< Daniel 4 >

1 Nebukhadnezzar manghai loh namtu pilnam boeih neh olcom olcae neh, diklai pum kah khosa, khosa te, “Nangmih kah ngaimongnah he pungtai saeh.
Mfalme Nebukadneza aliituma amri hii kwa watu wote, mataifa, na lugha walioishi katika nchi: “Na amani yenu na iongezeke.
2 Khohni kah Khohni Pathen loh kai hamla miknoek neh khobae rhambae te a tueng sak tih kai taengah thui hamla a huem.
Imeonekana vizuri kwangu kuwaambia juu ya ishara na maajabu ambayo Mungu Mkuu Aliye juu amenifanyia.
3 A miknoek te metluk lam lae boeilen tih amah khobae rhambae he metluk lam lae a tlungluen. A ram he kumhal kah ram tih a khohung khaw thawnpuei lamloh cadilcahma taengah om ni.
Ni kwa namna gani Ishara zake ni kubwa, na ni kwa namna gani maajabu yake yana nguvu! Ufalme wake ni ufalme unaodumu milele, na utawala wake hudumu kizazi hadi kizazi.”
4 Kai Nebukhadnezzar tah ka im kah thayoei nen khaw, ka bawkim kah hnothen nen khaw ka om.
Mimi, Nebukadneza, nilikuwa ninaishi kwa furaha katika nyumba yangu, na nilikuwa nikifurahia mafanikio katika ikulu yangu.
5 Mang ka man vaengah kai n'hihham tih ka thingkong dongah poeknah neh ka lu dongkah mangthui loh kai n'cahawh.
Lakini ndoto niliyoiota ilifanya niogope. Nilipokuwa nimejilaza pale, taswira niliyoiona na maono katika akili yangu yalinitaabisha.
6 Ka mang kah thuingaihnah te thui saeh tila Babylon hlang cueih boeih te kamah taengah khuen hamla kai lamloh saithainah a paek coeng.
Basi nilitoa agizo la kuwaleta mbele yangu watu wote wa Babeli waliokuwa na hekima ili kwamba waweze kunitafsiria ndoto.
7 Hmayuep rhoek, rhaitonghma rhoek, Khalden rhoek neh aisi aka suep khaw ha pai, ha pai vaengah mang he amih taengah ka thui dae a thuingaihnah te kai taengah a ming uh moenih.
Kisha walikuja wachawi, wale ambao hudai kuzungumza na wafu, watu wenye hekima, na wasoma nyota. Niliwaambia juu ya ndoto, lakini hawakuweza kunitafsiria.
8 Tedae a hnukkhueng la Daniel he kai taengla ha pai. Anih te ka pathen ming bangla Belteshazzar a ming nah. Anih tah a khuiah khaw Pathen Mueihla cim a om dongah a taengah mang ka thui pah.
Bali mwishoni Danieli aliingia ndani - yeye ambaye huitwa Belteshaza jina la mungu wangu, na ambaye ndani yake kuna roho ya miungu mitakatifu - na nilimwambia juu ya ndoto.
9 Belteshazzar tah hmayuep boei pai ni. Na khui ah Pathen kah mueihla cim om tih oldung boeih khaw nang hamla kuel pawh tila ka ming. Ka mang ah mangthui ka hmuh tih a thuingaihnah khaw a thui.
“Belteshaza, mkuu wa wachawi, ninajua kuwa roho ya miungu watakatifu iko ndani yako na ya kwamba hakuna siri iliyo ngumu kwako. Niambie kile nilichokiona katika ndoto yangu na nini maana yake.
10 Ka thingkong dongah ka lu kah mangthui ka hmuh. Te vaengah diklai laklung kah thing tah a sang khaw muep sang he.
Haya ndiyo niliyoyaona katika akili zangu nilipokuwa nimejilaza katika kitanda changu: Nilitazama, na kulikuwa na mti katikati ya dunia, na urefu wake ulikuwa ni mkubwa sana.
11 Thing te rhoeng tih a hlul dongah a sang loh vaan duela a pha. Te dongah a mueimae he diklai pum kah khobawt duela tueng.
Mti ulikua na ukawa wenye nguvu. Na sehemu ya juu yake ilifika mbinguni, uliweza kuonekana kutoka miisho ya dunia yote.
12 A hnah te then tih a thaih khaw yet. Te dongah a soah a cungkuem ham buh om tih a hmui ah kohong rhamsa loh hlipying uh. A bu dongah vaan kah vaa loh kho a sak tih te lamloh pumsa boeih a cah.
