< Luka 3 >

1 Tiberius Kaisar a manghai kum hlainga vaengah Judea te Pontius Pilat loh a taem tih, Herod te Galilee ah khoboei la om. A manuca Philip tah Ituraea neh Trakhoniti kho kah khoboei la om. Lusania tah Abilene kah khoboei la om.
Katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberio, Pontio Pilato akiwa mtawala wa Uyahudi, Herode akiwa mfalme wa Galilaya, Filipo ndugu yake akiwa mfalme wa Iturea na nchi ya Trakoniti, na Lisania akiwa mfalme wa Abilene,
2 Annas neh Kaiaphas khosoihham la a om vaengah Pathen kah ol tah khosoek kah Zekhariah capa Johan taengla thoeng.
nao Anasi na Kayafa wakiwa makuhani wakuu, neno la Mungu likamjia Yohana, mwana wa Zekaria huko jangwani.
3 Te phoeiah Jordan pingpang te boeih a pha tih tholh khodawkngainah ham yutnah baptisma kawng a hoe.
Akaenda katika nchi yote kandokando ya Mto Yordani, akihubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi.
4 Tonghma Isaiah kah ol te cabu dongah ana daek sut bangla, khosoek kah pang ol loh, “Boeipa kah longpuei te rhoekbah uh lamtah, a caehlong te a dueng la saii uh.
Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: “Sauti ya mtu aliaye nyikani, ‘Itengenezeni njia ya Bwana, yanyoosheni mapito yake.
5 Soklong te boeih a et vetih, tlang neh mol khaw boeih a tlarhoel sak ni. Aka kawn te a dueng la, long mueng khaw long tlaai la om ni.
Kila bonde litajazwa, kila mlima na kilima vitashushwa. Njia zilizopinda zitanyooshwa, na zilizoparuza zitasawazishwa.
6 Te vaengah pumsa boeih loh Pathen kah khangnah a hmuh ni.
Nao watu wote watauona wokovu wa Mungu.’”
7 Te dongah anih kah a nuem hamla aka thoeng hlangping te, “Rhulthae rhoek kah cadil rhoek, kosi aka tawn uh te rhaelrham tak ham unim nangmih aka tueng?
Yohana akauambia ule umati wa watu uliokuwa unakuja ili kubatizwa naye, “Ninyi watoto wa nyoka! Ni nani aliyewaonya kuikimbia ghadhabu inayokuja?
8 Te dongah yutnah neh a tiing la a thaih te saii uh. Na khuiah, 'Abraham te pa la ka khueh,’ ti koeloe boeh. Pathen tah hekah lungto lamloh Abraham ca rhoek a thoh thai te nangmih ham kan thui.
Basi zaeni matunda yastahiliyo toba. Wala msianze kusema mioyoni mwenu kuwa, ‘Sisi tunaye Abrahamu, baba yetu.’ Kwa maana nawaambia kuwa Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu watoto kutoka mawe haya.
9 Tedae hai tah thing yung ah oepsoeh la a khueh van coeng. Thaih tak la aka thai pawh thing tah boeih a vung tih hmai ah a pup,” a ti nah.
Hata sasa shoka limeshawekwa tayari kwenye shina la kila mti. Basi kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa motoni.”
10 Te dongah amah te hlangping loh a dawt tih, “Te koinih balae ka saii uh eh?” a ti nah.
Ule umati wa watu ukamuuliza, “Inatupasa tufanyeje basi?”
11 Te dongah amih te a doo tih, “Angki yungnit aka khueh loh aka khueh pawt te doedan saeh. Te vanbangla caak aka khueh long khaw saii van saeh,” a ti nah.
Yohana akawaambia, “Aliye na kanzu mbili amgawie asiye nayo, naye aliye na chakula na afanye vivyo hivyo.”
12 Te vaengah mangmucoi rhoek khaw nuem hamla ha pawk uh tih anih taengah, “Saya, balae ka saii uh eh? “a ti uh.
Watoza ushuru nao wakaja ili wabatizwe, wakamuuliza, “Bwana na sisi inatupasa tufanyeje?”
13 Te dongah amih te, “Nangmih ng'uen phoeiah a yet la khoboe boeh,” a ti nah.
Akawaambia, “Msichukue zaidi ya kiwango mlichopangiwa.”
14 Anih te rhalkap rhoek long khaw a dawt uh tih, “Kaimih tah balae ka saii uh van eh?” a ti uh. Amih te khaw, “Hlang te hihham uh boeh, huttet uh boeh. Namamih kah buhcun neh rhaemhal uh,” a ti nah.
