< San Mateo 13 >

1 AYO na jaane, jinanaoña si Jesus gui guima, matachong gui oriyan tase.
Siku hiyohiyo, Yesu alitoka katika ile nyumba, akaenda na kuketi kando ya ziwa.
2 Ya mato guiya güiya dangculo na linajyan taotao; ya jumalom güe gui un batco, ya matachong; ya todo y linajyan taotao manmatachong gui oriyan unae.
Makundi makubwa ya watu yalimzunguka hata Yesu akapanda mashua, akaketi. Hao watu walisimama kwenye ukingo wa ziwa,
3 Ya jacuentuse sija megae na acomparasion, ilegña: Estagüe y tátanom na jumuyong para ufananom.
naye Yesu akawaambia mambo mengi kwa mifano. “Sikilizeni! Mpanzi alikwenda kupanda mbegu.
4 Ya anae manananom, palo gui semiya manpodong gui oriyan chalan, ya manmato y pájaro sija ya macano.
Alipokuwa akipanda, nyingine zilianguka njiani, ndege wakaja wakazila.
5 Palo gui semiya manpodong gui jilo acho na lugat, na ti megae odaña; ya doco ti apmam, sa ti tadong papa gui eda.
Nyingine zilianguka penye mawe pasipokuwa na udongo mwingi. Zikaota mara kwa kuwa udongo haukuwa na kina.
6 Lao anae manina y atdao, mansinenggue sa taejale, ya ninamalayo.
Jua lilipochomoza, zilichomeka; na kwa kuwa mizizi yake haikuwa na nguvu, zikanyauka.
7 Ya palo mamodong gui entalo títuca sija ya mandoco y títuca ya chiniguet.
Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga.
8 Ya palo manpodong gui mauleg na oda, ya manmanogcha; y uno siento, y otro sesenta, y otro treinta.
Lakini nyingine zilianguka penye udongo mzuri, zikaota, zikazaa: nyingine punje mia moja, nyingine sitini na nyingine thelathini.
9 Y gaetalanga para ufanjungog, güiya ujungog.
Mwenye masikio na asikie!”
10 Ayo nae manmato y disipuluña sija ya ilegñija: Jafajao na cumuecuentuse sija pot acomparasion sija?
Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”
11 Ya güiya manope ilegña. Sa esta manmanae jamyo, para intingo y misterion y raenon langet, lao sija ti ufanmanae.
Yesu akawajibu, “Ninyi mmejaliwa kuzijua siri za Ufalme wa mbinguni, lakini wao hawakujaliwa.
12 Sa jayeja y guaja, umanae para uguaja mas; lao ayo y taya iyoña, achog uguaja y iyoña, umachule.
Maana, aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa; lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
13 Enaomina jucuentuse sija pot acomparasion; sa y manmanaatan, ya ti manmanlie, ya manecungog, ya ti manmanjujungog, ni ujatungo.
Ndiyo maana ninasema nao kwa mifano, kwa sababu wanatazama lakini hawaoni, wanasikiliza lakini hawasikii, wala hawaelewi.
14 Y ya sija nae umacumple y sinangan Isaias ni ilegña: Anae manmanjujungog, ujungog ya ti utungo; ya anae manmanaatan, ufanmanlie, ya ti ujasiente.
Kwao yametimia yale aliyosema nabii Isaya: Kusikia mtasikia, lakini hamtaelewa; Kutazama mtatazama, lakini hamtaona.
15 Sa y corasonñija este na taotao sija manmacat, ya y talangañija mapot manmanjungog, ya y atadogñija jajujuchom; para chañija fanmanlilie ni atadogñija, yan ufanmanjungog ni talangañija, ya ujatungo ni corasonñija, ya ujatolaeca sija, ya guajo junajomlo sija.
Maana akili za watu hawa zimepumbaa, wameyaziba masikio yao, wameyafumba macho yao. La sivyo, wangeona kwa macho yao. wangesikia kwa masikio yao, wangeelewa kwa akili zao, na kunigeukia, asema Bwana, nami ningewaponya.
16 Lao mandichoso y atadogmiyo, sa manmanlie, yan y talanganmiyo sa manmanjungog.
“Lakini heri yenu ninyi, maana macho yenu yanaona na masikio yenu yanasikia.
17 Sa magajet jusangane jamyo, na megae na profeta, yan manunas na taotao jagasja manmalago na ujalie y liniinmiyo, ya ti jalie; yan ujajungog y jiningogmiyo, ya ti jajungog.
