< Lucas 6 >

1 Y anacó que yeque Canché duisquero brotobo, o chiros que nacase por os ortalames, desqueres discipules velaban prosapias, y estregandolas andré as bastes, las jamaban.
Sasa ilitokea kwenye Sabato kwamba Yesu alikuwa akipita katika ya shamba la nafaka na wanafunzi wake walikuwa wakichuma masuke, wakayasuguasugua kati ya mikono yao wakala nafaka.
2 Y yeques es Phariseyes les penaban: ¿Presas querelais ma na sinela lacho andré os Canchés?
Lakini baadhi ya Mafarisayo wakasema, “Kwa nini mnafanya kitu ambacho si halali kisheria kukifanya siku ya sabato”?
3 Y Jesus ustilando a varda, les rudeló: ¿Ni aun terelais lirenado ocolo ma queró David, pur tereló bóquis ó, y ocolas sos sat ó sinaban?
Yesu, akawajibu, akisema, “Hamkuwahi kusoma kile Daudi alifanya alipokuwa na njaa, yeye na wanaume waliokuwa pamoja naye?
4 ¿Como chaló andré o quer de Debél, y ustiló os manres e proposicion, y jamó, y diñó á ocolas sos sat ó sinaban: aunque n’astisirelaban jamar de junos, sino os erajais colcores?
Alikwenda katika nyumba ya Mungu, na akachukuwa mikate mitakatifu na kuila baadhi, na kuitoa baadhi kwa watu aliokuwa nao kuila, hatakama ilikuwa halali kwa makuhani kuila.”
5 Y les penó: O Chaboro e manu sinela Erañó tambien e Canché.
Kisha akawaambia, “Mwana wa Adamu ni Bwana wa Sabato.”
6 Y anacó, que aver Canché chaló tambien andré a Synagoga, y bedaba. Y sinaba oté manu sos terelaba seca a baste bustari.
Ilitokea katika Sabato nyingine kwamba alikwenda ndani ya sinagogi na kuwafundisha watu huko. Palikuwa na mtu ambaye mkono wake wa kulia ulikuwa umepooza.
7 Y os Libanes, y os Phariseyes le sinaban acechando, somia dicar, si chibaria lacho andré Canché: somia alachar de que acusarlo.
Waandishi na Mafarisayo walikuwa wanamwangalia kwa makini kuona kama angemponya mtu siku ya Sabato, ili waweze kupata sababu ya kumshtaki kwa kufanya kosa.
8 Tami ó pincharaba as suncais de junos, y penó al manu, sos terelaba a baste seca: Costunatucue, y sinchitatucue andré medio. Y ó costunandose, se sinchitó en pindré.
Lakini alijua nini walikuwa wanafikiri na akasema kwa mtu aliyekuwa amepooza mkono, “Amka, simama hapa katikati ya kila mmoja.” Hivyo huyo mtu akanyanyuka na kusimama pale.
9 Y Jesus les penó: Sangue puchabelo: ¿Sinela licito querelar mistos andré Canchés, ó querelar choro, diñar mestipen o nicobarla?
Yesu akasema kwao, “Nawauliza ninyi, ni halali siku ya Sabato kufanya mema au kufanya madhara, kuokoa maisha au kuyaharibu?” Kisha aliwaangalia wote na kumwambia yule mtu,
10 Y dicando á os sares al crugos, penó al manu: Buchara tun baste, ó la bucharó, y sinaba chibado lacho a baste.
“Nyoosha mkono wako.” Akafanya hivyo, na mkono wake ulikuwa umeponywa.
11 Y junos se pereláron de furor, y chamuliaban os yeques sat os averes que querelarian sat Jesus.
Lakini walijawa na hasira, wakaongeleshana wao kwa wao kuhusu nini wanapaswa wafanye kwa Yesu.
12 Y anacó andré ocolas chibeses, que chaló abrí al bur á manguelar, y nacó sari a rachi manguelando á Debél.
Ilitokea siku hizo kwamba alikwenda mlimani kuomba. Aliendelea usiku mzima kumuomba Mungu.
