< Luge 4 >

1 Yesu da Gode Ea A: silibu Hadigidafa amoga nabaiba: le, E da Yodane hano bega: fisi. Gode Ea A: silibu da Yesu wadela: i hafoga: i soge amoga oule asi.
Kisha, Yesu akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Mto Jordani, na aliongozwa na Roho jangwani
2 Amo sogega E da eso 40 agoane esaloba, Sa: ida: ne da Ema dafama: ne ado ba: su. Amo esoga, E da ha: i hame maiba: le, ha: i bagade nabi.
kwa siku arobaini, na huko alijaribiwa na Ibilisi. Wakati huo hakula chochote, na mwisho wa wakati huo alihisi njaa.
3 Amalalu, Sa: ida: ne da Ema amane sia: i, “Di da Gode Ea Manodafa Di da sia: sa. Amaiba: le, amo igi afadenene, agi bu hamoma: ne sia: ma.”
Ibilisi akamwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, liamru jiwe hili kuwa mkate.”
4 Be Yesu da bu adole i, “Gode Ea Sia: da amane dedei diala, ‘Dunu ilia esalusu da osobo bagade ha: i manu fawane hame!’”
Yesu akamjibu, “Imeandikwa; 'mtu hataishi kwa mkate pekee.”
5 Amalalu, Sa: ida: ne da Yesu goumi gadodili oule asili, osobo bagade fi amola liligi ida: iwane huluane, sisigidigi defele Ema olelei.
Kisha Ibilisi alimwongoza juu kwenye kilele cha mlima, na akamwonyesha falme zote za dunia kwa muda mfupi.
6 Sa: ida: ne da Ema amane sia: i, “Gode da amo liligi huluane ouligima: ne nama i dagoi. Nowa dunuma na imunusa: dawa: sea, na da ema imunu.
Ibilisi akamwambia, “Nitakupa mamlaka ya kutawala falme hizi zote pamoja na fahari zake. Naweza kufanya hivyo kwa sababu vyote vimekabidhiwa kwangu nivitawale, na ninaweza kumpa yeyote nitakaye kumpa.
7 Di da nama nodone sia: ne gadosea, amo liligi huluane na da Dima imunu.”
Kwahiyo, kama utaniinamia na kuniabudu, vitu hivi vyote vitakuwa vyako.”
8 Be Yesu da bu adole i, “Gode Sia: da amane dedei diala, “Dia Hina Godema fawane nodone sia: ne gadoma. Amola Ea hawa: fawane hamoma!”
Lakini Yesu alijibu na kumwambia, “Imeandikwa, “lazima umwabudu Bwana Mungu wako, na lazima umtumikie Yeye peke yake.”
9 Amalalu, Sa: ida: ne da Yesu Yelusaleme moilai bai bagadega oule asili, Debolo Diasu dabuagadodafa amoga oule heda: le, Ema amane sia: i, “Di da Gode Ea Manodafa esalea, defea, osoboga soagala: guduma.
Baadaye Ibilisi alimwongoza Yesu hadi Yerusalemu na kumweka sehemu ya juu kabisa ya jengo la hekalu na kumwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, jitupe chini kutoka hapa.
10 Gode Sia: da amane dedei diala, ‘Di ouligima: ne, Gode da a: igele dunu asunasimu.’
Kwa sababu imeandikwa, “Atawaagiza malaika zake wakutunze na kukulinda,
11 Sia: eno dedei diala, ‘Dia emo igiga fasa: besa: le, Ea a: igele dunu ilia loboga Di da: mu.”
na watakuinua juu mikononi mwao ili kwamba usiumize miguu yako juu ya jiwe.”
12 Be Yesu da bu adole i, “Gode Sia: da amane dedei diala, ‘Dilia Hina Godema udigili ado ba: su hou mae hamoma!’”
Yesu akijibu alimwambia, “Imenenwa, “usimjaribu Bwana Mungu wako.”
13 Amalalu, amo dafama: ne ado ba: su hou huluane dagoloba, Sa: ida: ne da amo hou eso enoga bu hamomusa: dawa: beba: le, asi.
Ibilisi alipomaliza kumjaribu Yesu, alienda zake na kumwacha hadi wakati mwingine.
