< Lucas 2 >

1 André ocolas chibeses anacó, que chaló abrí yeque edicto de Cæsar Augusto, somia que sari a sueti sinara jinada.
Sasa katika siku hizo, ikatokea kwamba Kaisari Agusto alitoa agizo akielekeza kwamba ichukuliwe sensa ya watu wote wanaoishi duniani.
2 Ocola brotoboro jinamiento sinaba querdi por Cyrino, Chino-baro de Syria.
Hii ilikuwa ni sensa ya kwanza iliyofanyika wakati Krenio akiwa gavana wa Siria.
3 Y chalaban os sares á libanarse os naos cata yeque á desquero foros.
Hivyo kila mmoja akaenda mjini kwake kuandikishwa sensa.
4 Y ardiñó tambien Joseph del foros de Nazareth, á Judea, al foros de David, sos se heta Bethlehém: presas sinaba del quer y de la rati de David,
Naye Yusufu aliondoka pia katika mji wa Nazareti huko Galilaya na akasafiri Yudea katika mji wa Bethlehemu, ujulikanao kama mji wa Daudi, kwa sababu alitokea katika ukoo ya Daudi.
5 Somia libanarse o nao sat desqueri romi Maria, sos sinaba cambri.
Alikwenda huko kujiandikisha pamoja na Mariamu, ambaye alikuwa amemposa na alikuwa akitazamia mtoto.
6 Y sinando oté, anacó, que se pereláron os chibeses andré que terelaba de chindar.
Sasa ilitokea kwamba, wakiwa kule wakati wake wa kujifungua mtoto ukawadia.
7 Y minchabó a desquero Chaboro broto-chindado, y lo chibó andré diclés, y lo chitó andré yeque olibar: presas na sinaba lugar por junos andré a mesuna.
Akajifungua mtoto wa kiume, mzaliwa wake wa kwanza, akamzungushia nguo mwilini kumkinga na baridi mtoto. Ndipo akamweka kwenye kihori cha kulishia wanyama, kwa sababu haikuwepo nafasi kwenye nyumba za wageni.
8 Y sinaba yeques durotunes andré ocola comarca, sos sinaban velando, y nacando as ocanas e rachí opré desquerias brajias.
Katika eneo hilo, walikuwapo wachungaji walioishi mashambani wakilinda makundi ya Kondoo wao usiku.
9 Y he acoi se childó sunparal á junos yeque Manfariel e Erañoró, y a dut de Debél os cercó de yacque, y tereláron baro dal.
Ghafla, malaika wa Bwana akawatokea, na utukufu wa Bwana ukang'aa kuwazunguka, na wakawa na hofu sana.
10 Y les penó o Manfariel: nacangueleis: presas he acoi anuncio á sangue gosuncho baro, sos sinará á sari a sueti.
Ndipo malaika akwaambia, “Msiogope, kwasababu nawaletea habari njema ambayo italeta furaha kuu kwa watu wote.
11 Que sejonia sinela chindado a sangue o Salvador, sos sinela o Christo Erañó, andré o foros de David.
Leo Mwokozi kazaliwa kwaajili yenu mjini mwa Daudi! Yeye ndiye Kristo Bwana!
12 Y ocona sinará á sangue o simache: Alachareis o Chaboro chibado andré dicles; y chitado andré yeque olibar.
Hii ndiyo ishara ambayo mtapewa, mtamkuta mtoto amefungwa nguo na amelala kwenye hori la kulishia wanyama.”
13 Y yescotria se mecó dicar sat o Manfariel butrés manuces es jundunares e Tarpe, sos majarificaban a Debél, y penaban:
Ghafla kukawa na jeshi kubwa la mbinguni likaungana na malaika huyo wakamsifu Mungu, wakisema,
14 Chimusolano á Debél andré o Tárpe, y andré a phu paz á os sares de lachi suncái.
“Utukufu kwa Mungu aliye juu sana, na amani iwe duniani kwa wote ambao anapendezwa nao.”
15 Y anacó, que yescotria que os Manfarieles chaláron de junos al Tarpe, os durotunés penaban os yeques a os averes: Chalemos disde Bethlehém, y diquelemos ma ha anacado, ma o Erañó, ha diado á amangue.
Ikawa kwamba malaika walipokwisha kuondoka kwenda mbinguni, wachungaji wakasemezena wao kwa wao, “Twendeni sasa kule Bethlehemu, na tukaone hiki kitu ambacho kimetokea, ambacho Bwana ametufahamisha.”
16 Y chaláron singó, y alacháron á Maria, y á Joseph, y al chaboro chitado andré o olibar.
Wakaharakisha kule, na wakamkuta Mariamu na Yusufu, na wakamuona mtoto amelala kwenye hori la kulishia wanyama.
17 Y pur ocono dicáron, jabilláron ma se les habia penado acerca de ocola Chaboró.
Na walipoona hivi, wakawajulisha watu kile walichokuwa wameambiwa kumhusu mtoto.
18 Y os sares sos lo juneláron, se zibáron: y tambien de ma os durotunés les habian penado.
Wote waliosikia habari hii wakashangazwa na kile kilichosemwa na wachungaji.
