ang hi cetaw amak thi thai qoe maih khuina phum kaw,” tinak khqi hy.
Pepeto lake liko mkononi, tayari kusafisha sakafu yake ya kupuria na kuikusanya ngano ghalani, lakini makapi atayateketeza kwa moto usiozimika.”
18 Awih chang khawzah ing cekkhqi ce a yn coengawh awithang leek ce kqawn pek khqi hy.
Basi, kwa maonyo mengine mengi Yohana aliwasihi na kuwahubiria watu Habari Njema.
19 Cehlai ram ukkung boei Herod ing ik-oeih che a saikhqi boeih ingkaw, a na a zu Herodi ce a zunaak a dawngawh, Johan ing ak kaanaak awh,
Lakini Yohana alipomkemea Mfalme Herode kuhusu uhusiano wake na Herodia, mke wa ndugu yake, na maovu mengine aliyokuwa amefanya,
20 Herod ing ce mihkhqi boeih ce cun nawh: Johan ce am tu coengawh thawng khuina thla hy.
Herode aliongezea jambo hili kwa hayo mengine yote: alimfunga Yohana gerezani.
21 Cawhce, vemyihna awm hy, thlangkhqi boeih baptisma a mi huh awh, Jesu awm hu lawt hy. Ak cykcah huiawh, khan ce awng qu nawh
Baada ya watu wote kubatizwa, Yesu naye akabatizwa. Naye alipokuwa akiomba, mbingu zilifunguka.
22 Ciim Myihla ce kqukkqu myihna ak khan awh cuuk hy. Khawk khan nakawng awi ing: Nang taw ka lungnaak ka Capa ni; nak khan awh zeel soeih soeih nyng,” tina hy.
Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa umbo kama la hua, nayo sauti kutoka mbinguni ikasema: “Wewe ni Mwanangu mpendwa; nami nimependezwa nawe sana.”
23 Jesu ing bibinaak ak kqawn awh a kum sawmthum tluk law hawh hy. Thlanghqing ak poeknaak awhtaw anih ce Joseph a capa na awm hy, Joseph taw Heli a capa,
Yesu alikuwa na umri wa miaka thelathini alipoanza huduma yake. Alikuwa akidhaniwa kuwa mwana wa Yosefu, Yosefu alikuwa mwana wa Eli,
24 Heli taw Matthat a capa, Matthat taw Levi a capa, Levi taw Melki a capa, Melki taw Jannai a capa, Jannai taw Joseph a capa,
Eli alikuwa mwana wa Mathati, Mathati alikuwa mwana wa Lawi, Lawi alikuwa mwana wa Melki, Melki alikuwa mwana wa Yanai, Yanai alikuwa mwana wa Yosefu,
25 Joseph taw Mattathias a capa, Mattathias taw Amos a capa, Amos taw Nahum a capa, Nahum taw taw Esli a capa, Esli taw Naggai a capa,
Yosefu alikuwa mwana wa Matathia, Matathia alikuwa mwana wa Amosi, Amosi alikuwa mwana wa Nahumu, Nahumu alikuwa mwana wa Esli, Esli alikuwa mwana wa Nagai,
26 Naggai taw Maath a capa, Maath taw Mattathias a capa, Mattathias taw Semein a capa, Semein taw Joseeh a capa, Joseeh taw Joda a capa,
Nagai alikuwa mwana wa Maathi, Maathi alikuwa mwana wa Matathia, Matathia alikuwa mwana wa Semeini, Semeini alikuwa mwana wa Yoseki, Yoseki alikuwa mwana wa Yoda,
27 Joda taw Joanan a capa, Joanan taw Rhesa a capa, Rhesa taw Zerubbabel a capa, Zerubbabel taw Shealtiel a capa, Shealtiel taw Neri a capa,
Yoda alikuwa mwana wa Yoanani, Yoanani alikuwa mwana wa Resa, Resa alikuwa mwana wa Zerubabeli, Zerubabeli alikuwa mwana wa Shealtieli, Shealtieli alikuwa mwana wa Neri,
28 Neri taw Melki a capa, Melki taw Addi a capa, Addi taw Kosam a capa, Kosam taw Elmadam a capa, Elmadam taw Er a capa,
