< San Lucas 5 >

1 YA susede anae y linajyan taotao manoriya yan machichiguet güe ya jaecungog y sinangan Yuus, na güiya gaegue tumotojgue gui oriyan jagoe Genesaret.
Basi ilitokea wakati watu walipomkusanyikia na kumzunguka Yesu na kusikiliza neno la Mungu, ambapo alikuwa amesimama kando ya ziwa Genesareti.
2 Ya jalie dos batco na estaba jijot gui oriyan y jagoe; ya y manpescadot manunog güije, ya jafagase y laguañija.
Aliona mashua mbili zimetia nanga pembeni mwa ziwa. Wavuvi walikuwa wametoka na walikuwa wakiosha nyavu zao.
3 Ya jumalom güine gui un batco ya y iyon Simon; ya jagagao na unafalag y tano didide. Ya matachong ya mamanagüe desde y batco ni linajyan taotao.
Yesu akaingia katika mojawapo ya zile mashua, ambayo ilikuwa ya Simoni na kumwomba aipeleke majini mbali kidogo na nchi kavu. Kisha akakaa na kufundisha kutokea kwenye mashua.
4 Ya anae munjayan cumuentos, ilegña as Simon: Juyong gui tadong na tase ya innatunog y laguanmiyo para un quinene.
kuongea, akamwambia Simoni, “Ipeleke mashua yako mpaka kwenye kilindi cha maji nakushusha nyavu zako ili kuvua samaki.”
5 Ya manope si Simon ya ilegña: Maestro estajam manmachocho todo puenge ya taya quinenemame; lao pot y sinanganmo bae innatunog y lagua.
Simon akajibu na kusema, Bwana, tumefanya kazi usiku wote, na hatukukamata chochote, lakini kwa neno lako, nitazishusha nyavu.
6 Ya anae manmatinas este, japongle un dangculo na quinenen güijan; ya esta tiniteg y laguanñija.
Walipofanya hivyo walikusanya kiasi kikubwa cha samaki na nyavu zao zikaanza kukatika.
7 Ayo nae jaseñat y mangachongñija ni mangaegue gui otro batco, para ufanmato ya ufaninayuda. Ya manmato, ya janabulaja y dos batco, ya jatutujon manmañoñogñog.
Hivyo wakawaashiria washirika wao kwenye mashua nyingine ili waja na kuwasaidia. Walikuja wakazijaza mashua zote, kiasi kwamba zikaanza kuzama.
8 Ya anae jalie este si Simon Pedro, dumimo papa gui as Jesus ya ilegña: Suja guiya guajo, Señot; sa taotao isaoyo.
Lakini Simoni Petro, alipoona hivyo, alianguka magotini pa Yesu akisema,”Ondoka kwangu, kwa sababu mimi ni mtu mwenye dhambi Bwana.”
9 Sa ninamaañao yan todos y mangaegue guiya güiya, pot causa de y quinenen güijan ni y inquene;
Kwa sababu alishangazwa, na wote waliokuwa pamoja naye, kwa uvuvi wa samaki waliokuwa wameufanya.
10 Ya taegüije ja locue as Santiago yan si Juan, famaguon Sebedeo, ya sija mangachong Simon. Ya ilegña si Jesus as Simon: Chamo maaaño: sa desde pago ufangone jao y taotao.
Hili liliwajumuisha Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo, ambao walikuwa washirika wa Simoni. Na Yesu akamwambia Simoni, “Usiogope, kwa sababu kuanzia sasa na kuendelea utavua watu.”
11 Ya anae esta mañule gui tano y batcoñija; todo jayute ya madalaggüe.
Walipokwishazileta mashua zao nchi kavu, waliacha kila kitu na kumfuata yeye.
12 Ya susede anae gaegue güe gui uno gui siuda sija, estagüe un taotao na bula ategtog: güiya anae jalie si Jesus, podong gui mataña gui menaña ya jagagao, ilegña: Señot, yaguin malagojao, siñajao unnagasgasyo?
Ilitokea kwamba alipokuwa katika mji mmojawapo, mtu aliyekuwa amejaa ukoma alikuwa huko. Wakati alipomuona Yesu, alianguka akiinamisha uso kwake mpaka chini na kumuomba, akisema, “Bwana, ikiwa unataka, waweza kunitakasa.”
13 Ya jaestira y canaeña ya japacha, ilegña: Malagoyo, gasgasjao; ya enseguidas y ategtog jumanao guiya güiya.
Kisha Yesu alinyoosha mkono wake na kumgusa, akisema, “Nataka. Takasika.” Na saa ileile ukoma ukamwacha.
