< San Juan 15 >

1 GUAJO y magajet na trongconubas ya si Tatajo güiya y magas y fangualuan.
“Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.
2 Todo y ramas guiya guajo nu y taetinegcha, janajanao; ya todo ayo y ramas nu y gaetinegcha, janagasgas, para umegae tinegchaña.
Yeye huliondoa ndani yangu kila tawi lisilozaa matunda, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa zaidi.
3 Pago nae jamyo mangasgas pot y finijo nu y jusangane jamyo.
Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya ule ujumbe niliowaambieni.
4 Fañaga guiya guajo, ya guajo guiya jamyo. Taegüije y ramas ti siña mañogcha güiya namaesa, yaguin ti sumaga gui trongconubas, parejoja yan jamyo yaguin ti infañaga guiya guajo.
Kaeni ndani yangu, nami nikae ndani yenu. Tawi haliwezi peke yake kuzaa matunda lisipokaa katika mzabibu hali kadhalika nanyi hamwezi kuzaa matunda msipokaa ndani yangu.
5 Guajo y trongconubas, jamyo y ramas. Y sumaga guiya guajo, ya guajo guiya güiya, güiya ufañogcha megae; sa apatte di guajo taya siña infatinas.
“Mimi ni mzabibu, nanyi ni matawi yake. Akaaye ndani yangu, nami ndani yake, huyo atazaa matunda mengi, maana bila mimi hamwezi kufanya chochote.
6 Yaguin un taotao ti sumaga guiya guajo, umanajanao güe parejoja yan y ramas, ya umalayo, ya jajojoca, ya japopolo gui guafe, ya ufanmasonggue.
Mtu yeyote asipokaa ndani yangu hutupwa nje kama tawi litupwalo nje hata likakauka. Watu huliokota tawi la namna hiyo na kulitupa motoni liungue.
7 Yaguin mañaga jamyo guiya guajo, ya y finojo sumaga guiya jamyo, infanmangagao todo y malagomiyo ya jufatinas para jamyo.
Mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu, basi, ombeni chochote mtakacho nanyi mtapewa.
8 Este uninamalag si Tatajo, ya infanmanogcha megae; ya taegüenao jamyo y udisipulojo.
Baba yangu hutukuzwa kama mkizaa matunda mengi na kuwa wanafunzi wangu.
9 Taegüenao si Tata jaguaeya yo, guajo parejoja juguaeya jamyo locue; ya fañaga jamyo gui güinaeyaco.
Mimi nimewapenda ninyi kama vile Baba alivyonipenda mimi. Kaeni katika pendo langu.
10 Yaguin inadadaje y tinagojo sija, jamyo infañañaga gui güinaeyaco; parejoja yan guajo juadadaje y tinago y Tatajo ya sumasasaga yo gui güinaeyaña.
Mkizishika amri zangu mtakaa katika pendo langu, kama vile nami nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa katika pendo lake.
11 Estesija jusangane jamyo, para minagofjo usaga guiya jamyo, ya y minagofmiyo ubula.
Nimewaambieni mambo haya ili furaha yangu ikae ndani yenu, na furaha yenu ikamilike.
12 Este y tinagojo, na infanguaeya entre jamyo uno yan otro, calang y juguaeya jamyo.
Hii ndiyo amri yangu: pendaneni; pendaneni kama nilivyowapenda ninyi.
13 Taya uno guaja güinaeyaña mas dangculo qui este, na y taotao japolo y linâlâfia pot y amiguña sija.
Hakuna upendo mkuu zaidi kuliko upendo wa mtu atoaye uhai wake kwa ajili ya rafiki zake.
14 Jamyo y amigujo sija, yaguin infatinas jafa y jutago jamyo.
Ninyi ni rafiki zangu mkifanya ninayowaamuru.
15 Ti jagasja jufanaan jamyo tentago sija, sa y tentago ti jatungo jafa checho y magasña; lao jufanaan jamyo amigo sija; sa todosija ni jujungog gui as Tata, junatungoja jamyo.
