< Luk'as Dooshishiyo 4 >

1 Iyesus S'ayin shayiron s'eengutsat Yordanos fokotse aanat b́weyi, maniyere hakon S'ayin Shayiron jisheyat woruwo maants k'azbíami.
Kisha, Yesu akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Mto Jordani, na aliongozwa na Roho jangwani
2 Manoke hab́ aawosh diyablos bín b́fadfera b́ teshi, aawmanotsitse eegor b́ marawotse b́ s'uwi aawatse k'ak'b́wtsi.
kwa siku arobaini, na huko alijaribiwa na Ibilisi. Wakati huo hakula chochote, na mwisho wa wakati huo alihisi njaa.
3 Diabloswere Iyesusi «Ik'o naay neena wotiyal aab shúts han mish wotowe err azazowe!» bíet.
Ibilisi akamwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, liamru jiwe hili kuwa mkate.”
4 Iyesuswere «Asho mish mec'ron beeratse ett guut'ere» ett bísh bí aani.
Yesu akamjibu, “Imeandikwa; 'mtu hataishi kwa mkate pekee.”
5 Maniyehakon diyabilos Iyesun dambaan tuuts beyokok kishdk't dats jik'atse beyiru naash jamwotsi iknun kitsb́k'ri.
Kisha Ibilisi alimwongoza juu kwenye kilele cha mlima, na akamwonyesha falme zote za dunia kwa muda mfupi.
6 «Mangts al jamannat mang jamon neesh imetwe, jaman taash imek b́wottsotse t shuntsosh imo falfe,
Ibilisi akamwambia, “Nitakupa mamlaka ya kutawala falme hizi zote pamoja na fahari zake. Naweza kufanya hivyo kwa sababu vyote vimekabidhiwa kwangu nivitawale, na ninaweza kumpa yeyote nitakaye kumpa.
7 Mansh nee taash n sagadiyal jaman nik wotitwe, » bí et.
Kwahiyo, kama utaniinamia na kuniabudu, vitu hivi vyote vitakuwa vyako.”
8 Iyesuswere, «N doonzi Izar Izewer s'uzsh sagadowe! B́ s'uznowere Ik'iwe, ett guut'ere» et bísh bí aani.
Lakini Yesu alijibu na kumwambia, “Imeandikwa, “lazima umwabudu Bwana Mungu wako, na lazima umtumikie Yeye peke yake.”
9 Maniyehakon Diyablos Iyesusi Iyerusalem maants dek' bí'ami, Ik' maa tookats kede'́er b́ ned'itwok'o k'alt hank'o bísh bí et, «Arikon nee Ik'o naay neena wotiyal, aab hanatse dashan t'olar ood'e,
Baadaye Ibilisi alimwongoza Yesu hadi Yerusalemu na kumweka sehemu ya juu kabisa ya jengo la hekalu na kumwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, jitupe chini kutoka hapa.
10 ‹Neen bokotetwok'o b́melakiyo azazitwe,
Kwa sababu imeandikwa, “Atawaagiza malaika zake wakutunze na kukulinda,
11 N tufonowere shútso b́jod'awok'o, bokishon te'úde neen oriy dek'etúne.› ett guut'ere» bí et.
na watakuinua juu mikononi mwao ili kwamba usiumize miguu yako juu ya jiwe.”
12 Iyesuswere, «‹N Ik'o doonzone fadk'aye› et guut'ere, » ett bí aani.
Yesu akijibu alimwambia, “Imenenwa, “usimjaribu Bwana Mungu wako.”
13 Diyblos Iyesusi fado bí ishiyehakon manorish bín k'azk'rat bíami.
Ibilisi alipomaliza kumjaribu Yesu, alienda zake na kumwacha hadi wakati mwingine.
14 Iyesuswere S'ayn shayiri angon s'eenwtsat Gelil maants k'az bí'aani, b́ shúútsi eenonwere b́ gúúratse fa'a dats jamwotsatse shiye b́wutsi.
Kisha Yesu alirudi Galilaya kwa nguvu za Roho, na habari kumhusu yeye zikaenea na kusambaa katika mikoa jirani yote.
15 Ayhudiwots Ik' k'oni mootse boon b́ danifoni, únetswotswere b́ daniy manatse tuutson bín bo údi.
Alifundisha katika masinagogi yao, na kila mmoja alimsifu.
16 Maniyere il Iyesus b́ eents datsats Nazret maants bíami, b́ k'alfok'owere sanbati aawon ayhudiwots Ik' k'oni moots b́ kindi, nababosho b́tuwi,
Siku moja alikwenda Nazareti, mji ambao alilelewa na kukulia. Kama ilivyokuwa desturi yake aliingia kwenye sinagogi siku ya sabato, na alisimama kusoma maandiko.
