< Римляни 9 >

1 Казвам истината в Христа, не лъжа, и съвестта ми свидетелствува с мене в Светия Дух,
Nasema ukweli mtupu; nimeungana na Kristo nami sisemi uongo. Dhamiri yangu ikiongozwa na Roho Mtakatifu inanithibitishia jambo hili pia.
2 че имам голяма скръб и непрестанна мъка в сърцето си.
Nataka kusema hivi: nina huzuni kubwa na maumivu yasiyopimika moyoni mwangu
3 Защото бих желал сам аз да съм анатема ( Сиреч: Отлъчен ) от Христа, заради моите братя, моите по плът роднини:
kwa ajili ya watu wangu, walio damu moja nami! Kama ingekuwa kwa faida yao, ningekuwa radhi kulaaniwa na kutengwa na Kristo.
4 които са израилтяни, на които принадлежат осиновението на славата, заветите и даването на закона, богослужението и обещанията:
Hao ndio watu wa Israeli ambao Mungu aliwateua wawe watoto wake, akawashirikisha utukufu wake; aliagana nao, akawapa Sheria yake, imani ya kweli na ahadi zake.
5 чиито са и отците, и от които се роди по плът Христос, Който е над всички Бог, благословен до века. Амин. (aiōn g165)
Wao ni wajukuu wa mababu, naye Kristo, kadiri ya ubinadamu wake, ametoka katika ukoo wao. Mungu atawalaye juu ya yote, na atukuzwe milele! Amina. (aiōn g165)
6 Обаче, не е пропаднало Божието слово; защото не всички ония са Израил, които са от Израиля;
Sisemi kwamba ahadi ya Mungu imebatilika; maana si watu wote wa Israeli ni wateule wa Mungu.
7 нито са всички чада, понеже са Авраамово потомство; но "в Исаака" каза Бог, "ще се наименува твоето потомство".
Wala, si wazawa wote wa Abrahamu ni watoto wake wa kweli. Ila, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Wazao wake watatokana na Isaka.”
8 Значи, не чадата, родени по плът, са Божии чада; но чадата, родени според обещанието се считат за потомство.
Nido kusema, wale waliozaliwa kimaumbile ndio watoto wa Mungu, bali wale waliozaliwa kutokana na ahadi ya Mungu ndio watakaoitwa watoto wake.
9 Защото това беше нещо обещано, понеже каза: "Ще дойда по това време, и Сара ще има син".
Maana ahadi yenyewe ni hii: “Nitakujia wakati maalum, naye Sara atapata mtoto.”
10 И не само това, но и когато Ребека зачена от едного, сиреч от нашия отец Исаака,
Tena si hayo tu ila pia Rebeka naye alipata mapacha kwa baba mmoja, yaani Isaka, babu yetu.
11 макар че близнаците не бяха още родени и не бяха още сторили нещо добро или зло, то, за да почива Божието по избор намерение, не на дела, но на онзи, който призовава,
Lakini, ili Mungu aonekane kwamba anao uhuru wa kuchagua, hata kabla wale ndugu hawajazaliwa na kabla hawajaweza kupambanua jema na baya,
12 рече й се: "По-големият ще слугува на по-малкия";
Rebeka aliambiwa kwamba yule mtoto wa kwanza atamtumikia yule wa nyuma. Hivyo uchaguzi wa Mungu unategemea jinsi anavyoita mwenyewe, na si matendo ya binadamu.
13 както е писано: "Якова възлюбих, а Исава намразих".
Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Yakobo nilimpenda, lakini Esau nilimchukia.”
14 И тъй, какво? Да речем ли, че има неправда у Бога? Да не бъде!
Basi, tuseme nini? Je, Mungu amekosa haki? Hata kidogo!
15 Защото казва на Моисея: "Ще покажа милост, към когото ще покажа, и ще пожаля, когото ще пожаля".
Maana alimwambia Mose: “Nitamhurumia mtu yeyote ninayetaka kumhurumia; nitamwonea huruma mtu yeyote ninayetaka.”
16 И тъй, не зависи от този, който иска, нито от този, който тича, но от Бога, Който показва милост.
Kwa hiyo, yote hutegemea huruma ya Mungu, na si bidii au mapenzi ya mtu.
17 Защото писанието казва на Фараона: "Именно за това те издигнах, за да покажа в тебе силата Си, и да се прочуе името Ми по целия свят"
Maana Maandiko Matakatifu yasema hivi kwa Farao: “Nilikufanya mfalme ili kwa njia yako, uwezo wangu ujulikane, na jina langu litangazwe popote duniani.”
18 И тъй, към когото ще, Той показва милост, и когото ще закоравява.
