< San Marcos 14 >

1 GUAJA dos na jaane antes di guipot y pascua yan y taelibadura na pan: ya y magas mamale sija, yan y escriba sija, maaliligao jaftaemano para umafababa, ya umacone, ya umapuno.
Ilikuwa siku mbili tu kabla ya sikukuu ya Pasaka na ya Mikate Isiyotiwa Chachu. Makuhani wakuu na walimu wa Sheria walikuwa wakitafuta njia ya kumtia Yesu nguvuni kwa hila wamuue.
2 Lao ilegñija: Munga gui guipot na jaane, sa noseaja uguaja atboroto ni y taotao sija.
Lakini walisema, “Tusimtie nguvuni wakati wa sikukuu, watu wasije wakafanya ghasia.”
3 Ya anae estaba guiya Betania, gui guima Simon y ategtog, ya matachong gui lamasa para uchocho; mato un palaoan mañuñule un alabastro na boteyan inggüenten puro nardo, na gosguaguan; ya mafag y boteya, ya jachuda gui jilo y ilon Jesus.
Yesu alikuwa Bethania, nyumbani kwa Simoni, Mkoma. Alipokuwa mezani kula chakula, mama mmoja aliyekuwa na chupa ya alabasta yenye marashi ya nardo safi ya thamani kubwa alikuja, akaivunja hiyo chupa, akammiminia Yesu marashi hayo kichwani.
4 Ya guaja sija ninafanbubo sanjalomñija, ya ilegñija: Jafa este na inggüente na manalalastimaja?
Baadhi ya watu waliokuwa hapo walikasirika wakajisemea, “Kwa nini kupoteza ovyo marashi haya?
5 Maulegña umabende pot tresientos peseta, ya ufanmanae y mamobble: ya malalatde y palaoan.
Yangaliweza kuuzwa kwa fedha kiasi cha denari mia tatu, wakapewa maskini!” Wakamkemea huyo mama.
6 Lao si Jesus ilegña: Pologüe namaesa. Jafaja na inatbororota güe? Mauleg finatinasña nu guajo.
Lakini Yesu akawaambia, “Mwacheni; kwa nini mnamsumbua? Amenitendea jambo jema.
7 Sa manjajamyoja yan y mamobble siempre; ya ngaeanja nae manmalago jamyo, infatinasja mauleg guiya sija: lao guajo ti tafanjijitaja siempre.
Maskini mnao daima pamoja nanyi; mnaweza kuwasaidia wakati wowote mnaopenda. Lakini mimi sitakuwapo pamoja nanyi daima.
8 Güiya jafatinas taemanoja y ninasiñaña: güiya mato antes, para uinggüentiye y tataotaojo, para y naftan.
Yeye amefanya alivyoweza; ameupaka mwili wangu marashi kuutayarisha kwa maziko.
9 Magajet jusangane jamyo: Manoja este na ebangelio nae mapredica, gui todo y tano, este locue y finatinasña umasangan, para memoriasña.
Nawaambieni kweli, popote ulimwenguni Habari Njema itakapohubiriwa, kitendo hiki alichofanya kitatajwa kwa ajili ya kumkumbuka.”
10 Ya si Judas Iscariote, uno gui dose, mapos malag y magas mamale, para umentrega güe guiya sija.
Kisha Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili, alienda kwa makuhani wakuu ili kumsaliti Yesu.
11 Ya anae majungog, ninafansenmagof, ya mapromete manae güe salape. Ya jaaliligao jaftaemano para uinentrega.
Makuhani wakuu waliposikia habari hiyo, walifurahi, wakaahidi kumpa fedha. Basi, Yuda akaanza kutafuta nafasi ya kumsaliti Yesu.
12 Ya y finenana na jaane y taelibadura na pan, anae maofrese y pascua, y disipuluña ilegñija nu güiya; Manojam malagomo guato ya infamauleg nae para unchocho gui pascua?
Siku ya kwanza ya sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, wakati ambapo mwana kondoo wa Pasaka huchinjwa, wanafunzi wake walimwuliza, “Wataka tukuandalie wapi karamu ya Pasaka?”
13 Ya jatago y dos gui disipuluña, ya ilegña nu sija: Janao fanmalag y siuda, sa infanasoda güije yan un taotao na mangangatga un jarran janom: dalalag güe.