17 Nebiyo Isayas mas'aafo bísh imeyi, mas'afmano b́ jargtsok'on, hank'o ett guut'etso beewoko daatsb́dek'i,
Alikabidhiwa gombo la nabii Isaya, hivyo, alilifungua gombo na akatafuta sehemu iliyoandikwa,
18 «Doonzo shayiri S'ayno ti atse b́faoni, Doo shishiyo t'owwotssh tshishiytwok'o taan woshere, Tipeetswots bo bishitwok'o, Dogwots bobek'etwok'o, kuhar t keewish er Kic'iyetswtswots bo kic'otse boon t kishitwok'o taan woshere,
“Roho wa Bwana yuu juu yangu, kwa sababu alinitia mafuta kuhubiri habari njema kwa maskini. Amenituma kutangaza uhuru kwa wafungwa, na kuwafanya wasioona waweze kuona tena. Kuwaweka huru wale wanaogandamizwa,
19 Mank'o doonzo ash jamo bín b́kashitwo s'aati dúronowere t daniytwok'o taan woshere.»
kuutangaza mwaka ambao Bwana ataonesha wema wake.”
20 Iyesuswe mas'aafo k'oddekt ayhudiwots Ik' k'oni mootse wosheyirwosh imk'rat be b́wtsi, ayhudiwots Ik' k'oni mootse fa'a jamo b́maand aanat t'iwints dek't bín s'iilo dek't botuwi.
Kisha akalifunga gombo, akamrudishia kiongozi wa sinagogi, na akaketi chini. Macho ya watu wote waliokuwa katika sinagogi yalimwangalia yeye.
21 Bíwere «Hamb! and nababere it shishts S'ayn mas'afatsi aap'o s'een wutsere» bí eti.
Alianza kuzungumza nao akisema, “Leo andiko hili limetimizwa masikioni mwenu.”
22 B́ jangosh jamwotswere sheenga bo keewfo, b́ keewiru s'aaton s'eents keewmaanatse tuutson adt «Han Yosef naayiyoshna?» bo et.
Kila mmoja pale alishuhudia kile alichokisema Yesu, na wengi miongoni mwao walishangazwa na maneno ya hekima yaliyokuwa yakitoka katika kinywa chake. Walikuwa wakisema, “huyu ni kijana tu wa Yusufu, siyo hivyo?”
23 Iyesuswere boosh hank'o bí et, «Nee hakimiyono, aab n tooko kashiwe, etirwo jewron keewetso tiats it keewituwok'o danfee, mank'o ‹K'frnahomn k'alrne boere noshishts jamo, hanoke ndatsatse k'alwe› etetute tasha.
Yesu akawaambia, “hakika mtasema methali hii kwangu, “Tabibu, jiponye mwenyewe. Chochote tulichosikia ukifanya Kapernaumu, kifanye hapa pia kijijini kwako.”
24 Arikoniye itsh tkeewiri, nebiyiyo b́ dats ashuwotsoke mangrakee.
Pia alisema, “hakika nawaambia ninyi, hakuna nabii anayekubalika katika nchi yake.”
25 «K'ewere ariko itsh keewna, Nebiyo Eliyas dúr keez natonat shirt shashosh awusho bútso b́k'aztsotse dats jamatse k'ak'o kup'atni b́ teshi, Manoor Isra'el datsatse bo kenih k'irts mááts ayuwots fa'ano botesh.
Lakini nawaambia ninyi kweli kwamba kulikuwa na wajane wengi Israel katika kipindi cha Eliya, wakati mbingu ilipofungwa kusiwe na nvua kwa miaka mitatu na nusu, wakati kulipokuwa na njaa kubwa katika nchi yote.
26 Eliyasmó, Sidon datson Serap'ta eteets galutse fa'a bkenih k'irts mááts iku s'uzoka wosheyi bako k'osho konokor wosheratse.
Lakini Eliya hakutumwa kwa yeyote mmoja wao, lakini kwa mjane mmoja tu aliyeishi Sarepta karibu na mji wa Sidoni.
27 Mank'o nebiyiyo Elsa'a dúr ay een shod detstswots Isra'el datsatse fa'ano botesh, ernmó Soryi datstso N'imaniye okoon boyitse iko dab s'ayinatse.»
Pia, kulikuwa na wakoma wengi Israel katika kipindi cha Elisha nabii, lakini hakuna hatammoja wao aliyeponywa isipokuwa Naamani mtu wa Siria.
28 Ayhudiyots Ik' k'oni mootsno fa'awotsitse jamwots han boshishtsok'on ayidek' bofayi.
Watu wote ndani ya sinagogi walijawa na gadhabu walipoyasikia haya yote.
29 Tuutnwere Iyesusi geetsdek't kitoniyere ur kish bok'ri, gohots gfnide'e juk'rosh bokitu biageets gohi gúúrats dek'bokeshi.
Walisimama na kumsukumizia nje ya mji, na kumwongoza mpaka kwenye ukingo wa mlima wa mji ambapo mji wao ulijengwa juu yake, ili waweze kumtupa chini.
30 Bímó bodagotse beshat k'az bíami.
Lakini alipita salama katikati yao na akaenda zake.
31 Maniyere il, Iyesus Galil datsatse fa'a kitu K'frnahom maants bíam, manokno ash asho sanbati aawon b́ daniyfoni.
Kisha alitelemkia Kapernaumu, katika mji wa Galilaya. Sabato moja alikuwa akifundisha watu ndani ya sinagogi.
