< Luge 5 >

1 Eso afaega, Yesu da hano waiyabo ea dio amo Genesalede, amo ea bega: lelu. Dunu bagohame da gilisili, E guba: le aligili, Gode Ea sia: nabimusa: gilisi dagoi.
Siku moja Yesu alikuwa amesimama kando ya ziwa Genesareti, na watu wengi walikuwa wamemzunguka wakisongana wanalisikiliza neno la Mungu.
2 E da menabo gasa: su dunu ilia dusagai aduna, hano bega: dialebe ba: i. Amo gasa: su dunu ilia dusagai fisili, ilia gasa: su esa hano bega: dodofelalebe ba: i.
Akaona mashua mbili ukingoni mwa ziwa; wavuvi wenyewe walikuwa wametoka, wanaosha nyavu zao.
3 Yesu da Saimone amo ea dusagai da: iya fila heda: i. Amalalu, Yesu da sia: beba: le, Saimone da fonobahadi sua: le gale, oualigi. Amalalu, Yesu da dusagai ganodini esalu, dunu huluane bega: esalebe ilima Gode Ea sia: olelei.
Baada ya Yesu kuingia katika mashua moja, iliyokuwa ya Simoni, alimtaka Simoni aisogeze majini, mbali kidogo na ukingo wa ziwa. Akaketi, akafundisha umati wa watu akiwa ndani ya mashua.
4 Sia: dagoloba, Yesu da Saimonema amane sia: i, “Defea! Bu hano luguduga sua: le gale, dia gasa: su sanasili, menabo gasa: le hiougima.”
Alipomaliza kufundisha, akamwambia Simoni, “Peleka mashua mpaka kilindini, mkatupe nyavu zenu mpate kuvua samaki.”
5 Be Saimone da bu adole i, “Hina! Ninia da gasi ganodini mae helefili hawa: hamonanu, menabo hamedafa ba: i. Be Dia sia: beba: le, na da menabo gasa: su bu digimu.”
Simoni akamjibu, “Bwana, tumejitahidi kuvua samaki usiku kucha bila kupata kitu, lakini kwa kuwa umesema, nitatupa nyavu.”
6 Amalalu, ilia menabo gasa: su digilalu, hiougili, menabo bagohame gasa: su ganodini sa: i ba: i. Hiougilalu, gasa: su da gadelale sa: imu agoai ba: i.
Baada ya kufanya hivyo, wakavua samaki wengi, hata nyavu zao zikaanza kukatika.
7 Amaiba: le, ilia na: iyado dunu eno dusagai ganodini esalu, ilima ili fidima: ne misa: ne lobo gafega wele guguda: i. Ili misini, menabo bagohamedafa dusagai aduna ganodini salabeba: le, dusagai da gela sa: imu agoai ba: i.
Wakawaita wenzao waliokuwa katika mashua nyingine waje kuwasaidia. Wakaja, wakazijaza mashua zote mbili samaki, hata karibu zingezama.
8 Amo hou ba: beba: le, Saimone (Yesu da ema dio eno amo Bida asuli) e da Yesu, ea ba: le gaidili diasa: ili, amane sia: i, “Hina! Di na yolesili, masa! Na da wadela: idafa dunu!”
Simoni Petro alipoona hayo, akapiga magoti mbele ya Yesu akisema, “Ondoka mbele yangu, ee Bwana, kwa kuwa mimi ni mwenye dhambi!”
9 Bai e amola ea na: iyado dunu huluane da menabo bagohamedafa laiba: le, fofogadigi.
Simoni pamoja na wenzake wote walishangaa kwa kupata samaki wengi vile.
10 Saimone ema gilisili hawa: hamosu dunu amo Ya: mese amola Yone (ela da Sebedi ea mano) ela amola da fofogadigi. Be Yesu E Saimonema amane sia: i. “Mae beda: ma! Wahawinini dia da dunu, menabo agoane hiougimu.”