14 Amalalu, Yesu da Ga: lili sogega bu misi. Gode Ea A: silibu Hadigidafa da Ea dogo ganodini nabaiwane ba: i. Dunu huluane amo soge ganodini da Ea gasa bagade hou sia: ne iasu nabi dagoi.
Kisha Yesu alirudi Galilaya kwa nguvu za Roho, na habari kumhusu yeye zikaenea na kusambaa katika mikoa jirani yote.
15 E da ilia sinagoge diasu ganodini olelelalu, amola dunu huluane da Ema nodosu.
Alifundisha katika masinagogi yao, na kila mmoja alimsifu.
16 Amalalu, Yesu da Ea moilaidafa (Na: salede) amoga buhagili, Sa: bade esoga Ea eso huluane hamonanu defele, sinagoge diasuga asi. E da Gode Ea sia: idimusa: , wa: legadoi.
Siku moja alikwenda Nazareti, mji ambao alilelewa na kukulia. Kama ilivyokuwa desturi yake aliingia kwenye sinagogi siku ya sabato, na alisimama kusoma maandiko.
17 Ilia da Aisaia ea meloa dedei bioi Ema i. E da meloa bioi fadegale, amo sia: dedei ba: lalu, idi,
Alikabidhiwa gombo la nabii Isaya, hivyo, alilifungua gombo na akatafuta sehemu iliyoandikwa,
18 “Hina Gode Ea A: silibu Hadigidafa Ea gasa da Nama doaga: i. Bai E da sia: ida: iwane hame gagui dunuma olelema: ne, Nama ilegei dagoi. Se iasu diasu ganodini sali dunu ilima se iasu diasu logo doasima: ne, si dofoi dunu bu ba: ma: ne, da: i dioi dunu bu hahawane ba: ma: ne amola
“Roho wa Bwana yuu juu yangu, kwa sababu alinitia mafuta kuhubiri habari njema kwa maskini. Amenituma kutangaza uhuru kwa wafungwa, na kuwafanya wasioona waweze kuona tena. Kuwaweka huru wale wanaogandamizwa,
19 Hina Gode Ea dunu gaga: mu ode da doaga: i dagoi, amo sia: olelema: ne, Gode Ea A: silibu Hadigidafa da Na ilegei.”
kuutangaza mwaka ambao Bwana ataonesha wema wake.”
20 Yesu da idilalu, meloa bu bione, amo fidisu dunuma bu iawane, fi dagoi. Dunu huluane sinagoge ganodini, si abo mae fili, Yesuma sosodolalu.
Kisha akalifunga gombo, akamrudishia kiongozi wa sinagogi, na akaketi chini. Macho ya watu wote waliokuwa katika sinagogi yalimwangalia yeye.
21 Amalalu, Yesu E amane sia: i, “Wali eso, Gode Sia: Dedei dilia waha nabi, amo sia: da waha dafawane doaga: i dagoi.”
Alianza kuzungumza nao akisema, “Leo andiko hili limetimizwa masikioni mwenu.”
22 Amo sia: ida: iwane nabaloba, dunu huluane da hahawane nabi. Ilia da Ea sia: Ea lafidili misi nababeba: le, bagadewane fofogadigi. Be ilia amane sia: i, “Waiye! Amo dunu da Yousefe ea manola: ?”
Kila mmoja pale alishuhudia kile alichokisema Yesu, na wengi miongoni mwao walishangazwa na maneno ya hekima yaliyokuwa yakitoka katika kinywa chake. Walikuwa wakisema, “huyu ni kijana tu wa Yusufu, siyo hivyo?”
23 Amalalu, Yesu da ilima amane sia: i, “Dafawane! Dilia da Nama siba sia: olelemu agoane, ‘Manoma legesu dunu! Disu oloi hidadea disu uhima. Dia gasa bagade hou Gabena: iame sogega hamoi, amo hou defelewane ninia ba: ma: ne, dia moilaidafa amo ganodini bu hamoma.’”
Yesu akawaambia, “hakika mtasema methali hii kwangu, “Tabibu, jiponye mwenyewe. Chochote tulichosikia ukifanya Kapernaumu, kifanye hapa pia kijijini kwako.”
