< Luge 19 >

1 Yesu da Yeligou moilaiga doaga: le, baligimusa: ahoanoba,
Yesu aliingia mjini Yeriko, akawa anapita katika njia za mji huo.
2 su lidisu hina dunu, bagade gagui dunu ea dio amo Sa: gease, da Yesu ba: musa: misi.
Kulikuwa na mtu mmoja mjini, jina lake Zakayo ambaye alikuwa mkuu wa watoza ushuru tena mtu tajiri.
3 E da Yesu ba: mu hanai galu. Be e da dunu dunumunihadi galu. Amaiba: le, dunu bagohame da Yesu guba: le aligiba: le, e da Yesu ba: mu hamedei ba: i.
Alitaka kuona Yesu alikuwa nani, lakini kwa sababu ya umati wa watu, na kwa vile alikuwa mfupi, hakufaulu.
4 Amaiba: le, e bisili, hehenane, Yesu Ea misunu logo bega: ifa bagade lelu, amo ifaba: le heda: le, Yesu ba: musa: ouesalu.
Hivyo, alitangulia mbio, akapanda juu ya mkuyu ili aweze kumwona Yesu, kwa maana alikuwa apitie hapo.
5 Yesu da amo ifa ea baiga doaga: loba, E ba: le gadole, Sa: geasema amane sia: i, “Sa: gease! Di hedolo gudu sa: ima. Na da wali ani esalumusa: , dima diasua masunu.”
Basi, Yesu alipofika mahali pale, aliangalia juu akamwambia, “Zakayo, shuka upesi, maana leo ni lazima nishinde nyumbani mwako.”
6 Amalalu, Sa: gease da hedolowane ifaba: le sa: ili, ea diasuga asili, Yesu hahawanedafa yosia: i.
Zakayo akashuka haraka, akamkaribisha kwa furaha.
7 Be eno dunu amo hou ba: beba: le, ilia higale gilisili sia: dasu, “E da abuliba: le wadela: i hou hamosu dunu ea diasuga hiougi dunu agoane ahoabela: ?”
Watu wote walipoona hayo, wakaanza kunung'unika wakisema, “Amekwenda kukaa kwa mtu mwenye dhambi.”
8 Amalalu, dunu huluane ba: ma: ne, Sa: gease da wa: legadole, Yesuma sia: i, “Hina! Nabima! Na liligi huluane na dogoa mogili, la: idi na da hame gagui dunuma imunu. Nowa dunuma na da ogogole ea muni afae lai galea, na da ema baligili muni biyaduyale dabe bu imunu.”
Lakini Zakayo akasimama akamwambia Yesu, “Sikiliza Bwana! Mimi nitawapa maskini nusu ya mali yangu, na kama nimenyang'anya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne.”
9 Yesu da ema bu adole i, “Wali eso diasu goega fi, ilima Gode Ea Gaga: su hou da doaga: i dagoi. Bai amo dunu amolawane da A: ibalaha: me egefe agoane esala.
Yesu akamwambia, “Leo wokovu umefika katika nyumba hii, kwa vile huyu pia ni wa ukoo wa Abrahamu.
10 Dunu Egefe da fisi dunu hogole, gaga: musa: misi dagoi.”
Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.”
11 Amo sia: ilia nabalaloba, Yesu da eno hou olelemusa: , fedege sia: olelei. E da Yelusaleme moilai bai bagadega doaga: mu gadenei ba: i. Dunu bagohame da Gode Ea Hinadafa Hou da wahawane doaga: mu dawa: i galu.
Wakati watu walipokuwa bado wanasikiliza hayo, Yesu akawaambia mfano. (Hapo alikuwa anakaribia Yerusalemu, na watu wale walidhani kwamba muda si muda, Ufalme wa Mungu ungefika.)
12 Amaiba: le, E amane sia: i, “Hina dunu da soge sedagaga masunu dawa: i galu. Amogawi, ilia da e hina bagade ilegele, amalalu, e da hi sogega bu misunu dawa: i galu.