Askari nao wakamuuliza, “Je, nasi inatupasa tufanye nini?” Akawaambia, “Msimdhulumu mtu wala msimshtaki mtu kwa uongo, bali mridhike na mishahara yenu.”
15 Pilnam kah a lamso vanbangla amamih kah thinko ah Johan te boeih a thui uh tih, “Anih he Khrih coini,” a ti uh.
Watu walikuwa na matazamio makubwa. Wakawa wanajiuliza mioyoni mwao iwapo Yohana angeweza kuwa ndiye Kristo.
16 Johan loh a doo tih, “Nangmih he kai loh tui dongah kan nuem dae kai lakah aka tlung te ha pawk coeng. Anih kah khokhom rhui hlam ham pataeng aka koih la ka om moenih. Anih loh nangmih te Mueihla Cim dongah hmai neh n'nuem ni.
Yohana akawajibu akawaambia, “Mimi nawabatiza kwa maji. Lakini atakuja aliye na nguvu kuniliko mimi, ambaye sistahili hata kufungua kamba za viatu vyake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
17 A kut dongkah cangcopcung loh a cangtilhmuen a coeh vetih cang te a khai khuila a sang ni. Tedae canghi tah aka duek pawh hmai neh boeih a hoeh ni,” a ti nah.
Pepeto lake liko mkononi, tayari kusafisha sakafu yake ya kupuria na kuikusanya ngano ghalani, lakini makapi atayateketeza kwa moto usiozimika.”
18 Te dongah pilnam te a tloe neh muep a thaphoh tih olthangthen a phong pah.
Basi, kwa maonyo mengine mengi Yohana aliwasihi na kuwahubiria watu Habari Njema.
19 Tedae Herod a khoboei vaengah a mana yuu Herodias kawng dongah Herod loh boethae a saii boeih te Johan loh a toeltham.
Lakini Yohana alipomkemea Mfalme Herode kuhusu uhusiano wake na Herodia, mke wa ndugu yake, na maovu mengine aliyokuwa amefanya,
20 Te te boeih a tungsaep thil dongah Johan te thongim ah a uup.
Herode aliongezea jambo hili kwa hayo mengine yote: alimfunga Yohana gerezani.
21 Pilnam te boeih a nuem vaengah Jesuh khaw a nuem tih a thangthui hatah vaan te ong uh.
Baada ya watu wote kubatizwa, Yesu naye akabatizwa. Naye alipokuwa akiomba, mbingu zilifunguka.
22 Te phoeiah Mueihla Cim te a pumrho neh vahu kah mueimae bangla a suntlak thil. Te vaengah, “Nang tah ka capa thintlo la na om tih, nang taengah ka lungtlun,” tila vaan lamkah ol ha thoeng.
Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa umbo kama la hua, nayo sauti kutoka mbinguni ikasema: “Wewe ni Mwanangu mpendwa; nami nimependezwa nawe sana.”
23 Jesuh loh amah bibi a tong vaengah a kum sawmthum tluk lo coeng. Poek vaengah Heli capa Joseph kah a ca bangla om.
Yesu alikuwa na umri wa miaka thelathini alipoanza huduma yake. Alikuwa akidhaniwa kuwa mwana wa Yosefu, Yosefu alikuwa mwana wa Eli,
24 Tedae Heli te Matthat capa, Matthat te Levi capa, Levi te Melkhi capa, Melkhi te Janna capa, Janna te Joseph capa,
Eli alikuwa mwana wa Mathati, Mathati alikuwa mwana wa Lawi, Lawi alikuwa mwana wa Melki, Melki alikuwa mwana wa Yanai, Yanai alikuwa mwana wa Yosefu,
25 Joseph te Mattathias capa, Mattathias te Amos capa, Amos te Nahum capa, Nahum te Esli capa, Esli te Naggai capa,
Yosefu alikuwa mwana wa Matathia, Matathia alikuwa mwana wa Amosi, Amosi alikuwa mwana wa Nahumu, Nahumu alikuwa mwana wa Esli, Esli alikuwa mwana wa Nagai,
26 Naggai te Maath capa, Maath te Mattathias capa, Mattathias te Shimei capa, Shimei te Joseph capa, Joseph te Joda capa,
Nagai alikuwa mwana wa Maathi, Maathi alikuwa mwana wa Matathia, Matathia alikuwa mwana wa Semeini, Semeini alikuwa mwana wa Yoseki, Yoseki alikuwa mwana wa Yoda,
