< Zekhariah 8 >

1 Caempuei BOEIPA ol pai tih,
Neno la Yahwe wa majeshi likanijia kusema,
2 “Caempuei BOEIPA he ni a thui. Zion hamla ka thatlai. Thatlainah loh len tih kosi khaw dung. Anih hamla ka thatlai,” a ti.
“Yahwe wa majeshi asema hivi: Nina huzuni kwa ajili ya Sayuni kwa wivu mkuu na ninamaumivu kwa hasira nyingi!
3 BOEIPA loh he ni a thui. Zion la ka mael vetih Jerusalem khui ah kho ka sak ni. Te vaengah Jerusalem te oltak khopuei, caempuei BOEIPA kah tlang, hmuencim tlang la a khue ni.
Yahwe wa majeshi asema hivi: Nitairudia Sayuni nami nitakaa kati ya Yerusalemu, kwa kuwa Yerusalemu itaitwa mji wa kweli na mlima wa Yahwe wa majeshi utaitwa Mlima Mtakatifu!
4 Caempuei BOEIPA loh he ni a thui. Jerusalem toltung ah patong neh hamca koep kho a sak ni. Hlang he khohnin cup vetih a kut dongah a conghol a pom ni.
Yahwe wa majeshi asema hivi: Kwa mara nyingine tena kutakuwa na vikongwe katika mitaa ya Yerusalemu, na kila mtu ataitaji mkongojo mkononi mwake kwa vile alivyo mzee.
5 Khopuei toltung ah camoe bae vetih a toltung ah hutaca rhoek luem uh ni.
Pia mitaa ya mji itajazwa na vijana wa kiume na kike wachezao.
6 Caempuei BOEIPA loh he ni a thui. Te khohnin ah tah pilnam meet he a mik ah khobaerhambae om sitoe cakhaw kai mik dongah khobaerhambae om aya? Caempuei BOEIPA kah olphong ni.
Yahwe wa majeshi asema hivi: ikiwa jambo laonekana haliwezekani katika macho ya masalia ya watu hawa katika siku hizo, je haliwezekani pia machoni pangu? - asema Yahwe.
7 Caempuei BOEIPA loh he ni a thui. Ka pilnam te khocuk khohmuen lamkah khaw, khotlak khohmuen lamkah khaw ka khang coeng ne.
Yahwe wa majeshi asema hivi: Tazama, nipo tayari kuwaokoa watu wangu kutoka nchi ya mawio na ya machweo ya jua!
8 Amih te ka khuen vetih Jerusalem khui ah kho a sak uh ni. Kamah taengah pilnam la om uh vetih kai khaw amih taengah uepomnah neh, duengnah neh Pathen la ka om ni.
Kwa maana nitawarudisha tena, nao wataishi ndani ya Yerusalemu, hivyo watakuwa watu wangu tena, nami nitakuwa Mungu wao katika kweli na utakatifu!
9 Caempuei BOEIPA loh he ni a thui. Tonghma rhoek ka dong lamkah he ol he, tahae khohnin kah aka ya rhoek tah na kut moem uh laeh. Te tah bawkim sak hamla, caempuei BOEIPA im a toong khohnin vaengkah coeng ni.
Yahwe wa majeshi asema hivi: Ninyi mnaoendelea kusikia maneno yaleyale yaliyotoka katika vinywa vya manabii msingi wa nyumba yangu ulipowekwa - hii nyumba yangu, Yahwe wa majeshi: Itieni nguvu mikono yenu ili hekalu lijengwe.
10 Te khohnin hmai ah tah hlang kah thapang om pawt tih rhamsa kah thapang a tal pah. Aka voei ham neh aka cet ham khaw ngaimongnah tal coeng. Hlang boeih te ka tueih coeng dongah hlang he a hui taengah rhal la om coeng.
Kwani kabla ya siku hizo hakuna mazao yaliyokusanywa na yeyote ndani yake, hakukuwa na faida siyo kwa mtu hata mnyama, na hakukuwa na amani kutoka kwa adui kwa kila aliyekwenda au kuja. Nilimfanya kila mtu kuwa kinyume cha mwenzake.
11 Tedae tahae ah kai he pilnam a meet taengah hnukbuet tue bangla ka om moenih. He tah caempuei BOEIPA kah olphong ni.
Lakini sasa haitakuwa kama mwanzo, nitakuwa pamoja na masalia ya watu hawa - asema Yahwe wa majeshi.
12 Rhoepnah misur tii te a thaih cuen vetih khohmuen loh a cangpai a paek ni. Vaan loh a buemtui a paek ni. He boeih he pilnam kah a meet taengah ka pang sak.
Kwani mbegu za amani zitapandwa; mzabibu unaokua utatoa matunda yake na nchi itatoa mazao yake; anga zitatoa umande, kwa maana nitawapa masalia ya watu hawa kumilki haya yote.