Hivyo akawaambia, “Kulikuwa na mtu mmoja wa ukoo wa kifalme aliyefanya safari kwenda nchi ya mbali ili apokee madaraka ya ufalme, halafu arudi.
13 Amalalu, ea hawa: hamosu dunu nabuane gala ema misa: ne sia: beba: le, ilima afae afae e da gouli gina afae afaea sagole, amane sia: i, ‘Amo muni lale, dilia amo muniga bidi lasu hou hamoma.’
Basi, kabla ya kuondoka aliwaita watumishi wake kumi, akawapa kiasi cha fedha kila mmoja na kumwambia: Fanyeni nazo biashara mpaka nitakaporudi.
14 Be ea soge fi dunu, amo hina dunu ilia higabeba: le, ea asi soge sedagaga adola ahoasu dunu asunasili, ilia amane sia: i, ‘Amo dunu da ninima hina bagadewane esalumu nini higa: i gala!’
Lakini wananchi wenzake walimchukia na hivyo wakatuma wajumbe waende wakaseme: Hatumtaki huyu atutawale.
15 Hina dunu, e da hina bagade ilegei hou lai dagoiba: le, bu misini, ea hawa: hamosu dunu ilia bidi lasu hou hamobeba: le muni eno lai, amo ba: ma: ne, ema misa: ne sia: i.
“Huyo mtu mashuhuri alirudi nyumbani baada ya kufanywa mfalme, na mara akaamuru wale watumishi aliowapa zile fedha waitwe ili aweze kujua kila mmoja amepata faida gani.
16 Dunu afadafa da ema bisili misini, amane sia: i, ‘Hina! Dia gina i, amoga na da bidi lasu hamobeba: le, na gina nabuane eno lai dagoi.’
Mtumishi wa kwanza akatokea, akasema: Mheshimiwa, faida iliyopatikana ni mara kumi ya zile fedha ulizonipa.
17 Hina da ema amane sia: i, ‘Defea mabu! Di da hawa: hamosu ida: iwane dunu. Di da fonobahadi liligi noga: le ouligibiba: le, di da moilai bai bagade fi nabuane gala amo ouligima: mu.’
Naye akamwambia: Vema; wewe ni mtumishi mwema. Kwa kuwa umekuwa mwaminifu katika jambo dogo, utakuwa na madaraka juu ya miji kumi!
18 Eno da ema misini, amane sia: i, ‘Hina! Dia gina amoga na da bidi lasu hamobeba: le, wali gina biyale eno lai dagoi.’
Mtumishi wa pili akaja, akasema: Mheshimiwa, faida iliyopatikana ni mara tano ya zile fedha ulizonipa.
19 Hina da ema bu adole i, ‘Di amola da moilai bai bagade fi biyale gala amo ouligima: mu.’
Naye akamwambia pia: Nawe utakuwa na madaraka juu ya miji mitano.
20 Be eno da ema misini, amane sia: i, ‘Hina! Dia gina da goea. Amo na da abula ganodini sosone, wamolegei.
“Mtumishi mwingine akaja, akasema: Chukua fedha yako; niliificha salama katika kitambaa,
21 Na da dima beda: iba: le agoane hamosu. Di da gasa bagade dunu. Inia liligi ligisi di udigili lasa. Inia ha: i manu bugi di da udigili faisa.’
kwa maana niliogopa kwa sababu wewe ni mtu mkali. Wewe ni mtu ambaye huchukua yasiyo yako, na huchuma ambacho hukupanda.
22 Hina bagade dunu da ema amane sia: i, ‘Di wadela: i hawa: hamosu dunu. Dia lafidili sia: amoga na da dima fofada: mu. Na da gasa bagade dunu di dawa: i. Na inia liligi ligisi udigili lasa. Na inia ea ha: i manu bugi udigili faisa. Amo di dawa: i.
Naye akamwambia: Nakuhukumu kutokana na msemo wako, ewe mtumishi mbaya! Ulijua kwamba mimi ni mtu mkali, ambaye huchukua yasiyo yangu na kuchuma nisichopanda.
23 Amaiba: le, di da abuliba: le na gina amo muni salasu diasu ganodini hame salila: ? Amane hamoi ganiaba, na da misini, muni eno lai na da lala: loba.’
