< Ezekiel 29 >

1 Kum rha dongkah hla rha hnin hlai nit vaengah BOEIPA ol te kai taengla ha pawk tih,
Katika mwaka wa kumi, mwezi wa kumi, siku ya kumi na mbili, neno la Bwana likanijia kusema:
2 “Hlang capa aw, Egypt manghai Pharaoh te na maelhmai khueh thil lamtah amah neh Egypt boeih te tonghma thil.
“Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya Farao mfalme wa Misri na utabiri dhidi yake na dhidi ya Misri yote.
3 Voek lamtah ka Boeipa Yahovah loh a thui he thui pah. A sokko tuilung ah aka kol tuihnam puei, Egypt manghai Pharaoh nang kam pai thil coeng ne. Amah long tah kai taengah, 'Ka sokko he kai loh kamah kah la ka khueh,’ a ti.
Nena, nawe useme: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “‘Mimi ni kinyume nawe, Farao, mfalme wa Misri, joka kubwa ulalaye katikati ya vijito vyako. Unasema, “Mto Naili ni wangu mwenyewe; niliufanya kwa ajili yangu mwenyewe.”
4 Thisum, thisum neh na kam ah kan dueh vetih na sokko kah nga te na lip dongah ka ben ni. Na sokko khui lamloh nang kan doek vetih na sokko kah nga boeih khaw na lip dongah kap ni.
Lakini nitatia ndoana katika mataya yako nami nitawafanya samaki wa vijito vyako washikamane na magamba yako. Nitakutoa katikati ya vijito vyako, pamoja na samaki wote walioshikamana na magamba yako.
5 Namah neh na sokko nga boeih khaw na khuikah khosoek ah kam phap vetih, lohma tlai ah na cungku ni. Nang n'khoem pawt vetih n'coi mahpawh. Diklai mulhing ham neh vaan kah vaa ham nang te cakok la kam paek ni.
Nitakutupa jangwani, wewe pamoja na samaki wote wa vijito vyako. Utaanguka uwanjani, nawe hutakusanywa au kuchukuliwa. Nitakutoa uwe chakula kwa wanyama wa nchi na ndege wa angani.
6 Te vaengah Egypt khosa boeih loh BOEIPA kamah ni tila a ming uh ni. Amih te Israel imkhui kah capu conghol la om coeng.
Ndipo wale wote waishio Misri watakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana. “‘Umekuwa fimbo ya tete kwa nyumba ya Israeli.
7 Amih loh nang te na kut, kut ah n'tuuk vaengah na paep tih amih kah laengpang boeih na phen pah. Nang dongah a hangdang vaengah nim te na khaem sumsoek tih amih kah cinghen boeih na phit sak.
Walipokushika kwa mikono yao, ulivunjika na kuchana mabega yao; walipokuegemea, ulivunjika na migongo yao ikateguka.
8 Te dongah ka Boeipa Yahovah loh he ni a thui. Kai loh nang taengah cunghang kang khuen vetih nang lamkah hlang neh rhamsa khaw ka thup ni.
“‘Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Nitaleta upanga juu yako na kuua watu wako na wanyama wao.
9 Tedae, 'Sokko te kamah ham tih kamah loh ka saii,’ a ti dongah Egypt khohmuen te khopong neh imrhong la a poeh vaengah BOEIPA kamah he a ming uh bitni.
Misri itakuwa ukiwa na isiyolimwa wala kukaliwa na watu. Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana. “‘Kwa sababu ulisema, “Mto Naili ni wangu; mimi niliufanya,”
10 Te dongah namah neh na sokko khaw ka pai thil coeng ne. Egypt kho te Syene Migdol lamloh Kusah khorhi due kholing khopong kah imrhong la ka khueh ni.
kwa hiyo mimi ni kinyume nawe na kinyume na vijito vyako, nami nitaifanya nchi ya Misri kuwa magofu na ukiwa isiyolimwa wala kukaliwa na watu kuanzia Migdoli hadi Aswani, hata kufikia mpakani wa Ethiopia.
11 Te longah hlang kho loh paan pawt vetih rhamsa kho long khaw, te longah paan mahpawh. Kum sawmli khuiah khosa om mahpawh.
Hakuna unyayo wa mtu au mnyama utakaopita ndani yake, wala hakuna yeyote atakayeishi humo kwa muda wa miaka arobaini.