Basi Yesu akawatuma wawili wa wanafunzi wake akiwaambia, “Nendeni mjini, nanyi mtakutana na mtu anayebeba mtungi wa maji. Mfuateni
14 Ya amanoja nae jumalom, alog ni y taotao guma: Y Maestro, ilegña: Mangue y aposento ni y anae para infañocho gui pascua yan y disipulujo?
mpaka katika nyumba atakayoingia, mkamwambie mwenye nyumba, Mwalimu anasema: wapi chumba changu ambamo nitakula Pasaka pamoja na wanafunzi wangu?
15 Ya güiya infanfinanue un dangculo na cuatto; esta mafamauleg yan listo; ayo nae famauleg para jita.
Naye atawaonyesha chumba kikubwa ghorofani kilichotayarishwa na kupambwa. Tuandalieni humo.”
16 Ya y disipuluña sija manmapos, ya manmato gui siuda, ya jasoda jaftaemano y mansinangane sija: ya mafamauleg para y pascua.
Wanafunzi wakaondoka, wakaenda mjini, wakakuta kila kitu sawa kama Yesu alivyokuwa amewaambia. Wakaandaa karamu ya Pasaka.
17 Ya y pupuenge mato yan y dose.
Ilipokuwa jioni, Yesu alifika pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.
18 Ya anae manmatatachong ya mañochocho, si Jesus ilegña: Magajet jusangane jamyo: Uno guiya jamyo umentregayo; güiyaja uchumocho yan guajo.
Walipokuwa mezani wakila, Yesu alisema, “Kweli nawaambieni, mmoja wenu anayekula pamoja nami, atanisaliti.”
19 Ayo nae ninafangostriste, ya ilegñija nu güiya uno yan otro: Guajo? y otro ilegña: Guajo?
Hapo wanafunzi wake wakaanza kuhuzunika, wakamwuliza mmojammoja, “Je, ni mimi?”
20 Ayo nae manope ilegña nu sija: Uno gui dose ni y jumajame manotche gui tason.
Yesu akawaambia, “Ni mmoja wenu ninyi kumi na wawili, anayechovya mkate pamoja nami katika bakuli.
21 Y Lajin taotao magajet na mapos, ni y esta matugue pot güiya: lao namaase ayo na taotao ni y jaentrega y Lajin taotao. Maulegña ayo na taotao na ti umafañago.
Kweli Mwana wa Mtu anakwenda zake kama Maandiko Matakatifu yanavyosema juu yake; lakini, ole wake mtu yule anayemsaliti Mwana wa Mtu! Ingalikuwa afadhali kwa mtu huyo kama hangalizaliwa!”
22 Ya anae mañochocho, jachule si Jesus y pan, ya jabendise, ya jaipe, ya janae sija, ilegña: Chile ya incano, sa este y tataotaojo.
Walipokuwa wanakula, Yesu alitwaa mkate, akashukuru, akaumega na kuwapa wanafunzi wake akisema, “Twaeni; huu ni mwili wangu.”
23 Ya jachule y posuelo, ya anae munjayan janae grasia, janae sija: ya todos manguimen.
Kisha akatwaa kikombe, akamshukuru Mungu, akawapa; nao wote wakanywa katika kikombe hicho.
24 Ya ilegña nu sija: Este y jâgâjo, gui nuebo na testamento, ni machuda pot y megae.
Akawaambia, “Hii ni damu yangu inayothibitisha agano la Mungu, damu inayomwagwa kwa ajili ya watu wengi.
25 Magajet jusangane jamyo, na ti juguimen talo ni y tinegcha ubas, asta ayo na jaane, na juguimen nuebo gui raenon Yuus.
Kweli nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa upya katika Ufalme wa Mungu.”
26 Ya anae munjayan macanta un himno, manmapos manmalag y finabeca Olibo.
Kisha wakaimba wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa Mizeituni.
27 Ya si Jesus ilegña nu sija: Todos jamyo infaninefende pot guajo; sa esta matugue: Bae jupanag y pastot, ya y quinilo sija ufanmachalapon.
Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Ninyi nyote mtakuwa na mashaka nami; maana Maandiko Matakatifu yasema: Nitampiga mchungaji nao kondoo watatawanyika.