19 Tami Maria aracateaba sarias ocolas buchias, estongerandolas andré desquero carló.
Lakini Mariamu akaendelea kufikiri kuhusu yote aliyokwisha kuyasikia, akiyatunza moyoni mwake.
20 Y se limbidiáron os durotunés chimusolanificando y majarificando á Debél por sarias as buchias, ma habian junelado y dicado, andiar sasta les habia sinado penado.
Wachungaji wakarudi wakimtukuza na kumsifu Mungu kwa ajili ya kila kitu walichokwisha sikia na kuona, kama tu ilivyokuwa imenenwa kwao.
21 Y despues que sináron nacados os otor chibeses somia chinar o postin e quilen al Chaboro, araqueráron desquero nao Jesus, sasta le habia araquerado o Manfariel, gres que sinaba concebido andré o trupo.
Ilipofika siku ya nane na ilikuwa ni wakati wa kumtahiri mtoto, wakamwita jina Yesu, jina alilokwishapewa na yule malaika kabla mimba haijatungwa tumboni.
22 Y pur sináron nacados os chibeses e purificacion de Maria, segun la eschastra de Moyses, lo lligueráron á Jerusalém somia presentarlo al Erañoró,
zao zilizotakiwa za utakaso zilipopita, kulingana na sheria ya Musa, Yusufu na Mariamu wakampeleka hekaluni kule Yerusalemu kumweka mbele za Bwana.
23 Sasta sinela randado andré la Eschastra e Erañoró: que o saro manu sos despandase beo, sinará majarificado al Erañó.
Kama ilivyoandikwa katika sheria ya Bwana, “Kila mwanaume anayefungua tumbo ataitwa aliyetolewa wakfu kwa Bwana.”
24 Y somia diñar a ofrenda sasta sinela penado andré a Eschastra e Erañoró, yeque par de gobareyes, o dui custañias.
Wao vilevile walikuja kutoa sadaka kulingana na kile kinachosemwa katika sheria ya Bwana, “Jozi ya njiwa au makinda mawili ya njiwa.”
25 Y sinaba al chiros andré Jerusalém gachó sos se hetó Simeón, y ocola manu lacho y daraño de Debél, ujarando a consolacion de Israel, y o Peniche sinaba andré ó.
Tazama, palikuwa na mtu katika Yerusalemu ambaye jina lake alikuwa akiitwa Simeoni. mtu huyu alikuwa mwenye haki na mcha Mungu. Yeye alikuwa akisubiri kwa ajili ya mfariji wa Israeli, na Roho Mtakatifu alikuwa juu yake.
26 Y chanelaba del Peniche, que ó na dicaria meripen, bi dicar grés al Christo e Erañoró.
Ilikuwa imekwisha funuliwa kwake kupitia Roho Mtakatifu kwamba yeye hangelikufa kabla ya kuwomwona Kristo wa Bwana.
27 Y abilló por ochi á la cangri, y lanelando os batuces al Chaboro Jesus, somia querelar segun la beda e Eschastra sat ó:
Siku moja alikuja ndani ya hekalu, akiongozwa na Roho Mtakatifu. Ambapo wazazi walimleta mtoto, Yesu, kumfanyia yale yaliyopasa kawaida ya sheria,
28 Entonces lo ustiló andré sus murcias, y majarificó á Debél, y penó:
ndipo Simeoni alimpokea mikononi mwake, na akamsifu Mungu na kusema,
29 Acana, Erañó, mequeles á tun lacró chalar en paz, segun tiri varda:
“Sasa ruhusu mtumishi wako aende kwa amani Bwana, kulingana na Neno lako.
30 Presas han dicado minrias aquias tun golipen,
Kwa kuwa macho yangu yameuona wakovu wako,
31 Sos has aparejado antela chiché de sari la sueti;
ambao umeonekana kwa macho ya watu wote.
32 Dut somia sinar revelada á os Busnés, y somia chimusolano de Israel tiri sueti.
Yeye ni nuru kwa ajili ya ufunuo kwa Wamataifa na utukufu wa watu Israeli.”
33 Y desquero batu y dai sinaban maravillados de ocolas buchías que se penelaban de ó.
Baba na Mama wa mtoto walishangazwa kwa mambo ambayo yalizungumzwa juu yake.
34 Y os majarificó Simeón, y penó á Maria desqueri dai: He acoi que ocona Chaboro sinela sinchitó somia querelar perar, y somia ardiñar á baribustres andré Israel; y somia simáche á os sares sos contrapenarán:
Ndipo Simeoni akawabariki na akasema kwa Mariamu mama yake, “Sikiliza kwa makini! Mtoto huyu atakuwa sababu ya kupotea na kuokoka kwa watu wengi katika Israeli na ni ishara ambayo watu wengi wataipinga.
35 Y un estuche velará tiro bucos de tun mateja, somia que sinelen chanelados os pensamientos de sares carlochines
Pia ni upanga utakaochoma nafsi yako mwenyewe, ili kwamba mawazo ya mioyo ya wengi yadhihirike”.