24 E bu adole i, “Na dilima dafawane sia: sa! Balofede dunu da ea moilaidafa amo ganodini olelesea, ea fi dunu da hamedafa naba.
Pia alisema, “hakika nawaambia ninyi, hakuna nabii anayekubalika katika nchi yake.”
25 Nabima! Na da dafawane sia: sa. Isala: ili soge ganodini, Elaidia esaloba, didalo bagohame amola esalu. Amo esoga Gode da gibu logo ga: beba: le, esoi bagade ba: i. Ode udiana amola oubi eno gafeyale, gibu da hame dasuba: le, dunu huluane da ha: i bagade nabi.
Lakini nawaambia ninyi kweli kwamba kulikuwa na wajane wengi Israel katika kipindi cha Eliya, wakati mbingu ilipofungwa kusiwe na nvua kwa miaka mitatu na nusu, wakati kulipokuwa na njaa kubwa katika nchi yote.
26 Be amo didalo ili fidima: ne, Gode da Elaidia hame asunasi. Be didalo afadafa fawane e da Salefa: de moilai, Saidone soge ganodini esalu, amo fidima: ne, Gode da Elaidia asunasi.
Lakini Eliya hakutumwa kwa yeyote mmoja wao, lakini kwa mjane mmoja tu aliyeishi Sarepta karibu na mji wa Sidoni.
27 Amola Elaisia esaloba, amo esoga Isala: ili soge ganodini lebolosi oloi dunu bagohame esalu. Be Gode da huluane mae uhini hame foloai. Afae fawane uhi dagoi, amo da Silia dunu ea dio amo Na: ima: ne.”
Pia, kulikuwa na wakoma wengi Israel katika kipindi cha Elisha nabii, lakini hakuna hatammoja wao aliyeponywa isipokuwa Naamani mtu wa Siria.
28 Dunu huluane sinagoge diasu ganodini esalu, da amo sia: nababeba: le, ougi bagade ba: i.
Watu wote ndani ya sinagogi walijawa na gadhabu walipoyasikia haya yote.
29 Ilia wa: legadole, Yesu gasawane gagulaligili, gadili hiouginana asi. Ilia moilai da gafulu da: iya gadodili gagui galu. Ilia da amo gafulu bega: , Yesu afugili hiougili, bogoma: ne gudu fulisalimusa: dawa: i galu.
Walisimama na kumsukumizia nje ya mji, na kumwongoza mpaka kwenye ukingo wa mlima wa mji ambapo mji wao ulijengwa juu yake, ili waweze kumtupa chini.
30 Be Yesu da sinidigili, dunu aligi amo duduga asili, logoga asi.
Lakini alipita salama katikati yao na akaenda zake.
31 Amalalu, Yesu da bu sa: ili, Ga: lili soge moilai amo ea dio Gabena: iame, amoga doaga: i. Sa: bade esoga, E da sinagoge diasu ganodini sia: olelei.
Kisha alitelemkia Kapernaumu, katika mji wa Galilaya. Sabato moja alikuwa akifundisha watu ndani ya sinagogi.
32 E da hina gasa bagade gala ea sia: agoane olelebeba: le, ilia da Ea olelesu nababeba: le, bagadewane fofogadigi.
Walishangazwa na mafundisho yake, kwasababu alifundisha kwa mamlaka.
33 Amo sinagoge diasu ganodini, dunu ea dogo ganodini wadela: i ledo agoane Fio liligi aligila sa: i, amo lelebe ba: i. Wadela: i a: silibu ea dogo ganodini esalu “a: i” ea bagadewane gusa: su.
Sasa siku hiyo ndani ya sinagogi, kulikuwa na mtu aliyekuwa na roho ya pepo mchafu, na alilia kwa sauti ya juu,
34 Amane, “A: i! Yesu! Na: salede dunu! Di da ninima adi hamoma: bela: ? Di da nini wadela: ma: ne misibela: ? Di na dawa: ! Di da Gode Ea Hadigi ilegei adola ahoasu dunu!”
“Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Umekuja kutuangamiza? Ninajua wewe ni nani! Wewe ni mtakatifu wa Mungu!”
35 Be Yesu da ema gagabole sia: i, “Ouiya: ma! Wahadafa gadili masa!” Amalalu, wadela: i a: silibu, dunu ea da: i ganodini luduli, osoboga gisalugala: le, gadili ahoabeba: le, dunu da bu hahawane ba: i.