13 Namtom lakli ah rhunkhuennah la na om uh vanbangla, Judah imkhui neh Israel imkhui nang te kan khang van vetih yoethennah la na om ni. Rhih uh boeh, na kut mah caang sakuh.
Ulikuwa mfano wa laana kwa mataifa mengine, enyi nyumba ya Yuda na nyumba ya Israeli. Hivyo nitawaokoa nanyi mtakuwa baraka. Msiogope; haya mikono yenu itiwe nguvu!
14 Caempuei BOEIPA loh he ni a thui. Na pa rhoek loh kai taengah a thintoek uh dongah ni nangmih soah thaehuet hamla ka mangtaeng van. Caempuei BOEIPA loh, 'Ka yut mahpawh,’ a ti.
Kwa maana Yahwe wa majeshi asema hivi: Kama nilivyopanga kuwatenda mabaya babu zenu walipochokoza hasira yangu - asema Yahwe wa majeshi - na wala sikujuta,
15 He khohnin ah tah ka mael tih Jerusalem te then sak ham neh Judah imkhui te na rhih pawt ham ka mangtaeng coeng.
ndivyo nitakavyoazimia kuutenda mema tena Yerusalemu na nyumba ya Yuda katika siku hizi! Msiogope!
16 He ol he vai uh. Hlang loh a hui taengah oltak mah thui saeh. Na vongka ah lai a tloek te rhoepnah dongah oltak neh tiktamnah la om saeh.
Haya ndiyo mambo mnayopaswa kufanya: Kasemeni kweli, kila mtu na jirani yake. Hukumuni kwa haki, usawa na amani katika malango yenu.
17 Hlang loh a hui te a thinko nen pataeng boethae la taeng boel saeh. A honghi kah olhlo khaw lungnah uh boeh. He boeih he ka thiinah. He tah BOEIPA kah olphong ni.
Na asiwepo miongoni mwenu anayeazimu uovu moyoni mwake dhidi ya jirani yake, wala kuvutwa na viapo vya uongo; kwani haya yote ndiyo mambo ninayoyachukia! - asema Yahwe.”
18 Caempuei BOEIPA kah ol he kai taengla ha pai tih,
Kisha neno la Yahwe wa majeshi likanijia kusema,
19 “Caempuei BOEIPA loh he ni a thui. A pali yaehnah neh a panga yaehnah khaw, a parhih yaehnah neh a parha kah yaehnah khaw, Judah imkhui ham tah omngaihnah ham neh kohoenah la, khoning then la poeh ni. Te dongah oltak neh rhoepnah mah lungnah uh.
“Yahwe wa majeshi asema hivi: Mifungo ya mwezi wa nne, mwezi wa tano, mwezi wa saba na mwezi wa kumi itakuwa nyakati za furaha ya kila aina, kwa nyumba ya Yuda! Kwa hiyo pendeni kweli na amani!
20 Caempuei BOEIPA loh he ni a thui. Pilnam neh khopuei kah khosa rhoek muep kun uh pueng ni.
Yahwe wa majeshi asema hivi: Watu watakuja tena, hata wanaoishi miji mingine.
21 Te vaengah khosa rhoek te pakhat loh pakhat taengla cet uh vetih, “Ceh, BOEIPA mikhmuh ah kothae tueng ham neh caempuei BOEIPA te tlap hamla cet uh sih, kai khaw ka cet coeng,” a ti nah ni.
Watu wa mji mmoja watakwenda mji mwingine na kusema, “Haya twendeni haraka mbele ya Yahwe tukaombe na kumtafuta Yahwe wa majeshi! Sisi wenyewe tunakwenda pia.
22 Pilnam miping neh namtom pilnu loh Jerusalem ah caempuei BOEIPA tlap ham neh BOEIPA mikhmuh ah kothae tueng hamla halo uh ni.
Watu wengi na mataifa yenye nguvu yatakuja kumtafuta Yahwe wa majeshi huko Yerusalemu na kuomba upendeleo kwa Yahwe!
23 Caempuei BOEIPA loh he ni a thui. Te khohnin ah tah namtom olka cungkuem lamloh hlang parha te sisuk uh ni. Judah hlang kah hnihmoi ah sisuk uh vetih, “Nangmih taengkah Pathen ka yaak uh dongah nangmih neh cet sih,” a ti ni,” a ti nah.
Yahwe wa majeshi asema hivi: Katika siku hizo watu kumi kutoka katika kila lugha na taifa watashika upindo wa kanzu zenu na kusema, “Haya sisi nasi tutakwenda pamoja nanyi, kwani tumesikia kwamba Mungu yu pamoja nayi!”

< Zekhariah 8 >