< Luk'as Dooshishiyo 10 >

1 Maniyere okoon doonzo, shabe git ashuwotsi galbdek'i, bí amoosh b́gawts kitonat beyok jamok shin shino bo ametuwok'o git gito woshdek't b́woshi.
Baada ya hayo, Bwana aliwachagua wengine sabini na wawili, akawatuma wawiliwawili, wamtangulie katika kila kijiji na mahali ambapo yeye mwenyewe alitaka kwenda.
2 Hank'o boosh bíeti, «Hamb, kakwet mááyo aye, mááy kakuwi fintswotsmo kos'nee, mansh mááy katso doonz mááy kakwitwotsi mááyko'iyosh b́woshitwok'o k'onwere.
Akawaambia, “Mavuno ni mengi, lakini wavunaji ni wachache. Kwa hivyo, mwombeni mwenye shamba atume wavunaji shambani mwake.
3 Eshe ameree, hamb, mereerikok'o iti elahi dagots twoshiri,
Sasa nendeni; fahamuni kwamba ninawatuma ninyi kama kondoo wanaokwenda kati ya mbwa mwitu.
4 It werindosh eegor deshdek'k'ayere, gizi borsonor, k'arc'itonor, c'amonor b́ wotiyal deshdek'o k'ayere, ashonton jam aateyoke weerindatse need'ar aawo ili k'ayere.
Msichukue mfuko wa fedha, mkoba, wala viatu; msimsalimu mtu yeyote njiani.
5 It kindts maa jamotse shin shino ‹Jeeno mansh wotowe, › erere,
Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: Amani iwe katika nyumba hii!
6 Jeen shunts asho maa manitse fa'e wotiyal it jeeno bísh bodetwe, maniyalbako it jeeno it maants k'ay aanitwe.
Kama akiwako mwenye kupenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni.
7 Finiru ashosh damozo bísh geyife, mansha it kindts mootse itsh t'íntsetso mafetsr uyfetsr beewere, ik mootse keer k'osh moots gúúŕ k'ayere.
Kaeni katika nyumba hiyo mkila na kunywa wanavyowapeni, maana mfanyakazi anastahili mshahara wake. Msiende mara nyumba hii mara nyumba ile.
8 Aaknor wotowa kitots it kindor ashuwots itn bo dek'or itsh bo t'intstso moore.
Kama mkifika mji fulani na watu wakiwakaribisha, kuleni wanavyowapeni.
9 Kit manitsi daatset shodetswotsnowere kashiwore, ash jamoosho were, ‹Ik'i mengstu it maantsan t'inraniye, › err keewwere.
Ponyeni wagonjwa walioko huko, waambieni watu: Ufalme wa Mungu umekaribia kwenu.
10 Ernmó kit aawitsor it kindor ash ashuwots itn dek'o bok'azetka wotiyal kit man jebats keder boosh hank'o erere,
Lakini mkiingia katika mji wowote, wasipowakaribisheni, tokeni; nanyi mpitapo katika barabara zao semeni:
11 ‹Hambe, dab notufatse fa'a it kitutsi k'undo itsh tebk'rirwone, ernmó Ik'i mengsto it maants b́ t'intsok'o dan de'ere.›
Hata mavumbi ya mji wenu yaliyoshikamana na miguu yetu tunawakung'utieni. Lakini, jueni kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.
12 Angshi aawots kit maniyere Sedom kituats weet fayo ketefe etirwe itsha.»
Hakika nawaambieni, siku ile mji huo utapata adhabu kubwa zaidi kuliko ile ya watu wa Sodoma.
13 Manats dabt Iyesus hank'owo bíet, «Indowe neesha Korazine! indowe neena Betesayido! ititse finets aditswots, T'irositsnat Sidoniytse finere wotink'e manoke fa'a ashuwots shiyani taho tahde'er tuulats bede, naandrone etank'ne.
“Ole wako Korazini! Ole wako Bethsaida! Maana, kama miujiza iliyofanyika kwenu ingalifanyika kule Tiro na Sidoni, watu wake wangalikwishavaa mavazi ya gunia kitambo, na kukaa katika majivu kuonyesha kwamba wametubu.
14 Manshe angshi aawots itiyere T'irosnat Sidonats fayet fayo ketefee.
Hata hivyo, Siku ya Hukumu ninyi mtapata adhabu kubwa zaidi kuliko ile ya watu wa Tiro na Sidoni.
15 Neewere K'frnahome, darots n borfetso dambaan tuwo geefneyá? Beree si'olits oot'etune.» (Hadēs g86)
Na wewe Kafarnaumu, unataka kujikweza mpaka mbinguni? La; utaporomoshwa mpaka Kuzimu.” (Hadēs g86)
16 Aaninwere Iyesus b́ danifwotssh, «Iti k'ebetwoniye taano k'ebetwe, itsh k'aztso taano k'azre, taan k'aztso taan woshtsoniye b́ k'aziri, » bí eti.