Kweli nawaambieni, manabii na watu wengi wema walitamani kuyaona yale mnayoyaona, wasiyaone, na kuyasikia yale mnayoyasikia, wasiyasikie.
18 Ecungog jamyo y acomparision y tátanom.
“Basi, ninyi sikilizeni maana ya mfano huo wa mpanzi.
19 Jayeja y umecungog y sinangan y raeno, ya ti jatungo, mato y Taelaye ya janajanao y esta matanme gui corasonña. Este yuje semiya ni y pedong gui oriyan chalan.
Yeyote asikiaye ujumbe wa ufalme bila kuuelewa, ni kama zile mbegu zilizoanguka njiani; yule Mwovu huja na kunyakua kile kilichopandwa moyoni mwake.
20 Ya ayo y matanme gui jilo acho na lugat, este yuje y jumungog y sinangan, ya jaresibe ni y minagofña.
Ile mbegu iliyopandwa penye mawe ni mfano wa mtu asikiaye ujumbe huo na mara akaupokea kwa furaha.
21 Lao taya jale guiya güiya, ya gaegue un ratoja; sa anae mato y triniste yan minamajlao pot causan di y sinangan, ti apmam matompo gui isao.
Lakini haumwingii na kuwa na mizizi ndani yake; huendelea kuuzingatia ujumbe huo kwa kitambo tu, na wakati taabu au udhalimu vinapotokea kwa sababu ya ujumbe huo, anakata tamaa mara.
22 Ya ayo y matanme gui entalo títuca sija; este yuje y jumungog y sinangan; lao y inadajiña ni y tano, yan dinague ni güinaja, jañucot y sinangan ya sumaga sin tinegchaña. (aiōn g165)
Ile mbegu iliyoanguka kati ya miti ya miiba, ni mfano wa mtu asikiaye huo ujumbe, lakini wasiwasi wa ulimwengu huu na anasa za mali huusonga ujumbe huo, naye hazai matunda. (aiōn g165)
23 Lao ayo y matanme gui mauleg na oda; este yuje y jumungog y sinangan ya jatungo, ya manogcha locue; ya y tinegchaña y uno siento, ya y otro sesenta, ya y otro treinta.
Ile mbegu iliyopandwa katika udongo mzuri ni mfano wa mtu ausikiaye ujumbe huo na kuuelewa, naye huzaa matunda; mmoja mia, mwingine sitini na mwingine thelathini.”
24 Otro acomparasion jasangane sija ilegña: Y raenon langet parejoja yan un taotao ni manananom gui fangualuanña, mauleg na semiya.
Yesu akawaambia watu mfano mwingine: “Ufalme wa mbinguni unafanana na mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba lake.
25 Ya y tiempo nae manmamaego y taotao sija, mato y enemigo ya jatanme y taelaye na chaguan gui entalo y trigo, ya mapos.
Lakini watu wakiwa wamelala, adui yake akaja akapanda magugu kati ya ngano, akaenda zake.
26 Ya anae mandoco y trigo ya manmanogcha, y taelaye na chaguan mandoco locue.
Basi, mimea ilipoota na kuanza kuchanua, magugu pia yakaanza kuonekana.
27 Ya manmato y tentago y tatan familia ya ilegñija nu güiya: Señot, ada ti mauleg na semiya tinanommo gui fangualuanmo? Jafa mina guaja taelaye na chaguan?
Watumishi wa yule mwenye shamba wakamwendea, wakamwambia, Mheshimiwa, bila shaka ulipanda mbegu nzuri katika shamba lako. Sasa magugu yametoka wapi?
28 Ylegña nu sija: Un enemigo fumatinas este. Ya y tentagoña ilegñija nu güiya: Malagojao ya infanjanao ya inchile?
Yeye akawajibu, Adui ndiye aliyefanya hivyo. Basi, watumishi wake wakamwuliza, Je, unataka twende tukayang'oe
29 Ylegña: Munga, sa no sea yaguin inchile y taelaye na chaguan, innabineog locue y trigo.
Naye akawajibu, La, msije labda mnapokusanya magugu, mkang'oa na ngano pia.
30 Polo ya ufandaña mandoco sija na dos asta y quineco; an mato y tiempon quineco, bae jualog ni para ufanmangoco: Chile finena y taelaye na chaguan, ya inguede famanojo para umasonggue; ya y trigo polo gui jalom y camalinjo.
