< San Mateo 5 >

1 ANAE jalie si Jesus y linajyan taotao, cajulo gui un sabana, ya matachong; ya y disipuluña manmato guiya güiya.
Yesu alipoyaona makundi ya watu, alipanda mlimani, akaketi. Wanafunzi wake wakamwendea,
2 Ya jababa y pachotña ya jafanagüe, ilegña:
naye akaanza kuwafundisha:
3 Mandichoso y mamoble gui Espiritu, sa uiyonñija y raenon langet.
“Heri walio maskini rohoni, maana ufalme wa mbinguni ni wao.
4 Mandichoso y mantriste, sa sija umanafanmagof.
Heri walio na huzuni, maana watafarijiwa.
5 Mandichoso y manmanso, sa sija ufanmaereda ni y tano.
Heri walio wapole, maana watairithi nchi.
6 Mandichoso y manñalang yan manmajo ni tininas, sa sija umanafanjaspog.
Heri wenye njaa na kiu ya kufanya atakavyo Mungu, maana watashibishwa.
7 Mandichoso y manyóase, sa sija ufantinaca ni minaase.
Heri walio na huruma, maana watahurumiwa.
8 Mandichoso y mangasgas corasonñija, sa sija ujalie si Yuus.
Heri wenye moyo safi, maana watamwona Mungu.
9 Mandichoso y fumatitinas y pas, sa sija ufanmafanaan famaguon Yuus.
Heri wenye kuleta amani, maana wataitwa watoto wa Mungu.
10 Mandichoso y manmapetsigue pot causa y tininas; sa uiyonñija y raenon langet.
Heri wanaoteswa kwa sababu ya kufanya atakavyo Mungu, maana ufalme wa mbinguni ni wao.
11 Mandichoso jamyo, yaguin manmamatdise jamyo, yan manmapetsigue jamyo, yan manmasangane jamyo todo taelaye pot y naanjo, ya manmandague.
“Heri yenu ninyi watu wakiwatukana, wakiwadhulumu na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa ajili yangu.
12 Fanmagof, ya infansenmagof, sa y premionmiyo gui langet sendangculo: sa taegüenaoja locue manmapetsigueñija y profeta sija ni y antes di jamyo.
Furahini na kushangilia maana tuzo lenu ni kubwa mbinguni. Hivyo ndivyo walivyowadhulumu manabii waliokuwako kabla yenu.
13 Jamyo y asigan y tano; ya yaguin y asiga malingo y maaseña, jafa taemano manasne? taya baliña, na umayute juyong ya umagacha ni y taotao.
“Ninyi ni chumvi ya dunia! Lakini chumvi ikipoteza ladha yake itakolezwa na nini? Haifai kitu tena, ila hutupwa nje na kukanyagwa na watu.
14 Jamyo y candet y tano. Y siuda ni maplanta gui jilo y tano táquilo ti siña umatog.
“Ninyi ni mwanga wa ulimwengu! Mji uliojengwa juu ya mlima hauwezi kufichika.
15 Taya candet umasonggue ya umapolo gui papa un medida; lao umapolo gui candelero, ya umanainina todo y mangaegue gui jalom guma.
Wala watu hawawashi taa na kuifunika kwa chungu, ila huiweka juu ya kinara ili iwaangazie wote waliomo nyumbani.
16 Polo ya umanina y candetmiyo gui menan y taotao sija, para ujalie y mauleg chechonmiyo, ya innamagof y tatanmiyo ni y gaegue gui langet.
Vivyo hivyo, ni lazima mwanga wenu uangaze mbele ya watu, ili wayaone matendo yenu mema, wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.”
17 Chamiyo jumajaso na mato yo para juyulang y tinago pat y profeta sija; ti mato yo para juyulang, lao para jucumple.
“Msidhani ya kuwa nimekuja kutangua Sheria ya Mose na mafundisho ya manabii. Sikuja kutangua bali kukamilisha.
18 Sa magajet jusangane jamyo, nu y langet yan y tano ufalingo; lao ni un punto ni un pongpong gui tinago ufalingo, asta qui güiya todo macumple.
Kweli nawaambieni, mpaka hapo mbingu na dunia zitakapopita, hakuna hata nukta moja au sehemu ndogo kabisa ya Sheria itakayoondolewa, mpaka yote yametimia.
19 Ya jayeja y yumulang uno güine gui sendiquique na tinago, ya mamanagüe ni taotao, diquique umafanaan gui raenon langet; lao jayeja y fumatinas ya mamanagüe umafanaan dangculo gui raenon langet.
