< Luge 3 >

1 Louma hina bagade dunu Daibiliase ea ouligisu ode15 amoga, amola Bodiese Bailade da amo esoga Yudia soge ouligisu, Helode da Ga: lili sogega ouligisu hina esalu, amola eaola Filibe da Idiulia soge amola Dala: gounaidisi soge amoga hina esalu, Laisa: iniase da A: biline sogega ouligisu esalu,
Sasa, katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberia, wakati Pontio Pilato alikuwa gavana wa Uyahudi, Herode alikuwa mkuu wa mkoa wa Galilaya, na Filipo ndugu yake alikuwa mkuu wa mkoa wa Iturea na Trakoniti, na Lisania alikuwa mkuu wa mkoa wa Abilene,
2 A: nase amola Ga: iafa: se ela da gobele salasu hina hou ouligisu. Amo esoga, Gode da Segalaia ea mano Yone, amo Ea sia: Isala: ili dunuma olelema: ne, asunasi.
na wakati wa ukuhani mkuu wa Anasi na Kayafa, Neno la Mungu lilimjia Yohana mwana wa Zakaria, jangwani.
3 Amaiba: le, Yone da Yodane Hano sogega lalu. E da Gode Ea Sia: amane olelei, “Dilia! Wadela: i hou fisili, hanoga fane salasu hamoma! Amasea, Gode da dilia wadela: i hou gogolema: ne olofomu.”
Alisafiri katika mkoa wote kuzunguka Mto Yordani, akihubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi
4 Amo hou, ba: la: lusu dunu Aisaia, da hemonega Gode Sia: Dedei Buga ganodini dedei agoane, “Dunu afae da hafoga: i wadela: i soge amo ganodini wele sia: sa, ‘Hina Gode Ea misa: ne logo momagema! E misa: ne, logo molole fodoma!
Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha maneno ya Isaya nabii, “sauti ya mtu aliaye nyikani, “Itengenezeni tayari njia ya Bwana, yatengenezeni mapito yake yaliyoonyoka.
5 Fago huluane da osoboga fa: i dagoi ba: mu. Goumi amola gafulu huluane da agele, umiwane hamoi dagoi ba: mu. Guga: loi logo da bu moloi dagoi ba: mu. Fofagoi logo da bu umi hamoi ba: mu.
Kila bonde litajazwa, kila mlima na kilima vitasawazishwa, barabara zilizopinda zitanyoshwa, na njia zilizoparaza zitalainishwa.
6 Amasea, dunu fi huluane ilia da Gode Ea gaga: su hou ba: mu.’”
Watu wote watauona wokovu wa Mungu.”
7 Dunu bagohame da ba: bodaise hamomusa: , Yonema doaga: i. E da ilima amane sia: i, “Dilia! Sania dunu fi! Gode Ea ougi hou amoga hobea: ma: ne, nowa da dilima olelebela: ?
Hivyo, Yohana akawaambia makutano makubwa ya watu waliomjia wapate kubatizwa na yeye, “Ninyi uzao wa nyoka wenye sumu, nani aliwaonya kuikimbia gadhabu inayokuja?
8 Dilia da wadela: i hou dafawane yolei dagoi galea, hou ida: iwane fage agoane legema. ‘Ninia da A: ibalaha: me ea mano,’ agoane mae dawa: ma. Na da dilima amane sia: sa. Gode da amo igi afadenene, bu A: ibalaha: me ea mano agoane hamomusa: dawa:
Zaeni matunda yanayoedana na toba, na msianze kusema ndani yenu, “Tunaye Ibarahimu ambaye ni baba yetu; kwa sababu nawaambia ya kwamba, Mungu anaweza kumwinulia Ibrahimu watoto hata kutokana na mawe haya.
9 Wahadafa, goahei da ifa baiga abasalimusa: momagei diala. Amaiba: le, Gode da ifa huluane fage ida: iwane hame legebe ba: sea, amo ifa E da abimu amola laluga nema: ne ha: digimu.”
Tayari shoka limeshawekwa kwenye mzizi wa miti. Hivyo, kila mti usiozaa matunda mema, hukatwa na kutupwa motoni.
10 Amo sia: nabaloba, dunu huluane ilia amane sia: i, “Amai galea, ninia da adi hamoma: bela?”
Kisha watu katika makutano walimuuliza wakisema, “Sasa tunatakiwa tufanyeje?”
11 Yone da bu adole i, “Nowa da abula aduna galea, e da hame gagui dunu ema afae imunu da defea. Ha: i manu galea, ha: i manu hamedei dunu ema imunu da defea.”
Alijibu na kuwaambia, “kama mtu ana kanzu mbili anatakiwa atoe kanzu moja kwa mwingine ambaye hana kabisa, na ambaye ana chakula na afanye vivyo hivyo.”