28 Lao despues di lâlâyo talo, ya cumajuloyo, jujanao esta y menanmiyo guiya Galilea.
Lakini nikisha fufuka, nitawatangulieni kule Galilaya.”
29 Ayo nae si Pedro ilegña: Achogja todos maninefende; lao guajo aje.
Petro akamwambia “Hata kama wote watakuwa na mashaka nawe na kukuacha, mimi sitakukana kamwe!”
30 Ya sinangane as Jesus ilegña: Magajet jusanganejao na jago pagoja na puenge, antes qui uoo dos biaje y gayo, unpuneyo tres biaje.
Yesu akamwambia, “Kweli nakwambia, usiku huu, kabla jogoo hajawika mara mbili, utanikana mara tatu.”
31 Lao guiya janaguefchadeg y cuentosña, ilegña: Yanguin jumitamatae, ti jupunejao ni jaftaemano. Taegüineja locue sinanganñija todos.
Lakini Petro akasisitiza, “Hata kama ni lazima nife pamoja nawe, sitakuacha kamwe.” Wanafunzi wote pia wakasema vivyo hivyo.
32 Ya manmato un lugat na y naaña Gethsemane: ya ilegña ni y disipuluña sija: Fanmatatachong güine, mientras mananaetaeyo.
Basi, wakafika katika bustani iitwayo Gethsemane. Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kaeni hapa wakati mimi nasali.”
33 Ya jacone gachongña si Pedro, yan si Santiago, yan si Juan, ya jatutujon manmajalang, yan mangostriste,
Kisha akawachukua Petro, Yakobo na Yohane; akaanza kufadhaika sana na kuhangaika.
34 Ya ilegña nu sija: Y antijo sentriste asta qui jumatae; fañaga güine, ya iafanmamulan.
Akawaambia, “Nina huzuni kubwa moyoni hata karibu kufa. Kaeni hapa mkeshe.”
35 Ya jumanao mona didide, dumimo papa gui jilo oda, ya manaetae, na yanguin siña, ufalofan y ora guiya güiya.
Akaenda mbele kidogo, akajitupa chini kifudifudi, akasali kwamba, kama ingewezekana, asiipitie saa hiyo ya mateso.
36 Ya ilegña: Abba, Tata: todo y güinaja mansiña para jago; nasuja este y posuelo guiya guajo: lao ti taemanoja minalagojo, na y minalagomo.
Akasema, “Baba yangu, kwako mambo yote yanawezekana. Uniondolee kikombe hiki; lakini isiwe kama nitakavyo mimi, bali utakavyo wewe.”
37 Ya mato talo guato ya jasoda sija manmaego, ya ilegña as Pedro: Simon mamaegojao? ti siñajao bumela un oraja?
Kisha akarudi kwa wanafunzi wale watatu, akawakuta wamelala. Basi, akamwuliza Petro, “Simoni, je umelala? Hukuweza kukesha hata saa moja?”
38 Fanbela, yan infanmanaetae; para chamiyo fanjajalom gui tentasion: Y Espiritu magajet na malago; lao y catne echecho.
Kisha akawaambia, “Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu.”
39 Ya jumanao talo ya manaetae ya ayoja mismo na sinangan.
Akaenda kusali tena akirudia maneno yaleyale.
40 Ya anae tumalo guato jasoda talo sija na manmamaego: sa y atadogñija mangosmacat, ya ti ujatungo jafa umaope güe.
Kisha akarudi tena, akawakuta wamelala. Macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi. Hawakujua la kumjibu.
41 Ya mato talo gui mina tres biaje, ya ilegña nu sija: Fanmaego pago, ya infandescansa: esta najong; y ora esta mato; lie y Lajin taotao na maentrega gui canae y manisao sija.
Alipowajia mara ya tatu aliwaambia, “Mnalala bado na kupumzika? Sasa imetosha! Saa imefika! Mwana wa Mtu anakabidhiwa kwa watu waovu.
42 Fangajulo ya nije tafanjanao; sa esta y umentregayo jijot.
Amkeni, twendeni zetu. Tazameni, yule atakayenisaliti amekaribia.”
43 Ya enseguidas, mientras cumuecuentos, mato si Judas, uno gui dose, ya mañisija yan un linajyan taotao, manmañuñule espada, yan galute guinen y magas mamale, yan y escriba, yan y manamco sija.