Kwa nini basi, hukuiweka fedha yangu benki, nami ningeichukua pamoja na faida baada ya kurudi kwangu?
24 Amalalu, gadenene lelu dunu ilima e amane sia: i, ‘Amo ea gina bu samogene, hawa: hamosu dunu da gina nabuane lai, ema amo ea gina ima.’
Hapo akawaambia wale waliokuwa pale: Mnyang'anyeni hizo fedha, mkampe yule aliyepata faida mara kumi.
25 (Be ilia da ema fofogadigili sia: i, ‘Hina! E da gina nabuane gagusa.’)
Nao wakamwambia: Lakini Mheshimiwa, huyo ana faida ya kiasi hicho mara kumi!
26 Be hina bagade da bu adole i, ‘Na dilima sia: sa! Nowa dunu da lai galea, Gode da ema eno imunu galebe. Be hame lai dunu, ea liligi huluane E da bu samogemu galebe.
Naye akawajibu: Kila aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
27 Be nama ha lai dunu, na da ilima hina bagade esalumu ilia higabeba: le, ili afugili, nama oule misini, na midadi medole lelegema!’”
Na sasa, kuhusu hao maadui wangu ambao hawapendi niwe mfalme wao, waleteni hapa, mkawaue papa hapa mbele yangu.”
28 Amo sia: nanu, Yesu da asili, Yelusaleme moilai bai bagadega doaga: musa: asi.
Yesu alisema hayo, kisha akatangulia mbele yao kuelekea Yerusalemu.
29 Bedefage amola Bedani moilai (Olifede goumi gadenei), amo gadenenewane doaga: le, E da Ea ado ba: su dunu aduna E bisima: ne asunasi.
Alipokaribia kufika Bethfage na Bethania, karibu na mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,
30 E da elama amane sia: i, “Alia amo moilai ninia midadi dialebe amoga masa. Amo ganodini golili sa: ili, ali da dougi mano dunuga hame fila heda: i, amo bagesi ba: mu. Amo bagesi fadegale, guiguda: oule misa.
akawaambia: “Nendeni katika kijiji kilicho mbele yenu. Mtakapokuwa mnaingia kijijini, mtamkuta mwana punda amefungwa ambaye hajatumiwa na mtu. Mfungeni, mkamlete hapa.
31 Be eno dunu alima gagabole, ‘Ali da abuli ea la: gi fadegabela: ?’ ilia sia: sea, alia amane bu adole ima, ‘Ania Hina da amo dougiga Ea hawa: hamosu gala.’
Kama mtu akiwauliza, kwa nini mnamfungua, mwambieni, Bwana ana haja naye.”
32 Amalalu, ela da asili, Yesu Ea adoi huluane defele ba: i.
Basi, wakaenda, wakakuta sawa kama alivyowaambia.
33 Dougi mano elea fadegalaloba, dougi ea ouligisu dunu da elama adole ba: i, “Ali da abuliba: le amo dougi fadegasala: ?”
Walipokuwa wanamfungua yule mwana punda, wenyewe wakawauliza, “Kwa nini mnamfungua mwana punda huyu?”
34 Ela bu adole i, “Ania Hina da amo dougiga Ea hawa: hamosu gala.”
Nao wakawajibu, “Bwana anamhitaji.”
35 Ela da amo dougi Yesuma oule misini, ela abula dougi ea baligiga figisili, Yesu da amoga fila heda: ma: ne elea fidi.
Basi, wakampelekea Yesu yule mwana punda. Kisha wakatandika mavazi yao juu yake wakampandisha Yesu.
36 E da fila heda: le ahoanoba, eno dunu da ilia abula fadegale, ea dougi da amo da: iya ososa: masa: ne, logoga fa: sisi.
Yesu akaendelea na safari, na watu wakatandaza mavazi yao barabarani.