12 Egypt khohmuen te khopong la ka khueh vaengah diklai hman ah pong ni. A khopuei rhoek khaw khopuei rhoek lakli ah a khah vetih kum sawmli khopong la om ni. Egypt te namtom taengla ka taek ka yak vetih amih te diklai ah ka haeh ni.
Nitaifanya nchi ya Misri ukiwa, miongoni mwa nchi zilizo ukiwa, nayo miji yake itabaki ukiwa miaka arobaini miongoni mwa miji iliyo magofu. Nami nitawatawanya Wamisri miongoni mwa mataifa na kuwafukuza huku na huko katika nchi nyingine.
13 Tedae ka Boeipa Yahovah loh he ni a thui. Kum sawmli a thok vaengah Egypt te ka taek ka yak nah pilnam taeng lamloh pahoi ka coi ni.
“‘Lakini hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mwishoni mwa hiyo miaka arobaini, nitawakusanya Wamisri kutoka mataifa walikotawanywa.
14 Egypt thongtla te ka mael puei vetih amih te amah tuikong khohmuen kah Parthros khohmuen la ka bal sak ni. Te vaengah tlarhoel ram la pahoi om uh ni.
Nitawarudisha hao Wamisri kutoka kwenye kutekwa kwao na kuwaweka katika Pathrosi, nchi ya baba zao. Huko watakuwa na ufalme usiokuwa na nguvu.
15 Ram tom lakah tlarhoel la om vetih namtom soah koep cungphoek mahpawh. Amih te ka muei sak daengah ni namtom soah a taemrhai pawt eh.
Utakuwa ufalme dhaifu kuliko zote na kamwe Misri haitajikweza tena juu ya mataifa mengine. Nitaufanya ufalme wake dhaifu sana kiasi kwamba kamwe hautatawala tena juu ya mataifa mengine.
16 Te vaengah a taengla amamih hooi uh tih thaesainah aka poek rhoek kah pangtungnah la Israel imkhui he om voel mahpawh. Te phoeiah Kai he, ka Boeipa Yahovah ni tila a ming uh bitni,” a ti.
Misri haitakuwa tena tumaini la watu wa Israeli bali itakuwa kumbukumbu ya dhambi yao kwa kuigeukia kuomba msaada. Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana Mwenyezi.’”
17 Kum kul kum rhih, hla lamhma hnin at dongla a om vaengah BOEIPA ol kai taengla ha pawk tih,
Katika mwaka wa ishirini na saba, mwezi wa kwanza, siku ya kwanza, neno la Bwana likanijia, kusema:
18 “Hlang capa aw, Babylon manghai Nebukhanezar loh Tyre te a caem kah thohtatnah a len neh a thohtat sak coeng. A lu khaw boeih tlong tih laengpang boeih thool coeng. Tedae amah ham neh a caem ham thapang om hae pawh. Tyre lamkah thohtatnah lamloh a taengah a thohtat sak.
“Mwanadamu, Nebukadneza mfalme wa Babeli aliongoza jeshi lake kufanya kazi ngumu dhidi ya Tiro; kila kichwa kilipata upaa na kila bega likachunika. Lakini yeye na jeshi lake hawakupata malipo yoyote kutokana na muda wote aliongoza hiyo vita dhidi ya Tiro.
19 Te dongah ka Boeipa Yahovah loh he ni a thui. Kai loh Babylon manghai Nebukhanezar taengah Egypt khohmuen ka paek coeng he. Te vaengah a hlangping te a khuen pah vetih a kutbuem khaw a buem pah ni. A maeh te a poelyoe pah vetih a caem ham thapang la om ni.
Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Nitaitia Misri mikononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli, naye atachukua utajiri wa Misri. Atateka mateka na kuchukua nyara mali za Misri kama ujira kwa ajili ya jeshi lake.
20 A taengah a thohtat te khaw kai ham a saii uh dongah, a thaphu la anih te Egypt khohmuen ka paek. He tah ka Boeipa Yahovah kah olphong ni.
Nimempa mfalme wa Babeli nchi ya Misri kuwa ujira kwa juhudi zake kwa sababu yeye na jeshi lake walifanya kwa ajili yangu, asema Bwana Mwenyezi.
21 Te khohnin ah Israel imkhui ham ki cawn ni. Te vaengah nang te amih lakli ah ka ongnah ka paek vetih BOEIPA kamah he m'ming uh ni,” a ti.
“Katika siku hiyo nitaifanya nyumba ya Israeli iwe na nguvu nami nitakifungua kinywa chako miongoni mwao. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi Bwana.”

< Ezekiel 29 >