Majani yake yalikuwa mazuri, matunda yake yalikuwa ni mengi, na juu yake kulikuwa na chakula kwa ajili ya wote. Wanyama wa mwituni walipata kivuli chini yake, na ndege wa angani waliisha katika matawi yake. Viumbe vyote hai vililishwa katika mti huo.
13 Ka thingkong dongah ka lu dongkah mangthui ka hmuh tih ka om vaengah vaan lamkah thinghla cim tah ha rhum.
Nilipokuwa nimelala kitandani kwangu, niliona katika akili zangu, mjumbe mtakatifu alishuka kutoka mbinguni.
14 Thadueng neh pang tih, “Thing te vung lamtah, a bu te saih pah, a hnah te hae pah lamtah a thaih haeh pah. A hmui lamkah rhamsa neh a bu dongkah vaa khaw nong saeh,”.
Alipiga kelele na kusema, 'Ukateni mti na yafyekeni matawi yake, yapukutisheni majani yake, na kuyasambaza matunda yake. Wanyama na wakimbie kutoka chini yake na ndege wapae mbali kutoka katika matawi yake.
15 Tedae a yung a ngo tah diklai ah ngol saeh lamtah thi neh rhohum kah pinnah neh kohong baeldaih khui ah om saeh. Te dongah vaan kah buem loh saep saeh lamtah a hamsum rhamsa neh diklai baelhing lakli ah om saeh.
Mkiache kisiki cha mizizi yake katika nchi, mkifunge na fungu la chuma na shaba, katikati ya mche mororo wa shambani. Na kilowanishwe na umande wa kutoka mbinguni. Kiacheni kiishi na wanyama kati ya mimea ya ardhini.
16 Tekah hlang tah a thinko te hlang lamloh poehlip saeh lamtah anih te rhamsa thinko pae saeh. Te vaengah anih ham kum rhih thok pah saeh, a ti.
Akili yake na ibadilishwe kutoka akili ya kibinadamu, na apewe akili ya mnyama mpaka ipite miaka saba.
17 He kong dongkah thinghla kah saithainah ol neh a cim olpaek oltloek rhangneh a sangkoek lakah a sangkoek loh hlang kah ram neh hlang khaw a hung te mulhing rhoek loh ming uh saeh. Te dongah te te a ngaih sarhui taengah a paek tih mathoe hlang rhoek te a so, a so ah a pai sak.
Uamuzi huu ni kutokana na amri iliyotolewa na mjumbe. Ni uamuzi uliofanya na yeye aliye mtakatifu ili kwamba hao walio hai wajue kwamba Mungu aliye juu sana anatawala juu ya falme za watu na huwapa kwa kila mmoja apendaye kumweka juu yao, hata kwa watu wale wanyenyekevu sana.'
18 Kai manghai Nebukhadnezzar loh mang loh ka man he Belteshazzar nang, namah loh a thuingaihnah thui laeh. Te kong dongah ka ram kah hlang cueih boeih loh kai taengah a thuingaihnah thuicaih ham a noeng uh moenih. Nang, namah tah na khuikah Pathen mueihla cim rhangneh na noeng coeng,” a ti.
Mimi, Mfalme Nebukadneza nilipata ndoto hii. Sasa, wewe Belteshaza, niambie tafsiri yake, kwasababu hakuna mtu mwenye hekima katika ufalme wangu anayeweza kunitafsiria. Lakini wewe unaweza kufanya hivyo, kwa kuwa roho ya miungu watakatifu iko ndani yako.”
19 Te dongah Belteshazzar aka ming nah Daniel tah khonoek pakhat khuiah hit sut. A poeknah loh amah a cahawh. Te dongah manghai loh a voek tih, “Belteshazzar, mang neh a thuingaihnah nang te let boeh,” a ti nah. Belteshazzar loh a doo tih, “Ka boeipa aw, ka boeipa na saeh, mang te na lunguet, na lunguet ham tih a thuingaihnah tah na rhal, na rhal ham ni.
Ndipo Danieli aliyeitwa pia Belteshaza, alihuzunishwa kwa muda, na mawazo yake yalimshitua. Mfalme akasema, “Belteshaza, usifadhaishwe na ndoto au tafsiri yake.” Belteshaza akajibu, “Bwana wangu, ndoto hii na iwe kwa ajili ya watu wanaokuchukia, na tafsiri yake na iwe kwa ajili ya adui zako.