Halafu akasema, “Anayewasikiliza ninyi, ananisikiliza mimi; na anayekataa kuwapokea ninyi, anakataa kunipokea mimi. Yeyote anayekataa kunipokea, anakataa kumpokea yule aliyenituma.”
17 Shabe git wosheets b́danifwots boon woshetsoke aydek't gene'uwat bo aani, Iyesusokowere t'int́, «Doonzono! n shúútson dab Fo'erawwots noosh alernee» bo et.
Baadaye, wale sabini na wawili walirudi wamejaa furaha, wakisema, “Bwana, hata pepo wametutii tulipolitaja jina lako.”
18 Iyesuswere boosh hank'owo bíet, «Shed'ano darotse guumok'o shap'eyat b́ fed'efere bek're,
Yeye akawaambia, “Nilimwona Shetani jinsi alivyokuwa anaporomoka kama umeme kutoka mbinguni.
19 Eshe hamb! dawuzonat ok'olshon it net'etwok'o, balangari ang jamo it da'itwok'o itsh alo imre, itats gondo bets falitwo ik jago aaliye.
Naam, nimewapeni uwezo wa kukanyaga nyoka na ng'e, na uwezo juu ya nguvu zote za yule adui; hakuna chochote kitakachowadhuru.
20 Ernomó it shútso darotsi mezgebíyats guut'etsosh gene'ore bako Fo'erawo itsh b́ aletsosh gene'úk'ayere.»
Hata hivyo, msifurahi kwa sababu pepo wamewatii, bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni.”
21 Manór Iyesus S'ayn shayiron gene'uwat hank'o bí et, «Daronat datsonsh doonz wotts Nihono! keewhan s'ekwotsnat dantswotssh aatsat danawwotssh nkitstsotse neen údere, ee, Nihono! han k'alo n shuno wotere.
Saa ileile, Yesu akafurahi kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, akasema, “Nakushukuru ee Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa kuwa umewaficha wenye hekima na elimu mambo haya, ukawafumbulia wadogo. Naam, Baba, ndivyo ilivyokupendeza.”
22 «Jam keewo t nihoke taash imere, naayo koni b́woto nihoniyere okoon konwor dantso aaliye, mank'owa niho koni b́ woto naayo niye okoon wee naayo kitsosh b́ geyirw ashoniye okoon k'osho konwor danetwo aaliye.»
Kisha akasema, “Baba yangu ameweka yote mikononi mwangu. Hakuna amjuaye Mwana ni nani ila Baba, wala amjuaye Baba ni nani ila Mwana, na yeyote yule ambaye Mwana anataka kumfunulia hayo.”
23 Maniye okoon Iyesus b́ danifwots maants wongr ett aanat bo aalsh hank'o bí eti, «It it bek'irwan bek'irowots derekne.
Halafu akawaelekea wafuasi wake akawaambia, “Heri wanaoona yale mnayoyaona ninyi!
24 Arikon ay nebiyiwotsnat naashwotsn it bek'irwan bek'osh tewntni bo teshi, ernmó be'aatsno, it k'ebirwanor k'ebosh tewntniye botesh, ernmó shiyatsne.»
Hakika, manabii na wafalme walitamani kuona yale mnayoyaona ninyi wasiyaone, na kusikia yale mnayoyasikia wasiyasikie.”
25 Ik aaw Muse nemo daniyf iko Iyesusok b́weyi, bín fadosh geeyat «Danifono! dúre dúri kasho daatsosh eeg k'alo taash geyfa?» ett bíaati. (aiōnios g166)
Baadaye mwalimu mmoja wa Sheria alisimama akamwuliza akitaka kumtega, “Mwalimu, nifanye nini ili nipate uzima wa milele?” (aiōnios g166)
26 Iyesuswere «Nemotse guut'etso eebi? n nababor bítse aak'owe n t'iwintsi?» bí et.
Yesu akamwuliza, “Imeandikwa nini katika Sheria? Unaelewaje?”
27 Ashmanwere «Nemonmo ‹Doonzo Izar Izewernehe n maac'i s'eenon, n kashok'o, ni ang s'eenon, n nib s'eenon, shune, › ando mank'owa k'osh asho n tokok'o wosh de'er shune» etfe bí et.
Akamjibu, “Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote. Na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”
28 Iyesuswere «Arikon aniyirne, eshe nee man k'aluwe! dúre dúri kashone daatsitune» bí eti.
Yesu akawaambia, “Vema! Fanya hivyo, nawe utaishi.”
29 Muse nemo daniyfonmó b́ tooko kááw asho woshosh geyat́, «Wotowa eré t mashmó kone bí?» ett bíaati.
Lakini yeye akitaka kujihakikishia kuwa mwema akamwuliza Yesu, “Na jirani yangu ni nani?”
