< 1 Khokhuen 8 >

1 Benjamin loh a caming la Bela, a pabae ah Ashbel, a pathum ah Aharah a sak.
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 A pali te Nohah, a panga te Rapha.
Noha, na Rafa.
3 Bela koca ah Addar, Gera, Abihud.
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 Abishua, Naaman, Ahoah.
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 Gera, Shephuphan, Huram om.
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 Amih he tah Geba ah kho aka sa a napa rhoek kah a lu la aka om Ehud koca rhoek ni. Tedae amih te Manahath la a poelyoe uh.
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 Amih, Naaman, Ahijah, Gera te a poelyoe phoeiah tah Uzzah neh Ahihud te a sak.
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 Shaharaim loh Moab khohmuen ah ca a sak phoeiah a yuu Hushim neh Baara te a hlak.
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 A yuu Hodesh lamloh Jobab, Zibia, Mesha, Milkom,
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 Jeuz, Sakia, Mirmah a sak. Anih koca ah he rhoek tah a napa rhoek kah a lu la om.
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 Hushim lamloh Abitub neh Elpaal a sak.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 Elpaal koca ah Eber, Misham, Shemmed. Anih loh Ono, Lod neh a khobuel rhoek te a sak.
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 Beriah neh Shema tah Aijalon ah kho aka sa a napa rhoek kah a lu la om. Amih rhoi loh Gath kah khosa rhoek khaw a yong sak.
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 Te phoeiah Ahio, Shashak neh Jerimoth.
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 Zebadiah, Arad neh Eder.
Zebadia, Aradi, Eda,
16 Michael, Ishaph, Beriah koca Joha.
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 Zebadiah, Meshullam, Hizki neh Heber.
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 Ishmerai, Izliah neh Elpaal koca Jobab rhoek.
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 Jakim, Zikhri neh Zabdi.
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 Elienai, Zillethai neh Eliel.
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 Adaiah, Beriah neh Shimei koca Shimrath.
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 Ishpan, Eber neh Eliel.
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23 Abdon, Zikhri neh Hanan.
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 Hananiah, Elam neh Anthothijah.
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 Iphdeiah neh Shashak koca Penuel.
Ifdeia, na Penueli.
26 Shamsherai, Shehariah neh Athaliah.
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 Jaareshiah, Elijah neh Jeroham koca Zikhri.
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 Amih rhuirhong ah khaw he rhoek he a napa rhoek kah a lu la ana om tih a lu rhoek he tah Jerusalem ah kho a sak uh.
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 Gibeon ah Gibeon napa loh kho a sak tih a yuu ming tah Maakah ni.
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 Anih koca ah a caming te Abdon tih Zur, Kish, Baal neh Nadab.
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 Gedor, Ahio, Zeker.
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 Mikloth loh Shimeah te a sak. Amih khaw Jerusalem ah a manuca neh a manuca hmaitoh tih kho a sak uh.
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 Ner loh Kish a sak, Kish loh Saul a sak, Saul loh Jonathan, Malkhishua, Abinadab, Eshbaal a sak.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 Jonathan koca ah Meribbaal tih Meribbaal loh Maikah a sak.
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 Maikah koca ah Pithon, Melek, Tarea neh Ahaz.
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 Ahaz loh Jehoaddah a sak, Jehoaddah loh Alemeth, Azmaveth neh Zimri a sak. Zimri loh Moza a sak.
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 Moza loh Binea a sak. Binea capa Rapha, Rapha capa Elasah, Elasah capa Azel.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 Azel te capa parhuk om tih te rhoek kah a ming tah Azrikam, Bokeru, Ishmael, Sheariah, Obadiah, Hanan. Amih he Azel koca boeih ni.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 A mana Eshek koca la a caming te Ulam tih a pabae te Jeush, a pathum te Eliphelet.
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 Ulam koca rhoek he lii aka phu tatthai hlangrhalh hlang la om uh. A ca rhoek ping tih a ca rhoek kah a ca rhoek khaw ya sawmnga lo uh. He boeih he Benjamin koca lamkah ni.
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< 1 Khokhuen 8 >