20 Na hmuh bangla thing te rhoeng tih hlul. Te dongah a sang vaan duela a pha tih a mueimae te diklai pum ah tueng.
Mti ule uliouona - uliokua na ukawa na wenye nguvu, na ambao sehemu yake ya juu ilifika hata mbinguni, na ambao waweza kuonekana kutoka miisho ya dunia yote -
21 A hnah then tih a thaih yet. A soah a cungkuem ham buh om tih a hmui ah kohong rhamsa loh kho a sak. A bu dongah vaan kah vaa loh kho a sak.
ambao majani yake ni mazuri, na matunda yake yalikuwa ni mengi, ili kwamba ndani yake kulikuwa na chakula cha wote, na chini yake wanyama wa mwituni walipata kivuli, na ndani yake ndege wa angani waliishi -
22 Manghai nang namah tah na rhoeng tih na hlul dongah na lennah khaw vaan a pha duela rhoeng na. Na khohung loh diklai khobawt duela a pha.
huu mti ni wewe, mfalme, wewe uliyekua na kuwa na nguvu. Ukuu wako umeongezeka na kufika mbinguni, na mamlaka yako yamefika hata miisho ya dunia.
23 Manghai aw, a tueng bangla, thinghla cim tah vaan lamloh rhum tih, “Thing te vung uh lamtah palet uh. A yung a ngo tah diklai ah hlun uh lamtah thi neh rhohum kah pinnah neh kohong baeldaih khuiah om saeh. Te vaengah vaan kah buem neh saep saeh lamtah anih te kum rhih a thok duela amah hamsum kohong rhamsa taengah om saeh.
Ewe mfalme, ulimwona mjumbe akishuka kutoka mbinguni na akisema, “Ukateni mti na uteketezeni, lakni kiacheni kisiki cha mizizi yake katika nchi, kifungeni kwa ukanda wa chuma na shaba, katikati ya mche mororo katika shamba. Na kilowanishwe na umande kutoka mbinguni. Kiache kiishi katika wanyama wa mwituni katika mashamba mpaka ipite miaka saba.'
24 Manghai aw a thuingaihnah he tah a sangkoek a sangkoek kah saithainah ni. He he ka boeipa neh ka boeipa manghai taengah pai coeng.
Mfalme, hii ni tafsiri yake. Ni agizo la Yeye Aliye Juu ambalo limekufikia, bwana wangu mfalme.
25 Nang te hlang taeng lamloh m'vai uh vetih kohong rhamsa taengah ni na khosaknah a om eh. Baelhing te vaito bangla na caak vetih vaan kah buem neh nang te n'saep ni. A sangkoek kah a sangkoek loh hlang kah ram soah a hung tih te te a ngaih sarhui taengah a paek tila na ming hil nang hamla kum rhih thok ni.
Utafukuzwa utoke miongoni mwa watu, na utaishi pamoja na wanyama wa mwituni huko mashambani. Utafanywa uwe unakula majani kama ng'ombe, na utalowanishwa na umande wa kutoka mbinguni, miaka saba itapita mpaka pale utakapokiri kwamba Mungu Aliye Juu anatawala juu ya falme zote za watu na ya kwamba yeye humpa falme hizo mtu yeyote amtakaye.
26 Thing kah a yung a ngo hlun ham a thui bangla vaan aka hung te na ming van lamloh na ram te namah taengla cak ni.
Kama ilivyoamriwa kwamba kukiacha kisiki cha mizizi ya mti, kwa njia hii ufalme wako utarudishiwa katika kipindi ambacho utajifunza kwamba mbingu inatawala.
27 Te dongah manghai aw, kai poeknah he namah taengah na doe mai mako. Na tholhnah te duengnah neh phaeh lamtah hlanghnaem pataek na rhen nen te na halangnah hnawt laeh. Na ommongnah te a congnah a om khaming,” a ti nah.
Hivyo basi, mfalme, ushauri wangu na ukubalike kwako. Acha kutenda dhambi na utende haki. Geuka uache uovu wako wa kuonesha huruma kwa walionewa, na itakuwa kwamba mafanikio yako yataongezwa.”
28 Te boeih te Nebukhadnezzar manghai taengah a pai pah.
Vitu hivi vyote vilitokea kwa mfalme Nebukadneza.
29 Hla hlai nit a bawtnah dongah tah Babylon ram kah bawkim ah om tih pongpa.
Baada ya miezi wa kumi na miwili alipokuwa akitembea juu ya dari la ikulu ya kifalme katika Babeli,
30 Te vaengah manghai te cal tih, “Babylon he a boeilen moenih a? He te kai loh ka thadueng sarhi neh kamah kah hinyahnah, thangpomnah ham ram kah im la ka sak,” a ti.
na alisema, “Je hii si Babeli kuu, ambayo nimeijenga kwa ajili ya makao yangu ya kifalme, kwa ajili ya utukufu wa enzi yangu?”