Yesu alipokuwa bado anasema, Yuda, mmoja wa wale kumi na wawili, akafika pamoja na umati wa watu wenye mapanga na marungu. Watu hao walikuwa wametumwa na makuhani wakuu, walimu wa Sheria na wazee.
44 Ya ayo y umentrega güe, mannae señat, ilegña: Jaye y juchico, güiya ayo: guiot ya inquene na seguro.
Msaliti Yuda alikuwa amewapa ishara: “Yule nitakayembusu ndiye; mkamateni, mkampeleke chini ya ulinzi.”
45 Ya enseguidas nae matogüe, jumajanaoja guato guiya güiya, ya ilegña: Maestro; ya jachico.
Yuda alipofika tu, alimwendea Yesu moja kwa moja, akasema, “Mwalimu!” Kisha akambusu.
46 Ya ayonae mapolo canae sija gui jiloña ya macone.
Basi, hao watu wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni.
47 Ya uno guiya sija ni y tumotojgue gui oriya, jalagnos y espadaña, ya jataga y tentago y magas mamale, ya jautut talangaña.
Mmoja wa wale waliokuwa wamesimama hapo pamoja na Yesu akauchomoa upanga wake, akampiga mtumishi wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio.
48 Ya manope si Jesus ilegña nu sija: Ada manmato jamyo calang contra y saque, na manmañuñule jamyo espada, yan galute para inguiotyo?
Yesu akawaambia, “Je, mmekuja na mapanga na marungu kunikamata kana kwamba mimi ni mnyang'anyi?
49 Guinen manjijitaja todo y jaane gui templo manmamananagüe, ya ti inquequeneyo? lao mafatinas este para umacumple y tinigue.
Kila siku nilikuwa pamoja nanyi nikifundisha Hekaluni, wala hamkunikamata. Lakini sasa lazima Maandiko Matakatifu yatimie.”
50 Ya madingo, ya manmalago todos.
Hapo wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia.
51 Ya dinalalaggüe un patgon na taotao, na jatatampe güe un sábanas, sa taya magagago: ya y mamatgon sija na taotao, maguot güe.
Kulikuwa na kijana mmoja aliyekuwa anamfuata Yesu akiwa amevaa shuka. Nao wakajaribu kumkamata.
52 Lao güiya japolo y sábanas, ya malago sin magago.
Lakini yeye akaponyoka, akaiachilia ile shuka, akakimbia uchi.
53 Ya macone si Jesus para y magas na pale: ya mandaña y manmagas mamale yan y manamco, yan y escriba sija.
Basi, wakampeleka Yesu kwa Kuhani Mkuu ambapo makuhani wakuu wote, wazee na walimu wa Sheria walikuwa wamekutanika.
54 Ya si Pedro dinalalag güe, lao chago, asta gui sanjalom, sanjalom y palasyon y magas na pale: ya matachong yan y tentago sija, ya janama maope güe gui guafe.
Petro alimfuata Yesu kwa mbali, akaingia ndani ya ya wa Kuhani Mkuu, akaketi pamoja na walinzi akiota moto.
55 Ya y magas mamale, yan todo y inetnon ofisiat, manmanaliligao testimonio contra si Jesus para umapuno; lao taya masoda.
Makuhani wakuu na Baraza lote wakatafuta ushahidi wa kumshtaki Yesu wapate kumwua, lakini hawakupata.
56 Sa megae manmannae ti manmagajet na testimonio contra güiya: lao y testimonioñija ti manparejo.
Watu wengi walitoa ushahidi wa uongo juu ya Yesu, lakini ushahidi wao haukupatana.
57 Ya mangajulo palo ni manmannae contra güiya y testimonio na ti manmagajet, ilegñija:
Kisha wengine walisimama, wakatoa ushahidi wa uongo wakisema:
58 Injingog y ilegña: Juyulang este na templo, ni y mafatinas nu canae, ya y tres na jaane, janacajulo talo otro na ti finatinas canae.
“Tulimsikia mtu huyu akisema, Nitaliharibu Hekalu hili lililojengwa kwa mikono, na kwa siku tatu nitajenga lingine lisilojengwa kwa mikono.”
59 Lao este na testimonioñija, locue ti manparejo.
Lakini hata hivyo, ushahidi wao haukupatana.
