< 1 Manghai 10 >

1 BOEIPA ming dongah Solomon kah olthang te Sheba manghainu loh a yaak vaengah olkael neh anih te noemcai ham ha pawk.
Malkia wa Sheba aliposikia habari za umaarufu wa Solomoni na uhusiano wake na jina la Bwana, akaja kumjaribu kwa maswali magumu.
2 Jerusalem la tatthai a muep ayet neh, botui neh sui muep a yet, lung vang aka phuei kalauk neh pawk. Solomon taengla a pha vaengah a thinko ah a om bangla a cungkuem te a taengah a thui pah.
Alifika Yerusalemu akiwa na msafara mkubwa sana: pamoja na ngamia waliobeba vikolezi, kiasi kikubwa cha dhahabu na vito vya thamani; alikuja kwa Solomoni na kuzungumza naye kuhusu yote ambayo alikuwa nayo moyoni mwake.
3 Anih ol boeih te Solomon loh a taengah a hlat pah. Anih taengah a hlat pah pawt ham khaw manghai ham ol a hlael a om moenih.
Solomoni akamjibu maswali yake yote, hakukuwa na jambo lolote lililokuwa gumu kwa mfalme asiweze kumwelezea.
4 Sheba manghainu loh Solomon kah cueihnah cungkuem neh im a sak te khaw,
Malkia wa Sheba alipoona hekima yote ya Solomoni na jumba la kifalme alilokuwa amejenga,
5 a caboei dongkah caak neh a sal rhoek kah ngolhmuen, ngolhmuen dongah aka thotat rhoek kah a thohtat, a hnicu neh a tuitul rhoek, BOEIPA im kah a nawn a hmueihhlutnah te ahmuh vaengah a khuiah a mueihla om voel pawh.
chakula kilichokuwa mezani pake, jinsi maafisa wake walivyokaa, wahudumu katika majoho yao, wanyweshaji wake na sadaka za kuteketezwa alizotoa katika hekalu la Bwana, alipatwa na mshangao.
6 Te dongah manghai te, “Nang kah olka neh nang kah cueihnah he kamah kho ah ka yaak bangla olthang he oltak la om coeng.
Akamwambia mfalme, “Taarifa niliyosikia kwenye nchi yangu mwenyewe kuhusu mafanikio na hekima yako ni kweli.
7 Ka pawk hlan hil tah olka la ka tangnah moenih, ka mik loh a hmuh vaengah tah kai hamla rhakthuem pataeng a thui moenih ko he. Olthang ka yaak lakah khaw cueihnah neh kawnthen neh na coih.
Lakini sikuamini mambo haya hadi nilipokuja na kuona kwa macho yangu mwenyewe. Naam, sikuambiwa hata nusu yake; katika hekima na mali umezidi sana ile taarifa niliyoisikia.
8 Na hlang rhoek loh a yoethen, na sal rhoek khaw a yoethen, na mikhmuh kah aka pai rhoek khaw na cueihnah a yaak uh taitu.
Heri watu wako! Heri hawa maafisa wako wasimamao mbele yako daima na kusikia hekima yako!
9 Nang dongah hmae tih BOEIPA loh kumhal hil Israel a lungnah dongah Israel ngolkhoel dongah nang aka khueh BOEIPA na Pathen tah a yoethen pai. Te dongah nang te tiktamnah neh duengnah saii ham ni manghai la ng'khueh,” a ti nah.
Ahimidiwe Bwana Mungu wako, ambaye amependezwa sana nawe na kukuweka juu ya kiti cha ufalme cha Israeli. Kwa sababu ya upendo wake Bwana wa milele ajili ya Israeli, amekufanya mfalme, ili kudumisha haki na uadilifu.”
10 Te vaengah manghai taengla a paek te sui talent ya pakul lo tih botui neh lung vang khaw bahoeng yet. Sheba manghainu loh manghai Solomon taengah a khawk la apaek botui bang he koep a phoe noek moenih.
