< Luk'as Dooshishiyo 19 >

1 Iyesus Iyarikó kitots kindt man weeron beshat bí amí.
Yesu aliingia mjini Yeriko, akawa anapita katika njia za mji huo.
2 Manoknowere t'ilsh ko'ifuwotsats naasho Zekiwosi eteef gaalets ash iko fa'e b́ tesh.
Kulikuwa na mtu mmoja mjini, jina lake Zakayo ambaye alikuwa mkuu wa watoza ushuru tena mtu tajiri.
3 Bí Iyesus aawi b́ wottsok'o bek'osh b́ geefera b́ tesh, ernmó b́ need'o k'awun b́ wottsatse ashonwere ay b́wotsosh bek'o maaw b́ wuts.
Alitaka kuona Yesu alikuwa nani, lakini kwa sababu ya umati wa watu, na kwa vile alikuwa mfupi, hakufaulu.
4 Iyesus man weeron b́beshirwotse Zekiwos bín bek'o geeyat ashuwots wos't fuk'i mit abaats keshb́dek'i.
Hivyo, alitangulia mbio, akapanda juu ya mkuyu ili aweze kumwona Yesu, kwa maana alikuwa apitie hapo.
5 Iyesuswere manok am b́bodtsok'on dambaan kááwdek't s'iilt Zekiwossh, «Zekiwoso! hambets n mootse jino taash b́ geyiytuwotse káári mitatse ood'e» bí et.
Basi, Yesu alipofika mahali pale, aliangalia juu akamwambia, “Zakayo, shuka upesi, maana leo ni lazima nishinde nyumbani mwako.”
6 Zekiwoswere káári oot't, gene'úwefetst Iyesusi ibiyosh dek't bíami.
Zakayo akashuka haraka, akamkaribisha kwa furaha.
7 Man bek'ts ash jamo «Ashaan morretso moots s'eegere ibo amt kidre!» ett Iyesus ats bo mumudi.
Watu wote walipoona hayo, wakaanza kunung'unika wakisema, “Amekwenda kukaa kwa mtu mwenye dhambi.”
8 Zekiyosmó need'dek't doonzo Iyesussh hank'owobíet, «Doonzono! hambe, t detsts gaal jamotse b́ bado t'owwotssh imetuwe, dirshat ashaatse t dek'ts gizo b́beyalowere, awd kisho woshde'er aaniytuwe.»
Lakini Zakayo akasimama akamwambia Yesu, “Sikiliza Bwana! Mimi nitawapa maskini nusu ya mali yangu, na kama nimenyang'anya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne.”
9 Iyesuswere hank'owa bíet, «Ashaan Abraham naar b́ wottsotse hambets kasho máánsh wotere,
Yesu akamwambia, “Leo wokovu umefika katika nyumba hii, kwa vile huyu pia ni wa ukoo wa Abrahamu.
10 Ash na'o b́ weyiye t'aftso geeyar kashiyoshe.»
Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.”
11 Ashuwots man k'eboke bobefere Iyesus keewu iko ando jewrdek't b́keewi, bíwere Iyerusalem maants b́ karntsotse ash ashuwots Ik'i mengstu andon b́be'etwok'o boosh bíartsosha b́tesh.
Wakati watu walipokuwa bado wanasikiliza hayo, Yesu akawaambia mfano. (Hapo alikuwa anakaribia Yerusalemu, na watu wale walidhani kwamba muda si muda, Ufalme wa Mungu ungefika.)
12 Mann Iyesus hank'wa bíet, «Nugus woti alo k'a'u de'k't aanar wosh wok datso amts naasho fa'e b́tesh,
Hivyo akawaambia, “Kulikuwa na mtu mmoja wa ukoo wa kifalme aliyefanya safari kwenda nchi ya mbali ili apokee madaraka ya ufalme, halafu arudi.
13 Bí amftsre shino b́ guutsuwotsitse tatswotsi s'eegdek't bo took tookosh ik ik minaniyo imt ‹Aanar twafetsosh gizan jahere› bí et.
Basi, kabla ya kuondoka aliwaita watumishi wake kumi, akawapa kiasi cha fedha kila mmoja na kumwambia: Fanyeni nazo biashara mpaka nitakaporudi.
14 B́ dats ashuwotsmo bín boshit'fotse, ashaan noatsats b́ naasho geeratsone ett bí amiyakon wosh na'o bo wosh.
Lakini wananchi wenzake walimchukia na hivyo wakatuma wajumbe waende wakaseme: Hatumtaki huyu atutawale.
15 «Ash man nugus wotat bíantsok'on boosh imets gizon jaakt awuk'o bo oorshtsok'o danosh, gizo imt bíamts b́ guutsuwotsi b́ s'eegiyi.
“Huyo mtu mashuhuri alirudi nyumbani baada ya kufanywa mfalme, na mara akaamuru wale watumishi aliowapa zile fedha waitwe ili aweze kujua kila mmoja amepata faida gani.