Hali kadhalika Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo, waliokuwa wavuvi wenzake Simoni. Yesu akamwambia Simoni, “Usiogope; tangu sasa utakuwa ukivua watu.”
11 Amalalu, ilia dusagai hano bega: hiougili, gogomenesili, liligi huluane udigili yolesili, Yesuma fa: no bobogei.
Basi, baada ya kuzileta zile mashua ukingoni mwa ziwa, wakaacha yote, wakamfuata.
12 Eso afaega, Yesu da moilai afadafa ganodini esaloba, lebolosi aiya bagade madelai dunu da Yesuma misini doaga: i. E da Yesu ba: loba, osoboga diasa: ili, Yesuma ha: giwane adole ba: lalu, “Hina! Di da agoane hanai galea, Dia da na uhinisimu dawa: be!”
Ikawa, Yesu alipokuwa katika mmojawapo wa miji ya huko, mtu mmoja mwenye ukoma mwili mzima akamwona. Basi, mtu huyo akaanguka kifudifudi akamwomba Yesu: “Mheshimiwa, ukitaka, waweza kunitakasa.”
13 Amalalu, Yesu Ea lobo molole, lebolosi dunu digili ba: le, amane sia: i, “Na hanai! Di bahoma!” Amalalu, oloi dunu ea aiya amogalawane bahoi ba: i.
Yesu akaunyosha mkono wake, akamgusa na kusema, “Nataka, takasika!” Mara ule ukoma ukamwacha.
14 Yesu da ema eno dunuma mae adodoma: ne sia: ne, eno amane sia: i, “Dunu huluane dia aiya bahoi dawa: ma: ne, hedolowane gobele salasu dunu ilima asili, Mousese ea musa: hamoma: ne sia: i defele, Godema gobele iasu liligi ema ima.”
Yesu akamwamuru: “Usimwambie mtu yeyote; bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani, ukatoe sadaka kwa ajili ya kutakasika kwako kama inavyotakiwa na Sheria ya Mose, iwe uthibitisho kwao kwamba umepona.”
15 Be Yesu Ea hou nababeba: le, dunu huluane ilia bagadewane sia: dasu. Dunu bagohame, Yesu da ilia oloi uhinisima: ne, amola Ea sia: nabimusa: , Yesuma misi.
Lakini habari za Yesu zilizidi kuenea kila mahali. Watu makundi mengi wakakusanyika ili kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao.
16 Be Yesu da dunu hame esalebe sogega, Godema sia: ne gadomusa: ahoasu.
Lakini yeye alikwenda zake mahali pasipo na watu, akawa anasali huko.
17 Eso afaega Yesu da sia: olelei. Fa: lisi dunu amola sema olelesu dunu da Ga: lili amola Yudia soge moilai huluane, amola Yelusaleme moilai bai bagade bai bagade fisili, Yesuma doaga: musa: , misini, fi dialu. Yesu E da Gode Ea gasa lai dagoiba: le, E da oloi dunu uhinisimu defele esalu.
Siku moja Yesu alikuwa akifundisha. Mafarisayo na walimu wa Sheria kutoka katika kila kijiji cha Galilaya, Yudea na Yerusalemu, walikuwa wameketi hapo. Nguvu ya Bwana ilikuwa pamoja naye kwa ajili ya kuponyea wagonjwa.
18 Amalalu, dunu eno ilia da dunu gadoi dialu debea da: iya diasi, amo gisa misi. Ilia da Yesu Ea midadi, diasu ganodini amoga ligisimusa: , logo hogoi helei.
Mara watu wakaja wamemchukua mtu mmoja aliyepooza maungo, amelala kitandani; wakajaribu kumwingiza ndani wamweke mbele ya Yesu.
19 Be dunu bagohame guba: le aliligibiba: le, diasu ganodini golili sa: imu logo hame ba: i. Amalalu, diasu da: iya gado heda: le, diasu figisu gadelale, gelabo hamone, efe bagele, amo ganodini oloi dunu ea debea da: iya diasili, dunu aligi dogoa, Yesu Ea midadi sanasi.