Ninyi siwaiti tena watumishi, maana mtumishi hajui anachofanya bwana wake. Lakini mimi nimewaita ninyi rafiki, kwa sababu nimewajulisha yote ambayo nimeyasikia kutoka kwa Baba yangu.
16 Ti jamyo umayig yo, lao guajo jamyo umayig ya jutago jamyo, na infanjanao ya infanmanogcha, ya y tinegchanmiyo usaga; sa todosija y ingagao si Tata pot y naanjo, güiya infanninae.
Ninyi hamkunichagua mimi; mimi niliwachagueni na kuwatuma mwende mkazae matunda, matunda yadumuyo, naye Baba apate kuwapa ninyi chochote mumwombacho kwa jina langu.
17 Estesija jutago jamyo, na infanaguaeya entre jamyo uno yan otro.
Basi, amri yangu kwenu ndiyo hii: pendaneni.
18 Yaguin manchinatlie jamyo nu y tano, intingoja na guajo finena chinatlie antes qui jamyo.
“Kama ulimwengu ukiwachukia ninyi, kumbukeni kwamba umenichukia mimi kabla haujawachukia ninyi.
19 Yaguin iyon y tano jamyo y tano uguaeya iyoña: lao ti iyon y tano jamyo, ya guajo jamyo umayig gui tano, ayo muna manchinatlie jamyo nu y tano.
Kama mngalikuwa watu wa ulimwengu, ulimwengu ungaliwapenda ninyi kama watu wake. Lakini kwa vile ninyi si wa ulimwengu, ila mimi nimewachagueni kutoka ulimwenguni, kwa sababu hiyo ulimwengu unawachukieni.
20 Jaso jamyo y sinangan ni munjayan jusangane jamyo: Y tentago ti dangculoña qui y magasña. Yaguin mapetsigue yo, infanmapetsigue jamyo locue; yaguin manadaje y sinanganjo, umanadaje y sinanganmiyo locue.
Kumbukeni niliyowaambieni: mtumishi si mkuu zaidi kuliko bwana wake. Ikiwa wamenitesa mimi, watawatesa na ninyi pia; kama wameshika neno langu, watalishika na lenu pia.
21 Lao todo estesija umafatinas guiya jamyo pot causan y naanjo; sa ti matungo ayo y tumagoyo.
Lakini hayo yote watawatendeeni ninyi kwa sababu ya jina langu, kwani hawamjui yeye aliyenituma.
22 Yaguin ti matoyo, ya ti jusangane sija, taya isaoñija; lao pago taya escusañija pot y isaoñija.
Kama nisingalikuja na kusema nao wasingalikuwa na hatia; lakini sasa hawawezi kujitetea kwamba hawana dhambi.
23 Ayo y chumatlie yo, güiya chumatlie si Tata locue.
Anayenichukia mimi, anamchukia na Baba yangu pia.
24 Yaguin ti jufatinas gui entaloñija chochosija na taya ni uno fumatinas, taya isaoñija; lao pago esta jalie ya jachatlie yo yan si Tata.
Kama nisingalifanya kwao mambo ambayo hakuna mtu mwingine amekwisha yafanya wasingalikuwa na hatia; lakini sasa wameona niliyoyafanya wakinichukia mimi, wakamchukia na Baba yangu pia.
25 Lao este ususede, sa para umacumple y sinangan nu y matugue gui tinagoñija: sija chumatlie yo, sin jafa.
Na hivi ni lazima yatimie yale yaliyoandikwa katika Sheria yao: Wamenichukia bure!
26 Lao yaguin mato y Consoladot, ni y junamamaela guinin as Tata, y Espiritu y minagajet nu y mamaela guinin as Tata, güiya infanninae testimonio pot guajo.
“Atakapokuja huyo Msaidizi nitakayemtuma kwenu kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia mimi.
27 Ya jamyo locue infanmannae testimonio, sa guinin manjijita desde y tutujonña.
Nanyi pia mtanishuhudia kwa kuwa mmekuwa nami tangu mwanzo.

< San Juan 15 >