< Isaiah 29 >

1 Anunae Ariel, David loh a rhaeh thil Ariel khorha aih, a kum, kum ah n'koei saeh lamtah khotue te vael uh nawn.
Ole wako, wewe Arieli, Arieli, mji alimokaa Daudi! Ongezeni mwaka kwa mwaka, na mzunguko wa sikukuu zenu uendelee.
2 Ariel te ka kilh vetih rhahdueknah neh ngueknah om bitni. Te vaengah hmueihtuk la ka taengah om ni.
Hata hivyo nitauzunguka Arieli kwa jeshi, utalia na kuomboleza, utakuwa kwangu kama mahali pa kuwashia moto madhabahuni.
3 Nang te kaluek la kang rhaeh thil vetih nang taengah laivung kan lun ni. Te phoeiah nang taengah kasam ka too ni.
Nitapiga kambi pande zote dhidi yako, nitakuzunguka kwa minara na kupanga mazingirwa yangu dhidi yako.
4 Na kunyun vaengah diklai lamloh m'voek vetih na olthui loh laipi lamkah n'rhuepthuep sak ni. Te vaengah na ol te diklai lamloh rhaitonghma bangla ha om vetih, laipi khui lamkah na olthui loh a muep ni.
Utakaposhushwa, utanena kutoka ardhini, utamumunya maneno yako kutoka mavumbini. Sauti yako itatoka katika nchi kama vile ya mzimu, utanongʼona maneno yako toka mavumbini.
5 Tedae nang taengah aka lueng he laipi canghet bangla muep om ni. Hlanghaeng hlangping khaw cangkik bangla poeng vetih buengrhuet la pahoi om ni.
Lakini adui zako wengi watakuwa kama vumbi laini, kundi la wakatili watakuwa kama makapi yapeperushwayo. Naam, ghafula, mara moja,
6 caempuei BOEIPA loh, khohum neh, lingluei neh, cangpalam puei kah ol neh, hlipuei neh ng'hip vetih hmai khuikah hmaihluei loh n'hlawp ni.
Bwana Mwenye Nguvu Zote atakuja na ngurumo, tetemeko la ardhi, na kwa sauti kuu, atakuja na dhoruba, tufani na miali ya moto iteketezayo.
7 Ariel aka muk namtom boeih neh aka muk carhui boeih, te te aka kilh a rhalvong te khaw hlaempang kah a mangthui tah mang pakhat neh a lilup la om ni.
Kisha makundi ya mataifa yote yale yapiganayo dhidi ya Arieli, yale yanayomshambulia yeye na ngome zake, na kumzunguka kwa jeshi, watakuwa kama ilivyo ndoto, kama maono wakati wa usiku:
8 Bungpong khaw mang a man vaengkah bangla om ni. A caak coeng akhaw a haenghang neh a hinglu hoep hailek tih tuihalh ni a man. A ok akhaw a haenghang vaengah a buhmueh rhathih neh a hinglu halthi coeng ke. Tangkuet la Zion tlang aka muk namtom boeih khaw hlangping la om ni.
kama vile mtu aliye na njaa aotavyo kuwa anakula, lakini huamka, bado njaa yake ingalipo, kama vile mtu mwenye kiu aotavyo kuwa anakunywa maji, lakini huamka akiwa anazimia, akiwa bado angali ana kiu. Hivyo ndivyo itakavyokuwa kwa makundi yote ya mataifa yanayopigana dhidi ya Mlima Sayuni.
9 Uelh uh laeh, ngaihmang neh na mik buem uh. Mik buem rhuihmil neh a ngaengai te misurtui nen moenih, yu nen bal moenih.
Duwaeni na kushangaa, jifanyeni vipofu wenyewe na msione, leweni, lakini si kwa mvinyo, pepesukeni lakini si kwa kileo.
10 BOEIPA loh mikku mueihla te nang soah ham bueih tih na mik na hna nah tonghma rhoek te a tahoeng sak tih na lu nah khohmu rhoek te a dah pah coeng.
Bwana amewaleteeni usingizi mzito: Ameziba macho yenu (ninyi manabii); amefunika vichwa vyenu (ninyi waonaji).
11 Mangthui boeih he miknoek a daeng. cabu dongah nangmih ham ol la om coeng. Te te cabu aka hmat taengah a paek tih, “Tae mai he,” a ti nah. Tedae, “Te te miknoek a daeng tih ka noeng moenih,” a ti nah.
Kwa maana kwenu ninyi, maono haya yote si kitu ila maneno yaliyotiwa lakiri katika kitabu. Kama mkimpa mtu yeyote awezaye kusoma kitabu hiki, nanyi mkamwambia, “Tafadhali kisome,” yeye atajibu, “Mimi siwezi, kwa kuwa kimetiwa lakiri.”
12 Cabu te cabu aka ming pawt taengah a paek tih, “Tae dae he,” a ti nah hatah, “Ca ka ming moenih,” a ti.
Au kama mkimpa mtu yeyote kitabu hiki asiyeweza kusoma na kumwambia, “Tafadhali kisome,” atajibu, “Mimi sijui kusoma.”
