< Левит 9 >

1 На осмия ден Моисей повика Аарона и синовете му и Израилевите старейшини;
Katika siku ya nane, Musa akawaita Aroni na wanawe pamoja na wazee wa Israeli.
2 и рече на Аарона: Вземи си мъжко теле в принос за грях, и овен за всеизгаряне, без недостатък, та ги принеси пред Господа.
Akamwambia Aroni, “Twaa ndama dume kutoka kundini kwa ajili ya sadaka ya dhambi zako, na kondoo dume kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, wote wawili wasiwe na dosari, na uwatoe mbele za Yahweh.
3 И да говориш на израилтяните, казвайки: Вземете козел в принос за грях, и за всеизгаряне теле и агне, едногодишни, без недостатък,
Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'Twaeni beberu kwa ajili ya sadaka ya dhambi na ndama na mwana-kondoo, hawa wawili wawe na umri wa mwaka mmoja na bila dosari, ni kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;
4 и за примирителен принос юнец и овен, за да ги пожертвувате пред Господа, и хлебен принос омесен с дървено масло; защото днес ще ви се яви Господ.
pia twaeni fahali na kondoo dume kwa sadaka za amani ili kuwatoa mbele za Yahweh, na sadaka za nafaka iliyochanganywa na mafuta, kwa sababu leo Yahweh atajidhihirisha kwenu.
5 И тъй, донесоха пред шатъра за срещане онова, което заповяда Моисей; и цялото общество се приближи и застана пред Господа.
Kwa hiyo wakaleta kwenye hema la kukutania vyote ambavyo Musa aliagiza, nalo kusanyiko lote la Israeli likakaribia na kusimama mbele za Yahweh.
6 И Моисей каза: Това е, което Господ заповяда да направите; и Господната слава ще ви се яви.
Kisha Musa akasema, “Hivi ndivyo Yahweh amewaamru nyinyi mfanye, ili kwamba utukufu wake uweze kuonekana kwenu.
7 Тогава рече Моисей на Аарона: Пристъпи при олтара та принеси приноса си за грях и всеизгарянето си, и направи умилостивение за себе си и за людете; принеси и приноса за людете и направи умилостивение за тях, според както заповяда Господ.
“Musa akamwambia Aroni, “Njoo karibu na Madhabahu na uteo sadaka yako ya dhambi na sadaka ya kuteketezwa, na kufanya upatanisho kwa ajili ya watu ili kufanya upatanisho kwa ajili yao kama vile ambavyo Yahweh amekwishaamru.”
8 Аарон, прочее, пристъпи при олтара та закла телето на приноса за грях, което беше за него.
Kwa hiyo Aroni akaikaribia madhabahu na akamchinja yule ndama kwa ajili ya sadaka ya dhambi, ambayo ilikuwa kwa ajili yake mwenyewe.
9 А синовете на Аарона му донесоха кръвта; и той след като натопи пръста си в кръвта и я тури върху роговете на олтара, изля кръвта в подножието на олтара;
Nao wana wa Aroni wakamletea hiyo damu, naye akakichofya kidole chake kwenye damu na kuiweka kwenye pembe za madhabahu, kisha akaimwaga damu chini ya kitako cha madhabahu.
10 а тлъстината, бъбреците, и булото на дроба от приноса за грях изгори на олтара, според както Господ беше заповядал на Моисея.
Hata hivyo, aliyateketeza hayo mafuta, figo, na mafuta yanafunika ini juu ya madhabahu kuwa sadaka ya dhambi, kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamru Musa.
11 А месото и кожата изгори на огън вън от стана.
Na akaiteketeza hiyo nyama pamoja na ngozi nje ya kambi
12 Закла и всеизгарянето; и синовете на Аарона му представиха кръвта, с която поръси олтарът наоколо.
Aroni akaichinja sadaka ya kuteketezwa, nao wanawe wakampa hiyo damu, ambayo aliinyunza pande zote za madhabahu.