60 Ya y magas na pale tumojgue julo gui talolo, ya jafaesen si Jesus ilegña: Ti unfanope ni jafa? Jafa este sija na testimonioñija contra jago?
Basi, Kuhani Mkuu akasimama katikati yao, akamwuliza Yesu, “Je, hujibu neno? Watu hawa wanashuhudia nini dhidi yako?”
61 Lao mamatquiquiloja, taya inepeña. Tumalo y magas na pale finaesen ilegña: Jago si Jesucristo Lajin y Bendito?
Lakini yeye akakaa kimya; hakusema hata neno moja. Kuhani Mkuu akamwuliza tena, “Je, wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu Mtukufu?”
62 Ya si Jesus ilegña: Guajo; ya umamaela y tiempo anae inlie y Lajin taotao matatachong gui agapa y gaeninasiña na canae, ya umamaela gui jalom y mapagajes y langet.
Yesu akajibu, “Naam, mimi ndiye. Tena, mtamwona Mwana wa Mtu amekaa upande wa kulia wa Mwenyezi, akija katika mawingu ya mbinguni.”
63 Ayonae y magas na pale, jatiteg y magaguña, ya ilegña: Para jafajit palo testigo sija?
Hapo Kuhani Mkuu akararua joho lake, akasema, “Tuna haja gani tena ya mashahidi?
64 Injingogja y chinatfinoña contra si Yuus: Jafa jinasonmimiyo? Ya todos manmañentensia para umapuno.
Mmesikia kufuru yake! Ninyi mwaonaje?” Wote wakaamua kwamba anastahili kuuawa.
65 Ya y palo matutujon matolae, yan matatampe mataña, yan mapatmada, ya ilegñija nu güiya: Profetisa: ya y ofisiat sija rumesibe güe ya japatmada ni y canaeñija.
Basi, baadhi yao wakaanza kumtemea mate, wakamfunika uso, wakampiga na kumwambia, “Bashiri ni nani aliyekupiga!” Hata watumishi wakamchukua, wakampiga makofi.
66 Ya anae si Pedro gaegue gue sanpapa gui palasyo, mato un palaoan tentago y magas na pale:
Petro alipokuwa bado chini ukumbini, mmoja wa wajakazi wa kuhani Mkuu alikuja.
67 Ya anae jalie si Pedro na janamamaepe güe, jaatan ya ilegña: Jago locue manjajamyo yan si Jesus Nasareno?
Alipomwona Petro akiota moto, alimtazama, akamwambia, “Hata wewe ulikuwa pamoja na Yesu Mnazareti.”
68 Lao jadague ilegña: Ti jutungo, ni jutungo jafa ilelegmo. Ya mapos juyong gui cajida; ya umoo y gayo.
Lakini Petro akakana, “Sijui, wala sielewi unayosema!” Kisha Petro akaondoka, akaenda nje uani. Hapo jogoo akawika.
69 Ya linie talo ni y palaoan, ya jatutujon sumangane ayo sija y manotojgue gui oriyaña: Este uno guiya sija.
Yule mjakazi alipomwona tena Petro, akaanza tena kuwaambia watu waliokuwa wamesimama hapo, “Mtu huyu ni mmoja wao.”
70 Ya jadague talo. Ti apmam ayo y manotojgue gui oriya ilegñija as Pedro: Magajet na jago uno guiya sija? sa jago taotao Galileajao.
Petro akakana tena. Baadaye kidogo, watu waliokuwa wamesimama hapo wakamwambia Petro, “Hakika wewe ni mmoja wao, maana wewe ni Mgalilaya.”
71 Lao jatutujon mamatdise yan manjula ya ilegña: Ti jutungo este na taotao y insasangan.
Lakini Petro akaanza kulaani na kuapa akisema, “Mimi simjui mtu huyu mnayesema habari zake.”
72 Ya enseguidas y mina dos biaje umoo y gayo. Jajaso si Pedro y sinangan, jaftaemano si Jesus nu güiya ilegña: Antes que uoo y gayo dos biaje, undagueyo tres biaje. Ya anae jajaso, tumanges.
Hapo jogoo akawika mara ya pili. Basi, Petro akakumbuka jinsi Yesu alivyokuwa amemwambia: “Kabla jogoo hajawika mara mbili, utanikana mara tatu.” Petro akabubujika machozi.

< San Marcos 14 >