32 B́ keewiru keewonúwere alon s'eenk b́wottsotse jamwots b́ daniyatse tuutson ada bo adfo botesh.
Walishangazwa na mafundisho yake, kwasababu alifundisha kwa mamlaka.
33 Manokno ayhudiyots Ik' k'oni mootse kim shayiron s'eents asho fa'e b́tesh, bíwere k'aari eenon hank'o etni b́ kuh.
Sasa siku hiyo ndani ya sinagogi, kulikuwa na mtu aliyekuwa na roho ya pepo mchafu, na alilia kwa sauti ya juu,
34 «Nazrettso Iyesuso aage! Nee nooke eeg kis'e n detsi? Noon t'afiyosh wafi? Nee koni nwoto taa danfee, nee Ik'oko S'ayino neene.»
“Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Umekuja kutuangamiza? Ninajua wewe ni nani! Wewe ni mtakatifu wa Mungu!”
35 Iyesuswere kim shayirmansh, «S'k err bíatsotse keye!» ett b́ fay, Kim shayirmanwere ash jami shinatse ashman dikdek't eegor bín b́k'alrawon k'az b́keshi.
Yesu alimkemea pepo akisema, “Nyamaza kimya, na umtoke mtu huyu!” Pepo yule alipomtupa mtu yule chini katikati yao, alimtoka yule mtu bila ya kumsababishia maumivu yoyote.
36 Jamwots adt bo atsatseyosh, «Han aak'o aap'e? Kim shayironowere alonat angnon b́ azaziri, boowere bísh aleyat bo keshiri, » boatsatsewosh bo etfera botesh.
Watu wote walishangaa, na waliendelea kuzungumzia jambo hilo kila mmoja na mwenzake. Wakasema, “Ni maneno ya aina gani haya?” Anawaamuru roho wachafu kwa mamlaka na nguvu na watondoka.”
37 Iyesus shútsonwere gúúrmanoki dats jamwotsatse shisheye b́wutsi.
Hivyo, habari juu ya Yesu zilienea kila sehemu katika maeneo yanayozunguka mkoa huo.
38 Iyesuswere ayhudiyots Ik' k'oni mootse kesht Simon moo maants k'azbíami. Manokno Sim'on awu ay dek'at bi atso k'es't bí'ere shodat bk'eyir, mansh bin b́kashitwok'o Iyesusi bok'oni.
Kisha Yesu aliondoka katika mji huo na akaingia katika nyumba ya Simoni. Sasa, mama mkwe wake na Simoni alikuwa anaumwa homa kali, na wakamsihi kwa niaba yake.
39 Iyesuswere bmandan t'int́ bganok need'dek't biatsi weshman b́ fakshitwok'o bí hadi, bi atsi k'es'manwere fakshb́k'r, manooro tuwat boon ibiyo dekbtwi.
Hivyo, Yesu alimsogelea, akaikemea ile homa na ikamwachia. Ghafla alisimama na akaanza kuwatumikia.
40 Aawu bkindor ash ashuwots ayi naari shodon boshirotse deshets shodets jamwotsi Iyesus maants dek' bowaa, bí were ik ikon boats kisho gedt b́ kashiyi.
Jua lilipokuwa likizama, watu walimletea Yesu kila mmoja aliyekuwa mgonjwa wa maradhi ya aina mbalimbali. Aliweka mikono yake juu ya kila mgonjwa na akawaponya wote.
41 Foerawwotswere «Nee Ik'o naay neene!» et fetst kuhefetst ay ashuwotsi faksht bokeshi, bíwere Mesihiyo b́ woto dandek'rno bo tesh. Iyesusmó b́ jangosh eegoru bo keewawok'o fayatni b́bazi.
Mapepo pia yaliwatoka wengi wao yakilia kwa sauti na kusema, “Wewe ni mwana wa Mungu!” Yesu aliwakemea mapepo na hakuwaruhusu waongee, kwa sababu walijua kwamba yeye alikuwa ni Kristo.
42 Datso gatsb́wtstsok'on Iyesus manoke kesht ash aaloke dats baashok k'azbiam, ash ashuwotswere bín geyokna bo tesh, daats bodek'tsok'ono «Noon k'ay amk'aye» ett bok'oni.
Wakati kulipopambazuka, alienda eneo lisilokuwa na watu. Makutano ya watu walikuwa wakimtafuta na wakaja katika eneo alilokuwapo. Walijaribu kumzuia asiende mbali na wao.
43 Bímó «Taa twoshe hansh b́ wottsotse k'osh kitwotsits amr Ik'i mengst doo shish keewo taan geyife, » bí eti.
Lakini akawaambia, “Lazima pia nihubiri habari njema za ufalme wa Mungu katika miji mingine mingi, kwa kuwa hii ndiyo sababu nilitumwa hapa.”
44 Mansha Yhudn fa'a ayhudiyots Ik' k'oni maa jamwotsitse gúúrat b́ nabfoni.
Kisha aliendelea kuhubiri ndani ya masinagogi katika uyahudi wote.

< Luk'as Dooshishiyo 4 >