Acheni vikue pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati huo nitawaambia wavunaji: kusanyeni kwanza magugu mkayafunge mafungumafungu ya kuchomwa. Lakini ngano ikusanyeni mkaiweke ghalani mwangu.”
31 Otro acomparasion sinangane sija ilegña: Y raenon langet parejoja yan y pepitas y mostasa, ni jachule un taotao ya jatanme gui fangualuanña.
Yesu akawaambia watu mfano mwingine: “Ufalme wa mbinguni unafanana na mbegu ya haradali aliyotwaa mtu mmoja, akaipanda katika shamba lake.
32 Magajet na güiya mas diquique gui todo y semiya sija; lao anae esta mandoco, güiya mas dangculo gui manmagogulae, ya mamatrongconjayo, ya manmato sija y pájaron y aire, ya manmamatinas y chenchon gui ramasña.
Yenyewe ni ndogo kuliko mbegu zote, lakini ikishaota huwa kubwa kuliko mimea yote. Hukua ikawa mti, na ndege wa angani huja na kujenga viota katika matawi yake.”
33 Otro acomparasion sinangane sija ilegña: Y raenon langet, parejoja yan y libadura, ni y un palaoan jachule ya janana gui tres medidan arina, asta qui todo manbolacho.
Yesu akawaambia mfano mwingine: “Ufalme wa mbinguni umefanana na chachu aliyotwaa mama mmoja, akaichanganya na unga pishi tatu, hata unga wote ukaumuka.”
34 Todo estesija jasangan si Jesus pot acomparasion gui linajyan taotao; ya taya jasangane sija sin acomparasion.
Yesu aliwaambia watu hayo yote kwa mifano. Hakuwaambia chochote bila kutumia mifano,
35 Para umacumple y munjayan masangan pot y profeta na ilegña: Jubaba y pachotto pot acomparasion: ya jusangan güinaja sija ni manafanatog desde y plinantan y tano.
ili jambo lililonenwa na nabii litimie: “Nitasema kwa mifano; nitawaambia mambo yaliyofichika tangu kuumbwa ulimwengu.”
36 Ayo nae jadingo y linajyan taotao ya mapos, ya jumalon gui guima; ya manmato guiya güiya y disipuluña sija, ya ilegñija: Naclaruyejam ni y acomparasion y taelaye na chaguan gui fangualuan.
Kisha Yesu aliwaaga wale watu, akaingia nyumbani. Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwambia, “Tufafanulie ule mfano wa magugu shambani.”
37 Ya manope sija ilegña: Ayo y mananom mauleg na semiya y Lajin taotao yuje.
Yesu akawaambia, “Mpanzi wa zile mbegu nzuri ni Mwana wa Mtu.
38 Y fangualuan, y tano; y manmauleg na semiya, y famaguon y raeno, ya y taelaye na chaguan y famaguon y Maligno.
Lile shamba ni ulimwengu. Zile mbegu nzuri ni watu wale ambao Ufalme ni wao. Lakini yale magugu ni wale watu wa yule Mwovu.
39 Y enemigo, ni y tumanme, y anitegüe; ya y quineco, y jinecog y siglo; ya y para ufanmangone, y angjet sija. (aiōn g165)
Adui aliyepanda yale magugu ni Ibilisi. Mavuno ni mwisho wa nyakati na wavunaji ni malaika. (aiōn g165)
40 Sa taegüenao machule y taelaye na chaguan ya masonggue gui guafe, taegüijija locue y jinecog y siglo. (aiōn g165)
Kama vile magugu yanavyokusanywa kuchomwa moto, ndivyo itakavyokuwa mwishoni mwa nyakati; (aiōn g165)
41 Ya utago y Lajin taotao y angjetña sija; ya urecoje todo ayo sija y fumatitinas y tinempo, yan y fumatitinas y tinaelaye;
Mwana wa Mtu atawatuma malaika wake wawakusanye kutoka katika Ufalme wake wale wote wenye kusababisha dhambi, na wote wenye kutenda maovu,
42 Ya uyute gui jetnon guafe; ya ayo nae uguaja tumanges, yan chegcheg nifen.
na kuwatupa katika tanuru ya moto, na huko watalia na kusaga meno.
43 Ayo nae y manunas, ufanmanina calang y atdao, gui raenon y Tatanñija. Y gaetalanga para ufanjungog, güiya ujungog.
Kisha, wale wema watang'ara kama jua katika Ufalme wa Baba yao. Sikieni basi, kama mna masikio!