Neri alikuwa mwana wa Melki, Melki alikuwa mwana wa Adi, Adi alikuwa mwana wa Kosamu, Kosamu alikuwa mwana wa Elmadamu, Elmadamu alikuwa mwana wa Eri,
29 Er taw Josua a capa, Josua taw Eliezer a capa, Eliezer taw Jorim a capa, Jorim taw Maathat a capa, Matthat taw Levi a capa,
Eri alikuwa mwana wa Yoshua, Yoshua alikuwa mwana wa Eliezeri, Eliezeri alikuwa mwana wa Yorimu, Yorimu alikuwa mwana wa Mathati, Mathati alikuwa mwana wa Lawi,
30 Levi taw Simeon a capa, Simeon taw Judah a capa, Judah taw Joseph a capa, Joseph taw Jonam a capa, Jonam taw Eliakim a capa,
Lawi alikuwa mwana wa Simeoni, Simeoni alikuwa mwana wa Yuda, Yuda alikuwa mwana wa Yosefu, Yosefu alikuwa mwana wa Yonamu, Yonamu alikuwa mwana wa Eliakimu, Eliakimu alikuwa mwana wa Melea,
31 Eliakim taw Melea a capa, Melea taw Menna a capa, Menna taw Mattatha a capa, Mattatha taw Nathan a capa, Nathan taw David a capa,
Melea alikuwa mwana wa Mena, Mena alikuwa mwana wa Matatha, Matatha alikuwa mwana wa Nathani, Nathani alikuwa mwana wa Daudi,
32 David taw Jesse a capa, Jesse taw Obed a capa, Obed taw Boaz a capa, Boaz taw Salmon a capa, Salmon taw Nahshon a capa.
Daudi alikuwa mwana wa Yese, Yese alikuwa mwana wa Obedi, Obedi alikuwa mwana wa Boazi, Boazi alikuwa mwana wa Salmoni, Salmoni alikuwa mwana wa Nashoni,
33 Nahshon taw Amminadab a capa, Amminadab taw Qam a capa, Qam taw Hezqon a capa, Hezqon taw Perez a capa, Perez taw Judah a capa,
Nashoni alikuwa mwana wa Aminadabu, Aminadabu alikuwa mwana wa Aramu, Aramu alikuwa mwana wa Hesroni, Hesroni alikuwa mwana wa Peresi, Peresi alikuwa mwana wa Yuda,
34 Judah taw Jakob a capa, Jakob taw Isaak a capa, Isaak taw Abraham a capa, Abraham taw Terah a capa, Terah taw Nahor a capa,
Yuda alikuwa mwana wa Yakobo, Yakobo alikuwa mwana wa Isaki, Isaki alikuwa mwana wa Abrahamu, Abrahamu alikuwa mwana wa Tera, Tera alikuwa mwana wa Nahori,
35 Nahor taw Serug a capa, Serug taw Reu a capa, Reu taw Peleg a capa, Peleg taw Eber capa, Eber taw Shelah a capa,
Nahori alikuwa mwana wa Serugi, Serugi alikuwa mwana wa Reu, Reu alikuwa mwana wa Pelegi, Pelegi alikuwa mwana wa Eberi, Eberi alikuwa mwana wa Sala,
36 Shelah taw Kainan a capa, Kainan taw Arphaxad a capa, Arphaxad taw Shem a capa, Shem taw Noah a capa, Noah taw Lamech a capa,
Sala alikuwa mwana wa Kenani, Kenani alikuwa mwana wa Arfaksadi, Arfaksadi alikuwa mwana wa Shemu, Shemu alikuwa mwana wa Noa, Noa alikuwa mwana wa Lameki,
37 Lamech taw taw Methuselah a capa, Methuselah taw Enoch a capa, Enoch taw Jared a capa, Jared taw Mahalalel a capa, Mahalalel taw Kenan a capa,
Lameki alikuwa mwana wa Methusela, Methusela alikuwa mwana wa Enoki, Enoki alikuwa mwana wa Yaredi, Yaredi alikuwa mwana wa Mahalaleli, Mahalaleli alikuwa mwana wa Kenani,
38 Kenan taw Enosh a capa, Enosh taw Seth a capa, Seth taw Adam a capa, Adam taw Khawsa capa na awm hy.
Kenani alikuwa mwana wa Enoshi, Enoshi alikuwa mwana wa Sethi, Sethi alikuwa mwana wa Adamu, Adamu alikuwa mwana wa Mungu.

< Luke 3 >