13 Y pur sinaba de chibes, araqueró á os discipules de ó, y escogiseró duideque de junos, sos araqueró Apostoles.
Ilipokuwa asubuhi, aliwaita wanafunzi wake kwake, na akawachagua kumi na wawili kati yao, ambao pia aliwaita “mitume.”
14 A Simon, á coin diño o sobre-nao de Pedro, y á Andres desquero plal, á Santiago, y á Juan, á Phelipe, y á Bartholomé.
Majina ya wale mitume yalikuwa Simoni (ambaye pia alimwita Petro) na Andrea ndugu yake, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartolomayo,
15 A Mathéo, y á Thomas, á Santiago de Alphéo, y á Simon araquerado o Zelador.
Mathayo, Tomaso na Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni, ambaye aliitwa Zelote,
16 A Judas plal de Santiago, y á Judas Iscariotes, sos sinaba o Sungalo.
Yuda mwana Yakobo na Yuda Iskariote, ambaye alikuwa msaliti msaliti.
17 Y chalando bajines sat junos, entrisaró andré yeque llano, sat la plastañi de desqueres discipules, y de yeque sueti bari de sari a Judéa, y de Jerusalém, y de la cunara, y de Tyro, y de Sydon,
Kisha Yesu alitelemka pamoja nao toka mlimani na kusimama mahali tambarare. Idadi kubwa ya wanafunzi wake walikuwa huko, pamoja na idadi kubwa ya watu kutoka Uyahudi na Yerusalemu, na kutoka pwani ya Tiro na Sidoni.
18 Sos habian abillado á junelarle, y somia que los chibase lacho de desqueres merdipénes. Y junos sos sinaban atormentados de Bengues prachindes sinaban chibados lacho.
Walikuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao. Watu waliokuwa wakisumbuliwa na pepo wachafu waliponywa pia.
19 Y sari a sueti camelaba pajabarle: presas abrí de ó chaló sila, y os chibaba lacho á sares.
Kila mmoja kwenye hilo kusanyiko alijaribu kumgusa kwa sababu nguvu za uponyaji zilikuwa zikitokea ndani yake, na aliwaponya wote.
20 Y ó ardiñando as aquias ácía desqueres discipules, penaba: Majarados os chorores, presas á sangue sinela o chim de Debél.
Kisha akawaangalia wanafunzi wake, na kusema, “Mmebarikiwa ninyi mlio maskini, kwa maana ufalme wa Mungu ni wenu.
21 Majarados sangue sos acana terelais bóquis: presas perelalés sinareis: Majarados sangue sos acana orobais; presas girelareis.
Mmebarikiwa ninyi mlio na njaa sasa, kwa maana mtashibishwa. Mmebarikiwa ninyi mliao sasa, kwa maana mtacheka.
22 Majarados sinareis, pur sangue aborrecieren os manuces, y sangue buchararen de junos, y sangue curararen, y chibaren abrí o nao de sangue, como choro, por o Chaboro e manu.
Mmebarikiwa ninyi ambao watu watakapowachukia na kuwatenga na kuwashutumu ninyi kwamba ni waovu, kwa ajili ya Mwana Adamu.
23 Asaselaos andré ocola chibes, y alendaos; presas o manchin de sangue sinela baro andré o Tarpe; presas de ocona beda trataban á os Prophetas os batuces de junos.
Furahini katika siku hiyo na kurukaruka kwa furaha, kwa sababu hakika mtakuwa na thawabu kubwa mbinguni, kwa maana baba zao waliwatendea vivyohivyo manabii.
24 ¡Tami ysna de sangue os balbalés, presas terelais jiré consuelo!
Lakini ole wenu mlio matajiri! Kwa maana mmekwisha pata faraja yenu.
25 ¡Ysna de sangue, os sos sinelais perelalés; presas terelareis bóquis! Ysna de sangue os, sos acana girelais; presas golareis y orobareis.
Ole wenu mlio shiba sasa! Kwa maana mtaona njaa baadaye. Ole wenu mnaocheka sasa! Kwa maana mtaomboleza na kulia baadaye.