Lakini kwa sababu ya wingi wa watu, hawakuweza kuingia ndani. Basi, wakapanda juu ya dari, wakaondoa vigae, wakamshusha huyo aliyepooza pamoja na kitanda chake, wakamweka mbele ya Yesu.
20 Yesu da amo oloi dunu ea na: iyado ilia dafawaneyale dawa: su hou ba: beba: le, gadoi dialu dunuma amane sia: i, “Na dunu! Dia wadela: i hou Na da gogolema: ne olofoi dagoi.”
Yesu alipoona jinsi walivyokuwa na imani kubwa, akamwambia huyo mtu, “Rafiki, umesamehewa dhambi zako.”
21 Be sema olelesu dunu amola Fa: lisi dunu da gilisili sadoga sia: dasu amane, “Amo lasogole sia: su dunu da nowala: ? Gode Hi fawane da dunu ilia wadela: i hou gogolema: ne olofosu dawa:”
Walimu wa Sheria na Mafarisayo wakaanza kujiuliza: “Nani huyu anayemkufuru Mungu kwa maneno yake? Hakuna mtu awezaye kusamehe dhambi ila Mungu peke yake!”
22 Yesu da ilia asigi dawa: su dawa: beba: le, ilima amane adole ba: i, “Dilia dogo ganodini abuliba: le wamowane adole ba: sala: ?
Yesu alitambua mawazo yao, akawauliza, “Mnawaza nini mioyoni mwenu?
23 Adi hou da asaboila: ? Na da gadoi diala dunuma, ‘Dia wadela: i hou da gogolema: ne olofoi dagoi,’ sia: mu o eno Na da ema, wa: legadole, laloma: ne, sia: mu.
Ni lipi lililo rahisi zaidi: kusema, Umesamehewa dhambi, au kusema, Simama utembee?
24 Be Dunu Egefe da osobo bagade dunuma gogolema: ne olofosu ima: ne gasa defelewane gala. Amo dilia dawa: ma: ne, Na da hamomu.” Amalalu, E da gadoi dialu dunuma amane sia: i, “wa: legadole, dia debea gisawene diasuga masa.”
Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anao uwezo wa kusamehe dhambi duniani.” Hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza, “Simama, chukua kitanda chako uende zako nyumbani.”
25 Amalalu, gadoi dialu dunu da amogaluwane wa: legadole, dunu huluane odagiaba, ea debea gaguia gadole, gisawane, Godema nonodona, ea diasuga asi.
Mara, huyo mtu aliyepooza akasimama mbele yao wote, akachukua kitanda chake akaenda zake nyumbani huku akimtukuza Mungu.
26 Amo hou dunu huluane fofogadigili ba: i. Ilia beda: iwane Godema nodone, amane sia: i, “Dafawane! Wali eso musa: hame ba: i liligi da degabo ba: i dagoi.”
Wote wakashangaa na kushikwa na hofu; wakamtukuza Mungu wakisema: “Tumeona maajabu leo.”
27 Amalalu, Yesu da gadili asili, su lidisu dunu ea dio amo Lifai, su lidisu sesei ganodini esalebe ba: i. Yesu da ema amane sia: i, “Nama fa: no bobogema!”
Baada ya hayo, Yesu akatoka nje, akamwona mtoza ushuru mmoja aitwaye Lawi, ameketi ofisini. Yesu akamwambia, “Nifuate!”
28 Lifai da wa: legadole, ea liligi huluane fisili, Yesuma fa: no bobogei.
Lawi akaacha yote, akamfuata.
29 Amalalu, Lifai da Yesu aowamusa: , ea diasuga lolo nasu bagade hamoi. Eno su lidisu dunu amola eno dunu bagohame da amo lolo Nasu amoga misi dagoi.