30 Iyesuswere hank'o ett bísh bíaaniy, «Ash iko Iyerusalemitse kesht Iyariko maants oot't bí'amfere weerindatse bik'fwots daatsdek't b́ taho bí'atse kishdek't, jot' isht k'irosh kasho b́ k'as'fere juuk'rat k'az boami.
Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyang'anya mali yake na kumpiga, wakamwacha amelala pale nusu mfu.
31 Kahhini iko dingatoń werind mann bí'amfera b́ teshi, jot' dek't juuk'rets ashman b́ bek'tsok'on eegor bísh b́k'alrawon ashman nad't k'azbiami.
Kumbe, kuhani mmoja akawa anapita barabara ileile, akamwona, akapita kando.
32 Mank'o Lewawiyo werindmann b́ beshefera b́tesh, bíwere ashman b́ bek'tsok'on eegor bísh b́ k'alrawon k'osh werindon beshat k'azbí'am.
Hali kadhalika na Mlawi mmoja, alipofika mahali akamwona, akapita kando.
33 Semriya eteets dats ashonmó man weeron b́ beshefere ashman maants wáát, bín b́ bek'tsok'on bísh maac'o b́ k'ewi,
Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa anasafiri, alifika pale yule mtu alipokuwa, naye alipomwona, alimwonea huruma.
34 B́maand t'int zeyitonat weyiniwon dutsets biro b́ gaawmanats b́ kuut'i, tahonowere bíats s'as'dek't tipb́k'ri, maniye il b́ took dazats bezdek't ib ibuwots k'eef mook dek' bíami, manoknowere sheengshdek't b́ duguní.
Akamwendea, akamtibu majeraha yake kwa kumtia mafuta na divai; na kuyafunga halafu akampandisha juu ya punda wake akampeleka katika nyumba moja ya wageni akamuuguza.
35 Yatsok'on git dinariwotsi kishdek't ibi k'ey maa man doonzsh imt ‹Ashaan sheengshde dugunowe, k'osh gizo nkishiyalowere ti aanor neesh dashetwe, › bí eti.
Kesho yake akatoa fedha dinari mbili akampa yule mwenye nyumba, akamwambia, Muuguze mtu huyu; na chochote utakachotumia zaidi, nitakulipa nitakaporudi.”
36 «Eshe, keez ashaanotsitse, biik'tswotsn togeyat dihts ashmansh b́ mashi bísh wottso aawi arefa neesha?»
Kisha Yesu akauliza, “Kati ya hao watatu, ni yupi aliyeonyesha kuwa jirani yake yule aliyevamiwa na majambazi?”
37 Muse nemo daiyfonwere, «Bísh maac' k'ewat bín tep'tsmaniye, » ett bí'aaniy. Iyesuswere «Eshe amee, neewor mank'o k'alwe!» bí eti.
Yule mwalimu wa Sheria akamjibu, “Ni yule aliyemwonea huruma.” Yesu akamwambia, “Nenda ukafanye vivyo hivyo.”
38 Iyesus b́ danifwotsnton weerindo amfetst gál ikuts bodb́wtsi, manokno Martay eteets mááts iku bgal s'eegbdek'i,
Walipokuwa safarini, waliingia katika kijiji kimoja na mwanamke mmoja, aitwaye Martha, alimkaribisha nyumbani kwake.
39 Biwere Mariyami eteets mishu detsfa btesh, Mariyami eteetsman Iyesus tufi shirots bedek'at b́ danirw dano bk'ebiri.
Martha alikuwa na dada yake aitwaye Maria; huyu aliketi karibu na Yesu akisikiliza mafundisho yake.
40 Martamó mish k'ac'on aydek't bmawufera btesh, mansh Iyesus maants t'iinat, «Doonzono! t mishhan fin jamo tiats k'azbk'rere bek'fetsat s'k niet eegishe? Oona neesha taash b dabitwok'o bish keewwe!» bi'eti.
Lakini Martha alikuwa anashughulika na mambo mengi. Basi, akamwendea Yesu, akamwambia, “Bwana, hivi hujali kwamba dada yangu ameniacha nishughulike peke yangu? Mwambie basi, anisaidie.”
41 Doonzo Iyesusmó hank'o ett bish bí'aaniy, «Marta Martaye, nee ay keewone n kic'iri, ay keewonowere gondo nbek'iri,
Lakini Bwana akamjibu, “Martha, Martha, unahangaika na kusumbuka kwa mambo mengi.
42 Ernmó geytwoniye ik s'uzee, Mariyamwere k'ants keewo galdek'raniye, bínowere biyatse konwor k'a'udek'etwo aaliye.»
Kitu kimoja tu ni muhimu. Maria amechagua kitu bora zaidi ambacho hakuna mtu atakayemnyag'anya.”

< Luk'as Dooshishiyo 10 >