26 ¡Ysna de sangue, pur majarificaren sangue os manuces; presas andiar querelaban á os Prophetas calabeosos os batuces de junos!
Ole wenu, mtakaposifiwa na watu wote! Kwa maana baba zao waliwatendea manabii wa uongo vivyohivyo.
27 ¡Tami penelo á sangue sos lo junelais: Camelad á jires daschmanuces, querelad mistos á junos sos camelan sangue choro.
Lakini nasema kwenu ninyi mnaonisikiliza, wapendeni adui zenu na kufanya mema kwa wanao wachukieni.
28 ¡Majarad á junos sos zermánelan á sangue, y manguelad á Debél por junos sos araquerelan sangue choro!
Wabarikini wale wanao walaani ninyi na waombeeni wale wanaowaonea.
29 Y á ó sos curáre tucue andré yeque mejilla, dinle tambien a aver. Y á ó sos nicobeláre tucue o uchardo, na ó impidas lliguerar tambien a furi.
Kwake yeye akupigaye shavu moja, mgeuzie na la pili. Kama mtu akikunyang'anya joho lako usimzuilie na kanzu.
30 Din á os sares ma tucue manguelaren: y á ó sos ustiláre ma sinela de tucue, na se lo pida.
Mpe kila akuombaye. Kama mtu akikunyang'anya kitu ambacho ni mali yako, usimuombe akurudishie.
31 Y ma camelais que querelen á sangue os manuces, ocolo matejo querelad sangue á junos.
Kama mpendavyo watu wawatendee, nanyi watendeeni vivyo hivyo.
32 Y si camelais á junos sos camelan á sangue, ¿qué merito terelareis? Presas os chores tambien camelan á junos sos os camelan.
Kama mkiwapenda watu wawapendao ninyi tu, hiyo ni thawabu gani kwenu? Kwamaana hata wenye dhambi huwapenda wale wawapendao.
33 Y si querelais mistos á junos sos querelan mistos á sangue, ¿qué merito terelareis? Presas os chores tambien querelan ocono.
Kama mkiwatendea mema wale wanaowatendea ninyi mema, hiyo ni thawabu gani kwenu? Kwa maana hata wenye dhambi hufanya vivyo hivyo.
34 Y si prestisareis á ocolas, de coines ujarais ustilar, ¿qué merito terelareis? Presas tambien os chores prestisaran yeques á averes, somia ustilar aver tanto.
Kama mkikopesha vitu kwa watu ambao mnategemea watawarudishia, hiyo ni thawabu gani kwenu? Hata wenye dhambi huwakopesha wenye dhambi, na hutegemea kupokea kiasi hicho hicho tena.
35 Camelad pues á jirés daschmanuces: querelad mistos, y diñad prestado, bi ujarar por ocono chichi; y jire manchin sinará baro, y sinareis chabores e Udscho, presas o sinela gacho aun para os sungalés y chores.
Lakini wapendeni adui zenu na watendeeni mema. Wakopesheni na msihofu kuhusu kurudishiwa, na thawabu yenu itakuwa kubwa. Mtakuwa wana wa Aliye Juu, kwasababu yeye mwenyewe ni mwema kwa watu wasio na shukurani na waovu.
36 Sinelad pues canreosos, sasta tambien jiré Dada sinela canreoso.
Iweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.
37 Na juzgueis, y na sinareis juzgados; na sapleis, y na sinareis saplados. Ertinad, y sinareis ertinados.
Msihukumu, nanyi hamta hukumiwa. Msilaani, nanyi hamtalaaniwa. Sameheni wengine, nanyi mtasamehewa.
38 Diñad, y á sangue se diñará: melalo lacho, perelalo, y baro, y costunado diñarán andré jiré chepo: presas sat o matejo melalo con que melalareis, á sangue se volverá á melalar.
Wapeni wengine, nanyi mtapewa. Kiasi cha ukarimu - kilichoshindiliwa, kusukwasukwa na kumwagika - kitamwagika magotini penu. Kwa sababu kwa kipimo chochote mnachotumia kupimia, kipimo hicho hicho kitatumika kuwapimia ninyi.”