Kisha Lawi akamwandalia Yesu karamu kubwa nyumbani mwake; na kundi kubwa la watoza ushuru na watu wengine walikuwa wameketi pamoja nao.
30 Be Fa: lisi dunu amola sema olelesu dunu da Yesu Ea ado ba: su dunuma gagabole amane sia: i, “Dilia da abuliba: le su lidisu amola wadela: i hou hamosu dunu ilima gilisili ha: i nanabela: ?”
Mafarisayo na walimu wa Sheria wakawanung'unikia wafuasi wake wakisema: “Mbona mnakula na kunywa pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?”
31 Yesu da ilia sia: nabi. E amane sia: i, “Hame oloi dagumui dunu da manoma legesu dunuma hame maha, - oloi dunu fawane.
Yesu akawajibu, “Wenye afya hawahitaji daktari, lakini wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa.
32 Na da ida: iwane gasa fi dunu lidimusa: hame misi. Be Na da wadela: i dunu ilia hou sinidigima: ne, amo lidimusa: misi dagoi.”
Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi, ili wapate kutubu.”
33 Eno dunu da Yesuma amane sia: i, “Yone Ba: bodaise ea ado ba: su dunu, amola Fa: lisi ilia ado ba: su dunu ilia da ha: i mae nawane sia: ne gadosu hou hamonana. Be Dia ado ba: su dunu ilia da mae yolele ha: i naha amola waini hano naha.”
Watu wengine wakamwambia Yesu, “Wafuasi wa Yohane mbatizaji hufunga mara nyingi na kusali; hata wafuasi wa Mafarisayo hufanya vivyo hivyo. Lakini wafuasi wako hula na kunywa.”
34 Yesu E bu adole i, “Uda lasu lolo nasea, amo lolo nasuga hiougi dunu, amola uda lamu dunu da ili gilisili esalebeba: le, ha: i mae nawane esalumu da defeala: ? Hame mabu!
Yesu akawajibu, “Je, mnaweza kuwataka wale walioalikwa arusini wafunge hali bwana arusi yuko pamoja nao?
35 Be eno eso da misunu galebe. Amo esoga, ilia uda lamu na: iyado da asi dagoiba: le, amo ilia e bu hame ba: muba: le, ha: i mae nawene sia: ne gadosu hou hamomu.”
Lakini wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kati yao, na wakati huo ndipo watakapofunga.”
36 Yesu da fedege sia: eno ilima amane olelei, “Dunu da da: i salasu hea gadelai amoga nodomemusa: , da: i salasu gaheabolo hame gadelasa. Agoane hamosea, e da gaheabolo abula gadelai agoane ba: mu amola gaheabolo abula da hea amoga noga: le hame madelagi galebe.
Yesu akawaambia mfano huu: “Hakuna mtu akataye kiraka cha nguo mpya na kukitia katika vazi kuukuu; kama akifanya hivyo, atakuwa amelikata hilo vazi jipya, na hicho kiraka hakitachukuana na hilo vazi kuukuu.
37 Dunu ilia da waini gaheabolo amo ohe gadofo waini hano dili nasu hea amo ganodini hame sala. Amasea, waini gaheabolo da dena heda: sea, gadofo da fudagala: le, waini da udigili sogadigili, gadofo amola wadela: lesi dagoi ba: mu.
Wala hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vikuukuu; kwani hiyo divai mpya itavipasua hivyo viriba, divai itamwagika, na viriba vitaharibika.
38 Waini gaheabolo amo ohe gadofo waini hano dili nasu gaheabolo ganodini salimu da defea.
Divai mpya hutiwa katika viriba vipya!
39 Dunu da waini hano musa: dialu na dagoiba: le, gaheabolo waini hano hame hanasa. ‘Waini hano musa: dialu ea hedai da baligisa,’ e sia: sa.”
Wala hakuna mtu ambaye hutamani kunywa divai mpya baada ya kunywa ya zamani, kwani husema: Ile ya zamani ni nzuri zaidi.”

< Luge 5 >