Naye akampa mfalme talanta 120 za dhahabu, kiasi kikubwa sana cha vikolezi na vito vya thamani. Haikuwahi kamwe kuletwa tena vikolezi vingi hivyo kuletwa kama vile malkia wa Sheba alivyompa Mfalme Solomoni.
11 Khiram kah sangpho long khaw Ophir lamkah sui a khuen pah. Ophir lamloh a khuen almak thing neh lung vang khaw bahoeng yet.
(Meli za Hiramu zilileta dhahabu kutoka Ofiri; tena kutoka huko zilileta shehena kubwa ya miti ya msandali na vito vya thamani.
12 Manghai loh almak thing te BOEIPA im neh manghai im kah longkawn la, laa aka sa rhoek ham rhotoeng neh thangpa la a saii pah. Tahae khohnin due almak thing te yet te om noek pawt tih a hmuh noek moneih.
Mfalme akatumia miti ya msandali kuwa nguzo ya Hekalu la Bwana na kwa jumba la kifalme, pia kwa kutengeneza vinubi na zeze kwa ajili ya waimbaji. Kiasi hicho kingi cha msandali hakijawahi kuingizwa au kuonekana humo tangu siku ile.)
13 Manghai Solomon loh manghainu Sheba te a kongaih boeih a rhoi pah. Solomon manghai kah kutmuei voel ah anih te a bih sarhui a paek thil pueng. Te phoeiah anih te mael tih a sal rhoek neh amah kho la cet.
Mfalme Solomoni akampa malkia wa Sheba kila kitu alichotamani na kukiomba, kando na vile mfalme alivyokuwa amempa kwa ukarimu wake wa kifalme. Kisha malkia akaondoka na kurudi katika nchi yake, yeye na watumishi wake.
14 Kum khat ah Solomon taengah aka pawk sui he a khiing sui talent ya rhuk sawmrhuk parhuk lo.
Uzito wa dhahabu ambayo Solomoni alipokea kwa mwaka ulikuwa talanta 666,
15 Long yaam hlang rhoek taeng lamkah khaw, thimpom hlaikannah kah khaw, Arabia manghai rhoek boeih neh khohmuen rhalboei rhoek lamkah khaw om pueng.
mbali na mapato kutoka kwa wafanyabiashara na wachuuzi, na kutoka kwa wafalme wote wa Kiarabu na watawala wa nchi.
16 Manghai Solomon loh Sui photlinglen yahnih a saii tih photlinglen pakhat dongah sui ya rhuk cet la a boh.
Mfalme Solomoni akatengeneza ngao kubwa 200 kwa dhahabu iliyofuliwa; kila ngao ilikuwa na dhahabu yenye uzito wa shekeli 600
17 Sui photlingca te ya thum lo tih photlingca khat dongah sui mina pathum cet la a boh. Te rhoek te manghai loh Lebanon duup im ah a khueh.
Akatengeneza pia ngao ndogo 300 za dhahabu iliyofuliwa, kila ngao ikiwa na uzito wa mane tatu za dhahabu. Mfalme akaziweka katika Jumba la Kifalme la Msitu wa Lebanoni.
18 Manghai loh vueino ngolkhoel len khaw a saii tih sui cilh neh a ben thil.
Kisha mfalme akatengeneza kiti kikubwa cha kifalme kwa kutumia pembe za ndovu na kukifunika kwa dhahabu safi.
19 Ngolkhoel dongla tangtlaeng parhuk om tih ngolkhoel kah a hnuk sampoeng tah pumrhuelh. Ngolnah hmuen kah khatben khatbang ah a kut om tih a kut kaep ah sathueng pumnit pai.
Kiti hicho kilikuwa na ngazi sita na egemeo la nyuma lilikuwa la mviringo kwa juu. Pande zote za kiti kulikuwa na mahali pa kuegemeza mikono, na simba wawili wakisimama kando ya hiyo mikono.
20 Tangtlaeng parhuk dongkah khatben khatbang ah aka pai sathueng te pum hlai nit lo. Ram tom ah te bang te a saii uh moenih.