31 Manghai ka dongah ol a cal li vaengah vaan lamkah ol cet tih, “Manghai Nebukhadnezzar nang hamla a thui tih ram he nang lamloh nong coeng.
Wakati maneno yakali katika midomo ya mfalme, sauti ilisikika kutoka mbinguni: “Mfalme Nebukadneza, imetangazwa kwako kwamba ufalme huu umeondolewa kutoka kwako.
32 Nang te hlang taeng lamloh m'vai coeng tih na khosaknah he kohong rhamsa nen ni a om. Nang te vaito bangla rham n'cah vetih a sangkoek kah a sangkoek loh hlang kah ram soah a hung tih te te a ngaih taengah a paek tila na ming hil nang hamla kum rhih thok ni,” a ti nah.
Utafukuziwa mbali kutoka miongoni mwa watu, na makao yao yatakuwa pamoja na wanyama wa mwitu katika mashamba. Utafanywa kulamajani kama ng'ombe. Miaka saba itapita mpaka pale utakapokiri kwamba Mungu Aliye Juu anatawala juu ya falme za watu na humpa falme mtu yeyote amtakaye.”
33 Amah ol a bangli vaengah Nebukhadnezzar soah a pha tih hlang taeng lamloh a vai uh. Te vaengah vaito bangla rham a caak tih a sam te atha bangla, a kuttin te vaa bangla a sai hil a pum te vaan kah buem loh a saep.
Agizo hili kinyume na Nebukadneza lilitekelezwa ghafla. Aliondolewa miongoni mwa watu. Alikula majani kama ng'ombe, na mwili wake ulilowa kwa umande wa kutoka mbinguni. Nywele zake zilirefuka kama manyoa ya tai, na makucha yake yalikuwa kama makucha ya ndege.
34 A tue bawtnah dongah tah, kai Nebukhadnezzar loh ka mik he vaan la ka huel hatah ka mingnah he ka taengla ha mael. Te dongah a sangkoek Khohni te ka koeh tih kumhal kah mulhing te ka oep tih ka hinyah nah. A khohung te dungyan kah khohung tih a ram kah thawnpuei lamloh cadilcahma duela cak.
Na katika mwisho wa siku, mimi, Nebukadneza niliinua macho yangu kuelekea mbinguni, utimamu wa akili nilirudishiwa. “Nilimsifu Mungu Aliye Juu sana, na nilimheshimu na kumtukuza yeye aishiye milele. Kwa kuwa utawala wake ni wa milele, na ufalme wake unadumu katoka katika vizazi vyote hadi vizazi vyote.
35 Diklai khosa, khosa boeih tah aka om pawt bangla a ngai tih diklai khosa, khosa rhoek te vaan thadueng neh a ngaih bangla a saii. A kut te aka doek pa tih a taengah “Balae na saii?” aka ti nah te a om moenih.
Wenyeji wote wa duniani huhesabiwa na yeye kuwa bure; hufanya lolote limpendezalo miongoni mwa jeshi la mbinguni na wakazi wa dunia. Hakuna hata mmoja awezaye kumzuia au kumpa changamoto. Hakuna hata mmoja awezaye kumwambia, “Mbona umefanya hivi?”
36 Ka mingnah loh ka taengah a mael tue vaengah, ka ram kah thangpomnah, kai hinyahnah neh ka aa ka taengla ha mael. Kai he ka olrhoep neh ka boei ka na rhoek loh n'toem uh. Ka ram he pai tih lennah kai taengah muep a thap.
Kwa wakati ule ule utimamu wa akili zangu uliponirudia, utukufu wangu na fahari yangu ilinirudia kwa ajili ya utukufu wa ufalme wangu. Washauri wangu na watu wenye heshima walitafuta msaada wangu. Nilirudishwa kwenye kiti changu cha enzi, na nilipewa ukuu zaidi.
37 Kai Nebukhadnezzar tah n'oep tih m'pacuet coeng. Te dongah vaan kah manghai tah hinyah pai saeh. A bibi boeih he oltak tih a longpuei khaw tiktam. Te dongah koevoeinah neh aka pongpa te kunyun sak ham a noeng.
Sasa basi, mimi Nebukadneza, ninamsifu, ninamtukuza na kumheshimu mfalme wa mbinguni, kwa kuwa matendo yake yote ni ya haki, na njia zake ni za adili. Anaweza kuwashusha wale wanaotembea katika kiburi chao wenyewe.

< Daniel 4 >