13 Тогава му донесоха всеизгарянето, къс по къс, с главата; и ги изгори на олтара;
Kisha wakampa ile sadaka ya kuteketezwa, kipande kwa kipande, pamoja na kichwa, naye akaviteketeza juu ya madhabahu.
14 и изми вътрешностите и нозете, и изгори ги на олтара, върху всеизгарянето.
Akaziosha sehemu za ndani pamoja na miguu na kuziteketeza juu ya dhabihu ya kuteketezwa juu ya Madhabahu.
15 Тогава принесе приноса за людете, като взе козела на приноса за грях, който беше за людете, закла го, и го принесе за грях, както и първото.
Aroni akaleta dhabihu ya watu— mbuzi, kisha akamtoa kuwa dhabihu kwa ajili ya dhambi yao naye akamchinja, akaitoa dhabihu kwa ajili ya dhambi, kama alivyofanya kwa yule mbuzi wa kwanza.
16 И представи всеизгарянето и го принесе според наредбата.
Akaileta sadaka ya kuteketezwa na kuitoa kama Yahweh alivyokuwa ameamru.
17 Принесе и хлебния принос, напълни ръката си от него, и го изгори на олтара, освен утринното всеизгаряне.
Akaileta sadaka ya nafaka; akakijaza kiganja chake nafaka na kuiteketeza juu ya madhabahu, pamoja na sadaka ya asubuhi ya kuteketezwa.
18 Закла още юнеца и овена на примирителната жертва, която беше за людете; и синовете на Аарона му представиха кръвта, (с която поръси олтарът наоколо),
Pia akamchinja fahali na yule kondoo dume, dhabihu kwa ajili ya sadaka ya amani, ambayo ilikuwa kwa ajili ya watu. Nao wana wa Aronni wakampa damu, ambayo aliinyunyiza kila upande wa mdhabahu.
19 и тлъстините от юнеца, а от овена - опашката, тлъстината, която покрива вътрешностите, бъбреците и булото на дроба;
Hata hivyo, waliyakata mafuta ya fahali na ya yule kondoo dume, mafuta ya kwenye mkia, mafuta yafunikayo sehemu za ndani, figo, na yale mafuta yaliyofunika mapafu.
20 и като туриха тлъстините върху гърдите, той изгори тлъстините върху олтара.
Wakazichukua hizi sehemu zilizokatwa wakaziweka juu ya vidari, na kisha Aroni akateketeza mafuta juu ya madhabahu.
21 А гърдите и дясното бедро подвижи Аарон за движим принос пред Господа, според както Моисей беше заповядал.
Naye Aroni akavitikisa vidari na paja la kulia kuwa sadaka ya kutikiswa mbele za Yahweh, kama vile Musa alivyokuwa ameamru,
22 Тогава Аарон подигна ръцете си към людете и ги благослови; и, както беше вече принесъл приноса за грях, всеизгарянето, и примирителните приноси, слезе.
Kisha Aroni akainua juu mikono yake mbele ya watu na kuwabariki, kisha akashuka chini kutoka mahali alipokuwa akitoa hiyo sadaka ya dhambi, sadaka ya kuteketezwa, na sadaka ya amani.
23 И Моисей и Аарон, като влязоха в шатъра за срещане, при излизането си благословиха людете; и Господната слава се яви на всичките люде.
Musa na Aroni wakaingia ndani ya hema la kukutania, kisha wakatoka nje tena na kuwabariki watu, na utukufu wa Yahweh ukaonekana kwa watu wote.
24 И огън излезе от пред Господа и пояде всеизгарянето и тлъстините върху олтара; и като видяха това, всичките люде издадоха силен вик и паднаха на лице.
Moto ukashuka kutoka kwa Yahweh na ukairamba sadaka ya kuteketezwa na mafuta yaliyokuwa juu ya madhabahu. Watu wlipoona jambo hili, wakapiga kelele na kulala chini.

< Левит 9 >