Simba kumi na wawili walisimama kwenye ngazi sita, mmoja katika kila upande wa kila ngazi. Hakuna kitu kama hicho kilichokuwa kimefanyika kwenye ufalme mwingine wowote.
21 Manghai Solomon kah tui-ok hnopai boeih he sui tih Lebanon duup im kah hnopai boeih khaw sui cilh ni. Solomon tue vaengah tah cak he hno khat la a ngai pawt dongah nuen sak pawh.
Vikombe vyote vya Mfalme Solomoni vya kunywea vilikuwa vya dhahabu na vyombo vyote vya nyumbani katika Jumba la Kifalme la Msitu wa Lebanoni vilikuwa vya dhahabu safi. Hakukuwa na kitu kilichotengenezwa kwa fedha, kwa sababu fedha ilionekana ya thamani ndogo siku za Solomoni.
22 Manghai kah Tarshish sangpho khaw tuipuei kah Khiram sangpho neh kum thum ah vai a voei pah. Tarshish sangpho loh sui neh cak khaw, vueino neh kaipoeh khaw, varhing khaw a phueih pah.
Mfalme alikuwa na meli nyingi za biashara baharini zilizokuwa zikiandamana na meli za Hiramu. Kwa mara moja kila miaka mitatu zilirudi, zikiwa zimebeba dhahabu, fedha, pembe za ndovu na nyani wakubwa na wadogo.
23 Solomon manghai he diklai manghai boeih lakah khuehtawn dongah khaw, cueihnah dongah khaw khuet coeng.
Mfalme Solomoni alikuwa mkuu zaidi kwa utajiri na hekima kuliko wafalme wote wa dunia.
24 Pathen loh a lungbuei ah a khueh pah a cueihnah te hnatun hamla diklai boeih loh Solomon kah maelhmai te a toem uh.
Dunia yote ikatafuta kukutana na Solomoni ili kusikia hekima ambayo Mungu alikuwa ameiweka katika moyo wake.
25 Amih loh a khocang la cak hnopai, sui hno, himbai, lungpok haica, botui, marhang neh muli-marhang khaw, a kum kum ah rhip a thak uh.
Mwaka baada ya mwaka, kila mmoja ambaye alikuja alileta zawadi: vyombo vya fedha na dhahabu, majoho, silaha na vikolezi, farasi na nyumbu.
26 Solomon loh leng neh marhang caem te a coi tih amah taengah leng thawng khat ya li neh marhang caem thawng hlai nit om. Te rhoek te leng khopuei rhoek neh Jerusalem kah manghai taengah a pael.
Solomoni akakusanya magari ya vita na farasi. Alikuwa na magari 1,400 na farasi 12,000, ambayo aliyaweka katika miji ya magari na mengine akawa nayo huko Yerusalemu.
27 Manghai loh cak te Jerusalem ah lungto bangla a khueh tih lamphai te kolrhawk kah aka ding thaihae bangla a hmoek.
Mfalme akafanya fedha kuwa kitu cha kawaida kama mawe huko Yerusalemu, mierezi akaifanya kuwa mingi kama mikuyu vilimani.
28 Solomon taengah marhang kah pongthohnah dongah Egypt lamkah neh Kue lamkah khaw a loh. Manghai ham aka thimpom rhoek loh Kue lamkah te a phu la a loh uh.
Farasi wa Solomoni waliletwa kutoka Misri na kutoka Kue. Wafanyabiashara wa mfalme waliwanunua kutoka Kue.
29 Egypt lamkah leng pakhat ah tangka ya rhuk la, marhang te ya sawmnga la a loh tih a khuen sak. Te tlam te Khitti manghai boeih taeng neh Aram manghai rhoek taengah khaw a kut dongah a khuen sakuh.
Waliagiza magari kutoka Misri kwa bei ya shekeli 600 za fedha na farasi kwa shekeli 150. Pia waliwauza nje kwa wafalme wote wa Wahiti na wa Waaramu.

< 1 Manghai 10 >