Yesu alimkemea pepo akisema, “Nyamaza kimya, na umtoke mtu huyu!” Pepo yule alipomtupa mtu yule chini katikati yao, alimtoka yule mtu bila ya kumsababishia maumivu yoyote.
36 Amalalu, dunu huluane bagadewane fofogadigili, enoma enoma amane sia: dasu, “Amo sia: da adi sia: la: ? E da hina ea sia: agoane gasa bagadewane wadela: i a: silibuma fadegamusa: sia: beba: le, ili fadegalesisa!”
Watu wote walishangaa, na waliendelea kuzungumzia jambo hilo kila mmoja na mwenzake. Wakasema, “Ni maneno ya aina gani haya?” Anawaamuru roho wachafu kwa mamlaka na nguvu na watondoka.”
37 Amalalu, dunu huluane amo soge ganodini, da Yesu Ea gasa bagade hou sia: ne iasu nabi dagoi.
Hivyo, habari juu ya Yesu zilienea kila sehemu katika maeneo yanayozunguka mkoa huo.
38 Amalalu, Yesu da wa: legadole, sinagoge fisili asili, Saimone ea diasuga doaga: i. Saimone esoa: da asugi madelai. Dunu esalebe da amo uda uhisima: ne, Yesuma adole ba: i.
Kisha Yesu aliondoka katika mji huo na akaingia katika nyumba ya Simoni. Sasa, mama mkwe wake na Simoni alikuwa anaumwa homa kali, na wakamsihi kwa niaba yake.
39 Yesu da Saimone esoa: ma debea amoma beguduli, E da Ea sia: ga asugi logo hedofai dagoi. Amalalu uda da uhini, wa: legadole, dunu huluane ha: i moma: ne aowasu.
Hivyo, Yesu alimsogelea, akaikemea ile homa na ikamwachia. Ghafla alisimama na akaanza kuwatumikia.
40 Eso daloba, daeya, dunu bagohame ilia oloi na: iyado dunu Yesuma oule mafia: i. Yesu da ilima Ea lobo ligisili, huluane uhinisi dagoi.
Jua lilipokuwa likizama, watu walimletea Yesu kila mmoja aliyekuwa mgonjwa wa maradhi ya aina mbalimbali. Aliweka mikono yake juu ya kila mgonjwa na akawaponya wote.
41 Fio liligi bagohame dunu ilia dogo ganodini aligila sa: i, da mugululi, fadegale, “a: i” ilia gusa: ne, “Di da Gode Ea Manodafa.” Be Yesu da ilima ouiya: ma: ne sia: i. Bai E da Mesaia ilia dawa: i galu.
Mapepo pia yaliwatoka wengi wao yakilia kwa sauti na kusema, “Wewe ni mwana wa Mungu!” Yesu aliwakemea mapepo na hakuwaruhusu waongee, kwa sababu walijua kwamba yeye alikuwa ni Kristo.
42 Hadigibi galu, Yesu da moilai fisili, dunu hame esalebe sogebi doaga: i. Amalalu, dunu bagohame hogoi helele, Yesuma fa: no bobogele, Ema doaga: i. Doaga: loba, ilia E da ili mae yolele masa: ne sia: i.
Wakati kulipopambazuka, alienda eneo lisilokuwa na watu. Makutano ya watu walikuwa wakimtafuta na wakaja katika eneo alilokuwapo. Walijaribu kumzuia asiende mbali na wao.
43 Be Yesu E bu adole i, “Gode da Sia: Ida: iwane Gala Ea Hinadafa Hou olelema: ne, Na asunasi dagoi. Amaiba: le, Na da amo sia: eno moilaiga olelemusa: masunu.”
Lakini akawaambia, “Lazima pia nihubiri habari njema za ufalme wa Mungu katika miji mingine mingi, kwa kuwa hii ndiyo sababu nilitumwa hapa.”
44 Amaiba: le, E da mae fisili, sinagoge diasu amo soge huluane ganodini dialu, amo ganodini Ea sia: olelelalu.
Kisha aliendelea kuhubiri ndani ya masinagogi katika uyahudi wote.

< Luge 4 >