14 Ya tinago güe, na chaña sangangane ni jaye: lao janao, unfanue y pale nu jago ya unofrese ni y guinasgasmo, taemanoja y tinagon Moises para testimonio nu sija.
“Alimwagiza asimwambie mtu yeyote, lakini alimwambia, “Nenda zako, na ukajionyeshe kwa makuhani na utoe sadaka ya utakaso wako, sawasawa na kile Musa alichokiamuru, kwa ushuhuda kwao.”
15 Lao y masanganña jumanao megae; ya mandaña y dangculon linajyan taotao para umajungog yan para ufanmagong y chetnotñija.
Lakini habari kumuhusu yeye zikaenea mbali zaidi, na umati mkubwa wa watu ukaja pamoja kumsikiliza akifundisha na kuponywa magonjwa yao.
16 Lao güiya jaapatta güe asta y jalomtano ya manaetae.
Lakini mara kwa mara alijitenga faraghani na kuomba.
17 Ya susede gui un jaane na estabagüe mamanagüe; ya mangaegue y Fariseo sija yan y magas y lay, manmatatachong, sa sija manmato guinen y sengsong Galilea, yan Judea, yan y ya Jerusalem; ya y ninasiñan y Señot gaegue güije para unamagong.
Ilitokea siku moja kati ya hizo siku alikuwa akifundisha, na walikuwapo Mafarisayo na waalimu wa sheria wamekaa hapo ambao walikuja wakitokea vijiji vingi tofauti katika mkoa wa Galilaya na Yudea, na pia kutokea katika mji wa Yerusalemu. Nguvu ya Bwana ilikuwa pamoja naye kuponya.
18 Ya estagüe sija taotao na macocone un taotao gui jilo un cama na paralitico; ya maaliligao mano nae mañule jalom para umapolo gui menaña.
watu kadhaa walikuja, wamembeba kwenye mkeka mtu aliyepooza, na wakatafuta njia ya kumwingiza ndani ili kumlaza chini mbele ya Yesu.
19 Ya anae ti masoda mano nae umapolo pot causa y linajyan taotao, mangajulo gui jilo guma ya guinin y atof nae manatunog yan camaña gui entalo, asta y gui menan Jesus.
Hawakupata njia ya kumwingiza ndani kwa sababu ya umati, hivyo walipanda juu ya paa la nyumba na kumshusha yule mtu chini kupitia kwenye vigae, juu mkeka wake katikati ya watu, mbele kabisa ya Yesu.
20 Ya anae jalie y jinengguenñija yuje sija, ilegña: Taotao, y isaomo umaasie.
Akiangalia imani yao, Yesu alisema, “Rafiki, dhambi zako umesamehewa.”
21 Ya y escriba yan y Fariseo sija jatutujon manmanjaso, ya ilegñija: Jaye güe este na usangan chatfino contra si Yuus? Jaye siña manasie isao, na si Yuusja?
Waandishi na Mafarisayo waliaanza kuhoji hilo, wakisema, “Huyu ni nani anayeongea makufuru? Ni nani anaweza kusamehe dhambi ila Mungu pekee yake?”
22 Lao si Jesus jatungo y jinasonñija; manope ya ilegña nu sija: Jafa injajaso gui corasonmiyo?
Lakini Yesu, akitambua nini walichokuwa wakifikiri, aliwajibu na kuwaambia, “Kwa nini mnaulizana hili mioyoni mwenu?
23 Jafa sen taeminapot masangan: Y isaomo unmaasie; pat masangan: Cajulo ya unfanmocat?
Kipi ni rahisi kusema, 'Dhambi zako zimesamehewa' au kusema 'Simama utembee?'
24 Lao para intingoja na y Lajin taotao guaja ninasiñaña gui tano para umasie isao (ilegña nu y paralitico), jusanganejao: Cajulo, chule y camamo ya unjanao para iyajamyo.
Lakini mjue ya kwamba Mwana wa Adamu anayo mamlaka duniani ya kusamehe dhambi, Nakwambia wewe, 'Amka, chukua mkeka wako na uende nyumbani kwako.'”
25 Ya enseguidas güiya cajulo gui menanñija, ya jachule ayo anae umaasongüe ya jumanao para y guimaña, ya jatuna si Yuus,
Wakati huo huo akaamka mbele yao na akachukua mkeka wake aliokuwa ameulalia. Kisha akariudi nyumbani kwake akimtukuza Mungu.
26 Ya ninafanmanman todosija, ya matuna si Yuus; ya manbula y minaañao, ilegñija: Inlie námanman sija pago.
Kila mmoja alishangazwa na wakamtukuza Mungu. Walijawa na hofu, wakisema, “Tumeona mambo yasiyo ya kawaida leo.”