36 Y sinaba yeque chuan jañí, araquerada Ana, dugida de Phanuel, e tribu de Aser: ocona ya terelaba butrés chibeses, y habia socabado eñia berjis sat desquero rom desde su pachi.
Nabii mwanamke aliyeitwa Ana pia alikuwako hekaluni. Yeye alikuwa binti wa Fanueli kutoka kabila la Asheri. Alikuwa na miaka mingi sana. Naye aliishi na mume wake kwa miaka saba baada ya kuoana,
37 Y siró sinaba piulí, sasta de otorenta y star berjis; y na chalaba abrí de la cangri, sirviendo chibes y rachí andré ayunos y ocanagimias.
na ndipo akawa mjane kwa miaka themanini na minne. Naye hakuwahi kuondoka hekaluni na alikuwa akiendelea kumwabudu Mungu pamoja na kufunga na kuomba, usiku na mchana.
38 Y sasta siró bigorease andré a mateja ocana, majarificaba al Eraño: y penaba de ó á os sares sos ujaraban la mestepé de Israel.
Na kwa wakati huo, alikuja pale walipo akaanza kumshukuru Mungu. Aliongea kumhusu mtoto kwa kila mtu ambaye alikuwa akisubiri ukombozi wa Yerusalemu.
39 Y pur tereláron querdi o saro, conforme a lá Eschastra e Erañoró, se limbidiáron a Galiléa á desquero foros de Nazareth.
Walipomaliza kila kitu walichotakiwa kufanya kuligana na na sheria ya Bwana, walirudi Galilaya, mjini kwao, Nazareti.
40 Y o chaboro se queró baro y silno, sinando perelalo de chanelería, y a gracia de Debél sinaba andré ó.
Mtoto alikua, na akawa na nguvu, akiongezeka katika hekima, na neema ya Mungu ilikuwa juu yake.
41 Y desqueres batuces chaláron sarias as berjis á Jerusalém andré o chibes de la Ciria.
Wazazi wake kila mwaka walikwenda Yerusalemu kwaajili ya sikukuu ya Pasaka.
42 Y pur tereló duideque berjis, ardiñaron á Jerusalém, segun a beda e chibes baro.
Alipokuwa na umri wa miaka kumi na miwili, walikwenda tena wakati mwafaka kidesturi kwa ajili ya sikukuu.
43 Y acabados os chibeses, pur se limbidiaban, se quedisaró o chaboro Jesus andré Jerusalém, bi que desqueres batuces lo chanelasen.
Baada ya kubaki siku zote kwa ajili ya sikukuu, walianza kurudi nyumbani. Lakini mvulana Yesu alibaki nyuma mle Yerusalemu na wazazi wake hawakujua hili.
44 Y penchabando que sinaba sat os averes de la plastañí, chaláron drun de yeque chibes, y le orotáron enré os parientes, y os monres.
Walidhani kwamba yumo kwenye kundi walilokuwa wakisafiri nalo, hivyo walisafiri safari ya siku. Ndipo wakaanza kumtafuta miongoni wa ndugu na marafiki zao.
45 Y pur na le rachelasen, se limbidiáron á Jerusalém, orotándole.
Waliposhindwa kumpata, walirudi Yerusalemu na wakaanza kumtafuta humo.
46 Y anacó que trin chibeses despues le alacháron andré á cangrí, bestelando en medio es Chandés, junandolos, y puchabandolos.
Ikatokea kwamba baada ya siku tatu, wakampata hekaluni, akiwa ameketi katikati ya waalimu, akiwasikiliza na kuwauliza maswali.
47 Y os sares sos le junelaban, se pasmaban, de desqueri chaneleria y de las respuestas de ó.
Wote waliomsikia walishangazwa na ufahamu wake na majibu yake.
48 Y pur le dicáron, se zibáron, y le penó desqueri dai: chaboro presas has querdi andiar sat amangue? dicá sasta tun batu y menda emposunó te orotabamos,
Walipomwona, walistaajabu. Mama yake akamwambia, “Mwanangu, kwa nini umetutendea hivi? Sikiliza, baba yako na mimi tumekuwa tukikutafuta kwa wasiwasi mkubwa.”
49 Y les rudeló: ¿Para qué orotabais mangue? ¿Na chanelabais, que me jomte sinar andré as buchias que sinelan de minrio Dadá?
Akawaambia, “Kwa nini mmekuwa mkinitafuta? Hamkujua kwamba lazima niwe kwenye nyumba ya Baba yangu?
50 Tami junos na jabilláron a varda, que les penó.
Lakini hawakuelewa nini alichomaanisha kwa maneno hayo.
51 Y se guilló ostely sat junos, y abilló á Nasareth: y sinaba sugeto á junos. Y sun dai aracateaba sarias ocolas buchias andré su carló.
Ndipo akaenda pamoja nao mpaka nyumbani Nazareti na alikuwa mtii kwao. Mama yake alihifadhi mambo yote moyoni mwake.
52 Y Jesus se queró baro andré chaneleria, y andré berjis, y andré furuné anglal de Debél y es manuces.
Lakini Yesu aliendelea kukua katika hekima na kimo, na akazidi kupendwa na Mungu na watu.

< Lucas 2 >