27 Joda te Joanan capa, Joanan te Rhesa capa, Rhesa te Jerubbabel capa, Zerubbabel te Shealtiel capa, Shealtiel te Neri capa,
Yoda alikuwa mwana wa Yoanani, Yoanani alikuwa mwana wa Resa, Resa alikuwa mwana wa Zerubabeli, Zerubabeli alikuwa mwana wa Shealtieli, Shealtieli alikuwa mwana wa Neri,
28 Neri te Melkhi capa, Melkhi te Addi capa, Addi te Kosam capa, Kosam te Elmadam capa, Elmadam te Er capa,
Neri alikuwa mwana wa Melki, Melki alikuwa mwana wa Adi, Adi alikuwa mwana wa Kosamu, Kosamu alikuwa mwana wa Elmadamu, Elmadamu alikuwa mwana wa Eri,
29 Er te Jose capa, Jose te Eliezer capa, Eliezer te Jorim capa, Jorim te Matthat capa, Matthat te Levi capa,
Eri alikuwa mwana wa Yoshua, Yoshua alikuwa mwana wa Eliezeri, Eliezeri alikuwa mwana wa Yorimu, Yorimu alikuwa mwana wa Mathati, Mathati alikuwa mwana wa Lawi,
30 Levi te Simeon capa, Simeon te Judah capa, Judah te Joseph capa, Joseph te Jonan te Eliakim capa,
Lawi alikuwa mwana wa Simeoni, Simeoni alikuwa mwana wa Yuda, Yuda alikuwa mwana wa Yosefu, Yosefu alikuwa mwana wa Yonamu, Yonamu alikuwa mwana wa Eliakimu, Eliakimu alikuwa mwana wa Melea,
31 Eliakim te Melea capa, Melea te Menna capa, Menna te Mattatha capa, Mattatha te Nathan capa, Nathan te David capa,
Melea alikuwa mwana wa Mena, Mena alikuwa mwana wa Matatha, Matatha alikuwa mwana wa Nathani, Nathani alikuwa mwana wa Daudi,
32 David te Jesse capa, Jesse te Obed capa, Obed te Boaz capa, Boaz te Sala capa, Sala bte Nashon capa,
Daudi alikuwa mwana wa Yese, Yese alikuwa mwana wa Obedi, Obedi alikuwa mwana wa Boazi, Boazi alikuwa mwana wa Salmoni, Salmoni alikuwa mwana wa Nashoni,
33 Nashon te Amminadab capa, Aminadab te Admin capa, Admin te Aram capa, Aram te Hezron capa, Hezron te Perez capa, Perez te Judah capa,
Nashoni alikuwa mwana wa Aminadabu, Aminadabu alikuwa mwana wa Aramu, Aramu alikuwa mwana wa Hesroni, Hesroni alikuwa mwana wa Peresi, Peresi alikuwa mwana wa Yuda,
34 Judah te Jakob capa, Jakob te Isaak capa, Isaak te Abraham capa, Abraham te Terah capa, Terah te Nakhaw capa,
Yuda alikuwa mwana wa Yakobo, Yakobo alikuwa mwana wa Isaki, Isaki alikuwa mwana wa Abrahamu, Abrahamu alikuwa mwana wa Tera, Tera alikuwa mwana wa Nahori,
35 Nakhaw te Saruk capa, Saruk te Rhagau capa, Rhagau te Phalek capa, Phalek te Eber capa, Eber te Shelah capa,
Nahori alikuwa mwana wa Serugi, Serugi alikuwa mwana wa Reu, Reu alikuwa mwana wa Pelegi, Pelegi alikuwa mwana wa Eberi, Eberi alikuwa mwana wa Sala,
36 Shelah te Kainan capa, Kainan te Arpaxad capa, Arpaxad te Shem capa, Shem te Noah capa, Noah te Lamekh capa,
Sala alikuwa mwana wa Kenani, Kenani alikuwa mwana wa Arfaksadi, Arfaksadi alikuwa mwana wa Shemu, Shemu alikuwa mwana wa Noa, Noa alikuwa mwana wa Lameki,
37 Lamekh te Methuselah capa, Mehtuselah te Enok capa, Enok te Jared capa, Jared te Maleleel capa, Maleleel te Kainan capa,
Lameki alikuwa mwana wa Methusela, Methusela alikuwa mwana wa Enoki, Enoki alikuwa mwana wa Yaredi, Yaredi alikuwa mwana wa Mahalaleli, Mahalaleli alikuwa mwana wa Kenani,
38 Kainan te Enos capa, Enos te Seth capa, Seth te Adam capa, Adam te Pathen capa la om.
Kenani alikuwa mwana wa Enoshi, Enoshi alikuwa mwana wa Sethi, Sethi alikuwa mwana wa Adamu, Adamu alikuwa mwana wa Mungu.

< Luka 3 >