Basi, yeyote atakayevunja hata amri moja ndogo kuliko zote, na kuwafundisha wengine wafanye hivyo, huyo atakuwa mdogo kabisa katika Ufalme wa mbiguni. Lakini yule atakayezishika na kuwafundisha wengine, huyo atakuwa mkubwa katika Ufalme wa mbinguni.
20 Sa guajo sumangane jamyo: na y tininasmiyo yaguin ti mudongña qui y tininas y escriba yan y Fariseo sija, ti siña jamyo manjalom gui raenon langet.
Ndiyo maana nawaambieni, wema wenu usipozidi ule wa Mafarisayo na walimu wa Sheria, hamtaingia kamwe katika Ufalme wa mbinguni.
21 Injingogja y munjayan masangane sija gui manmalofan na tiempo: Chamo famumuno, ya jayeja y mamuno, peligroña gui juisio.
“Mmekwisha sikia ya kuwa watu wa kale waliambiwa: Usiue! Atakayeua lazima ahukumiwe.
22 Lao guajo sumangane jamyo na jayeja y lalalo ni cheluña, peligroña gui juisio, na jayeja y umalog ni cheluña, taetiningo jao, peligroña gui tribunal, lao jayeja y umalog bababa jao, peligroña gui guafen sasalaguan. (Geenna g1067)
Lakini mimi nawaambieni, yeyote anayemkasirikia ndugu yake, lazima ahukumiwe. Anayemdharau ndugu yake atapelekwa mahakamani. Anayemwita ndugu yake: Pumbavu atastahili kuingia katika moto wa Jehanamu. (Geenna g1067)
23 Yaguin unchule y ninaimo guato gui attat, ya ayo nae unjaso na guaja linachimo gui chelumo;
Basi, ukipeleka sadaka yako mbele ya madhabahu na hapo ukakumbuka kwamba ndugu yako ana ugomvi nawe,
24 Polo güije y ninaimo gui menan y attat, ya unjanao finena ya inatungo yan y chelumo, ya ayo nae untalo guato ya unnaenñaejon y ninaimo.
iache sadaka yako mbele ya madhabahu, nenda kwanza ukapatane na ndugu yako, ndipo urudi ukatoe sadaka yako.
25 Atungo yan y contrariumo enseguidas, mientros gaegue jamyo gui chalanmiyo, noseaja, y cotrariumo unenentrega gui jues, ya y jues unenentrega gui ofisiat ya unmapolo gui preso.
“Patana na mshtaki wako upesi mkiwa bado njiani, kwenda mahakamani. La sivyo, mshtaki wako atakukabidhi kwa hakimu, naye hakimu atakukabidhi kwa askari, nawe utafungwa gerezani.
26 Magajet jusangane jamyo: Seguro na ti unjuyong güije, asta qui anapase y uttimo na coble.
Kweli nakwambia, hutatoka humo mpaka umemaliza kulipa senti ya mwisho.
27 Injingogja y munjayan masangan: Munga umábale,
“Mmesikia ya kuwa watu waliambiwa: Usizini!
28 Ya guajo sumangane jamyo, na jayeja y umatan y palaoan nu ábale na minalagoña, jafatinas yan güiya y ábale gui jalom corasonña.
Lakini mimi nawaambieni, atakayemtazama mwanamke kwa kumtamani, amekwisha zini naye moyoni mwake.
29 Yaguin y agapa na atadogmo uninapodong jao, chule ya yute guiya jago; sa maulegña na ufalingo un pidaso guiya jago, qui todo y tataotaomo umayute guiya sasalaguan. (Geenna g1067)
Basi, kama jicho lako la kulia linakukosesha, ling'oe ukalitupe mbali. Afadhali zaidi kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako, kuliko mwili wako wote kutupwa katika moto wa Jehanamu. (Geenna g1067)
30 Ya yaguin y agapa na canaemo uninapodong jao, utut ya yute guiya jago; sa maulegña, na ufalingo un pidaso guiya jago, qui todo y tataotaomo umayute guiya sasalagüan. (Geenna g1067)
Na kama mkono wako wa kulia unakukosesha, ukate ukautupe mbali. Afadhali zaidi kupoteza kiungo kimoja cha mwili, kuliko mwili wako wote uende katika moto wa Jehanamu. (Geenna g1067)
31 Munjayan locue masangan: Jayeja y dumingo y asaguaña, umatugue y papet y inapattan umasagua.
“Ilikwisha semwa pia: Anayemwacha mke wake, yampasa ampe hati ya talaka.
32 Lao guajo sumangane jamyo, na y dumingo y asaguaña ya ti pot inábale, jafatinas y ábale; ya jayeja y umasagua ayo y umadingo, jafatinas y ábale.