27 Ya despues di estesija, jumanao, ya jalie un publicano na y naanña si Levi, matatachong gui bancon y tributo ya ilegña: Dalalagyo.
Baada ya mambo haya kutokea, Yesu alitoka huko na akamwona mtoza ushuru aliyeitwa Lawi amekaa eneo la kukusanyia kodi. Akamwambia, “Nifuate.”
28 Ya japolo todo y güinajaña ya cajulo ya jadalalaggüe.
Hivyo Lawi akanyanyuka na kumfuata, akiacha kila kitu nyuma.
29 Ya jafatinas si Levi un dangculon gupot gui guimaña: ya guaja un dangculon linajyan publicano sija, yan otro sija manmatachong gui lamasa yan sija.
Kisha Lawi akaandaa nyumbani kwake karamu kubwa kwa ajili ya Yesu. Walikuwapo watozaushuru wengi kule na watu wengi walioketi mezani wakila pamoja nao.
30 Ya y Fariseo sija yan y escribañija, mangogonggong contra y disipuluña sija, ilegñija: Sajafa na manjajamyo mañocho yan manguimen yan y publicanosija yan y manisao?
Lakini Mafarisayo na waandishi wao walikuwa wakiwanung'unikia wanafunzi, wakisema, “Kwa nini mnakula na kunywa na watoza ushuru pamoja na watu wengine wenye dhambi?”
31 Ya manope si Jesus ya ilegña nu sija: Y manaechetnot ti janesesita medico; lao y manmalango.
Yesu akawajibu, “Watu walio katika afya njema hawahitaji tabibu, ni wale tu wanaoumwa ndiyo watakao mhitaji mmoja.
32 Ti matoyo para juagang y manunas, lao y manisao para ufanmañotsot.
Sikuja kuwaita watu wenye haki haki wapate kutubu, bali kuwaita wenye dhambi wapate kutubu.”
33 Ya ilegñija nu güiya: Y disipulon Juan manayuyunat megae na biaje, ya jafatitinas tinayuyut; parejoja yan y disipulon Fariseo sija; ya iyoco mañochocho yan manguiguimen?
Wakamwambia, “Wanafunzi wa Yohana mara nyingi hufunga na kuomba, na wanafunzi wa Mafarisayo nao hufanya vivyo hivyo. Lakini wanafunzi wako hula na kunywa.”
34 Ya si Jesus ilegña nu sija: Siña innaayunat y mangaegue gui guipot uma sagua anae mañisijaja yan y nobio?
Yesu akawaambia, “Inawezekana mtu yeyote akawafanya waliohudhuria harusi ya Bwana Arusi kufunga wakati Bwana Arusi bado yu pamoja nao?
35 Lao ufato jaane na y nobio umana suja; ayo nae ufanayunat güije na jaane sija.
Lakini siku zitakuja wakati Bwana Arusi atakapoondolewa kwao, ndipo katika siku hizo watafunga.”
36 Ya mansinangane sija locue un acomparasion: Taya taotao janajanao pidason magago gui nuebo na bestido ya japolo gui bijo na bestido; no sea ujatiteg y nuebo ya locue y magago guinin nuebo ti parejo yan y bijo.
Kisha Yesu aliongea pia kwao kwa mfano. “Hakuna anayechana kipande cha nguo kutoka kwenye vazi jipya na kukitumia kurekebisha vazi la zamani. Kama akifanya hivyo, ataichana nguo mpya, na kipande cha nguo kutoka vazi jipya kisengefaa kutumika na nguo ya vazi la zamani.
37 Ya taya mananaye nuebo na bino gui bijo na boteyan cuero: ya no sea, y bino ni nuebo uyinamag y boteyan cuero, ya y bino umachuda, ya y boteyan cuero ufalingo.
pia, hakuna mtu ambaye huweka divai mpya kwenye viriba vikuukuu. Kama akifanya hivyo, divai mpya ingepasua kile chombo, na divai ingemwagika, na viriba vingeharibika.
38 Lao y nuebo bino na nasesita y nuebo na boteyan cuero nae umapolo.
Lakini divai mpya lazima iwekwe kwenye viriba vipya.
39 Ya ni un taotao ni gumimen y bijo na bino umalago ni nuebo; sa ualog: Y bijo maulegña.
Na hakuna mtu baada ya kunywa divai ya zamani, hutataka mpya, kwa sababu husema, 'Ya zamani ni bora.”'

< San Lucas 5 >