44 Y raenon langet locue, parejoja yan un senguaguan na güinaja ni y mananana gui un fangualuan, ya un taotao, anae jasoda, janana, ya mapos yan pot y minagofña jabende todo y iyoña ya jafajan ayo na fangualuan.
“Ufalme wa mbinguni umefanana na hazina iliyofichika shambani. Mtu mmoja aliigundua, akaificha tena. Alifurahi sana hata akaenda kuuza yote aliyokuwa nayo, akalinunua shamba lile.
45 Y raenon langet parejoja locue yan un taotao ni manbebende, na manaliligao bonito na petlas:
“Tena, Ufalme wa mbinguni umefanana na mfanyabiashara mmoja mwenye kutafuta lulu nzuri.
46 Ya anae mañoda un petlas na senguaguan, mapos ya jabende todo y güinajaña ya jafajan ayo.
Alipopata lulu moja ya thamani kubwa, alienda akauza yote aliyokuwa nayo, akainunua lulu ile.
47 Y raenon langet parejoja locue, yan un lagua ni y mayute guato gui tase, ya mangone todo clase:
“Tena, Ufalme wa mbinguni unafanana na wavu uliotupwa baharini, ukanasa samaki wa kila aina.
48 Ya anae esta bula, majala guato gui oriyan unae; ya manmatachong, ya majoca y manmauleg ya masajguane gui sajguanñija, ya y manaelaye mayute juyong.
Ulipojaa, watu waliuvuta pwani, wakaketi, wakachagua samaki wazuri wakawaweka ndani ya vikapu vyao, na wabaya wakawatupa.
49 Taegüinija locue y jinecog y siglo: ufato y angiet sija ya ujanafanjanao y manaelaye gui entalo y manunas; (aiōn g165)
Ndivyo itakavyokuwa mwishoni mwa nyakati: malaika watatokea, watawatenganisha watu wabaya na watu wema, (aiōn g165)
50 Ya ujayute gui jetnon guafe; ya ayo nae uguaja güije tumanges, yan chegcheg nifen.
na kuwatupa hao wabaya katika tanuru ya moto. Huko watalia na kusaga meno.”
51 Ayo nae si Jesus ilegña nu sija: Intingo todo estesija? Sija ilegñija nu guiya: Junggan.
Yesu akawauliza, “Je, mmeelewa mambo haya yote?” Wakamjibu, “Naam.”
52 Ya güiya ilegña nu sija: Pot este todo escriba ni mafatinas disipulo gui raenon langet, parejoja yan y tatan un familia, ni y jachuchule gui güinajaña bijo sija, yan nuebo sija.
Naye akawaambia, “Hivyo basi, kila mwalimu wa Sheria aliye mwanafunzi wa Ufalme wa mbinguni anafanana na mwenye nyumba atoaye katika hazina yake vitu vipya na vya kale.”
53 Ya anae janafonjayan si Jesus todo este sija na acomparasion, mapos güije.
Yesu alipomaliza kusema mifano hiyo alitoka mahali hapo,
54 Ya anae mato gui tanoña, mamanagüe gui guimayuusñija, ya sija ninafanmanman, ya ilegñija: Guine mano nae jumuyong este na tiningoña, ya este sija mandangculo na ninasiña?
akaenda kijijini kwake. Huko akawa anawafundisha watu katika sunagogi hata wakashangaa, wakasema, “Huyu amepata wapi hekima hii na maajabu?
55 Ada ti güiya este y lajin y catpintero? Ada si nanaña ti mafanaan si Maria? yan y mañeluña, ti sija si Santiago, si José, si Simon, yan si Judas?
Je, huyu si yule mwana wa seremala? Je, mama yake si anaitwa Maria, na ndugu zake si kina Yakobo, Yosefu, Simoni na Yuda?
56 Ya ada ti manjijita yan y mañeluña palaoan? Guine mano nae uguaja este na taotao todo estesija? Ya guaja guiya güiya disgusto.
Na dada zake je, si wote wako hapa pamoja nasi? Basi amepata wapi haya yote?”
57 Lao si Jesus ilegña nu sija: Y profeta taya onraña, gui tanoña yan y guimaña; lao gaeonraña gui otro lugat.
Basi, wakawa na mashaka naye. Lakini Yesu akawaambia, “Nabii hakosi kuheshimiwa, isipokuwa katika nchi yake na nyumbani mwake!”
58 Ya ti jafatinas güije megae na mannamanman, sa taya jinengguenñija.
Kwa hiyo, hakutenda miujiza mingi pale kwa sababu ya kutoamini kwao.

< San Mateo 13 >