16 Shints guutso t'int, ‹Doonzono! n imts ik minaniyon hamb tats minaniyo oorshre› bí et.
Mtumishi wa kwanza akatokea, akasema: Mheshimiwa, faida iliyopatikana ni mara kumi ya zile fedha ulizonipa.
17 B́ doonzuwere ‹Nee sheeng guutsono! sheenge nfini, muk' keewatse amanek nwottsotse taamo neen tats kitatse alo neesh imre› bí et.
Naye akamwambia: Vema; wewe ni mtumishi mwema. Kwa kuwa umekuwa mwaminifu katika jambo dogo, utakuwa na madaraka juu ya miji kumi!
18 Gitl guutsonwre t'int ‹Doonzono! taash n imts minaniyo hambe, uts minaniyo oorshre› bí et.
Mtumishi wa pili akaja, akasema: Mheshimiwa, faida iliyopatikana ni mara tano ya zile fedha ulizonipa.
19 Doonzonuwere hansh ‹Nenowere uts kitatse naashire› bí et.
Naye akamwambia pia: Nawe utakuwa na madaraka juu ya miji mitano.
20 «Keezlonwere t'int hank'o bíet, ‹T doonzo! taash n'ímts gizoniye hambe, but'ots k'undek'atniye ged t k'ri b́ teshi.
“Mtumishi mwingine akaja, akasema: Chukua fedha yako; niliificha salama katika kitambaa,
21 Man t k'aluwere nee ngeraw dek'etuwo, n shohawo kakuwituwo, maac' kup' n woto danat t shattsatsne› bíet.
kwa maana niliogopa kwa sababu wewe ni mtu mkali. Wewe ni mtu ambaye huchukua yasiyo yako, na huchuma ambacho hukupanda.
22 B́ doonzwere ‹Nee gond guutsono! n keewts keewann niats angshetuwe, taa t geerawo dek'etk twotonat tshohawo kakuwitk maac' kup' asho t woto danrnee,
Naye akamwambia: Nakuhukumu kutokana na msemo wako, ewe mtumishi mbaya! Ulijua kwamba mimi ni mtu mkali, ambaye huchukua yasiyo yangu na kuchuma nisichopanda.
23 Beree t gizo oot' daatsit bankiyo eegoshe gedo n k'azi? Taa aanar twoor b́ oot'onton dek'anek'e b́ teshi› bí et.
Kwa nini basi, hukuiweka fedha yangu benki, nami ningeichukua pamoja na faida baada ya kurudi kwangu?
24 Maniyere hakon doonzman, manoke need'dek't teshtswotssh, ‹B́ minaniyo bíatse de'er tats minani detsts guutsosh imere› bí et.
Hapo akawaambia wale waliokuwa pale: Mnyang'anyeni hizo fedha, mkampe yule aliyepata faida mara kumi.
25 Bowere ‹Doonzono! bíyere tats minaniyo detsfe!› bo et.
Nao wakamwambia: Lakini Mheshimiwa, huyo ana faida ya kiasi hicho mara kumi!
26 Doonzonuwere ‹Detsts jamosh iki bogoshde dabetuwe, deshawoknmo dab b́ detstsonor bíatse k'a'udek'etwe etiruwe.
Naye akawajibu: Kila aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
27 Boatsats t naasho geerawu t t'elatmanotsnomó hanok dewar tshinatse boon úd'uwere!› » bíet.
Na sasa, kuhusu hao maadui wangu ambao hawapendi niwe mfalme wao, waleteni hapa, mkawaue papa hapa mbele yangu.”
28 Iyesus man jewuron b́keewihakon b́ weerindo Iyerusalem maants sha'efetst, b́ danifuwots shin shinatse bíamir b́tesh.
Yesu alisema hayo, kisha akatangulia mbele yao kuelekea Yerusalemu.
29 Iyesus Debrezeyit guro ganoke fa'u Bete Fagenat Betaniyi maants b́t'intsok'on, b́ danifwotsitse gituwotsi hank'o ett b́ wosh,
Alipokaribia kufika Bethfage na Bethania, karibu na mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,
30 «It shinatse fa'a galuts ameree, manok it bodtsok'onowre konúwor bíats be b́ danawu daaz na'o tipotse daatsitute, bish de'er hanok de'ewoore.
akawaambia: “Nendeni katika kijiji kilicho mbele yenu. Mtakapokuwa mnaingia kijijini, mtamkuta mwana punda amefungwa ambaye hajatumiwa na mtu. Mfungeni, mkamlete hapa.
31 Konuwor ‹Eegishe it bitsiri› err iti bíatiyale, ‹Doonzosh b́ geyitsotsne› err aaniwere.»
Kama mtu akiwauliza, kwa nini mnamfungua, mwambieni, Bwana ana haja naye.”