Lakini mimi nawaambieni, anayempa mkewe talaka, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, anamfanya azini; na mtu akimwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.
33 Injingogja locue y munjayan masangane sija gui manmalofan na tiempo: Munga manjula pot namaesa jao; lao unfatinas ni y Señot gui jinilamo.
“Tena mmesikia kuwa watu wa kale waliambiwa: Usivunje kiapo chako, bali ni lazima utimize kiapo chako kwa Bwana.
34 Lao guajo sumangane jamyo: Chamiyo fanmanjujula pot jafa; ti pot y langet, sa raenon Yuus;
Lakini mimi nawaambieni, msiape kamwe; wala kwa mbingu, maana ni kiti cha enzi cha Mungu;
35 Ni pot y tano, sa sagan y adengña; ni pot Jerusalem, sa siuda y dangculo na Ray;
wala kwa dunia, maana ni kiti chake cha kuwekea miguu; wala kwa Yerusalemu, maana ni mji wa Mfalme mkuu.
36 Ni pot y ilumo unfanjula; sa ti siña y gaponulo uno naapaca, ni uno naatulong.
Wala usiape kwa kichwa chako, maana huwezi kuufanya hata unywele mmoja kuwa mweupe au mweusi.
37 Lao yaguin manguentos jamyo, alog: Junggan, junggan; Aje, aje; sa yaguin mas qui este, taelaye jumuyong.
Ukisema, Ndiyo, basi iwe Ndiyo; ukisema Siyo, basi iwe kweli Siyo. Chochote kinachozidi hayo hutoka kwa yule Mwovu.
38 Injingogja y munjayan masangan: Atadog yan atadog, nifen yan nifen,
“Mmesikia kwamba ilisemwa: Jicho kwa jicho, jino kwa jino.
39 Lao guajo sumangane jamyo: Chamiyo fumatinas jafa contra y tinaelaye; yaguin jayejao pumatmada gui agapa na fasumo, birayeja ni y otro.
Lakini mimi nawaambieni, usimlipize kisasi mtu mbaya. Mtu akikupiga kofi shavu la kulia, mgeuzie pia shavu la pili.
40 Ya jayeja y munaquequemumojao ya jachule y magagomo, nae locue y capamo.
Mtu akikupeleka mahakamani kutaka kukuchukulia shati lako, mwache achukue pia koti lako.
41 Ya jayeja y umafuetsas jao na unjanao yan güiya un miya; unjanao yan güiya dos.
Mtu akikulazimisha kubeba mzigo wake kilomita moja, ubebe kilomita mbili.
42 Y gumagao jao, nae; ya y mumalago umayao jao, chamo jao rumiuusa.
Akuombaye mpe, na mtu akitaka kukukopa kitu usimnyime.
43 Injingogja y munjayan masangan: Guaeya y tiguangmo ya chatlie y enemigomo.
“Mmesikia kwamba ilisemwa: Mpende jirani yako na kumchukia adui yako.
44 Lao guajo sumangane jamyo: Guaeya y enemigonmiyo; bendise y mumatdidise jamyo; fantinas mauleg ni y chumatlie jamyo, tayuyute sija as Yuus ni y munamamajlao jamyo yan y pumetsigue jamyo,
Lakini mimi nawaambieni, wapendeni adui zenu na kuwaombea wale wanaowadhulumu ninyi
45 Para infanfamaguon y tatanmiyo ni y gaegue gui langet, nu y janafanina y atdao gui jilo y manaelaye yan y manmauleg; ya janauchan gui jilo y manunas yan y timanunas.
ili mpate kuwa watoto wa Baba yenu aliye mbinguni. Kwa maana yeye huwaangazia jua lake watu wabaya na wema, na kuwanyeshea mvua watu wanyofu na waovu.
46 Sa yaguin inguaeya ayo y gumaeya jamyo, jafa premionmiyo? Ada ti jafatinas locue taegüenao y publicano sija?
Je, mtapata tuzo gani kwa kuwapenda tu wale wanaowapenda ninyi? Hakuna! Kwa maana hata watoza ushuru hufanya hivyo!
47 Yaguin unsaluda y mañelunmiyo, jafa unfatinas mauleg? Ada ti jafatinas locue taegüenao y ti mangilisyano?
Kama mkiwasalimu ndugu zenu tu, je, mmefanya kitu kisicho cha kawaida? Hata watu wasiomjua Mungu nao hufanya vivyo hivyo.
48 Nafangabales jamyo taegüije y tatanmiyo ni y gaegue gui langet, cabales.
Basi, muwe wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.

< San Mateo 5 >