37 E da Yelusaleme moilai bai bagadega gadenene doaga: loba, logo da Olifede Goumiba: le gudu sa: i. Amogawi, Ea fa: no bobogesu dunu bagohamedafa, ea gasa bagade hamoi ilia ba: i amo dawa: beba: le, ilia hahawane bagade ha: giwane Godema nodone wele sia: nanu,
Alipofika karibu na Yerusalemu, katika mteremko wa mlima wa Mizeituni, umati wote na wanafunzi wake, wakaanza kushangilia na kumtukuza Mungu kwa sauti kubwa, kwa sababu ya mambo makuu waliyoyaona;
38 “Mabe dunu, ninia Hinadafa, e da Gode Ea dioba: le maha, Ema hahawane nodone sia: ma! Hebene ganodini da olofosu dialumu! Gode da hadigidafa! Amaiba: le, Ema nodone sia: ma!”
wakawa wanasema: “Abarikiwe Mfalme ajaye kwa jina la Bwana. Amani mbinguni, na utukufu juu mbinguni!”
39 Dunu gilisisu ganodini, Fa: lisi dunu mogili da Yesuma amane sia: i, “Olelesu! Dia fa: no bobogesu dunuma ouiya: ma: ne sia: ma!”
Hapo baadhi ya Mafarisayo waliokuwako katika lile kundi la watu, wakamwambia Yesu, “Mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako!”
40 Be Yesu E bu adole i, “Na dilima sia: sa! Amo dunu da ouiya: le esala ganiaba, dafawane, igi diala da bagadewane wele sia: na: noba.”
Yesu akawajibu, “Nawaambieni, kama hawa wakinyamaza, hakika hayo mawe yatapaza sauti.”
41 E da Yelusaleme gadenenewane doaga: beba: le, asigiba: le dinanu.
Alipokaribia zaidi na kuuona ule mji, Yesu aliulilia
42 E amane fedege sia: i, “Wali eso di da olofosu logo dawa: mu da defea galu. Be amo da dima wamolegei dagoi.
akisema: “Laiti ungelijua leo hii yale yaletayo amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako.
43 Be eso da doaga: mu galebe. Amo esoga dima ha lai dunu misini, gegemusa: gagosa heda: le, moilai bai bagade eale disili,
Maana siku zaja ambapo adui zako watakuzungushia maboma, watakuzingira na kukusonga pande zote.
44 amo mugululi, gugunufinisimu. Ilia da di amola dunu huluane Yelusaleme moilai bai bagade gagoi ganodini esala, amo medole legemu. Gode da dilima gaga: musa: doaga: i, amo dilia dafawaneyale hame dawa: beba: le, dilia moilai bai bagade gagui amo ganodini, igi afadafa da eno igi da: iya dialebe hamedafa ba: mu.”
Watakupondaponda wewe pamoja na watoto wako ndani ya kuta zako; hawatakuachia hata jiwe moja juu jingine, kwa sababu hukuutambua wakati Mungu alipokujia kukuokoa.”
45 Amalalu, Yesu da Debolo Diasu ganodini golili sa: ili, bidi lasu dunu huluane muni sefasilalu.
Kisha, Yesu aliingia Hekaluni, akaanza kuwafukuzia nje wafanyabiashara
46 E da amane sia: i, “Gode Sia: Dedei Buga ganodini agoane dedei diala, ‘Gode da amane sia: i, Na Debolo Diasu amoma ilia da sia: ne gadosu diasu dio asulimu,’ Be dilia da amo diasu wamolasu dunu ilia wamoaligisu diasu agoane hamoi dagoi.”
akisema, “Imeandikwa: Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala; lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi.”
47 Amalalu, e da Debolo Diasu ganodini eso huluane sia: olelelalu. Gobele salasu dunu amola Sema Olelesu dunu amola dunu fi ilia ouligisu dunu, ilia da Yesu medole legemu logo hogoi helei.
Yesu akawa anafundisha kila siku Hekaluni. Makuhani wakuu, walimu wa Sheria na viongozi wa watu walitaka kumwangamiza,
48 Be dunu huluane da mae helelewane, Yesu Ea sia: i nababeba: le, ilia da medole legemu logo hamedei ba: i.
lakini hawakuwa na la kufanya, maana watu wote walikuwa wakimsikiliza kwa makini kabisa.

< Luge 19 >