32 Woshetswotsuwere boame jam keewo arikon Iyesus ettsok'o wotat bi'ere bodaatsi.
Basi, wakaenda, wakakuta sawa kama alivyowaambia.
33 Dazna'ono bobitsfere doonzwots «Eegishe it bitsiri?» boosh bo eti.
Walipokuwa wanamfungua yule mwana punda, wenyewe wakawauliza, “Kwa nini mnamfungua mwana punda huyu?”
34 Bowere «Doonzosh b́ geyitsotsne» bo et.
Nao wakawajibu, “Bwana anamhitaji.”
35 Dazna'onowere Iyesus maants dek't bowá, bo tahono daazna'o jik' abaats k'awudek't Iyesus b́betwok'o bo k'ali.
Basi, wakampelekea Yesu yule mwana punda. Kisha wakatandika mavazi yao juu yake wakampandisha Yesu.
36 Iyesus bíamfere ashuwots boshemo weridats bo es'iri.
Yesu akaendelea na safari, na watu wakatandaza mavazi yao barabarani.
37 Iyesus Iyerusalem kitots bodosh b́t'infere Debrezeyit guratse dashan oot'oke b́befere, manoor b́ shutsats sha'iru ashjametswots bo bek'ts adits keewwotsatse tuwtson bogeneútsosh bo k'aro eensh dekt Ik'o udo dek't botwi.
Alipofika karibu na Yerusalemu, katika mteremko wa mlima wa Mizeituni, umati wote na wanafunzi wake, wakaanza kushangilia na kumtukuza Mungu kwa sauti kubwa, kwa sababu ya mambo makuu waliyoyaona;
38 Hank'owa bo etiri boteshi, «Doonzo shútson weetu naasho deereke! jeeno darotse, mango Ik'osh daaratse wotowa!»
wakawa wanasema: “Abarikiwe Mfalme ajaye kwa jina la Bwana. Amani mbinguni, na utukufu juu mbinguni!”
39 Ash dagotse teshts ferisawino eteef ik ikuwotsmo Iyesussh «Danifono! n danifuwotsi s'k bo eteetuwok'o woshuwe!» bo et.
Hapo baadhi ya Mafarisayo waliokuwako katika lile kundi la watu, wakamwambia Yesu, “Mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako!”
40 Iyesuswere «Bo dab s'k boetalor shútsuwotswor kuhituno etiruwe itsha» ett bíaaniy.
Yesu akawajibu, “Nawaambieni, kama hawa wakinyamaza, hakika hayo mawe yatapaza sauti.”
41 Iyesus Iyerusalem kito maants t'int, kitu b́ bek'tsok'on, bish bíepi.
Alipokaribia zaidi na kuuona ule mji, Yesu aliulilia
42 Hank'owo bí et, «Nee n jeenosh geyit keewo hambets danfnee woterake! Andmó keewu han niawatse ashwutsere,
akisema: “Laiti ungelijua leo hii yale yaletayo amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako.
43 N balangaruwots neen gúride kas'o kac'de neen gúrde'er bokic'it aawo weetuwe.
Maana siku zaja ambapo adui zako watakuzungushia maboma, watakuzingira na kukusonga pande zote.
44 Neenat n gitsotse fa'a n na'uwotsi datsats dikde t'afituno, b́ gaherawon orituwo dab ik shútsonor bbeyoke neesh k'azeratse, han b́ wotituwere, Ik'o neen kashiwosh b́waats dúro n dartsoshe.»
Watakupondaponda wewe pamoja na watoto wako ndani ya kuta zako; hawatakuachia hata jiwe moja juu jingine, kwa sababu hukuutambua wakati Mungu alipokujia kukuokoa.”
45 Iyesus Ik' k'oni moots kindt, manoke jaakiru ashuwotsi gisho dek't b́tuwi,
Kisha, Yesu aliingia Hekaluni, akaanza kuwafukuzia nje wafanyabiashara
46 Hank'owere boosh bíet, « ‹T moo Ik' k'oni mee b́ wotiti› ett guut'ere, itmó bik'tsuwotssh gemee it woshk'ri.»
akisema, “Imeandikwa: Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala; lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi.”
47 Iyesus aaw aawon Ik' mootsna b́ danifo, kahni naashwots, Muse nemo danifuwots, ash jiishiru k'oshuwots bín ud'osha bogefo.
Yesu akawa anafundisha kila siku Hekaluni. Makuhani wakuu, walimu wa Sheria na viongozi wa watu walitaka kumwangamiza,
48 Ernmó ash jamó Iyesusi k'ebosh geeyat bo nibo imk'rk boteshtsotse bín úd'osh geyiru jirwots eegor k'alosh falratsno.
lakini hawakuwa na la kufanya, maana watu wote walikuwa wakimsikiliza kwa makini kabisa.

< Luk'as Dooshishiyo 19 >