39 Y les penaba tambien yeque semejanza: ¿Acaso astisará yeque chindó guiar á aver chindó? ¿Na perarán os dui andré o butron?
Kisha akawaambia mfano pia. “Je mtu aliye kipofu aweza kumwongoza mtu mwingine kipofu? Kama alifanya hivyo, basi wote wangalitumbukia shimoni, je wasingetumbukia?
40 No sinela o discipulo opré desquero Duquendio, tami sinará perfecto saro ocola sos sinare sasta desquero Duquendio.
Mwanafunzi hawi mkubwa kuliko mwalimu wake, lakini kila mtu akiisha kufundishwa kwa ukamilifu atakuwa kama mwalimu wake.
41 ¿Y presas diquelas a chiriria andré a aqui de tun plal, y na diquelas a condari, sos terelas andré tun aqui?
Na kwa nini basi wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti lililo ndani ya jicho lako huliangalii?
42 ¿O sasta astisarelas penar á tun plal: Mequelamangue, plal, sicobar á tucue a chiriria, sos sinela andré tun aqui, no dicando tucue a condari, sos sinela andré tun aqui? Sungalo, sicobela brotoboro a condari de tun aqui, y despues dicarás, somia sicobar a chiriria de tun plal.
Utawezaje kumwambia ndugu yako, 'Ndugu, naomba nikitoe kibanzi kilicho ndani ya jicho lako,' nawe huangalii boriti iliyo katika jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe! Kwanza itoe boriti katika jicho lako mwenyewe, ndipo utaona vizuri kutoa kibanzi katika jicho la ndugu yako.
43 Presas na sinela carschta lachi, sos parbarela mibaes chorés: ni carschta chori, sos terela mibaes laches.
Kwa sababu hakuna mti mzuri uzaao matunda mabaya, wala hakuna mti mbaya uzaao matunda mazuri.
44 Pues sari carschta sinela pincherada por o mibao. Presas na ustilelan beous de espinos, ni ustilelan traquias de jarres.
Kwa sababu kila mti hutambulika kwa matunda yake. Kwa sababu watu hawachumi tini kutoka kwenye miba, wala hawachumi zabibu kutoka kwenye michongoma.
45 O manu lacho del manchin lacho de desquero carlo sicobela lacho: y o manu choro del manchin choro sicobela choro; presas dela baribustria e carlo penela a mui.
Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu. Kwa sababu kinywa chake husema yale yaujazayo moyo wake.
46 ¿Por qué pues araquerais mangue Erañó, Erañó, y na querelais ma penelo?
Kwanini mnaniita, 'Bwana, Bwana', na bado hamyatendi yale nisemayo?
47 O saro sos abillela á mangue, y junela minrias vardas, y as querela, diaré sangue a coin sinela semejante.
Kila mtu ajaye kwangu na kuyasikia maneno yangu na kuyatendea kazi, nitawaonyesha jinsi alivyo.
48 Sinela semejante á yeque manu, sos querela quer, ma cavó y ahondó, y queró silno sat pardi opré yeque bar, y pur peró a pani bari, diñó sat sila o len contra ocola quer, y n’astisaró chalabearlo, presas sinaba chitado opré bar.
Anafanana na mtu ajengae nyumba yake, ambaye huchimba chini sana, na kujenga msingi wa nyumba juu ya mwamba imara. Mafuriko yalipokuja, maporomoko ya maji yaliipiga nyumba, lakini hayakuweza kuitikisa, kwa sababu ilikuwa imejengwa vizuri.
49 Tami o sos junela, y na querela bajin, semejante sinela á yeque manu, sos chitela desquero quer opré chiquen bi pardi, y contra que diñó sat sila o len, y yescotria peró: y sinaba bari la ruina de ocola quer.
Lakini yeyote asikiaye neno langu na hakulitii; mfano wake ni mtu aliyejenga nyumba juu ya ardhi pasipokuwa na msingi, mto ulipoishukia kwa nguvu, nyumba ile ilitopata maangamizi makubwa.

< Lucas 6 >