Ni wazi, basi, kwamba Mungu humhurumia yeyote anayetaka kumhurumia, na akipenda kumfanya mtu awe mkaidi, hufanya hivyo.
19 На това ти ще речеш: А защо още обвинява? Кой може да противостои на волята Му?
Labda utaniuliza: “Ikiwa mambo yako hivyo, Mungu anawezaje kumlaumu mtu? Nani awezaye kuyapinga mapenzi yake?”
20 Но, о човече, ти кой си, що отговаряш против Бога? Направеното нещо ще рече ли на онзи, който го е направил: Защо си ме така направил?
Lakini, ewe binadamu, u nani hata uthubutu kumhoji Mungu? Je, chungu chaweza kumwuliza mfinyanzi wake: “Kwa nini umenitengeneza namna hii?”
21 Или грънчарят няма власт над глината, с част от същата буца да направи съд за почит, а с друга част
Mfinyanzi anaweza kuutumia udongo apendavyo na kufinyanga vyungu viwili kwa udongo uleule; kimoja kwa matumizi ya heshima, na kingine kwa matumizi ya kawaida.
22 А какво ще кажем, ако Бог, при все, че е искал да покаже гнева Си и да изяви силата Си, пак е търпял с голямо дълготърпение съдовете, предмети на гнева Си, приготвени за погибел,
Hivyo ndivyo ilivyo kwa Mungu. Alitaka kuonyesha ghadhabu yake na kujulisha uwezo wake, Basi, alikuwa na saburi sana, akiwavumilia wale ambao walikuwa lengo la ghadhabu yake, ambao walistahili kuangamizwa.
23 и е търпял, за да изяви богатството на Славата Си, над съдовете, предмети на милостта Си, които е приготвил отнапред за слава
Alitaka pia kudhihirisha wingi wa utukufu wake ambao alitumiminia sisi tulio lengo la huruma yake; sisi ambao alikwisha kututayarisha kuupokea utukufu wake.
24 над нас, които призова, не само между юдеите, но и измежду езичниците?
Maana sisi ndio hao aliowaita, si tu kutoka miongoni mwa Wayahudi bali pia kutoka kwa watu wa mataifa mengine.
25 както и в Осия казва:
Maana ndivyo asemavyo katika kitabu cha Hosea: “Wale waliokuwa Si watu wangu nitawaita: Watu wangu! Naye Sikupendi ataitwa: Mpenzi wangu!
26 И на същото място, гдето им се казва: "Не сте мои люде, Там ще се нарекат чада на живия Бог".
Na pale walipoambiwa: Ninyi si wangu hapo wataitwa: Watoto wa Mungu hai.”
27 А Исаия вика на Израиля:
Naye nabii Isaya, kuhusu Israeli anapaaza sauti: “Hata kama watoto wa Israeli ni wengi kama mchanga wa pwani, ni wachache tu watakaookolewa;
28 Защото Господ ще изпълни на земята казаното [по правда] от Него", Като го извърши и свърши скоро.
maana, Bwana ataitekeleza upesi hukumu yake kamili juu ya ulimwengu wote.”
29 И както Исаия е казал в по-предишно място; "Ако Господ на Силите не бе ни оставил потомство, Като Содом бихме останали и на Гомор бихме се уприличили".
Ni kama Isaya alivyosema hapo awali: “Kama Bwana Mwenye Nguvu asingalituachia baadhi ya watoto wa Israeli, tungalikwisha kuwa kama Sodoma, tungalikwisha kuwa ma Gomora.”
30 И тъй, какво да кажем? Това, че езичниците, които не търсеха правда, получиха правда, и то правда, която е чрез вярване;
Basi, tuseme nini? Ni hivi: watu wa mataifa ambao hawakutafuta kukubaliwa kuwa waadilifu, wamekubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya imani,
31 а Израил, който търсеше закон за придобиване правда, не стигна до такъв закон.
hali watu wa Israeli waliokuwa wakitafuta Sheria iletayo kukubaliwa kuwa waadilifu, hawakuipata.
32 Защо? затова, че не го търси чрез вярване, а някак си чрез дела. Те се спънаха о камъка, о който хората се спъват;
Kwa nini? Kwa sababu walitegemea matendo yao badala ya kutegemea imani. Walijikwaa juu ya jiwe la kujikwaa
33 както е писано:
kama yesemavyo Maandiko Matakatifu: “Tazama! Naweka huko Sioni jiwe likwazalo, mwamba utakaowafanya watu waanguke. Mtu atakayemwamini yeye aliye hilo jiwe, hataaibishwa!”

< Римляни 9 >