12 Su lidisu dunu amola, ilia Yonema ba: bodaise hamomusa: doaga: i. Ilia amane sia: i. “Olelesu! Ninia da adi hamoma: bela: ?”
Kisha baadhi ya watoza ushuru walikuja pia kubatizwa, na wakamwambia, “Mwalimu, tunatakiwa kufanya nini?
13 E da ilima amane sia: i, “Dilia su muni amo da ouligisu dunu da dilia lama: ne ilegei, amo mae baligima!”
Akawaambia, “Msikusanye fedha zaidi kuliko mnachotakiwa kukusanya.”
14 Dadi gagui dunu da misini, Yonema amane adole ba: i, “Ninia amola, ninia da adi hamoma: bela: ?” E da ilima amane sia: i, “Dilia gasa fili muni lamusa: mae logema! Eno dunuma ogogolewane diwaneya mae udidima! Dilia hawa: hamoi amo defele bidi lai, amoga hahawane dawa: ma! Eno lamusa: mae dawa: ma!”
Baadhi ya maaskari pia wakamuuliza wakisema, “Na sisi je? Tunatakiwa tufanye nini?” Akawambia, “Msichukue fedha kwa mtu yeyote kwa nguvu, na msimtuhumu mtu yeyote kwa uongo. Ridhikeni na mishahara yenu.”
15 Dunu huluane da hanaiwane Mesaia Ea misunu hogosu. Ilia da Yone ea hou ba: beba: le, fofogadigili, ilia dogo ganodini, “Amo dunu da Gelesula: ?” amane dawa: i.
Sasa, kwa kuwa watu walikuwa na shauku ya kumngojea Kristo atakaye kuja, kila mmoja alikuwa anawaza moyoni mwake kuhusu Yohana kama yeye ndiye Kristo.
16 Be Yone da amane sia: i, “Na da hanoga fane salasu dunu fawane. Be fa: no, na hou baligisu Dunu da misunu. Na da Ea emo salasu efe amo fadegamu defele hame gala. E da Gode Ea A: silibu Hadigidafa amola lalu, amoga dilima ba: bodaise hamomu galebe.
Yohana akajibu kwa kuwaambia wote, “Mimi nawabatiza ninyi kwa maji, lakini kuna mmoja ajaye ambaye ana nguvu kuliko mimi, na sisitahili hata kufungua kamba za viatu vyake. Atawabatiza ninyi kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
17 E da Ea widi daba gaguli misini, widi huluane dabasalimu. Widi ha: i manu ida: iwane E da Ea diasu ganodini salimu. Be gisi amo E da ha: digili, lalu ha: ba: domu hamedei, amoga gobele salimu.”
Pepeto lake liko mkononi mwake ili kusafisha vizuri uwanda wake wa kupepetea ngano na kuikusanya ngano ghalani mwake. Lakini, atayateketeza makapi kwa moto ambao hauwezi kuzimika.
18 Yone e da hou hisu hisu amoga Gode Sia: ida: iwane olelei. E da dunu huluanema ilia da sinidigima: ne, Gode Ea hou lalegaguma: ne sia: i.
Kwa maonyo mengine mengi pia, alihubiri habari njema kwa watu.
19 Be Helode, Ga: lili soge ouligisu dunu, e da eaola idua (Heloudiase) wamolale amola eno wadela: i hou bagade hamoi. Amaiba: le, Yone da ema gagabole sia: i.
Yohana alimkemea pia Herode mkuu wa mkoa kwa kumuoa Herodia, mke wa ndugu yake na kwa maovu mengine mengi ambayo Herode alikuwa ameyatenda.
20 Be Helode, amo sia: mae nabawane, bu eno baligili wadela: le hamoi. E da Yone se iasu diasu ganodini sali.
Lakini baadaye Herode alifanya uovu mwingine mbaya sana. Alimfunga Yohana gerezani.
21 Dunu huluane misi da hanoga fane salasu hamonanoba, Yesu amola da ba: bodaise hamoi dagoi. Amalu, Yesu da sia: ne gadolaloba, Hebene logo doasibi ba: i.
Kisha ilitokea kwamba, wakati watu wote walipokuwa wakibatizwa na Yohana, naye Yesu alibatizwa pia. Wakati alipokuwa akiomba, mbingu zikafunguka.
22 Amalalu, Gode ea A: silibu Hadigidafa, dafe sio agoai, Yesuma fila dalebe ba: i. Amola sia: bagade muagado misini, amane sia: i, “Di da Na dogolegei Manodafa! Na da Dima hahawane gala!”
Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa mfano wa kiwiliwili kama njiwa, wakati huo huo sauti ikaja kutoka mbinguni ikisema, “Wewe ni Mwanangu mpendwa. Ninapendezwa sana na wewe.”
23 Yesu da E lalelegei ode30amoga doaga: loba, Ea hawa: muni hemosu. E da Yousefe ea manoyale, eno dunu ilia da dawa: i galu. Yousefe da Hilai ea mano esalu.
Sasa Yesu mwenyewe, alipoanza kufundisha, alikuwa na umri upatao miaka thelathini. Alikuwa ni mwana (kama ilivyotadhaniwa) wa Yusufu, mwana wa Eli,
24 Hilai da Ma: da: de ea mano amalu aowalalia asili Ma: da: de ea eda da Lifai amo ea eda da Melagai amo ea eda da Ya: nai amo ea eda da Yousefe.
mwana wa Mathati, mwana wa Lawi, mwana wa Melki, mwana wa Yana, mwana wa Yusufu,
25 Yousefe eda da Ma: dadaia: se. Amo ea eda da A: imose amalu Na: ihame amalu Esalai amalu Na: gai.
mwana wa Matathia, mwana wa Amosi, mwana wa Nahumu, mwana wa Esli, mwana wa Nagai,
26 Nagai ea eda da Ma: ia: de. Amo ea eda da Ma: dadaia: se amalu Semiaini amalu Yousege amalu Youda.
mwana wa Maati, mwana wa Matathia, mwana wa Semeini, mwana wa Yusufu, mwana wa Yuda,
27 Youda ea eda da Youna: ne, amalu Lisa amalu Selababele amalu Sia: ladiele amalu Nilai.
mwana wa Yoanani, mwana wa Resa, mwana wa Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, mwana wa Neri,
28 Nilai ea eda da Melagai, amalu A: dai amalu Gousa: me amalu Elemada: me amalu E.
mwana wa Melki, mwana wa Adi, mwana wa Kosamu, mwana wa Elmadamu, mwana wa Eri,
29 E ea eda da Yosiua, amalu Elaisa amalu Youlimi amalu Ma: da: de amalu Lifai.
mwana wa Yoshua, mwana wa Eliezeri, mwana wa Yorimu, mwana wa Matathi, mwana wa Lawi,
30 Lifai ea eda da Simiane, amalu Yuda amalu Yousefe amalu Youna: me amalu Ilaiagime.
mwana wa Simeoni, mwana wa Yuda, mwana wa Yusufu, mwana wa Yonamu, mwana wa Eliyakimu,
31 Ilaiagime ea eda da Milia amalu Mina: ne amalu Ma: dada amalu Na: ida: ne amalu Da: ibidi.
mwana wa Melea, mwana wa Mena, mwana wa Matatha, mwana wa Nathani, mwana wa Daudi,
32 Da: ibidi ea eda da Yesi, amalu Oubede amalu Boua: se amalu Sa: lamone amalu Nasione.
mwana wa Yese, mwana wa Obedi, mwana wa Boazi, mwana wa Salmoni, mwana wa Nashoni,
33 Nasione ea eda da Aminada: be, amalu Adamine amalu Ani amalu Heselone amalu Bilese amalu Yuda.
mwana wa Abinadabu, mwana wa Aramu, mwana wa Hesroni, mwana wa Peresi, mwana wa Yuda,
34 Yuda ea eda da Ya: igobe, amalu Aisage amalu A: ibalaha: me amalu Dila amalu Na: iho.
mwana wa Yakobo, mwana wa Isaka, mwana wa Ibrahimu, mwana wa Tera, mwana wa Nahori,
35 Na: iho ea eda da Silage amalu Liu amalu Bilege amalu Ibe amalu Sila.
mwana wa Seruig, mwana wa Ragau, mwana wa Pelegi, mwana wa Eberi, mwana wa Sala,
36 Sila ea eda da Gina: ne, amalu Afa: gasa: de amalu Sieme amalu Nowa amalu La: imege.
mwana wa Kenani, mwana wa Arfaksadi, mwana wa Shemu, mwana wa Nuhu, mwana wa Lameki,
37 La: imege ea eda da Midiusela, amalu Inage amalu Ya: ilede amalu Maha: ilaliele amalu Gina: ne.
mwana wa Methusela, mwana wa Henoko, mwana wa Yaredi, mwana Mahalalei, mwana wa Kenani,
38 Gina: ne ea eda da Inosie, Sede ea mano. Sede ea eda da A: da: me amola A: da: me ea Eda da Gode. Yesu Ea aowalali ilia dio da amane dedei diala.
mwana wa Enoshi, mwana wa Sethi, mwana wa Adamu, mwana wa Mungu.

< Luge 3 >