13 Te dongah ka Boeipa loh, “Pilnam long he a ka kak neh ha mop tih a hmui kak neh kai n'thangpomuh. A lungbuei tah kai lamloh a lakhla sak. Hlang kah olpaek a cang neh kai aka rhih bangla om.
Bwana anasema: “Watu hawa hunikaribia kwa vinywa vyao na kuniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami. Ibada yao kwangu inatokana na maagizo waliyofundishwa na wanadamu.
14 Te dongah pilnam he khobaerhambae neh mueipuel sak ham mueipuel hnatlak la ka koei ni he. Te vaengah aka cueih rhoek kah cueihnah he paltham vetih aka yakming rhoek kah yakmingnah khaw thuh uh ni.
Kwa hiyo mara nyingine tena nitawashangaza watu hawa, kwa ajabu juu ya ajabu. Hekima ya wenye hekima itapotea, nayo akili ya wenye akili itatoweka.”
15 Anunae cilsuep thuh ham te BOEIPA taeng lamloh aka muelh uh mai. A khoboe uh khaw khohmuep khuikah la om rhoe tih, “Mamih aka hmu te unim? mamih aka ming te unim?,” a ti uh.
Ole kwa wale wanaokwenda kwenye vilindi virefu kumficha Bwana mipango yao, wafanyao kazi zao gizani na kufikiri, “Ni nani anayetuona? Ni nani atakayejua?”
16 Nangmih khuplat rhoek aw, ambop te amlai bangla a poek vetih bitat aka saii taengah, “Kai n'saii boeh,” ti saeh a? Benbonah la amah aka saii te yakming pawh,” ti saeh a?
Mnapindua mambo juu chini, kana kwamba mfinyanzi aweza kufikiriwa kuwa kama udongo wa mfinyanzi! Je, kile kilichofinyangwa chaweza kumwambia yule aliyekifinyanga, “Wewe hukunifinyanga mimi?” Je, chungu kinaweza kumwambia mfinyanzi, “Wewe hujui chochote?”
17 A yolkai bet pueng pawt nim? Lebanon te cangphil cangngol neh ha mael vetih a cangthai te duup bangla a ngai ni.
Kwa muda mfupi sana, je, Lebanoni haitageuzwa kuwa shamba lenye rutuba, na shamba lenye rutuba liwe kama msitu?
18 Tekah khohnin ah tah cabu dongkah olka te hnapang rhoek loh a yaak uh vetih khohmuep neh hmaisuep lamkah mikdael mik long khaw a hmuh uh ni.
Katika siku ile viziwi watasikia maneno ya kitabu, na katika utusitusi na giza macho ya kipofu yataona.
19 Kodo rhoek tah BOEIPA dongah kohoenah neh thap uh vetih khodaeng hlang rhoek khaw Israel kah hlangcim dongah omngaih uh ni.
Mara nyingine tena wanyenyekevu watafurahi katika Bwana, wahitaji watafurahi katika yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.
20 Hlanghaeng te a khawk sak vetih hmuiyoi khaw a khah ni. Boethae neh aka hak rhoek khaw boeih a saii uh pueng ni.
Wakatili watatoweka na wenye kudhihaki watatokomea, nao wote wenye jicho la uovu watakatiliwa mbali,
21 Hlang he olka dongah lai a hmuh. Vongka ah a tluung neh dong a naat tih aka dueng te hinghong neh a vuei a nanuh.
wale ambao kwa neno humfanya mtu kuwa mwenye hatia, wamtegeao mtego mtetezi katika mahakama, na kwa ushuhuda wa uongo humnyima haki yeye asiye na hatia.
22 Te dongah ni Abraham aka lat BOEIPA loh Jakob imkhui te, “Jakob te yahbai voel pawt vetih a maelhmai khaw hmaithikak mahpawh.
Kwa hiyo hili ndilo Bwana, aliyemkomboa Abrahamu, analosema kwa nyumba ya Yakobo: “Yakobo hataaibishwa tena, wala nyuso zao hazitabadilika sura tena.
23 Ka kut dongkah bibi te a ca rhoek loh a hmuh vaengah amah khui ah ka ming a ciim uh ni. Te vaengah Jakob kah a Hlangcim te a ciim uh vetih Israel Pathen taengah a sarhing uh ni.
Wakati watakapoona watoto wao miongoni mwao, kazi ya mikono yangu, watalitakasa Jina langu takatifu; wataukubali utakatifu wa yeye Aliye Mtakatifu wa Yakobo, nao watamcha Mungu wa Israeli.
24 Te vaengah mueihla khohmang rhoek kah yakmingnah te a ming uh vetih cailak rhoek kah rhingtuknah a cang bitni,” a ti he.
Wale wanaopotoka rohoni watapata ufahamu, nao wale wanaolalamika watayakubali mafundisho.”

< Isaiah 29 >